Wanaume Waaminifi Wanatoka Wcb:- Harmonize

Msanii wa muziki anaefanya vizuri sasa katika tasnia ya muziki Harmonize amefunguka na kusema kuwa wanaume waaminifu na wenye upendo kwa wanawake zao wanatoka katika lebel ya WCB na wala sio kwingineko.

Kauli hiyo ambauo kwa sasa inarudiwa kwa mara ya pili na msanii huyo kwa mara ya kwanza ilisemwa nameneja wao babu take na kusema kuwa hakuna mwanaume wa WCB ambae sio mwaminifu katika mapenzi na kama watu wanataka kuamini hilo wajaribu.

download latest music    

Hivyo kwa kukazia hapo , Harmonize anasema ni kweli kuwa wanaume waaminif wanatoka WCB alipokuwa akiongea na mambo mseto ya citizen radiuo nchini  kenya.

ni kweli kabisa wanaume waaminifu wanatoka wcb  kwa asilimia mia 100 na hamna matukio halafu sisi ndio tunaongoza kwa kusalitiwa 

Alipoulizwa kuhusu mahusiano ya bosi wake Diamond ambae amekuwa na mahusiano na warembo tofauti tofauti Harmonize alijibu kwa kifupi kuwa hawezi kuzungumzia hulo lakini yeye kwa sasa yuko na Sarah tu.

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.