Wolper Amwaga Povu Baada Ya Tetesi Za Kutoka na Mr. Nice

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amemwaga povu baada ya tetesi kusambaa anatoka kimapenzi na msanii mkongwe wa Bongo fleva Mr. Nice.

Siku chache zilizopita Wolper na Mr. Nice walionekana pamoja wakila bata Kwenye club moja Nairobi nchini Kenya huku wakionyesha kuwa na ukaribu fulani.

Kwenye video ambayo iliwekwa Mtandaoni na Jacqueline Wolper iliwaonyesha wawili hao wakila bata yaani Wolper akivuta shisha huku Mr. Nice akinywa pombe ambapo watu mbalimbali walidai huenda wanatoka kimapenzi.

Baada ya Tetesi hizo za Mahusiano gazeti la Risasi Mchanganyiko lilimtafuta Wolper kwa njia ya simu akiwa nchini Kenya na kumuuliza kuhusu ukaribu wake na Nice ambapo alisema ni wa kawaida tu na wako karibu kwa sababu bosi wao ni mmoja.

Watu wajue sisi tupo kikazi zaidi kwani kuonekana na mtu ni lazima awe mpenzi wako? Si lazima, huyu ni kaka yangu na bosi wetu ni mmoja, projekti yetu ikiwa tayari tutaitangaza itajulikana tu lakini kwa sasa bado ni mapema kuitangaza”.

 

“Harmonize still loves me” Jacqueline Wolper says as she arrives in Nairobi (Photos)

Jacqueline Wolper is in Kenya to launch her business. The fashionista raised eyebrows when she commented about her past relationship with Harmonize.

Wolper and Harmonize broke up sometimes in 2017, she claimed the singer was cheating on her with his current Italian girlfriend Sarah Michelotti.

Wolper with Radio Maisha presenter Mwende Macharia
Wolper with Radio Maisha presenter Mwende Macharia

Wolper sensationally claims that Harmonize is still in love with her. She however asserts that she no longer loves back the ‘Kwa Ngwaru’ hit maker.

“Rajab (Harmonize) and I are done. I have moved on but I know he still loves me. I don’t love him back. He is just my ex. Forget all the things he has posted about me on social media,” said Wolper.

Fashion house

Wolper plans to open House of Stylish in Nairobi to cater for her Kenyan customers. She says she was motivated to open the Kenyan store because customers have been struggling to reach her in Tanzania.

“Kenya is my second home, that’s why I’m here, for the sake of my fans who have been struggling to reach me in Tanzania. I’m here as I plan on how and where my business will be located.”

 

 

 

Shamsa Ford: Sina Bifu na Harmonize

Muigizaji wa Bongo movie Shamsa Ford amefunguka na kusema hana bifu lolote na staa wa muziki wa Bongo fleva Harmonize hata baada ya kumdhalilisha mume wake .

Wiki chache zilizopita Harmonize alikuwa kwenye vita kali ya Ex wake Jacqueline Wolper na katika ugomvi wao alimtaja mume wa Shamsa Chidi Mapenzi kama mmoja wa mpenzi wa zamani wa staa jambo ambalo lilimkera Shamsa.

Shamsa aliweka wazi kuwa hajafurahishwa na maneno ya Harmonize kumuingiza mume wake Kwenye bifu lake na Wolper na kumdhalilisha wakati anajua wazi kuwa ameoa tayari.

Kwenye mahojiano na FNL ya EATV, Shamsa amesema kuwa licha kutopendezwa na kitendo hicho kwa ujumla hana ugomvi na Harmonize ili maisha mengine yaendelee.

Mume wangu ni mtu mpole sana, inawezekana hakupendezwa ila alikaa kimya, sisi wanawake tunamunkari ya hali ya juu, halafu unaona huyo kapata wapi huo ujasiri wa kuweka hivyo bila kufikiria hawa watu wengine tayari wana familia zao.

Nilipaniki lakini mwisho wa siku simchukii na sina bifu naye niliongea nilichokuwa najisikia na yameisha na hata tukikutana tunasalimiana vizuri kwa sababu hatuna bifu. Sisi ni vijana tunahitaji kuweka nguvu nyingi sana katika kufanya kazi na sio mabifu”.

