Mwl Nyerere Alisema Acheni Wakongo Wafundishe Wabongo Muziki:-Nyoshi

Msanii wa muziki wa Dansi Tanzania mwenye asili ya  Congo,Nyoshi el sadaat amefunguka alipokuwa akiongea na clouds media na kusema kuwa katika bandi yake kuna watanzania wengi sana kuliko idadi ya wakongo kwa sababu anataka watanzania pia wajifunze muziki kupitia wao.

Nyoshi ambae wikiend hii anatarajiwa kufanya shoo kubwa sana katika ukumbi wa Escape One anasema kuwa kazi kubwa alionayo ni kuhakikisha kuwa vijana wa kitanzania wanaotaka kujua muziki kupitia yeye wanafanikiwa katika hilo.

download latest music    

baba wa taifa mwalimu nyerere  alishawahi kusema kuwa acheni wakongo wawafundishe muziki wabongo, na ndio maana kwenye band yangu wabongo ni wengi kuliko wakongo.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.