Rosa Ree, AY, Country Boy, Xtatic and Jay Rox team up with Weusi on ‘Wapoloo Remix’ (Video)

Tanzanian Hip Hop group Weusi, which is made up of; Joh Makini, Bonta, G Nako, Lord Eyes and Nikki Wa Pili, has dropped the remix of their Wapoloo mega hit and we are really feeling it.

The remix which features; AY, Jay Moe, Rosa Ree, Country Boy, Frida Amani, Jay Rox & Xtatic has been getting a lot of airplay on both radio and TV stations since it came out a few days ago.

If you thought the original version of Wapoloo was totally dope then you’ve not seen/heard anything yet because the remix is impeccable. I have listened to this a couple of times since it came out and I am yet to get bored with it.

Weusi

One of the artists who had a tight verse on the remix is of course AY. Yo! This chap had a mad flow and you just want listen to him as he does his thing. Of course, I was not anything expecting anything less.

Notably, I was also impressed by Jay Rox who hails from Zambia. The first time I heard of him was when he featured The Kansoul in Distance and I’ve been a huge fan of his since then.

When it comes to the lasses, I think they all nailed it but if I had to choose two who carried the day, then I’ll settle on Frida Amani and Rosa Ree not for any other reason but because they both have a good flow.

I like the fact that the beat is subtle because it makes you follow the artists’ punchlines and rhymes. The producer did a good job.

Listen to Wapoloo Remix below and tell us what you think.

G-Nako Aongelea Nyimbo Yake Kufananishwa Na Ya Nikki Wa Pili

Msanii wa bongo fleva G-Nako kutoka kundi la Weusi ambalo linafanya vizuri katika muziki amefunguka na kuongelea tuhuma juu yake kuhusu nyimbo yake ya Energy  kufananishwa na ile ya msanii mwenzie kutoka katika kundi hilo hilo la Weusi Nikki wa Pili unaojulikana kama Quality Time.

Katika ngoma iyo ya quality time ambayo ambayo g-nako amemshirikishwa na  nikki wa pili pia, inaelezea jinsi  mtu anavyokuwa ameteseka na maisha ya msoto kwa muda mrefu lakini sasa hivi anakula good time baada ya kustrugle,lakini kama wimbo wa energy wa G-Nako anaelezea jinsi anavyotaka kuwa na good-times bila kuletewa vikwazo,  baadhi ya mashabiki wamekuwa wakisema kuwa ukisikiliza nyimbo izi kuna baadhi ya idea zinafanana hivyo wanataka kujua nani kam-copy mwenzake, hivyo G-Nako kaongea kuhusu tetesi hizo.

Wanaposema Energy inafanana na Quality time sijajua wanataka kuifananisha upande upi,kwa sababu ukiangalia aina ya uandishi na mdundo uliotumika pia ni tofauti kabisa,ukisikiliza energy kuna radha flani ya Afro Pop wakati  pia nimeimba rumba kama sio rumba,lakini katika Quality time kuna  kama Pop,mada niliyozungumza kwenye energy ni tofauti kabisa ni ile ya quality time ambapo nikki alikuwa akizungumzia muda wake mzuri yeye kama yeye kwamba unapenda kufanya nini katika muda wake mzuri lakini energy inazungumzia jinsi ya kuondoa bad energy, na giza karibu yako na kuwa karibu na watu wanakupa ile good energy sasa “ alifunguka G-Nako

Hata hivyo G-Nako  ambae wapo katika kundi moja na Nikki wa Pilli anawahakikishia mashabiki kuwa kazi zao zote kabla hazijatoa huwa wanasikiliza kwanza wote , ivyo ufanano wa kazi hauwezi kutokea kabisa na mara nyingi uwa inatokea kazi zikafanana au kujirudia  huwa wanafuta na kurekebisha kabla ya kutoa”kabla kazi yoyote haijatoka huwa tunakaa wote na tunasikiliza ,hivyo swala la kufananisha kazi hii na kazi hii ni  kitu hakiwezi kutokea kabisa, na mara nyingi ikitokea tunarekebisha” alimalizia G-Nako.

G-Nako na Nikki wa Pili wote wanaunda kundi la Weusi akiongezea msanii mwenzao Joh Makini, Weusi ni moja ya kundi linalofanya vizuri sana katika muziki wa tanzania wakifanya kazi mmoja mmoja na wakifanya kazi kama kundi.

 

Nikki Wa Pili: Ipo siku nataka kugombea uraisi

Mwanamuziki na Rapa maarufu Tanzania kutoka kundi la Weusi anayejulikana kama Nikki wa pili amekiri kuwa moja kati ya ndoto yake kubwa maishani ni kuja kugombea uraisi ili kusaidia nchi yake ya Tanzania kutokana na matatizo ambayo wananchi wanayo na wimbi kubwa la umaskini unaolikabili taifa hili.

Kukiwa na wimbi kubwa la wasanii wa muziki wa Bongo fleva kujiingiza katika fani ya siasa ambayo hayo yameonekana kwa wasanii wakubwa kwenye tasnia hii ikiwemo Mheshimiwa Joseph Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini ambaye pia ni waziri kivuli wa wizara ya habari vijana utamaduni na michezo maarufu kwa jina la sanaa kama “Sugu” ambaye aliachana na muziki na kuamua kuingia kwenye siasa. Pia mfano mwingine ni Proffesor Jay ambaye alikuwa ni rapa maarufu sana kwa nyimbo zake naye pia aliamua kuukacha muziki na kuamua kuingia katika siasa ambaye sasa ni Mbunge wa Mikumi lakini pia wasanii wengi wamejaribu kuingia katika siasa kama Wema Sepetu lakini hawakufanikiwa.

Katika mahojiano aliyoyafanya Nikki wa pili hivi karibuni alisema kuwa ni vizuri kwa wasaanii hawa kuingia katika siasa kama wabunge ili kusaidia jamii zao na Watanzania kwa ujumla lakini yeye kwa ubinafsi wake ameona kuwa hatogombania ubunge bali anataka moja kwa moja anataka akagombanie uraisi wa nchi ili apate nafasi kubwa zaidi kutatua matatizo ya wananchi. Mwanamuziki huyo alisisitiza:

“Ipo siku nataka nataka kugombea uraisi kwasababu nitakuwa na nafasi kubwa ya kutatua matatizo ya Watanzania kuliko kuwa mbunge”.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.