Alikiba Akataa Kufanya Kazi na Abby Skillz

Msanii wa bongo fleva anavuma kwa sasa na wimbo wa mvumo wa radi amefunguka na kusema kuwa kamwe hawezi na hataki kufanya kazi na msanii Abby Skillz au kumsaini katika lebel yake ya King’s music kwa sababu yeye ndie alimsaida mpka kutokea katika muziki hivyo kumuajiri katika lebel hiyo ni kama kumshushia heshima msanii huyo.

Akiongea na Planet Bongo msanii Alikiba alisema kuwa ni kweli kuna kipindi ilisiskiaka kuwa Abby Skillz alikuwa amesainiwa katika lebel hiyo lakini baadae waliona kuwa msanii huyo ikasikika kuwa msaii huyo hayupo tena katika lebl hiyo.

download latest music    

kwakweli niliweza kumsaini abby skillz kwenye lebl yangu lakini niliona kama vile simtendei haki kabisa,kwa sababu yeye ndie alieniingiza katika game ya muziki na kuona mwanga katika muziki kwaio nikaona ni bora abby ajitegemee yeye kama yeye tu.

kwa sababu ukiwa katika kings music kuna baadhi ya asilimia zitakuwa zinatoka , kwaio mimi niliona siwezi kumfanyia hivyo yeye ni bora afanye kazi mwenywe lakini tutakuwa tunafanya kazi pamoja lakini sio chini ya lebel.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.