Picha 5 za shabiki wa Man United aliyeingia uwanjani kumkumbatia Rooney Gor Mahia ikimenyana na Everton

Klabu ya Everton kutoka Uingereza ililaza Gor Mahia ya Kenya mabao 2-1 katika mechi iliyochezwa jana Alhamisi katika uga wa Benjamin Mkapa jijini Dar-es-Salaam.

Rooney, mshambulizi wa kitambo wa Manchester United ambaye alijiunga na Everton, alifunga bao la kwanza la timu yake mpya.

Staa huyo ambaye ako na mashabiki duniani nzima alivutia watu wengi kuenda kutazama mechi hio baina ya Gor Mahia na Everton.

Shabiki wa Manchester United aliingia kwa uwanja wakati mechi hio ilikua inaendelea na kumkumbatia Rooney kabla ya polisi kumtoa kwenye nje.

Tazama picha ya shabiki huyo hapo chini:

  

Picha 5 za Wayne Rooney akitua Tanzania na timu yake mpya

Wayne Rooney ametua Tanzania pamoja na kikozi nzima cha Everton tayari kumenyana na timu ya Gor Mahia kutoka Kenya Alhamisi hii.

Mshambulizi huyu mashuhuri duniani alijiunga na Everton kutoka klabu ya Manchester United siku chache zilizopita.

Everton itamenyana na Gor Mahia katika shindano la Super Cup ambalo linaandaliwa na SportPesa – kampuni ambalo linadhamini Gor Mahia and Everton.

Rooney na wachezaji wengine wa Everton wataanza kufanya mazoezi leo jioni katika uga wa Benjamin Mkapa jijini Dar.

Tazama picha za Rooney na kikozi nzima cha Everton wakiwasili Tanzania hapo chini:

 

Wayne Rooney and his team touch down in Tanzania ahead of Thursday match with Gor Mahia (Photos)

English Premier League side Everton has arrived in Tanzania ahead of their pre-season friendly with Gor Mahia on Thursday July 12th.

Manchester United’s all-time top scorer Wayne Rooney who recently joined Everton on a free transfer, has also accompanied Blues to Tanzania.

Rooney will be in action against Gor Mahia on Thursday evening, the game will be played at Benjamin Mkapa National Stadium in Dar es Salaam starting 5pm. The match was organized by SportPesa who sponsors both teams.

The Everton squad will be taking part in several cultural experiences ahead of training at the National Stadium in the afternoon.

Meanwhile Gor Mahia touched down in Dar a day ago, the Kenyan club has been training at Taifa stadium ahead of their match on Thursday.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.