 

Jacqueline Wolper Amvulia Kofia Harmonize

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amemvulia kofia aliyekuwa mpenzi wake msanii wa Bongo fleva kutoka WCB, Harmonize na kukubali bifu lao liishe.

Kwa muda wa wiki nzima sasa Wolper na Harmonize wamekuwa Kwenye vita ya maneno Kwenye mitandao ya kijamii huku kila mmoja akidai mwenzake bado anampenda na bado anamtaka.

Wolper ameamua kupiga kimya ili bifu lao lilikuwa linaendelea liishe tofauti na juzi na siku zilizopita ambapo alikuwa akipewa Dongo lolote na Harmonize alikuwa anajibu.

Siku ya jana Harmonize alihaidi kuendeleza mtanange huo baada ya kudai anataka kuweka listi nyingine ya wanaume waliotembea na Wolper baada ya mara ya mwisho kuweka listi ya wanaume kumi na mbili.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper aliandika ujumbe huu kuashiria hatomjibu Tena Harmonize:

Mungu nifundishe kunyamaza, we ndio unaujua ukweli #Najifunzakuheshimkilangaziiliyonifikishanilipo
#NdiomaanataupambanesiwezkushukaatanishushaMungupekee #jifunzekuheshimkilangaziiliyokufishaulipokamweutoteterekakwajarbulolote
#MunguwanguwaushindiwewenijbuToshaNimekukabidhiwewekilakitu

 

“Simfwatili bwanako, niligoma kusex na yeye coz ya maumivu na dharau” Wolper writes open letter to Harmonize and his girlfriend

Harmonze, his Italian girlfriend Sarah and his ex girlfriend Jacqueline Wolper have been trading barbs ever since blogger Mangi Kimambi broke news that Diamond Platnumz’s bodyguard Mwarabu Fighter had been secretly smashing Sarah.

Sarah hit back at Wolper after she called her a cougar. The Italian babe advised Wolper to visit a dentist – she was making fun of her gap teeth.

Also read: “Please go see a dentist” Drama continues as Harmonize’s girlfriend savagely attacks Jacqueline Wolper

Open letter

Wolper has since written an open letter to Harmonize and Sarah. She tells Sarah that she has no interest whatsoever of getting back with Harmonize.

“Dear Sarah, sikuchukii popote ulipo simfwatili bwanawako sina muda nae namuogopa kama ukoma naata iwaje ata anipe bilion alizochuma k wako ili nirudi kamwe stoweza kuwa na amani kabisa ningesharudi toka nawatuma watu wake turudiane kwa siri,” Wolper wrote in part.

Wolper also tells Harmonize she has never thought about getting back with him. She further tells Harmonize that she even stopped having sex with him while they were still dating because he looked down upon her and treated her badly when he started making money.

“Mimi mmakonde sikutaki sijawah kutaka kurudi ata sku moja Tumeenda hotel moja picha ninazo nimegoma kusex na wewe coz ya maumivu na dharau ulizonionyesha baada yakuwa na pesa ukaona msimamo wangu na watu wakaongea nikakanusha yote sikutaka kukuharbia,” wrote Wolper in part.

Read the complete letter below:

“Please go see a dentist” Drama continues as Harmonize’s girlfriend savagely attacks Jacqueline Wolper

Harmonize current girlfriend Sarah and his former girlfriend Jacqueline Wolper have been embroiled in a fierce catfight on social media.

The whole drama started when popular Tanzanian social media influencer and blogger Mangi Kimambi broke news that Diamond Platnumz’s bodyguard Mwarabu Fighter was secretly smashing Sarah.

Jacqueline Wolper commented on Sarah’s cheating allegation and even said that she was a cougar. Harmonize lost his cool and published a list of young men Wolper has dated to prove that she is the real cougar.

Also read: Harmonize retaliates and publishes list of all men who have bedded his ex girlfriend Jacqueline Wolper

Wolper’s list

Wolper also published a list of all young men that she claims Sarah has been fooling around with. She even shared photos to make the list look more authentic.

Sarah hits back

Harmonize’s girlfriend fired back at Jacqueline Wolper after she published her list. Sarah savagely attacked Wolper saying she should see a dentist instead of concentrating on rumors.

“I don’t have that habit only u have it.. I left if for u see your list. And please go to dentist to put your teeth good. Live your life b**** @wolperstylish,” wrote Sarah.

