Diamond Platnumz amchana Hamisa Mobetto baada ya mrembo huyo kumpa mwanae jina “Abdul Naseeb”

Hamisa  Mobetto ameonekana kutojali watakacho sema watu na kumpa mwanae wa siku kumi sasa jina la ‘Abdul Naseeb’ ambalo likedhibitisha kuwa ni mtoto wa muimbaji, Diamond Platnumz.

Mrembo huyo ambaye alitokea kwenye nyimbo ya Salome Hata hivyo hajafunguka kuelezea sababu zake lakini, jana usiku Diamond Platnumz anasemekana kuwa alimchana kwa kuandika;

Hata hivyo Hamisa Mobetto hakujibu kwani Diamond Platnumz hakumtaja mtu yeyote kwa jina. Mashabiki nao kwa sasa wanachochea kusikia atakachosema Hamisa.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.