Nyoshi:-Nikimuoa Gigy Money, Watoto 10 Tutazaa.

Msanii wa miondoko ya dansi nyoshi el-sadaat amefunguka na kuongea yake ya moyoni mwake kuhusu kumpenda sana kimapenzi msanii wa bongo fleva asieishiwa na drama kila siku gigy money ambae amejifungua miezi michache iliyopita.

nyoshi anasema kuwa amekuwa akimpenda ukweli mwanadada huyo na kama asingekuwa amewahiwa na mwanaume mwingine basi angemuoa yeye na hata kuzaa nae watoto 10  kwa sababu ya upendo wake.

download latest music    

Gigy money mimi nina mpendaga sana, nina penda tu yale mambo yake yananivutiaga sana, kwa bahati mbaya ameshagakuolewa  na bwana yake lakini kama angetokea na nini na nini , ningefanya hayo tu na kuamua kumuoa tu kwa sababu si mwanamke kama wanawake wengine tu nashindwaga kumuoa.kwa mfano ningemuoa Gigy money watoto kumi ndio vizuri.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.