Huyu ndiye mrembo mpya anayetoka kimapenzi na Harmonize

Wikendi hii Harmonize kwa mara ya kwanza aliweka picha ya mpenzi wake mpya baada ya wengi kumchana kwa kumwaga Wolper.

Kama ilivyokuwa ikitangaza kwenye mitandaoni, Harmonize anatoka na mrembo wa kizungu na kama hiyo haijatosha wawili hao wanatarajia mtoto wao wa kwanza.

mambo haya mawili yamewaacha mashabiki kama wameduwaa kwa sababu mimba hiyo inaonekana kuwa ina miezi 6.

Hata hivyo, Wolper naye ameonekana aliendelea na maisha yake bila kujali kile mpenzi wake anafanya. Tazama picha hizo hapa;

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.