 

 

 

Drama! Harmonize retaliates and publishes list of all men who have bedded his ex girlfriend Jacqueline Wolper

On Monday May 7th popular Tanzanian social media influencer and blogger Mangi Kimambi broke news that Diamond Platnumz bodyguard Mwarabu Fighter and Harmonize’s girlfriend Sarah were having an illicit affair.

Both Harmonize and Sarah rubbished Mangi’s ‘outrageous’ allegation. The two sweethearts made it clear that their relationship has not been dogged by unfaithfulness at all.

Harmonize's girlfriend Sarah
Harmonize’s girlfriend Sarah

Also read: Harmonize responds to claims Diamond’s bodyguard is smashing his mzungu girlfriend

Wolper

Harmonize lost his cool when his ex girlfriend Jacqueline Wolper commented on the cheating allegation. Remember Wolper and Harmonize broke up because of Sarah, Wolper claims Harmonize was fooling around with Sarah while they were still dating.

So Wolper couldn’t hide his joy when she heard Sarah was cheating on Harmonize with Diamond’s bodyguard. She called Sarah a cougar.

Jacqueline Wolper
Jacqueline Wolper

“Duh iyo ishu mbona ni exclusive kabisa sijaisikia lakini freshi tu mbona yule demu ni Mlezi wa wana labda kachoka kumlea mwana kaamua kumchukua mwana mwingine freshi tu,” said Jacqueline Wolper during an interview with Sam Misago TV.

Harmonize retaliates

Harmonize hit back at Wolper after she said that Sarah was a cougar. The ‘Kwa Ngwaru’ hit maker says Wolper is the queen cougar, he published a list of young men Wolper has dated just to drive the point home.

 

 

 

Harmonize Amlipua Wolper na Kumuanikia Listi Nzima Ya Wapenzi Wake

Msanii wa Bongo fleva kutoka WCB Harmonize ameingia Tena Kwenye bita ya maneno na Ex girlfriend wake staa wa Bongo movie Jacqueline Wolper.

Siku ya jana kuna video ilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii iliyomuonyesha Wolper akimrushia Dongo Sarah ambaye ni mpenzi wa Harmonize kwa kumuita Mlezi wa wana baada ya taarifa kusambaa kuwa kamtosa Harmonize na kumchukua Mwarabu Fighter.

Baada ya kuona video hiyo, Harmonize alitokwa na povu zito kwani kwa Kupitia ukurasa wake wa Instagram alimtetea mpenzi wake Sarah na kusema yeye sio Mlezi wa wana ila Wolper ni Mlezi wa Wana na kuambatanisha na listi kamili ya wanaume wote aliokuwa nao Kwenye Mahusiano.

Hii sio mara ya kwanza kwa Harmonize na Wolper kuwa na sintofahamu na hata Wolper na mpenzi wa Harmonize Sarah.

Wolper Amtupia Dongo Zito Sarah Wa Harmonize na Kudai ni Mlezi Wa Vijana

Muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper amemtupia Dongo zito Sarah baada ya habari zake za kumtosa Harmonize na kumchukua Bodyguard wa Diamond, Mwarabu Fighter.

Siku mbili zilizopita stori iliyotrend kupita zote ni ya mpenzi wa Harmonize Sarah kumtosa mpenzi wake na kumchukua Mwarabu Fighter.

Inasemekana Sarah amefufa ameoza kwa Mwarabu kiasi ya kwamba anamuhudumia ipasavyo yaani kampangishia hadi nyumba yaani zile huduma zozote alizokuwa anapata Harmonize zimehamia kwa Mwarabu.

Kama utakumbuka Kuwa Sarah na Wolper ni maadui wakubwa na kisa kikiwa ni penzi la Harmonize na juzi tu wametoka kumgombania Harmonize.

Baada ya tetesi hizo za usaliti kusambaa mitandaoni Sam Misago Tv walimsaka Wolper na kumuuliza nini maoni yake juu ya ishu hii kumuhusu Sarah na Wolper ameishia kumtupia dongo zito Sarah:

Duh iyo ishu mbona ni exclusive kabisa sijaisikia lakini freshi tu mbona yule demu ni Mlezi wa wana labda kachoka kumlea mwana kaamua kumchukua mwana mwingine freshi tu”.

