Why Tanasha Donna should take notes from Diamond Platnumz exes, Wema Sepetu and Hamisa Mobetto

Wema Sepetu and Hamisa Mobetto are proving that dating the same man; doesn’t necessarily mean it’s the beginning of another world war. Both having been involved with Bongo singer Diamond Platnumz has actually left these two ladies behaving like best friends on social media.

Well, just a few hours ago Hamisa Mobetto dropped a short comment complimenting Wema Sepetu for her gorgeous looks; only to excite fans who could not believe their eyes.

As seen in the comment section, Hamisa Mobetto went on to tell Wema,

Wema Sepetu

Umependeza sanaa…anything for you my love

A statement that seems to have ignited mixed feelings on the post. According to fans, Wema and Hamisa’s attitude towards each other portrayed maturity; understanding and most of all…love despite having dated the same man.

Tanasha and Zari Hassan

Others also went on to add that Tanasha Donna needs to take notes from these two friends who also dated Diamond Platnumz but never threw shade at each other.

Well, I am not surprised by these comments since Tanasha and Zari got into a petty instagram exchange that left team Zari tearing down Tanasha Donna.

Hamisa mobetto’s comment

As seen on their posts, Zari’s only interest was to protect young Tanasha who in turn – threw back shade claiming Diamond Platnumz would never leave her.

Barely six months after her online drama with Ms Zari; Tanasha finally got to understand what was being said by the mother of 5. Anyway mama Naseeb Junior is currently staying in Kenya after fleeing Tz.

Just the other day the lass also got to understand what it means to be publicly trolled by Juma Lokole; who not only revealed Tanasha Donna was lazy in bed; but went on to add that this Kenyan singer was clueless on how to treat her man, Platnumz in bed.

Not quite sure how Lokole found out about this – but chances are that Diamond Platnumz did the bad mouthing behind his exes back, right?

 

Fans call out Diamond Platnumz mum for sharing fake photo of Tanasha’s son

Diamond Platnumz mum seems to be giving online users something to talk about.

Tanasha’s son

A few hours she went on to share a post showing off her grandson’s hair only for fans to realize the photo belongs to an unknown Caucasian baby.

This has left many calling out the lady for the fake post making people believe that it was actually Diamond and Tanasha’s son.

Mama Dangote’s post

Mama Dangote responds

Anyway even after fans criticized her surprising move, Mama Dangote has now gone ahead to share a new post showing the real ‘young Simba.’

Well, the now grown baby boy seems to be taking after his daddy in terms of color but the hair definitely came from Tanasha Donna.

Check out the photos below.

Tanasha’s son
Tanasha’s son

“Call him Sonko”. Sonko ask Diamond and Tanasha to name baby boy after him 

Diamond Platnumz and his current girlfriend Tanasha Donna are just two months away from having a baby boy.

The two made the grand announcement last weekend during Diamond’s mother’s party and asked fans to suggest names for the baby.

“(please advice the name……..????????)
Nyinyi ni ndugu zangu……nyinyi ni familia yangu….Mna kila haki ya kupendekeza jina la mtoto wetu tumuite nani……tafadhali pendekeza????????” said Diamond. 

Sonko

Kenyans as usual didn’t waste time sharing names, coming up with some very weird ones too in the process.

2019soul2019soul Aitwe majuto maana next year mda kama huu Tanasha atakua na majuto mengi sana. ????.

lukmamy Kaylan kwa vile nimkenya utakua na nylan dylan na kylanchriskirwaDiaTana … jina Nzuri hilo

dunga_santuri_trinity Mansa Musa Dangote

akiliyababu Jina ni kimonyoski

smashbracket Chibuuuu dangoteeeee!!! Sharp shooter congratulations bro
iam_niryh Muite mwakitombile ????

fetty.ommy kipindi ulikuwa unampa mimba ulituomba ushauri

trishercriss Shing’weng’we????

Nairobi Governor Mike Sonko was also not left behind saying that Platnumz and Tanasha Donna’s unborn baby boy should be named after him if he will be born in Nairobi.

While Diamond is stripping for women on stage, Tanasha is back at home showing her loyalty to him: I can’t cheat on him

During his recent concert #Onemanoneconcert in Kahama, Tanzania singer Diamond Platnumz once again proved why he goes by the name of Simba!

Thanks to a few video clips making rounds on social media; we see the singer getting too freaky with a female fan on stage while performing hit song Eneka.

Tanasha on the other hand, isn’t under pressure from such stunts. She’s knows the occupation comes with its pressures and she believes she’s built for that.

https://www.instagram.com/p/ByXajFVgrw_/?utm_source=ig_embed

No worries

The sassy presenter had to deny that she’ll cheat on Diamond  following clip on social media hanging out with her male co-workers.

