Chote unachohitaji kujua kuhusu ugonjwa mpya hatari unaoenea Tanzania

kuna ripoti zimekuwa zikitambaa Tanzania ya kwamba kuna ugonjwa mpya ambao ni hatari unaoenea kwa kasi.

Na kweli kunao ugonjwa kama ilivyoelezwa na Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Ummy Mwalimu pamoja na Katibu Mkuu wa wizara hiyo Dk lakini serikali imeweza kuukaba usitie madhara mengi kwa wananchi.

Watazame wawili hao wakieleza zaidi kwenye hii video:

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.