Huu ndio ujumbe Diamond Platnumz aliowaandikia watoto wake

Diamond Platnumz hivi karibuni aliwaandikia watoto wake ujumbe kupitia mtandao wake wa kijamii wa Instagram kuwatania kwani wanamidomo ambayo inafanana na yake.

Hii sio mara ya kwanza kusikia muimbaji huyu akikiri kuwa wanae wanamfanana hasaa kwenye area ya mdomo. Na Kwa mara ya kwanza aliwaandikia ujumbe kuwasihi watumie midomo yao vizuri, kama alivyofanya yeye. Aliandika kusema,

Prince & Princess Lion!!!.. Midomo mkaitumie vizuri hiyo watoto….

Diamond aliambatanisha ujumbe huu na picha ya wawili hao kuonyesha wanavyofanana kisura. Kulingana na comments zilizoandikwa na mashabiki, wengi wao walipata wakati mgumu kuwatofautisha.

Hata hivyo ni kweli kuwa genes za Diamond na Zari zinatoa watoto warembo na picha hii aliyoipost inaonyesha kuwa ni ukweli.

Tiffah na Nillan
Tiffah na Nillan
Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.