She wrote:

“These are the kind of friends I have and this is us at work.”

https://www.instagram.com/p/ByTHcVJAA6A

A fan suggested that Diamond should be very careful with her because she looks like a cheat.

“I think diamond should be very careful,” a fan said. 

Tanasha responded to the fan saying that Diamond has no reason to.

“He has absolutely nothing to worry about.” said the presenter.

Publicity hungry Bey T finally drops Tanasha’s diss track. You should listen to this if you love Tanasha

Tanasha Donna has added yet another enemy to the long list of those who hate her after she started dating singer Diamond Platnumz.

Tanasha, who has enemies all over starting with women Diamond has dated and dumped to just typical haters, is now being attacked by Bey T, an upcoming artist who recently claimed Tanasha stole her catch phrase.

Catch Phrase

As weak as that allegation was, Bey T is not playing around and wants her “Kenya to the world” catch phrase back. The upcoming singer has now punished Tanasha with a diss track dubbed “Don to the donna”.

In the track, Bey T claims the reason why Natasha is doing better music wise is because she sleeps around… and of course because she has Diamond now.

“Someone tell Tanasha Donna to stop wave riding. The only thing you got on me is p*ssy mileage,” she posted. 

Listen to the song below:

https://youtu.be/afH_KZ2P3qk

Diamond’s Tanasha: There was nothing between me and Ali Kiba. Just work

There has been a lot said between Diamond Platnumz and his bae Tanasha Donna. The NRG radio presenter has been rumored to date several guys including Ali Kiba.

In a recent interview, she clarified that she has never had any romantic relationship with the star but only appeared in his music video as a vixen.

“When we did that video we never had a thing. We never even exchanged numbers it was very professional. We never had a thing, matter of fact, back then I was in a relationship and my ex was at the video shoot the entire time tulikuwa tunashoot hio video.” she said. 

Wizkid

The radio host, who dated Nick Mutuma, also denied she slept with Wizkid who, was captured in a video showing her leaving with him after a show.

“Diamond has never asked me about wizkid and he knows the situation. We were just friends. We never dated. Let me make things clear.” she said.

Tanasha finally explains why wedding to Diamond was called off

Singer Diamond Platnumz and his new catch Tanasha Donna had a wedding on the way only to inform fans that it was canceled a few weeks later.

In a recent interview with Wasafi FM, Tanasha spoke on different subjects from her music to her relationship with Diamond Platnumz.

Speaking in the interview, the radio presenter shared that the wedding was canceled because they wanted to know each other more.

“We decided to take our time focusing on knowing each other. Loving eqch other. Wedding plans will come God willing. Who knows with time maybe I move here. At the moment this works.” she said. 

Pregnant

Diamond was allegedly warned by her family not impregnate the singer until they are officially one. Tanasha also has been forced to deal with pregnancy rumors lately, denying that she is carrying Diamond’s baby.

 

Tanasha on dating Diamond: If Jesus was hated who am I not to be

Diamond Platnumz’s new catch, Tanasha Donna confessed that she wasn’t ready for all the chaos, trolls and nosy fans when she first fell for him.

Speaking on Citizen TV, the singer who was launching her new song “Radio” said that when she started dating the popular singer, she almost fell into depression.

“In the beginning, they (trolls) used to get to me. I almost fell into depression but then I overcame it. If Jesus was hated who am I not to be,” she said. 

Blessed

She added that so far, Diamond has been very supportive in her music career.

“He has been super supportive through out this journey and he still supports me. I just want to thank him and the whole Wasafi team.I feel blessed,” she said. 

Tanasha proves she’s a better singer than all other Diamond’s ex-girlfriends in her new jam “Radio”

Radio presenter Tanasha Donna has finally released her first song dubbed radio featuring rapper Barrack Jacuzzi.

While everyone primarily knows her as simply a radio girl and perhaps a model, Tanasha also has a hidden talent in singing and she decided to let the world in on it.

By far it’s better than all songs that have been released by other women Diamond has dated. Zari Hassan by far has the worst songs. Hamisa tried while Wema Sepetu also proved she could sing.

Thankful

Tanasha took to Instagram to announce her venture to music as she thanked her team for the effort put in the songs.

“A huge thanks to the entire team on board, amazing dancers/models their social media handles are all at the end of the video but will defos be tagging them along the way!Thank you for the love so far, I shall continue to grow and perfect my craft,” she wrote. 

Watch the video below:

https://youtu.be/phBkzUhepls

“Diamond Anapendeza na Tanasha Zaidi”- Shilole

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole ameibuka na kuwamwagia sifa kibao staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz na Mpenzi wake Tanasha Donna.

