Bifu la Diamond na Mama Yake Lafika Mtandaoni.

Msanii Diamond platnumz na mama yake inasemekana hawana mahusiano mazuri kutokana na ukweli kwamba siku ya jana akaunt ya instagram ya  mama yake ilionyesha kuwa wa sasa mama huyo amfuati tena mtoto wake lakini vile vile hata Diamond amfuati mama yak.

Diamond na mam yake wanasemekana kuingia katika ugomvi huo kutokana na chuki aliyonayo mama huyo kwa hamisa mobeto na mtoto wake wa kiume aliyezaa na Diamond ambapo siku chache zilizopita Diamond alimpost mtoto wake huyo ilhali bibi wa mtoto huyo(Bi .Sandra ) hajawahi kumpost na watu kuhisi kuwa inawezekana mama huyo hampezni kabisa mjukuu wake huyo wa kiume kutoka kwa hamisa.

download latest music    

Kumekuwa na uendeleaji wa isri wa pnzi la Hamisa na Diamond huku tetesi zikidai kuwa ile ahadi ambayo Diamond aliiweka ya kuoa mwaka huu inawezekana kutimia kwa ailimia 90 kwa hamisa  kutokana na ukaribu wake na hamisa na penzi jipya kati yao.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.