Waziri Mwakyembe Awatolea Povu Wasanii Wanaokosoa Tozo Ya Milioni 5 Kutoka BASATA

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Dkt. Harrison Mwakyembe amewatolea povu wasanii mbali mbali ambao wamekuwa wako Paz’s sauti na kukoso ada mpya zilizotolewa na BASATA.

Waziri Mwakyembe amesema kuwa ada hiyo ya milioni 5 haiwahusu kabisa wasanii kwani inatozwa kwa makampuni lakini anashangaa wasanii wamekuwa mstari wa mbele kukataa tozo hiyo kuliko hata makampuni yenyewe.

Wasanii wengi kama Nikki wa Pili, Bill Nas na wengineo walikosoa tozo hiyo kubwa na kudai itapelekea makampuni kupunguza matangazo na wasanii, Mwakyembe amesema kuwa hakuna kampuni isiyotaka faida hivyo kamwe makampuni hayawezi kuacha kuwatumia wasanii.

Lakini baada ya mkutano wa muda mrefu kuhusu kubadilisha tozo hiyo Waziri Mwakyembe aliwataka wasanii wachache pamoja na wadau wa sanaa wakae na Baraza la Sanaa Taifa (Basata) kujadili namna kubadili huo mfumo.

Fahamu Wasanii Chipukizi Wanaokuja Vizuri Bongo Fleva.

Kila kukicha kumekuwa na wimbo la wasanii wapya wa muziki wa kizazi kipya mabo wanaibuka na kufanya vizuri katika muziki wa Tanzania.Wapo waliopo chini ya uongizo wao lakini wengi wanatoka katika jumba la sanaa na vipaji la THT.

Hata ukiangalia katika mitandao kwa sasa huweiz kukosa majina na nyimbo mpya kutoka kwao na upande mmoja au mwingine wamekuwa wakifanya vizuri na nyimbo zao zimekuwa zikipenda sana.hawa ni pamoja na ;-

anaitwa Ndelah na wimbo wake mpya unaitwa NIACHE.

Magic na wimbo wake mpya wa kichwa kinaroll

 

kareen kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wa lawama.

anaitwa mario

Jolie , wimbo ulimtambulisha na kufanya vizuri ni ule wa bado mapema.

Anaitwa Melody na amekuwa akisfika pia kwa kuandika mashairi ya nyimbo za wasanii wengine, wimbo wake wa namwaga mboga aliomshirikisha Nandy ulifanya vizuri.

Anaitwa Benson na kwa sasa anafanya vizuri na wimbo wa hauzimi.

 

Mfahamu Precious Aliyefanya Cover ya Diamond.

Mwanadada aliyejulikana kwa jina la precious amepata umaaarufu na kutrend katika mitandao baada yakuwa mwanadada wa kwanza kufanya cover ya wimbo wa diamond wa african beuty ulioimbwa na Diamond akimshirkisha omarion kuoka nje.

Sio rahisi kwa wasanii wengi wachanga Tanzania kuthubutu alichofanya dada huyu , huku wasanii wengi wakiona kama kugandamizia kazi za wasanii wakihisi kufanya hivyo ni kumpa kiki msanii husika.

Mwanadada huyu mwenye kipaji anahitaji kuangaliwa  na wasanii wa wcb  na kuona kama wanaweza kuendeleza kipaji chake kwa sababu amethubutu kufany wimbo mkubwa uliotamba kimataifa na hajaharibu hata kidogo.

Uzito wa Msiba wa Emma ni Mdogo Kwa Sababu Hakuna Thamani ya Dancers Tanzania:-Muki

Msanii na muziki wa dance nchini, muki amefunguka kuhusu ushurikiano wa wasanii katika msiba wa aliywahi kuwa dancer katika show za wasanii mbalimbali ambae pia ametokea katika video ningi za wwasanii mbalimbali.

Muki anasema kuwa wasanii waliojitokeza ni wachache sana akiwemo alikiba lakini anaomba wasanii kujitokeza kwa hili ili kumsindikiza emma katika safari yake ya mwisho kwa amani kwa sababu hata yeye alipokuwa hai alikuwa akijituma kufanya kazi zao kwa moyo.

Sio vizuri sana kwa sababu mimi nimekuja hapa nikaulizia kwani wasanii wenzanng wako wapi nikaambiwa wengine hawajaja kabisa kwa sababu nilikuja nikakuta michango na mahitaji havitoshi kwaio nikawauliza umempigia flani labda au flani wanajibu haaa huyo hatuwezi kumpigia maana alikuwa mzito tangu mwanzo.

lnilichelewa kupata taarifa lakini bado nilikuja , kuanwatu wamekuja kama alikiba na wengine ila wengine ambao hawajaja siwezi kuwataja, ila pia naona kabisa uzito wa msiba umekuwa mdogo kwa sababu hakuna thamani ya Dancers Tanzania 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.