Bifu laWolper na Sarah lilianza baada ya Sarah kuanza kuchepuka na Harmonize wakati Wolper yupo Kwenye Mahusiano na Harmonize.

 

Harmonize- Nipo Tayari Kumuoa Sarah

Mwanamuziki wa Bongo fleva kutoka WCB Harmonize amefunguka na kuweka wazi mipango yake ya kumuoa mpenzi wake Sarah.

Kwa muda mrefu kumekuwa na maneno mengi kuhusu Mahusiano ya Harmonize na Sarah huku wengi wakidai Harmonize hana mapenzi ya kweli kwa Sarah bali yuko naye kwa ajili ya pesa.

Huku dhana hiyo ikiwa imepandikizwa na Ex wa Harmonize, Jacqueline Wolper ambaye alisema Harmonize alianzisha Mahusiano na Sarah wakati wako pamoja kwa sababu alikuwa anamuwezesha kifedha.

Lakini Harmonize ameibuka na kuweka wazi kuwa anampenda Sarah na hivi sasa yuko tayari kumuoa mwanamke wake huku akipuuzia maneno yote ambayo yanasemwa na watu.

Kwenye mahojiano na The Playlist ya Times Fm, Harmonize aliweka wazi mipango yake ya ndoa baada ya kuulizwa na Lil Ommy kama ana mpango wa kumuoa Sarah:

Ndiyo nataka nimuoe Inshallah”.

Harmonize anafanya vizuri na nyimbo zake mbili ambazo ni Kwa ngwaru aliyomshirikisha Diamond Platnumz na wimbo wake mpya Dm Chick ambao amemshirikisha Sarkodie.

Wolper Atabiri Kifo Cha Bongo na Kuwataka Wasanii Waache Unafki

Muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Masawe maarufu kama Jacqueline Wolper ameibuka na kuweka wazi kuwa Bongo movie imekufa na kuwataka wasanii waache unafiki.

Wolper alijizolea umaarufu miaka ya nyuma kutokana na uhodari wake katika sekta ya kuigiza lakini siku za hivi karibuni amegeukia ujasiriamali na kujiingiza Kwenye ufundi cherehani.

Wolper ametoa povu zito kwa wasanii wenzake kupitia ukurasa wake wa Instagram huku akiwaasa waache unafki ili sanaa isonge mbele Lakini pia ametabiri kifo cha tasnia hiyo:

Natamani Bongo movie Tupendane saana yani saaaaana, kiukweli na syo kinafk kiasi kwamba ata mtu akitokea akamuongelea bongo movie vibaya basi wote tusimame nae paka ajute kwanini kafanya hlo tukio, lakini maskin ya Mungu mchawi wetu kafa atujui kaburi lake tukamuombe Radhi atusamehe tuwe huru..yani Mtu akikosea ndio kwanza Tunakandamiza nakuonyesha wasioliona lile kosa ichi ni kilio nanimsiba mkubwa R.i.p Bongo movie.
Acha nipambane na cherehani zangu niangalie nijinsi gani nakomboa mafundi chereani na Tuheshimike Tanzania hope Mafundi chereani amtoniangusha na amtokua wanafki”.

 

 

Wolper Awatolea Mate Cardi B na Rihanna

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper ameibuka na kuweka wazi kuwa anawakubali sana wasanii wawili wakubwa ambao ni Cardi B na Rihanna angependa siku moja awavalishe.

Wolper anamiliki duka lake la mavazi ama boutique inayojulikana kama House Of stylish na amewavalisha wasanii kadhaa na nguo zake anazovaa anahusika mwenyewe kuzishona.

Wolper amefunguka na kuweka wazi ndoto zake kubwa katika sekta ya fashion ni kufika mbali kimataifa zaidi mpaka kuwavalisha wasanii wakubwa duniani.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo5 Wolper amesema moja ya ndoto zake ni kuja kuwavisha wasanii wakubwa Marekani kama Rihanna na Cardi B.

Rihanna na Cardi B ndio wana swagger zangu kwa hiyo ni watu ambao ninatamani kuwavalisha, na ninajua one day yes..

Mitandao inaonyesha na inathibitisha kwamba nimebuni kitu one week akaja akavaa Rihanna, nimebuni kitu one day, kesho yake anakuja anavaa Cardi B”.