Siku za nyuma Shilole hakuficha hisia zake za Jinsi gani alikuwa anamkubali Mama Watoto wa Diamond, Zari na hata kumuomba Diamond arudiane naye Baada ya kuachana.

Lakini Hivi sasa Zari anaoenekana kumsahau Zari na kuhamisha majeshi yake kwa wifi yake Mpya Tanasha kwani ameshindwa kujizuia na kumwagia sifa kibao mrembo huyo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Times Fm, Shilole ameweka wazi kuwa Tanasha anapendezana na Diamond na hata kudai tangu amekuwa naye amekuwa akipendeza zaidi hasa Baada ya kunyoa.

Diamond na Tanasha wanapendezana sana, siku hizi naona hata Diamond ananyoa vizuri kusema Ukweli wapo kizazi sana”.

Stori za chini chini zinadai kuwa Shilole alikoromewa na Diamond Baada ya kumtaka arudiane na Zari kwenye mkutano na waandishi wa habari Wiki chache zilizopita.

Fahyma Adaiwa Kumsaliti Zari na Kujipendekeza Kwa Tanasha

Mzazi mwenzake na staa wa Bongo fleva kutoka katika label ya WCB Rayvanny, Fahyma amefungukia tetesi za uyuda  baada  ya kudaiwa kumsaliti Zari na kujiweka kwa Tanasha.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la  Risasi Jumamosi, Fahyma amesema kuwa anashangaa kwa nini watu wanamuita Yuda wakati hayupo hivyo na hajawahi kugombana na mtu yeyote aliyeachana na Diamond.

Hivi watu wakoje jamani sasa u-Yuda huo vipi? Kwa hiyo walitaka Diamond akibadilisha msichana mwingine basi huyu wa sasa mimi nisiwe na urafiki naye kwa sababu nilikuwa na urafiki na X wake?.

Hivi watu wana akili kweli? Mimi uhusiano wa Diamond unanihusu nini mimi? Sina mamlaka ya kumchagulia mchumba Diamond hata akimuacha Tanasha akawa na mwingine pia tukikutana kwenye sherehe nitaongea naye vizuri na kupiga naye picha kama kawaida kwa sababu mimi mwenyewe ni mpenzi mtazamaji tu.

Halafu kwanza huwa tunakutana kwenye event (hafla) tu, sijawahi kuwa na urafiki wa hivyo kama watu wanavyosema kwa hiyo waniache kabisa sitaki maneno jamani na mimi sio Yuda”.

Kama utakumbuka wakati Diamond yupo na Zari, Fahyma alionekana kuwa karibu na Zari na hata kuwepo pamoja katika mitoko mbali mbali walikuwa wote.

Familia Ya Tanasha Yaingilia Kati Penzi Lake na Diamond

Familia ya mrembo Tanasha Donna Oketh imedaiwa kuingilia Penzi lake na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz baada ya tetesi za mrembo huyo kuwa mjamzito kusambaa Mitandaoni.

Global Publishers wanaripoti kuwa familia ya Tanasha imekaa kikao kizito na kuweka maazimio muhimu kuhusu binti yao huyo huku kubwa likiwa ni kumtaka mrembo huyo asizae na Diamond, ndugu wa karibuni wa Tanasha amefunguka na kusema:

Yapo mengi, lakini familia kwa sasa imesisitiza Tanasha asizae na Mondi. Tumejadiliana mengi kama familia…hadi tumefikia uamuzi huo, ni kwamba tumechambua mengi. Kwanza lazima ujue kuwa Tanasha anatoka familia ya watu walioshika dini sana. Wazazi wake ni waumini wazuri wa Dini ya Kikristo na hawapendi mambo yasiyofuata utaratibu”.

Baada ya tetesi hizo mama mzazi wa Diamond, Bi. Sandra amefunguka kuhusu tetesi hizo na kusema:

Hayo mambo unayosema umeyapata kutoka Mombasa hatuyajui, lakini sisi kama familia tumekaa na Nasibu (Mondi) na tumemshauri kwa sasa atulie kwanza, aache mambo ya kuzaa. Lakini zaidi ongea na Esma (Khan) atakuambia zaidI”.

Gazeti la Ijumaa lilizungumza na Esma ambaye ni dada wa msanii huyo. Kitu cha kwanza Ijumaa lilimhoji kuhusu tetesi za Tanasha kuwa na mimba ambapo Esma alisema:

Weee! Weee! Weee! Mimba? Hakuna kitu kama hicho, Tanasha hana mimba, Hayo ya Mombasa sijayasikia kwa kweli, lakini sisi tumemketisha Mondi na kuzungumza naye. Kwamba kwa sasa atulie kwanza, afanye muziki na kula bata na mchumba’ke Tanasha. Kama ni watoto anao, tena wa jinsia zote, hana haja ya kuwa na haraka. Ana watoto wawili wa kiume na wa kike mmoja”.

