Picha: Wachezaji wa Everton watangamana na wanafunzi Dar es Salaam

Klabu ya Everton kutoka Uingereza iliwasili Tanzania mapema leo kwa ajili ya kumenyana na Gor Mahia katika mashindano ya kombe la Super Cup linaloandaliwa na SportPesa ambayo ni mdhamini wa timu hizo mbili.

Wachezaji wa Everton leo wametembelea shule ya msingi ya Uhuru Mchanganyiko iliyopo jijini Dar es salaam na kushiriki michezo tofauti tofauti na watoto wenye ulemavu wa usikivu na uoni  hafifu.

Moja ya michezo walizocheza ilikua kandanda, wachezaji hao walifunikwa nyuso walipocheza na watoto wenye ulemavu.

Tazama picha hapo chini:

 

Wayne Rooney and his team touch down in Tanzania ahead of Thursday match with Gor Mahia (Photos)

English Premier League side Everton has arrived in Tanzania ahead of their pre-season friendly with Gor Mahia on Thursday July 12th.

Manchester United’s all-time top scorer Wayne Rooney who recently joined Everton on a free transfer, has also accompanied Blues to Tanzania.

Rooney will be in action against Gor Mahia on Thursday evening, the game will be played at Benjamin Mkapa National Stadium in Dar es Salaam starting 5pm. The match was organized by SportPesa who sponsors both teams.

The Everton squad will be taking part in several cultural experiences ahead of training at the National Stadium in the afternoon.

Meanwhile Gor Mahia touched down in Dar a day ago, the Kenyan club has been training at Taifa stadium ahead of their match on Thursday.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.