Wema Sepetu Atoa Baraka Ndoa ya Hamisa na Diamond.

Mwanadada Wema Sepetu amefunguka kwa mara ya kwanza na kuto abaraka zake endapo kutakuwa na makubalianao ya ndoa kati ya msani Diamond na Hamisa Mobeto kwa kuwa huo ni uamuzi wake na mpenzi wake huyo.

Wema ambae hapo mwanzo walikuwa hawapiki chungu kimoja na Hamisa na kusema kuwa hamisa ni mdogo sana kwake lakini ameshindwa kumuheshimulakini pia uadui mkubwa kati ya Hamisa na Wema ulitokana na wawili hao kuwa katika mahusiano na mwanaume mmoja katika wakati tofauti.

download latest music    

Ni hivi watu wannapenda sana kuunganisha matukio na ndio maaana siku hile ya usiku wa sinema zetu watu waliona kama mimi nimekwzika sana kumuona hamosa akimtaja diamond kama mwanaume aliyemvutia kwa kubaa vizuri.

watu wanapaswa kujua kuwa siku ile sikukasirika na hata niliposema kuwa nitaanza kufanya kazi wasafi tv , kuna watu walainza kusema nimerudiana na diamond lakini ukweli ni kwamba diamond amebaki kuwa rafiki yangu, kaka yangu na pia bosi wangu tu.

siku zote nimekuwa nikisema kuwa mobeto ni mdogo wangu tu na nimekuwa nampenda sana na ananiheshimu sana, uhusiano wake na diamond mimi ninaona ni mzuri tu kwa sababu walishakuwa kitu kimoja kama wazazi  kwaio hata kama wataoana mi naona sawa tu kwa sababu hata couple ya ni nzuri na inafurahisha.

Ukiachana na drama zote za Diamond na wanawake tofauti tofauti lakini Wema ndio mwanamke wa kwanza katika historia ya mapenzi ya Diamond kutoka nae kimapenzi akiwa mwanamke maarufu tanzannia  na hata Diamond mwenyewe huwa ukiri kuwa Wema ndie mwanamke aliyewahi kumfanya akafanikiwa sana kipindi cha hapo nyuma.

 

About this writer:

Expedicto Lilian

#Godseeker, I am what i ought to be and always i will be, but am not what i used to be.