Alikiba awachia video mpya – seduce me

King Kiba ameachia video ya wimbo wake mpya Seduce me hivi leo miezi kadhaa baada ya kukawia kimya.

Msanii huyo amewachia wimbo huo wakati kuna tetesi kadhaa za kuchambuliwa na Diamond Platnumz kwenye mix ya Fresh.

Wimbo huu umewaacha mashabiki wake kama wameridhika baada ya kusubiriwa kwa hamu. Wimbo huu umetengezwa chini ya kampuni ya Rockstar4000 Music Entertainment and Rockstar Television inayommiliki.

Itazame hapa

 

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.