Nikki wa pili Amlilia Amber Rutty

Msanii wa muziki wa hip-hop nchini nikki wa pili amefunguka na kuonyesha masikitiko yake kwa mwanadada Amber Rutty ambae amekwenda gerezani wikiendi iliyopita  baada ya kuonekana na hatia ya kuvujisha picha mtandaoni akiwa anafanya mapenzi na mpenzi wake kinyume na maumbile.

mwanadada huyo ambae pia na video vixen na muimbaji amewasikitisha wengi baada ya kukosa dhamana iliyokuwa wazi juu ya kosa lake au kifungo .

Niki anasema kuwa amekubali kuwa mwanadada  huyo na mpenzi wake wamefanya kosa lakini, video iliyosambaa katika mitandao ya kijamii wakiwa wanaingiza gerezani inatia huruma zaidi.

Amber Ruty na mpenzi wake walifkishwa mahakamani kwa kosa la kuvujisha video hiyo na kupewa hukumu ambayo watu wengi waliom bawapunguziwe adhabu hiyo kwa sababu bado wapo katika kujifnza.

 

Nikki wa Pili Aunga Mkono Makatazo ya Kucha na Kope Bandia.

Mwanamuziki wa hip -hp nchini Niki wa Pili ameunga mkono maagizo ya spika wa bunge ya kuwakataza wabunge kuingia bungeni wakiwa na kucha bandia na kope bandia ilhali wanakwenda kwa ajili ya kuwakilisha wananchi waliowaamini.

Niki anasema kuwa amefurahishwa na uamuzi huo kwasababu hata yeye ni moja kati ya wale wanaopenda sana urembo ailia kuliko ule urembo wa bidhaa hivyo anaona ni uamuzi sahihi kwa sababu wanawake wanatumia bila kujua madhara yake ya baadae.

mimi napenda sana urembo asilia na ndiomaana ninamuunga mkono sana spika wa bunge,lakini pia nafikiria kwa hadhi ya bunge spika ametumia uamuzi mzuri sana kwa sababu naona kama walikuwa wanavuka mipaka.Watu wanatakiwa kujua madhara ya vitu bandia  maana mwili wa binadamu umegeuka kuwa bidhaa kwa sasa.

Niki anasema kuwa kwa sasa mwili wa binadamu umekuwa bidhaa kiasi kwamba ukienda madukani unakutana na nywele bandia, kucha bandia, na hata vifaa vya kubadilisha ngozi rangi.

 

Niki Atoa Ujumbe Mzito Kuhusu Kujikinga na Ulimwengu wa Roho.

Msanii wa bongo fleva nchini, Niki wa pili ametoa ujumbe mzito kwa mashabiki wake na wote wanaomfuata katika ukurasa wake wa instagram akiwaambia juu ya tabia za watu kutaka kujikinga na maradhi ambayo ni ya ulimwengu wa mwili na kusahau kabisa kuhsu ulimwengu wa roho ambao watu wengi wamekuwa hawajali.

katika kurasa wake wa instagram Niki wa Pili amendika

tunafundishwa kujikinga na maradhi ya mwili  na ujauzito lakini tunasahau kama kuna ulimwengu wa roho pia.

bali kumbuka kutembea na wanawake wengi au wanaume wengi pia kuna athirisana ulimwengu wa roho,utakutana na watu wana maroho yao huko walishawahi kulala kwa waganga, washatambika na wengine walishaua…unajikuta ualishapoteza maana ya maisha bila ya wewe mwenyewe kujua , unajikuta una beba mizigo bila hata ya wewe mwenyewe kujua. wengine wanapoteza mwanga uliopo ndani yao bila hata ya wao wenyewe kujua .kumbuka kuwa unapojifanya kuwa unatumia kinga na kuna sehemu kuna miroho unaibeba hapo.

Mara nyingi niki maekuwa akitoa ushauri sana kwa watu wanaomfuata na siku zote ushauri wake umekuwa mzito na umekuwa ukilenga jamii.

 

Atakachofanya Nikki wa Pili Akipata Uwaziri

Msanii Nikki wa Pili ambae siku zote amekuwa mstari wa mbele kuandika falsafa zake kuhusu maslahi ya wasanii anasema kuwa ili wasanii watambue kuwa wanafanyaje kazi ni lazima pia serikali itambue wasanii wanafanyaje kazi na wanapataje faida ili kuendelea kulinda maslahi yake na kama wanalinda wajue kuwa wanalinda kitu gani.

Baada ya hapo kinaweza kuanzishwa chama cha wasanii wafanyakazi ambacho kitakuwa kina angalia jinsiwasanii wanavyofanya kazi na kuaidia kudai maslahi mbalimbali ya wasanii  kwa kuandaa sheria taratibu na kanuni zitakazomsaidia msanii.

kubadilisha sanaa kuwa biashara hicho ni kitu kingine,so ni wajibu wa msanii kujifunza misingi ya biashara kwamba hiki nilichonacho mkononi ninawezaje kukiuza, ukinipa uwaziri kitu cha kwanza kukifanya ni kufanya utafiti kuhusu biashara ya muziki.

kujua hii biashara inafanyikaje, uhakisia wake ni upi  na uhaliia wake unatengeneza picha gani,then kutoka hapa tunawezaje kwemda mbele  bila kutafiti kwa facts itakuwa ni blah! blah!

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.