Queen Darleen asema Diamond Atasubiri Yeye Aolewe Ndio na Yeye Aoe

Mwanadada pekee kutoka kundi la wcb  Queen Darleen,amefunguka na kusema kuwa wakati wake wa kuolewa ukifika lazima na yeye ataaolewa tu kwa sababu hata yeye ni binadamu na pia ni mwanamke kwaio hawezi kuacha kuolewa.

Watu wengi wamekuwa wakitilia mashaka sana mahusiano ya kimapenzi ya Queen Darleen kutokana na ukweli kwamba mwanadada huyo hajawahi kuonekana sana akiwa na mwanaume yoyote  na pia ni kutokana na muonekano wake ambao mara nyingi  anaonekana ni wa kiume.

download latest music    

Mimi sina shida , ndoa ni majariwa na kama mungu atanijalia basi na mimi  nitaolewa  na mimi ni binadamu na nina hisia vile vile  kwaio nikipata mwanaume na mungu akinijalia basi nitaolewa tu.

Hata hivyo queen darleen anasema kuwa pamoja na kwamba yeye bado hajajua muda wa kuolewa lakini yeye ni mkubwa sana kwa diamond kwaio lazima diamond atasubiri sana kuoa mpaka yeye aolewe kwanza.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.