 

 

Tanasha Azidi Kujiamini na Penzi la Diamond

Mpenzi wa staa wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh ameonekana kuweka maneno ya watu pembeni za kuzidi kukolea Kwenye Penzi na Diamond.

Tangu Diamond aweke hadharani kuwa yupo kwenye mahusiano na Tanasha mwaka jana mwishoni ni wazi kuwa hawajapita njia nyepesi kwani Penzi Lao linapingwa sana hasa kwenye Mitandao ya kijamii.

Lakini Diamond na Tanasha wameonekana kupuuzia maneno ya watu na kufanya mambo yao na inaonekana wazi kuwa Tanasha amekolea kwenye Penzi na Mbongo fleva huyo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tanasha ujumbe ambao ni mfupi Lakini unabeba maneno mazito kuhusiana Penzi lake na Diamond:

Kujiamini ya kweli huwa haina chumba cha chuki, ni pindi unapofahamu kitu kizuri hauna sababu ya kuchukia”.

 

Shilole Amtema Zari na Kumkubali Tanasha

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Zuwena Mohamed maarufu kama Shilole amedaiwa kumsaliti na kumwaga Zari na kumkubali zaidi Mpenzi Mpya wa Diamond Tanasha.

Kama utakumbuka siku mbili zilizopita Shilole alisimama mbele ya waandishi wa habari na kumuomba Diamond aachane na Tanasha na kumuoa mama Watoto Wake Zari.

Lakini sasa Shilole ameonekana kukubaliana na hali halisi na kumkubali Tanasha kama wifi yake mpya na kusema wazi kuwa anapopenda Diamond basi na yeye hana budi kufuata.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shilole ameandika maneno haya:

ANAPOPENDA KAKA YANGU SINA JINSI! HI TANASHA, DIAMOND PLATNUMZ WIFI YETU KARIBU DADA HII NDO TANZANIA NITAFANYAJE SASA JAMANI”.

Ni takribani mwaka mmoja tangu Diamond kuachana na Zari na kuanzisha mahusiano mapya na mrembo Natasha kutoka nchini Kenya. Hivi karibuni Diamond Platnumz alikaririwa na kituo hicho cha runinga akieleza kuwa ndoa yake aliyopanga kuifunga mwezi wa pili mwaka huu ameisogeza mbele.

Shekhe Amjia Juu Diamond Kwa Mavazi Ya Tanasha

Shehe Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhad Mussa Salum, Amemjia juu  mwanamuziki wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’, kwa mavazi ya mpenzi wake Tanasha.

Gazeti la Risasi linaripoti kuwa Tanasha alizua gumzo wiki iliyopita Baada ya kuonekana akiwa amevaa gauni ambalo liliweka sehemu kubwa ya maungo yake nje jambo ambalo pia limeonekana kumkereketa Shehe mkuu.

Jamani…jamani…ndiyo nguo gani ile mbele ya kiongozi wa dini? Kiukweli si sawa na ndiyo maana hata Shehe Alhad alikataa kumpa mkono Tanasha na kuishia kumpungia. “Kwani Tanasha hakujua au hakuambiwa anakwenda kwenye mkusanyiko wa watu wengi wa kada mbalimbali ili ajisitiri? Ona sasa anavyoaibika hata anashindwa kutazama watu kutokana na aibu.

Lakini yote kwa yote, wa kulaumiwa hapa ni Diamond kwani ndiye aliyetakiwa kumpanga mtu wake juu ya namna ya kuvaa kwenye shughuli kama hii. Kiukweli atakuwa amemtibua mno Shehe Alhad”.

alisema mmoja wa wahudhuriaji waliokuwa wamedamshi ile mbaya.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Mchanganyiko juu ya kitendo hicho na kwamba alikichukuliaje, Shehe Alhad alitema nyongo kwa kumvaa Mondi mzimamzima.

Diamond hakufanya kitu kizuri, lakini alitekeleza amri ya Mkuu wa Mkoa wa Dar (Paul Makonda) kujitokeza pale mbele na mwenzake (Tanasha).

Lakini hata mimi nilivyokwenda pale mbele sikupendezwa kumuona huyo mwanamke na ndiyo maana hata hukuniona nikimpa mkono wangu. “Ila niliheshimu kauli ya Mkuu wa Mkoa wa Dar kwa kumpa mkono Diamond, lakini yeye (Tanasha) sikumpa mkono kwa kuwa nilimuona yupo vile.

