Gigy Money Atangaza Kuchumbiwa na Mwanaume Tofauti na Mo jay
Mwanadada Gigy Money kwa mara nyingine tena ametangza kuchumbiwa na mwanaume kutoka zanzibar ambae ni tofauti nayule ambae watu walizoea kumuona ambae ni baba wa mtoto wake mmoja.
Gigy Money anasema kuwa amechumbiwa na mwanaume huyo kutoka zanzibar na soon wanatarajia kufumga ndoa na huo ndio uamuzi aliuuchukuwa baada ya kuona watu wamekuwa wakihoji maswali mengi baada ya kusambaa kwa picha nyingi katika mitandao ya kijamii akionkana na mwanaume mwingine tofauti na baba wa mtoto wake.
Kuhusu Mo jay , Gigy Money amesema kuwa ameshindwana na mo kwa sababu ya tabia zake,lakini kama utakumbuka siku za hapo nyuma kulikuwa na ugomvi mkubwa kati ya Gigy Money na Mo Jay kufikia hatua ya kutengana kabisa kwa sababu ya maswala yao ya kifamilia.
