Tundaman asema hili ndilo jambo ambalo hajawahi kumfanyia Mke tangu waoane

Tundaman ni mmoja wa Wasanii ambao wameweza kutamba Afrika Mashariki kupitia muziki wao. Hata hivyo yeye pia ni mume wa mtu na yeye analiheshimu jambo hili.

Tangu afunge ndoa na mpenzi wake Tundaman anadai kuwa hajawai kumpiga mke wake ata wanapokuwa na shida kwenye ndoa yake. Msanii huyu alifunguka kunena maneno haya akiwa kwenye kipindi cha XXL kwenye U-Heard na kueleza kuwa,

“Mie sijawahi kumpia mke wangu we muulize kama nimewahi kumpiga mimi labda huyo ni Tunda mwingine sio mimi.”

Tundaman na mpenzi wake walifunga nikaha mwaka uliopita na bado anaendelea kuachia project zake mpya kila wakati.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.