Lakini pia Diamond naye anaonesha udhaifu kwa mwanamke kwa kumuacha namna ile kwa sababu mali zako lazima uzione wewe mwenyewe, mwanaume lazima uwe na wivu, haiwezekani unayetarajia kumuoa mwili wake unakuwa wazi ina maana hana thamani. “Diamond anatakiwa kumuongoza yule binti (Tanasha), hakutakiwa kumuacha vile.

 

Dini Yatajwa Kama Kikwazo Cha Ndoa Ya Diamond na Tanasha

Msanii wa Bongo fleva na Mkurugenzi wa WCB Naseeb Abdul ‘Diamond Platnumz’ ameshaweka wazi kuwa anataka kumuoa Mpenzi Wake Tanasha Donna Oketh Lakini inadaiwa kikwazo ni tofauti za kidini.

Gazeti la Risasi Jumamosi linaripoti kuwa Diamond  ni Muislam huku Tanasha akiwa ni Mkristo ambapo inaaminika kuwa  lazima mmoja abadili dini kumfuata mwenzake.

Tanasha, akijibu baadhi ya maswali kutoka kwa mashabiki kwenye ukurasa wake wa Mtandao wa Instagram, alisema kuwa kutokana na mipango ya ndoa inayofuata hawezi kukataa kuhamia Tanzania kwa sababu kwake kwa sasa ni nyumbani kwa pili.

Tanasha alisema kuwa, kuhamia kwake Tanzania haiwezi kuwa shida, lakini kwa suala la dini, hawezi kubadili dini. Tanasha alisema kuwa kila dini imekuwa ikimuamini Mungu mmoja hivyo hakuna sababu ya yeye kubadili dini zaidi ya kila mmoja kuheshimu dini ya mwingine.

Akizungumza na Risasi Jumamosi, mmoja wa wanafamilia ya Mondi aliyefuatilia mjadala huo alisema kuwa, jambo hilo ni kikwazo kikubwa kwani wao kama familia walitarajia Tanasha angebadili dini ili kuungana na Mondi ambaye ni Muislam safi.

Tayari hapo naona kuna shida kubwa. Sisi tulitarajia Tanasha atabadili dini, lakini naona ameanza vikwazo kwa ndugu yetu (Diamond). “Tunachojua ni kwamba, Diamond hawezi kuoa mwanamke ambaye hawatakuwa dini moja”.

Diamond alitangaza kumuoa Tanasha siku ya wapendanao tarehe 14 February Lakini alihairisha harusi hiyo na Mpaka sasa hawajatangaza tarehe mpya ya harusi.

Tanasha Awajibu Wanamkosoa Kisa Gauni Lake

Mpenzi wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh ameibuka na kuwajia juu watu ambao wamekuwa wakimkosoa kisa gauni lake alilovaa siku chache zilizopita.

Wikiendi iliyopita Diamond na Mpenzi Wake Tanasha walihudhuria Hafla ya Haji Manara ambapo alikuwa anazindua foundation yake na kwenye hafla hiyo Tanasha alivaa gauni la Blue ambalo lilimuonyesha sehemu yake ya kifua.

Katika picha ambazo Tanasha alipigwa anaonekana akiwa amevaa nguo iliyomuacha kifua wazi na kupelekea kukosolewa sana jambo ambalo Tanasha ameshindwa kulikalia kimya.

Kupitia Instastory yake Tanasha amewajia juu wanakosoa gauni lake na kusema kuwa lilishonwa dakika za mwisho na pia wanaonekana maziwa yake yamelala Ndiyo hayo hayo ambayo Diamond ameyapenda na yanamdatisha.

 

Diamond Platnumz na Tanasha Wapigana Mabusu Hadharani (video)

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz na Mpenzi Wake Mpya Tanasha Donna wanaonekana wapo katika mahaba mazito na wanayaonyesha Hadharani.

Tukio hilo limetokea siku chache zilizopita baada ya Diamond na Tanasha kuhudhuria hafla ya Haji Manara ambapo alikuwa anafungua foundation yake na kutambulisha perfume yake rasmi.

Diamond na Tanasha walikuwa miongoni mwa wageni katika Shughuli hiyo ambapo walionekana karibu wakati wote na zaidi walikuwa katika mag a mazito kwani walikuwa wanapeana mabusu hatari.

Hii ni video inayowaonyesha Diamond na Tanasha wakiwa katika mahaba mazito:

 

Tanasha Ana Kila Sifa Ya Kuwa Mke Wangu- Diamond Platnumz

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefunguka na kumwagia sifa kibao Mpenzi wake ambaye ni mrembo kutoka Mombasa Kenya Tanasha Donna Oketh.

Kwenye mahojiano aliyofanya na mtandao wa Dizzim Online Diamond amemwagia sifa mke Wake mtarajiwa na kusema mbali na mambo mengine Lakini mrembo huyo anajua sana kupika.

