Video ya mtoto wa Rayvanny na Fahyma akiwa na Diamond Platnumz

Jaydanvanny ambaye ni mtoto wa kwanza wa mkali wa Wasafi records Rayvanny na mpenzi wake Fahyma ni miongoni mwa watoto maarufu Tanzania.

Ingawa bado yeye ni mchanga, mtoto huyu akona mashabiki wengi mitandaoni na hivi karibuni alipata fursa ya kukutana na mjomba wake, Diamond Platnumz huku wengi wakitamani maisha yake.

Kwenye video hiyo, Jaydan anaonekana kutulia huku Platnumz akicheza na yeye. Tazama video hiyo hapa;

https://instagram.com/p/BYTrlHvAnDB/

Rayvanny awachia picha mpya akiwa na mwanae

Msanii wa Wasafi records Rayvanny amewafurahisha wengi baada ya kuachia picha mpya akiwa na mwanae, Jaydanvanny katika mtandao wake wa Instagram.

Picha hii ameiwachia wiki kadhaa baada ya msanii huyu kumueka mtoto wake mitandaoni yake ya kijamii. Hata hivyo iliwavutia wengi hata Diamond Platnumz ambaye alimsifia kwa kuwa yeye ni baba kwa Sasa.

Rayvanny na mpenzi wake Fahyma walibarikiwa na mtoto huyu miezi kadhaai iliyopita na ukilinganisha picha hii na zile za awali;

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.