¨So what if he has stopped paying child support?¨ Hamisa reacts to fans who question Diamond´s new move

Tanzanian video vixen, Hamisa Mobetto, has reacted to claims that her baby daddy, Diamond Platinumz has ceased paying child support for their son, Dylan.

Rumors have been prevalent in Tanzania´s showbiz scene, claiming the bongo flava artist, Diamond Platinumz, withdrew child support for Dylan.

Tanzanian artist, Diamond Platinumz and model, Hamisa Mobetto, holding their son, Dylan

Photo Courtesy

This is following the deterioration of the Bongo star´s relationship with the model.

Word is that the one-time lovebirds have apparently stopped seeing eye-to-eye.

The duo broke up in August 2018 when the WCB owner claimed Hamisa had been using witchcraft to entice him into marriage.

However, according to media reports, Diamond still provided child support to Dylan until recently when he withdrew.

Unfortunately, the mother of two seems devastated putting to mind the fact that Hamisa doesn´t get along with the singer´s family, especially, Diamond´s mother, Sandra.

Hamisa Mobetto (left), Diamond Platinumz (centre) and his mother, Sandra (right)

Source: eDaily Kenya

She was thereafter approached by Global Publishers to comment on the same, rather criticized the publication clearly stating that it was none of their business.

Nyie nanyi mnachosha, sasa kama ameacha kutoa huduma kwa Dylan inawahusu nini?

Niacheni bwana, maisha yangu na familia haiwahusu.

Mnauliza ili iweje?

Angry Hamisa attacked the publication.

Bongo flava artist, Diamond Platinumz and Tanzanian model, Hamisa Mobetto

Source: Mpasho

Dylan was a product of Diamond´s ´mpango wa kando´ with the model, whilst still married to Ugandan socialite Zari Hassan.

The Eneka hitmaker has two children from his past relationship with South African-based business woman, Zari Hassan.

Back in February 2017, Hamisa who has a daughter from a previous relationship, saw herself lose a child support case against Diamond.

Ksh 230,000 was the sum the model demanded as monthly upkeep, having sued the singer for child negligence.

Technicalities however saw the case thrown out of court.

 

Hamisa Mobetto Ndani Ya Bifu Zito na Familia Ya Diamond

Mzazi mwenza na mpenzi wa Staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz, Hamisa Mobetto amejikuta katika kiti cha moto baada ya familia ya Diamond kumgeuka na kumuwashia moto kwenye mitandao ya kijamii.

Sakata hili lilianza siku ya Ijumaa baada ya  Diamond kuachia wimbo na video yake mpya ya wimbo unaoitwa Iyena aliomshirikisha Rayvanny ambapo ndani ya wimbo huo Video Queen ni Zari.

Sio siri kuwa Hamisa pamoja na kwamba amerudiana na Diamond lakini hana uhusiano mzuri na familia ya Diamond ambayo ilishaweka wazi kuwa hainpendi na haimaanishi kwani ni juzi tu kulikuwa na sakata kati ya Hamisa na Mama Diamond.

Baada ya wimbo huo wa Iyena kutoka mara moja ya Mama Diamond alianza kuposti wimbo huo na vijembe juu kwa hamisa na kudai kuwa ni mchafu hajui hata kutandika kitanda huku akimsifia Zari na alionyesha wazi kuwa anataka mwanaye arudiane na Zari.

Hata Dada wa Diamond, Esma alimtolea povu Hamisa na kuweka wazi kabisa kuwa amemiss Zari na kuandika ujumbe huu:

Familia ya Diamond ilionyesha wazi kuwa hamtaki Hamisa huku ikidaiwa chanzo cha kumchukia ni baada ya Hamisa kuwaitia Shilawadu siku walioenda hospitali kumuangalia alipokuwa amejifungua.

Nimeviona Vya Diamond Kuliko Mwanamke Yoyote Adai Hamisa

Mzazi mwenza wa Diamond, Hamisa Mobetto alifanikiwa kufanya sherehe ya mtoto wake mwishoni mwa wiki hii na alikuwa na mengi ya kuongea kuhusu mambo mengi yaliyokuwa yanaendelea mtandaoni.

Maneno mengi yamesemwa juu ya uhusiano wa Diamond, Zari na Hamisa na kwa mara ya kwanza Hamisa ameongea.

Hamisa aliweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na Diamond na kuongelea kesi aliyomfungulia mahakamani:

Watu inabidi waelewe kitu kimoja, mwanamke hawezi akainuka straight akaenda mahakamani kabla hajaenda mahakamani kuna hatua anatakiwa achukue, unajua mpaka mwanamke aamue kuzaa na mwanaume  ni mpaka mjadiliane na mkubaliane mlee mimba kwa miezi tisa hawezi kurupuka tu akakupeleka mahakani unless huyo mtu hajawahi kupenda, Diamond nimekuwa nae kwenye mahusiano naye kwa takribani miaka tisa siwezi nikaamka tu asubuhi nikakurupuka na kumpeleka mahakamani nakumfungulia mashtaka, kwa sababu hakuna jipya coz kama vitu vya Naseeb hakuna mtu aliyeviona Kama Mimi yaani hakuna mwanamke anamjua vizuri kama mimi ninavyomjua kwa miaka tisa. Kuhusu kufungua kesi yeye ndio aliniambia nitafute mwanasheria ili tutafute njia ya kumhudumia mtoto bila tatizo lolote na lilikuwa wazo lake na sitapendelea kulizungumzia sana hili suala kwa sababu kesi ipo mahakamani”.

Pia Hamisa aliongelea uhusiano wake na Zari na kudai kuwa Hana tatizo lolote na Zari na kusema kuwa hamchukii Zari na ni matumaini take ipo siku wataelewana na kuwa familia kwani watoto wao ni ndugu na hicho ndo cha muhimu.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.