‘Binti Kiziwi’ hitmaker Z-Anto pours his heart out in ‘Nichape’ (Video)

Tanzanian singer Ally Mohamed Ahmad, better known as Z-Anto and famed for songs such as; Binti Kiziwi, Mpenzi Jini and Pokea Kiss has released a new jam and it’s getting a lot of airplay.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The song titled Nichape, which is a Swahili word that means hit me, is about this girl who has mesmerized the artist so much so that he has decided that she should discipline him if he does any wrong.

Z-Anto

If you were a fan of Z-Anto 10 or so years ago then I am sure that you’ll love this jam because very little has changed about him.

He still sings from the heart and as you listen to him you can easily tell that there is a lot of sincerity in his voice like he really means what he is saying in the song.

Nichape is well arranged and simply means that it flows well. If you are a Bongo fan, you are likely to have this track on replay for many days, maybe weeks.

The lyrics for this jam are also simple and easy to master. Chances are you will be singing along to it after listening to it once or maybe twice.

Z-Anto

Although Nichape has impeccable verses, I can not get enough of the chorus and it’s not like he is even saying much other than repeating the same word over and over.

The beat and instrumentation are perfect. Other than the fact that they are catchy, they also blend really well with Z-Anto’s voice and tempo.

The video is a masterpiece. One of the things that won’t escape your attention is the fact that Sandra Kahn, who was the vixen in the Binti Kiziwi video, stars in it. She was recently released after serving a 7-year jail term in China.

Watch Nichape below and tell is what you think.

Binti Kiziwi talks about getting back with her old lover, Z Anto 7 years after serving jail sentence in China

Sandra Khan who is popularly known as Binti Kiziwi recently returned home (Bongo) from China where she had spent 7 years behind bars!

Binti Kiziwi with lover, Z Anto

From the stories making rounds on social media, word has it that she was found guilty of drug trafficking back in 2013. The lass is said to have been arrested at the airport where she had earlier complained about a stomach ache.

After several tests and scans, Binti Kiziwi was allegedly found carrying drugs in her stomach. Well, this must have been one of her biggest mistakes since China has never been sympathetic with drug traffickers.

Binti Kiziwi back in Bongo

The lady was then detained for two years, before she was sentenced to another 5 years in prison after being found guilty of drug-trafficking. Well, after serving her full jail-term the lass is now back to in Dar es Salaam and from the look of things; she is back to reclaim her thrown!

https://www.instagram.com/p/B9Ce2OtIYsx/?igshid=15yrn943lbxhx

Binti Kiziwi and Z Anto

Well after her return Binti Kiziwi has gone straight back to doing what she loves best! The lady is currently working on a new project with Z Anto who is said to have been her boyfriend at the time of her arrest in China.

The two are however said to be more than friends and from the look of things; Z Anto is using this opportunity to get his name out there hoping the two will finally become stars!

When asked about her relationship with Z Anto, the lady said that time will tell but as for now she is happy to be back with her loved ones!

Watch her interview below courtesy of Bongo 5

Z-Anto Afungukia Tetesi Za Kuoa Mke Wa Pili Kwa Siri

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva Ally Mohamed maarufu kama Z- Anto ameibuka na kukana taarifa zinazosambaa kuwa ameoa mke wa pili bila kumtaarifu mke wake .

Gazeti la Ijumaa Wikienda linaripoti kuwa  mwana­muziki huyo hivi karibuni alifunga ndoa na dada wa msanii wa filamu, Wastara Juma aitwaye Naima huku mke mkubwa akiwa hajui, jambo ambalo ni kinyume na utaratibu wa Dini ya Kiislamu.

Mke wa Z-Anto alisema alikuwa anakuta meseji kwenye simu ambazo mumewe huyo alikuwa akiwasiliana na huyo Naima akawa anamuuliza lakini anakuwa mkali, baadaye aligun­dua kuwa walishafunga ndoa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Z-Anto amekataa Tetesi Za kuoa mke mwingine na kusisitiza kuwa taarifa hizo zinazosambaa hazina ukweli wowote.

Niwaambie tu kwamba hizo habari za mimi kuoa hazina ukweli, mimi na mke wangu tuko vizuri kabisa hatuna tatizo ila kama anasema ameenda Bak­wata mimi ndio kwanza nawasi­kia nyie.

Ningekuwa nimeoa ningeweka wazi tu lakini hakuna kitu kama hicho, kuhusu kuwa karibu na familia ya Wastara ni kwamba nil­ianza urafiki na familia hii kama miaka 10 iliyopita, nilikuwa nam­fanyia dua mume wa Wastara marehemu Juma Kilowoko ‘Sajuki’ alipokuwa anaumwa”.