 Ni mwanamke pekee aliyenionesha yupo makini na ana sifa zote za kuingia naye kwenye ndoa na sasa ni rasmi ninatangaza kwamba ninamuoa…

Ana sifa zote ambazo mwanaume yeyote aliyekamilika angetamani awe mkewe. Sisi wanaume tulio wengi huwa tunaangalia shepu, maumbile, mvuto wa nje na mengineyo ambayo yote anayo. Lakini kikubwa zaidi kuliko vyote ni TABIA! Ana tabia nzuri”.

Diamond alitangaza kufunga ndoa na Tanasha muda mfupi tu Baada ya Kukutana ambapo mara ya kwanza ndoa ilitakiwa ifungwe mwezi wa pili katika siku ya wapendanao Lakini imesogezwa mbele.

Queen Darleen Adaiwa Kuchomoa Kwa Tanasha

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Mwanahawa Abdul ‘Queen Darleen’ amedaiwa kuwa hana shobo na Mpenzi mpya wa kaka yake Tanasha Donna.

Wiki iliyopita Diamond alimtambulisha Mpenzi Wake Tanasha kwa Familia yake nzima ambapo alikuwepo Mama Yake, Dada yake Esma na Ndugu wengine Lakini Queen Darleen hakuwepo katika tukio hilo.

Gazeti la Ijumaa Wikienda linaripoti kuwa Queen hakuwepo kwenye ‘mnuso’ huo kwa sababu ‘haziivi’ kivile na Tanasha. “Unajua Queen yeye katika wanawake wote wa Diamond, hakuna mwanamke ambaye anamkubali zaidi kama anavyomkubali Zari.

Yeye chaguo lake ni Zari na si mwanamke mwingine. Ndio maana unaona hana taimu na Tanasha, Esma na mama yake wao hawana shida, wanaunga mkono mwanamke yeyote ambaye Mondi atawatambulisha”.

Baada ya tetesi hizo, Gazeti hilo lilimtafuta Queen Darleen ambaye aliulizwa sababu za kutoonekana na wifi yake kama wanafamilia wengine alijibu:

Queen alianza kwa kuhoji kuna ulazima gani kuwepo

Kwani Tanasha ni mtu wa kawaida tu. “.

 

 

Nampenda Sana Tanasha – Esma Platnumz

Dada wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Esma Platnumz amefunguka na kudai kuwa anamkubali sana wifi yake mpya Tanasha kwa muda mfupi ambao amemjua.

Esma ambaye amekutana rasmi na Tanasha siku chache zilizopita amedai kuwa ameshaanza kumpenda ‘kumoyo’ wifi yake mpya Tanasha Donna kiasi cha kujiuliza kwamba, mwana­dada huyo alikuwa wapi siku zote hizo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda Esma alisema amekuwa na ukaribu kwa muda mfupi na wifi yake huyo lakini ametokea kumkubali na sasa ame­kaa kwenye moyo wake tofauti na alivyotarajia mwanzo kwani mtu akiwa mpya kumzoea inahitaji moyo kuridhia.

Huwezi amini Tanasha tayari ameshakaa ndani ya moyo wangu, nampenda sana na kuna muda najiuliza alikuwa wapi muda wote? Kwa nini hakutokea mapema kwenye familia yetu? Hayo mambo ya kuniita Yuda hata siyajali kabisa, wata­jua wenyewe kwani mimi maisha yanasonga”.

Diamond alimtambulisha Tanasha kwa Familia yake aliweka mama yake mzazi Mama Dangote siku chache zilizopita.

 

“Nilikutana na Diamond Club Miaka Miwili Iliyopita”- Tanasha

Mtangazaji na video vixen maarufu kutoka nchini Kenya Tanasha Donna Oketh ambaye pia ni Mpenzi wa  staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amefunguka na kuweka wazi Jinsi walivyokutana.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tanasha aliwapa mashabiki zake uhuru wa kumuuliza maswali ambapo alifunguka kwa Kuwapa majibu.

Tanasha aliulizwa ni Jinsi gani alikutana na Mpenzi Wake Diamond na aliweka wazi kuwa walikutana miaka miwili iliyopita walipokuwa Club Lakini hawakuwahi kuongea Mpaka mwaka jana mwishoni.

Nilikutana naye miaka miwili iliyopita klabu Lakini hatukuwahi kuongea mpaka mwaka jana mwishoni”.

Lakini pia Tanasha alianika mapenzi yake kwa Diamond na kusema wazi wazi kuwa anampenda sana Diamond na pia kusema ana sifa zote za mwanaume ambaye angependa kuwa naye yaani ni muaminifu, mchapakazi, ana Upendo na sifa nyingine kedekede.

