Mo Music Awatolea Povu Wanaosema Kapotea

Msanii wa muzic wa bongo fleva Moshi Matemi, maarufu kama Mo Music ameibuka na kuwatolea povu baadhi ya masgabiki wanaosema kuwa kwa sasa amefuia tangu wimbo wake wa kibajaji umetoka umekuwa haufanyi vizuri katika vyombo mbalimbali hivyo inasemekana kuwa ameamua kufuga kuku na kuachana na muziki.

Hata hivyo baada ya kutafuta na kuulizwa kuhusu tetesi hizo , mwana muzi huyo alidai kuwa kwake yeye game la muziki bado changa na wala hawezi kufulia sasa hivi, na wanaoisema wimbo wa kibajaji haujfanya vizuri ni muongo kwa sababu wimbo huo umekuwa ukipigwa sehemu mbalimbali  na swala la kuuza na kufuga kuku ilo ni jambo la kawaida kwake.

download latest music    

Mimi nimepotea? kivipi mbona nyimbo zangu zinapigwa sana radioni,na hata kama nitafuga hao kuku unaosema kwani cha ajabu hapo ni kipi?ninachojua mimi ni kuwa kibajaji imefanya vizuri tu, na hata game kwangu bado naliona changa.hao wanaoeneza maneno ya umbe a waendelee tu lakini ole wake nije nimgundueanasambaza maneno hayo.-Alifunguka Mo-Music.

Mashabiki wengi wamekuwa wakifatilia saa pale wanapoonda msanii wao yuko kimya kwa muda mrefu , ingawa jambo hilo huwa zuri wa sababu unampa msanii hamasa ya kufanya kazi, lakini pia inasaidia kuleta ushindani katika game.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.