Diamond Atajwa Kuharibu Ndoa ya Zari na Maulid

Kulikuwa na tetesi kuwa mtangazaji Maulid Kitenge anatarajia kumuona Zari the  Bossy na kwamba alikuwa tayari katika mipango ya kumtolea mahali mwanamama huyo kutoka uganda hivi karbuni lakini habari zinazoendelea ni kwamba mwanadada inawezekana ndoa hiyo isiweze kufungwa kutokana na kuwa waganda wamegoma kabisa Zari kuolewa na mwanaume mwingine tofauti na Diamond.

Moja ya watu wa karibu wa Zari anasema kuwa kulikuwa tayari na mipango za Zari kutolewa mahali hivi karibuni na kuolewa na Maulid  lakini sasa shida imetokea baada ya kuonekana kuwa mashabiki wengi wa Zari na waganda wanampenda sana Diamond kuliko mwanaume yoyote kwa sasa kuwa karibu na Zari.

Hata hivyo chanzo cha habari hicho kinasema kuwa mitandao ya kijamii huko nchini kwao wanamtaka Zari kurudiana na diamond na hasikubali kuolewa na mwanaume mwingine.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.