Kuhusu picha zake na Naima za ndoa zilizosambaa kwenye mitandao, msanii huyo alisema kuna kitu walichokuwa wana­kifanya kuhusiana na sanaa ambacho kwa sasa hawezi kukiweka wazi.

 

 

Z-Anto Atoa Sababu Inayomfanya Wasanii wachanga kukata Tamaa ya Kuimba

Msanii Z-anto ambae alitamba sana na wimbo wake wa binti kiziwi amefunguka na kusema kuwa mja ya sababu kubwa iliyowahi kumaktisha tamaa katika kufanya kazi za muziki ni kutokana chuki zinazoendekezwa baina ya wasanii na wadu wa muziki.

Akitoa uzoefu wake katika hili z-anto anasema kuwa mwaka 2008 aliwahi kuwekwa katika kinyanganyio kimoja nchi lakini hakuweza kupata chochote ingawa  alikuwa anaonekana kuwa alikuwa anafaa kwa kinyanganyio icho na hiyo yote ni kwa sababu tu  moja ya watu walioandaa mashindano hayo alikuwa amegombana nae.

Akiongea na clouds media anasema “mwaka 2008 nilikuwa kwenye kinyanganyio cha msanii bora chipukizi , lakini sikuingia wala kushinda kwa sababu kuna mtu mmoja kati ya wale waliokuwa wakisimamia shindano ilo nilikuwa nimegombana nae, japo nilikosa tuzo lakini haikunifanya niache muziki.”

Z Anto Kuja na “Mpaka Naogopa” Baada Ya Kimya Kirefu

Msanii mkongwe wa Muziki wa Bongo fleva aliyewahi kutamba na vibao vyake kama vile ‘Binti kiziwi’ na ‘Mpenzi jini’ Z Anto ametangaza kurudi kwenye  gemu baada ya kimya kirefu.

Baada ya kufanya vizuri sana miaka ya nyuma Z Anto alikaa kimya kwa muda mrefu mpaka mwaka jana alipoachia Wimbo Mpya ‘Cheza unapochezaga’ ambao haukuweza kumrudisha vizuri Kwenye chati.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Z Anto amesema kwamba wimbo wa kwanza ‘Kacheze Unakochezaga’ ulikuwa wakuombea msamaha kwa watanzania kutokana na ukimya wake na baada ya kuona amekubaliwa anajipanga kuachia wimbo wake mpya alioupachika jina ‘Mpaka Naogopa’.

Ni project mpya inakuja soon, wimbo nimefanya kwa Mazuu ni ngoma kali sana ambayo itakuja kuwaonyesha mashabiki kwamba mimi ni nani katika muziki wa BongoFleva, nimefanya vingi lakini pia naweza kubadilika.

Kacheze Unakochezaga ni wimbo ambao niliuachia kuwaomba mashabiki msamaha baada ya kukaa muda mrefu bila kuachia wimbo. Na wimbo wangu mpya ‘Mpaka Naogopa’ ni wimbo ambao utawafanya mashabiki wangu waamini kwamba Z Anto ni mtu au msanii tofauti sana katika tasnia ya muziki na ni tofauti na hao wengine ndio maana nikasema mimi siji kushindana kwa sababu nina kitu tofauti“.

Z Anto amewataka mashabiki zake wanaenda mkao wa kupata burudani kwani ana akiba zaidi ya nyimbo ya 20.

Z Anto: Sina haja ya kushindana na Diamond na Ali Kiba

Z Anto amegonga vichwa vya habari kwa kutoa madai ambayo imewatikisha mashabiki wa Diamond Platnumz na Ali Kiba.

Mwimbaji huyo ambaye alivuma kwa ngoma yake kali – ‘Binti Kiziwi’ amekiri kuwa Diamond na Ali Kiba ndo mabingwa wa muziki wa Bongo lakini ako na uhakika kuwa atawaangusha kumuziki.

Z Anto

Z Anto alifunguka kuhusu mpanga wake ya kuwabwaga Diamond na Aki Kiba akiongea na Bongo5. Alisema kuwa haitaji kushindana nao kwani muziki wake utapita katikati yao na kunawiri kuwashinda.

“Mimi ni mkongwe kwenye huu muziki na bado nina nafasi ya kufanya mambo makubwa zaidi. Najua kwa sasa Diamond na Alikiba ndio wasanii wanaozungumziwa zaidi lakini mimi sina haja ya kushanda nao muziki wangu nitaupitisha katikati yao,” alisema Z Anto.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.