Stara Thomas-Wasanii Wengi Mavazi Yao Hayana Stara

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Mwanamama Stara Thomas amewaibukia wasanii wakileo na kuyachambua mavazi yao na kusema hayana Stara wala heshima.

Stara alifunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao wa Dizzim Online na kuweka wazi kuwa hicho ni moja kati ya vitu ambavyo vinamkera kwenye Sanaa ya Leo ni wasanii kukosa maadili.

Maadili Kama maadili nikijaribu kuyaangalia kwa vijana ambao kwa sasa hivi wanafanya muziki wanajisahau sana, mavazi yao hayana Stara kwani wasanii wengi Hivi sasa wana mentality moja kwamba eti ‘Tunaenda na fashion’”.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.