Kibongo Bongo Wolper ameshawavalisha mastaa kama msanii wa Bongo movie Aunty Ezekiel na wasanii wengine kama Gigy Money na wengineo.

Wolper: Siwezi Kusapoti Tena Kazi Za Harmonize

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara Jacqueline Wolper amefunguka na kusema kuwa hawezi hataweza kukaa na kusapoti kazi za Harmonize sababu anamuonea huruma mpenzi wake Sarah.

Siku chache zilizopita Wolper alitengeneza headlines kwenye mitandao ya kijamii baada ya yeye na mpenzi wa Harmonize Sarah kurushiana vita ya maneno kwenye Instagram.

Ambapo Sarah alimtaka Wolper aache kumtumia Meseji za kumtaka Mpenzi wake Harmonize jambo ambalo lilinkera Wolper kwani aliweka wazi kuwa akaunti yake ya Instagram ilidukuliwa hivyo hakuwa yeye aliyekuwa anatuma Meseji.

Kwenye mahojiano aliyofanya leo na Sam Misago Wolper amesema kuwa ameamua kuacha kabisa kusapoti kazi za Harmonize:

Mimi sio mswahili na wala sina uswahili tulianza mapenzi kwa mimi kusapoti kazi zako lakini sasa naona ili nisikwaze mahusiano yako naona bora nisisapoti kazi za Harmonize kwa sababu yule mwanamke wake anahitaji kuhurumiwa”.

Lakini pia Wolper amesisitiza kuwa amefikia uamuzi wa kumblock Harmonize na Sarah kwenye Instagram ili aepushe maneno maneno.

Wolper: Nisha Hana Vigezo Vya Kutembea na Brown

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amefunguka na kusema kuwa Salma Jabu  maarufu kama Nisha Bebe hana vigezo vya kutembea na Ex boyfriend wake Brown.

Wiki iliyopita picha za Nisha na Brown zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii zikiwaonyesha wakiwa wanakumbatiana na hata kubusiana jambo lililozua maneno huku ilisemekana kuwa ni wapenzi.

Lakini mwishowe Nisha aliachia wimbo wake wa Bachela ambapo ilionekana kuwa Brown alikuwa ni video king Kwenye video hiyo na wawili hao baadae walikana tetesi zozote za Mahusiano ya kimapenzi wakidai ilikuwa ni kazi tu.

Hatimaye Wolper amefunguka kuhusiana na Mahusiano hayo na kuweka wazi kuwa haamini kuwa wawili hao wapo kwenye mahusiano ya kimapenzi.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers Wolper amedai kuwa Nisha ni mchekeshaji hivyo haamini kabisa kama anaweza kutoka na mwanamitindo huyo na pia anazijua taype za wanawake wanaoweza kutembea na Brown haifanani kabisa na Nisha.

Wolper: Sarah wa Harmonize Ana Matatizo Ya Kisaikolojia, Anahitaji Msaada

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu, Jacqueline Wolper amemtolea povu zito hasimu wake namba moja Sarah mzungu ambaye ni mpenzi wa Ex boifrendi Harmonize.

Siku ya jana Wolper na Sarah waliongia kwenye vita ya maneno kwenye mitandao ya kijamii baada ya Sarah kwa mara nyingine kumtuhumu Wolper kwa kumtaka Harmonize.

Sarah alimpa onyo Wolper na kumtaka aache kuongea na Harmonize ambapo alitupia screenshots za meseji ambazo amekuwa akimtumia Harmonize huku imeonekana wazi kuwa hamjibu.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Wolper amemjia juu Sarah huku akidai lazima atakuwa na ugonjwa wa kisaikolojia na kutaka watu wampe msaada:

Hivi ni vitu vya kuona huruma na kusamehe kwa sababu yule dada ana wasi wasi maskini anaamini kwamba nitachukua chombo chake wakati mimi muda huo sina lakini anajua mimi ni kiboko yake kwaiyo anaamini kuwa nitamchukua kitu ambacho siwezi mimi nikipita nimepita siwezi kumchukua tena na cha muhimu yule dada anahitaji mtu wa kumpima akili yule dada sio mzima ana matatizo ya kisaikolojia haiwezekaani kitu kidogo analipuka vile”.

