Picha 5 za Wayne Rooney akitua Tanzania na timu yake mpya

Wayne Rooney ametua Tanzania pamoja na kikozi nzima cha Everton tayari kumenyana na timu ya Gor Mahia kutoka Kenya Alhamisi hii.

Mshambulizi huyu mashuhuri duniani alijiunga na Everton kutoka klabu ya Manchester United siku chache zilizopita.

Everton itamenyana na Gor Mahia katika shindano la Super Cup ambalo linaandaliwa na SportPesa – kampuni ambalo linadhamini Gor Mahia and Everton.

Rooney na wachezaji wengine wa Everton wataanza kufanya mazoezi leo jioni katika uga wa Benjamin Mkapa jijini Dar.

Tazama picha za Rooney na kikozi nzima cha Everton wakiwasili Tanzania hapo chini:

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.