Safari ya Hawa Nitarejea Nchini India Imeiva.

Siku chache zilizopita msanii Diamond Platinumz alitangaza kuwa ameingilia kati matibabu ya mwanadada hawa ambae aliimba nae katika wimbo wake wa Nitareejea wimbo uliofanya vizuri sana kipindi cha nyuma lakini mwanadada huyo alikuja kupotea ghafla.

Akiongea na waandishi wa habari, Mlezi wa hawa  (PILI MISANAH ) ana sema kuwa meneja wa Diamond anaejulikana kama Babu Tale amekuwa mfatiliaji wa  kina kuhusu safari hiyo  hasa upande wa visa  na kwamba imekaribia kupatikana hivyo uhakia wa safari kupatikana kwa safari ambayo ilitangazwa na Diamond mwenyewe.

hapa tunasubiri visa na ndio itatupa mwanga wa lini tuakwenda kwa sababu huwezi kwenda nchi za watu kama unakwenda kariakoo,wao pia wanataratibu zao kwa sababu inabidi wajue kama pia tunauwezo wa kulipia hayo matibabu.

nashukuru kwa sababu kipindi hiki ninamuguza mwanangu lakini pia babu tale amekuwa akinisaidia kufatilia maswala ya visa , hivyo ninaamini kuanzia kesho tunaweza kuwa tumeshapata visa  na uhakika wa safari.

Hawa ambae amekuwa na tatizo la kujaa maji tumboni amekuwa akipelekwa hospitali kila mara na kutolewa  maji hayo, lakini imesemwa kuwa ugonjwa wake unaweza kukoma endapo atapatiwa matibabu nchini India ambapo kuna waatalamu zaidi.

Diamond Platnumz ex lover’s liver failing due to alcoholism

Before the fame and fortune, Diamond Platnumz managed to date a few women here and there. Among them is Hawa who he collaborated with on one of his hit songs Nitarejea.

The two are said to have dated for a while before the singer graduated to dating Bongo movie actresses. Since then Diamond Platnumz forgot about her as she also moved on with her life.

Diamond Platnumz with Hawa from Nitarejea

Hawa got married and children but this did not last for long. After her husband left her, the lady apparently turned to liquor to find closure.

Liver failure

Anyway she was recently interviewed by several Tanzanian news outlets where she opened up about her current situation.

Hawa says she was diagnosed with liver failure a long after quitting liquor. She now needs medical care that she cannot afford and wishes Diamond Platnumz to help.

So far her body is swollen from the ‘water’ in her system. However, Diamond Platnumz continues to maintain his silence despite Hawa’s cry of help.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.