TIDAL – tovuti ya kuuza muziki inayomilikiwa na Jay Z yamsifu sana Ali Kiba

TIDAL inatambua Ali Kiba, Mtanzania huyo alisifiwa sana na tovuti hiyo ya kimataifa ambayo huuza muziki ya wasanii wanaotajika ulimwengu nzima.

TIDAL , ambayo inamilikiwa na Jay Z, ilimsifu Ali Kiba wakati akishiriki katika moja ya tamasha la muziki ambalo lilifanyika London nchini Uingereza wiki iliyopita.

Jay Z

“The unstoppable AliKiba is live right now in London” mtandao wa TIDAL uliandika wakati Alikiba akitumbuiza kwenye stage.

Wasanii wakubwa kama P Square, Davido, Awilo Logomba, Sarkodie, Cassper Nyovest na wengine pia walitumbuiza mashabiki katika tamasha hilo la muziki.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.