Kwangu Sio Msalaba Bali ni Alama ya Kujumlisha Yenye Siri Nzito:-Daimond

Msanii mkubwa wa bongo Diamond  amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa wakimsema kuwa anavaa msalaba ambao hauendani na imani yake lakini ukweli unabaki kuwa siri ya msalaba huo anaijua yeye na kwamba kwake yeye ule sio msalaba bali ni alama ya kumjumlisha ambayo kwake ina maana sana.

Diamond amesema kuwa hayo kwa sababu kuna kipindi aliwahi kuongelewa hadi  na voiongozi wa dini kuwa amekuwa haeleweki kwa sababu anavaa misalaba ambayo ni kunyume na imani ya dini yake ya kiislamu.

download latest music    

cheni ninayovaa na watu wanavyonidiss nimekuwa nina washangaa sana,kwa sababu watu wamekuwa wanazungumza kile wasichokijua kabisa.kwangu huu sio msalaba bali ni alama ya kujumlisha ambayo ninaiona kuwa haina tatizo lolote kwangu zaidi ya kuwa na siri nzito sana.–Aliongea Dimaond akichona na kipindi cha Mikito Nusu Nusu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.