Shilole atangaza kuwachia wimbo mpya utakao kuwa funzo kwa wengi

Zuena Mohammed anayejulikana kwa umaarufu kama shilole amefunguka kusema kuwa anajipanga kuachia wimbo mpya mwishoni mwa mwezi huu ambao utakuwa tofauti na nyimbo zake zingine kwa sababu una ma­hadhi ya Afropop.

Akizungumza kwenye interview, Shilole alisema kuwa wimbo huu ni wa kipekee kwani maudhui yake ni ya kuwaelimisha wengi. Aliendeleak kusema kuwa ujumbe wake ni mzuri kwa jamii na mashabiki wake watafurahia.

Shilole
Shilole

Mrembo huyu alisema;

“Natarajia kutoa wimbo mpya mwishoni mwa mwe­zi huu, nimeimba mahadhi ya Afropop naamini uki­toka tu na watu wakiusikia utakuwa funzo kwa jamii kutokana na ujumbe uli­omo humo.”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.