Ben Pol Atoa Sababu ya Kutotoa Video ya Wimbo Wake na Chidma na Kiss Daniel

Msani wa muziki wa kizazi kipya Ben Pol amefunguka na kusema kuwa watu wamezoea kufanya muziki kwa mazoea lakini wanashindwa kujua kwamba kuna muda kunatakiwa kuwe na utofauti wa kufanya kazi kwa upekee.

Akijibu swali aliloulizwa kuhusu kwanini nyimbo zake mbili alizotoa na wasanii Chidma na Kiss Daniel , Ben Pol anasema kuwa aliamua kufanya hivyo ili kuonyesha utofauti wake na wasanii wengine na sio kufanya kazi za mazoea.

download latest music    

Kila kitu ni mipiango tu na nina fanya muziki kwa kuangalia vile ninataka kuufanya muziki wangu, lakini watu wanataka tufanye katika mazoea, usishangae kuona natoa video ya wimbo huo mwakani huko.sasa hivi nimekuwa nikitoa nyimbo kupitia paltform tofauti tofauti kwaio watu wakae waone huyu Ben Pol anaenda wapi sasa hivi.

Ben pol anawaomb mashabiki wake kukaa na kusubiria muda ukifika kila kitu kitakuwa sawa tu maana kila kitu kinahitaji muda sio vinginevyo.

 

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.