Harmonize Aogopa Kuwagawa Mashabiki, Aamua Kufanya Show na Wolper,

Msanii wa muziki wa bongo fleva , Harmonize amefunguka na kusema kuwa ameamua kufanya show yake na kumtumia Jackline kama host katika show hiyo kwa sababu anaona kabisa kuwa kila mmoja ana mashabiki wake na kipindi wapo pamoja waliweza kutengeneza mashabiki pia hivyo , show hiyo itaonyesha wau kuwa wao sio maadui.

lengo la kumfanya jackiline wolpre kuwa katika show yangu ni ili kuwaambia mashabiki kuwa sisi sio maadui, na hauturaki kuwagawa mashabiki weu na kuwa tunaweza kufanya kazi kwa kushirikiana.

kipindi cha nyuma kidogo wawili hao walikuwa katika bifu zito sana na kutukanana sana katika mitandao ya kijamii.

download latest music    

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.