Diamond Amtambulisha Tanasha Kwa Mama Yake Mzazi

Staa wa muziki wa Bongo fleva Diamond Platnumz amethibitisha kuwa Penzi lake na Tanasha ni la kweli Baada ya kumtambulisha rasmi kwa Familia yake.

Kwenye utambulisho huo, Diamond aliwaalika pia ndugu, jamaa na marafiki zake. tukio lilifanyika nyumbani kwake Madale.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond ameweka video hizi zinazoonyesha tukio zima:

https://www.instagram.com/p/BslCce6FkDy/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=uhtfhnvhmvrk

 

https://www.instagram.com/p/BslGUDJhTCk/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=uucpxgp4ofnr

Kim Nana Amwaga Povu Kisa Penzi la Diamond na Tanasha

Video vixen na mwanamitindo Lilian Kessy  maarufu kama Kim Nana amejikuta akimwaga Povu zito Baada ya kuulizwa kuhusu Ex Wake staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz na Mpenzi Wake Mpya Tanasha Donna Oketh.

Kim Nana alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Diamond kwa muda kabla ya kumwagwa chini miezi michache iliyopita na Diamond kuanza mahusiano na Tanasha.

Kim Nana ameibuka na kulitolea povu penzi jipya la Diamond na Tanasha baada ya Gazeti la Amani kumtaka azungumzie penzi jipya la Diamond ambaye awali iliaminika kuwa ndiye mumewe mtarajiwa kabla jamaa huyo hajaibuka na Tanasha.

Akimzungumzia zilipendwa wake huyo, Kim alisema mambo ya Diamond na Tanasha hayamhusu huku akielekeza lawama zote kwa mitandao ya kijamii.

 Hivi mnajua kiasi gani nimetukanwa kwenye mitandao ya kijamii? Na pia watu wa mitandao hawajui kabisa kufuatilia vitu kwa kina wanachojua ni kutukana watu lakini nashangazwa sana mimi kuhusishwa na Diamond, naomba kuweka wazi leo siko kwenye mapenzi na Diamond kwa sasa mimi nina maisha yangu na yeye hivyohivyo ndiyo maana amemuweka wazi mpenzi wake mpya kama ningekuwa ni mimi si angewaambia mashabiki zake kuwa ni mimi?”.

Diamond Abadili Tarehe Ya Ndoa Yake na Tanasha

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amesogeza mbele tarehe ya ndoa yake na Mpenzi Wake Mkenya Tanasha Donna.

Siku chache Baada ya kuweka hadharani mapenzi yake Man mrembo Tanasha Diamond alitangaza nia yake ya kumuoa binti huyo na kusema ndoa yao ingekuwa tarehe 14 mwezi wa pili siku ya Wapendanao duniani.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha Wasafi Tv, Diamond amesema kuwa tarehe waliyopanga awali kwa ajili ya ndoa wameisogeza mbele kutokana anataka harusi yake iwe nzuri na kuhudhuriwa na watu wengi.

Ndoa yangu ilitakiwa iwe siku ya Valentine tarehe 14 lakini tumeipeleka mbele. Watu wengi wanatakiwa kuja kuhudhuria kwa sababu ndoa yangu watakuja kina Rick Ross”.

Mara ya kwanza Diamond alipotangaza kumuoa Tanasha Siku ya wapendanao mwaka huu ilivutia watu wengi kwani siku ya wapendanao mwaka jana Diamond aliingia kwenye headlines baada ya aliyekuwa Mpenzi Wake Zari kumtosa kwa ya Jeusi Kupitia ukurasa wake wa Instagram.

Diamond Athibitisha Kuzama Kwenye Penzi Zito na Tanasha

Staa wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Naseeb Abdul maarufu kama Diamond Platnumz amethibitisha kuwa amezama vibaya  kwenye Penzi na Mpenzi Wake Mpya Tanasha Donna Oketh.

Diamond alitangaza kuanzisha uhusiano wa kimapenzi na mrembo kutoka Kenya Tanasha ambaye ni video vixen na Mtangazaji wa redio.

Lakini pamoja na kuwa pamoja kwa muda mfupi tu Diamond ameweka wazi ni Jinsi gani anavyomzimia  mrembo huyo kwani amekuwa akimuanika kwenye mtandao wa kijamii.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Diamond Platnumz ameweka video yake na Tanasha inayomuonyesha akimtengeneza nywele Mpenzi Wake huyo na kuweka wazi Jinsi anavyomzimia.

