Chemical Awatolea Povu Wanaomsema Kuhusu Mavazi.

Msanii raper wa kike nchini Chemical amejikuta akiwatolea povu kali mashabiki zake katika kurasa mbalimbali za instagram na mitandao ya kijamii kutokana na kuwa wanamsema jinsi  anavyovaa haiendani na jinsia yake.

Chemical amejikuta akiingia katika wakati mgumu na kuwajibu mashabiki zake kuhusu swala hilo huko akisema kuwa hakuna mwanaume anaeweza kuvaa nguo zake.

download latest music    

kama kuna mwanaume anavaaa nguo zangu basi ajijue kabisa kuwa yeye sio mwanaume , na wewe ambae kila siku unakaa ku-judge nguo zangu basi ujue kabisa kuwa huna kazi ya kufanya , mimi ninavaa ninavyojisikia kuvaa na uanamke wangu haupo katika mavazi.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.