Shiloleh Kuja na Kitabu cha Stori ya Mapenzi

Akiwa kama moja wa wasanii wapambanaji sana, mwanadada shiloleh ametangaza kuja na kitabu chake akishirikiana na mwandishi mmoja kitakachokuwa kikizungumzia histori yake ya mapenzi.

Shiloleh amekuwa ni moja wa wanawake na wasanii wachach wenye uharaka wa kuthubutu kila inapotokea

download latest music    

hey guys kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikianda kitabu changu na mwandishi chipukizi  ni romantic novel ambayo  inavutia kwa wapenzi wa vitabu  vya love story kama fans wangu naomba mkae mkao wa kula  kupakuwa kitabu hiki, kitazinduliwa baada ya mwezi mtukufu  kuisha.are you guys excited as i am?get ready  for heart broken.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.