Basi na Mie nikiingiaga kwenye mapenzi nazama mzima mzima kama boya….Matokeo yake nikizinguliwa naanza kutoa Povu…”.

https://www.instagram.com/p/BrsWX0MFzNh/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1t7cbpa4u9y9e

Tanasha Awatumia Ujumbe Huu Maadui Zake

Mpenzi wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh mrembo kutoka Kenya ameibuka na kuwatolea Povu zito watu ambao wamekuwa wakimfanyia ubaya.

Tangu Diamond na Tanasha waweke wazi mahusiano yao wiki chache zilizopita mrembo huyo amekuwa akilalamika na watu ambao wamekuwa wakimponda  kila kukicha.

Wiki iliyopita tu Tanasha aliwatolea Povu zito watu ambao walikuwa wanamponda shepu yake na kudai ana shepu mbaya na miguu mibaya ambapo alisema hata Kama mbaya ndio hivyo Diamond ameshampenda na atamuoa.

Siku ya jana tena Tanasha aliwatolea Povu mashabiki wa Instagram ambapo aliwatumia ujumbe wabaya wake kuwataka kuwa wavumilivu kwani kuna mengi makubwa anakuja nayo ambayo yatazidi kuwakera.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tanasha aliandika:

Tanasha Avunja Ukimya Kuhusu Kupambanishwa na Zari

Mpenzi mpya wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Tanasha Donna Oketh mrembo kutoka Kenya amefunguka kuhusu kupambanishwa na Baby mama wa Mpenzi Wake Zari The Bosslady.

Tangu Diamond aweke hadharani kuwa ana mahusiano ya kimapenzi na Tanasha Baada ya kuachana na Zari kumekuwa na mgongano katika ya timu hizo mbili za ushabiki wa Zari na Tanasha.

Lakini Tanasha ameibuka na kuzima tetesi zote za kuwepo na Bifu kati yake na Zari na kuweka wazi kuwa yeye una tatizo binafsi na mwanamama huyo na kuwataka watu wasiwachokonoe.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Shabiki mmoja alimuuliza Tanasha kama anamfahamu Zari na yeye moja kwa moja alijibu:

Hapana simfahamu Zari lakini naamini ni mama wa Watoto wawili ambaye ni mchapakazi na watu tafadhali was he kutupambanisha na kuanza kututengenezea maugomvi yasiyokuwa na maana badala yake watuinue wote kwa pamoja”.

 

“Diamond Ruksa Amuoe Tanasha”- Lynn

Video vixen na msanii wa muziki wa Bongo fleva Irene Godfrey Louis amefunguka na kumpa baraka zote aliyekuwa mpenzi wake Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz  kumuoa Mpenzi wake mpya Tanasha Donna Oketh.

Kwenye mahojiano aliyofanya na  Global PublishersLynn ambaye aliwahi kutajwa kuwa mbioni kuolewa na Diamond alisema anawashangaa wanaosema anaumia juu ya kitendo cha Diamond kutangaza kumuoa Tanasha, jambo ambalo si kweli.

Sina kinyongo, Diamond amuoe Tanasha hata kesho maana ni jambo la heri. Ninafurahi sana kwa sababu Diamond ni mshkaji wangu sana na si vinginevyo”.

Diamond aliweka wazi mahusiano yake na mrembo Tanasha kutoka Kenya na kutangaza ndoa yao mara moja hali iliyopelekea taarifa kusambaa kuwa Lynn amemwaga na msanii huyo aliyekuwa kwenye mahusiano naye.

“Tanasha Ndiye Mwanamke Pekee Mwenye Sifa Za Kuoa”- Diamond Platnumz

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini na Mkurugenzi wa WCB Diamond Platnumz ameibukana na kumwagia sifa lukuki Mpenzi Wake Tanasha Donna Oketh mwenye asili ya Kenya.

Diamond ameonekana kuzidi kunogewa na Penzi la Tanasha kwani amedai kuwa yuko tofauti na wanawake wote aliowahi kuwa nao hapo nyuma na kudai yeye ni ‘Wife material zaidi’.

Zikiwa ni Wiki mbili tu zimepita tangu Diamond atangaze rasmi ndoa na Tanasha Diamond anaonekana hakuwa na masihara kuhusu jambo hilo kwani kwenye interview yake na kituo kimoja cha habari nchini Kenya Diamond alisema haya:

Tanasha ndiye mwanamke pekee aliyeonesha kujali na uzito juu ya jambo hilo hivyo rasmi natangaza kumuoa huyu. Ana sifa zote za mwanamke wa kuoa, lakini unajua sisi wanaume wengi huwa tunaangalia sura, umbo na vingine vya mwilini kisha ndiyo inafuata tabia. Lakini nimejiridhisha kwamba mbali na umbo na mvuto wa kipekee pia ni mwanamke mwenye tabia nzuri”.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.