Zamaradi Aja na Kampeni ya Kukomboa Wakina Mama

Mwanadada jasiri na aliye na ushawishi mkubwa bongo Zamaradi Mketema aekuja na kampeni yake inayohusu kuwkomboa wanawake bila kujali umri wao wala kipato chao katika jamii.Zamaradi ambae anatoa wito kwa wanawake wote kukutana ili kuzungumza maswala mbalimbali yanayowakabali wanawake anawataka wanawake kujitokeza ili kuzungumza na kuweza kutatua matatizo yao.

Kongamono ilo ambalo liatafanyika tarehe 15  april mwaka huu litahusisha wanawake wa rika zote na kuwa hakuta kuwa na kiingilio katika kongamano hilo.

Wasanii wengi wa kike sasa wameinuka na kuanza kurudisha fadhila kwa jamii , kwa kuangalia mfano mzuri aliazna Faiza Ally ambae aliweza kufanya kongamano la wanawake ambao wanamajukumu ya kulea famialia wenyewe maaarufu kama Single Mothers na sasa Zamaradi anaingia katika jamii kukutana na wanawake wengien wenye changan moto mbalimbali.

                                                 

Ujauzito wa Zamaradi Watia Gumzo Sinema Zetu

Ni mama mwenye watoto wawili sasa lakini mara zote amekuwa akifanya siri mpaka pale anapojifungua ndio inaonekana kupitia picha zake wakati wa ujauzito wake.lakini safari hii imaekuwa tofauti sana pengine labda kutokana na majukumu aliyokuwa nayo sasa yanambidi kukutana na jamii na hata kuonekana katika mitandao ya kijamii.

Zamarad juu aliwaacha watu wengi midomo wazi kwa kumsema baada ya kumuona akiwa na kibendi huku watu wengi wakiwa hawajui kama Zamaradi yupo katika hali hiyo.

Mimba sio ugonjwa lakini, inakuwa tofuti pale ambapo haikuwa kawaida kwa watu kukuona katika hali hiyo hapo mwanzo.akiwa katika tuzo hizo zamaradi alitakiwa kupanda jukwaani na kutoa tuzo na ndipo ilipoonekana zaidi na watu wengi kujua kumbe kweli ni mama kijacho.

Baadhi ya watu jukwaani walikuwa wakishangaa na kusikika wakisema”si juzijuzi tu kaolewa ona mara hii ana mimba, angalia gauni lilivyombana, tumbo lote linaonekana wakati alikuwa akifanya siri na kutuma picha zilizokuwa zikimuonyesha sura tu.-moja wa waliokuwa ukumbini alisikika akisema.

Zamaradi amekuwa maarufu na mashuhuli sana kutokana na mchango wake mkubwa katika tasnia ta filamu kutokana na kipindi chake cha take one kilichokuwa kikiwahoji  wasanii wa filamu nchini.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.