Wolper amefunguka kuwa akaunti yake ilikuwa hacked na mtu ambaye ali hack alikuwa anatuma meseji kwa watu mbali mbali dm ikiwemo kwa Harmonize.

Wolper na Sarah Warudi Vitani Kwa Ajili Ya Penzi la Harmonize

Msanii wa Bongo movie na mfanyabiashara Jacqueline Wolper na Sarah mzungu ambaye ni mpenzi wa Staa wa Bongo fleva kutoka WCB Harmonize wamerudi kwenye ya vita ya mtandaoni.

Wolper na Sarah wamerushiana maneno Kwenye mtandao wa Instagram ambapo Sarah amemtuhumu Wolper kwa kumtumia meseji za Siri Harmonize huku akijua wazi kabisa ni mpenzi wake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Sarah ameandika maneno haya kumtolea povu Wolper na kumchana kuwa anamtongoza Harmonize na kumtumia meseji huku anaona wazi kuwa hamjibu na amemtaka Wolper aishi maisha yake.

Baada ya kutolewa povu hilo, Wolper alimrudishia kombora hilo Sarah na kuandika maneno haya:

 

Hii  sio mara ya kwanza kwa Wolper na Sarah kugombana kisa penzi la Harmonize siku za nyuma Sarah ameshawahi kuanika kuwa Wolper bado anamtaka Harmonize jambo ambalo Wolper amekuwa akikataa siku zote.

Sijawahi Kuachwa na Mwanaume Hata Siku Moja- Wolper

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amefunguka na kuweka wazi kuwa hajawahi hata siku moja kuachwa na wanaume.

Kumekuwa na stori nyingi Za kimbea mtandaoni ambazo zinaongelea kufeli kwa mahusiano ya Wolper na wanaume mbali mbali anaokuwa nao kwenye mahusiano.

Kiukweli kabisa Wolper ni moja kati ya watu waliokuwa na bahati mbaya kwenye mahusiano inawezekana ikawa pia ni wanaume ambao anachagua kuwa nao.

Kwa mwaka Jana pekee Wolper alikuwa kwenye mahusiano na wanaume watatu tofauti ambao ni Harmonize, Brown na Engine.

Lakini hivi sasa Wolper anaweka wazi kuwa mahusiano yake kuvunjika sio yeye mwenye makosa na wala hajawahi kuachwa yeye ndio anaacha kwenye mahusiano.

Wolper amefunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya na The playlist ya Times FM ambapo ameongea Mengi zaidi:

Kiukweli kabisa naamini kuwa hakuna siku ambayo Ex wangu hata mmoja ambaye ameshawahi kuja kuniongelea vibaya Kwenye Interview yoyote kwaiyo kama ningekuwa na matatizo wangekuwa wanakuja kuniongelea vibaya kwaiyo mimi na wao ndio tunajua ukweli kuwa nani ana matatizo  Lakini pia sipendi sana kuongelea maex ila kikubwa ambacho kipo kwangu sipendi ujinga na sipendi kuonekana mpumbavu kwa sababu mimi ni mzuri najiamini natafuta hela yangu napenda kazi yangu na napenda kuheshimiwa kwaiyo kama ukinizingua nakufuta na by the way sijawahi kuachwa”.

 

 

Wolper- Cardi B Ndio Kaniiga Vazi Langu

Muigizaji wa Bongo movie aliyegeuka Mwanamitindo Jacqueline Wolper anayemiliki boutique lake la mavazi linalojulikana kama ‘Wolper House Of Stylish’ amedai Cardi B kamuiga kuvaa vazi lake.

Wolper amedai kuwa staa wa kimataifa rapper kutoka Marekani Cardi B anayefanya vizuri hivi sasa ameiga vazi lake alilolishona mwenyewe na kulivaa siku ya Jumamosi kwenye Vikings Night Show ya Papii Kocha.

Wolper ameibuka na kusema Cardi B amemuiga kwani yeye alivaa vazi lake siku ya Jumamosi tarehe kumi na Cardi B alivaa gauni lake Jumapili tarehe 11 kwenye iHeart Music Awards.

Wolper ametokwa na povu na kuwalaumu Watanzania kwa kuwa na Double standards kwani Cardi B alivyovaa lile gauni wamemsifia lakini yeye wamemponda na kudai kama anataka kupaa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper alitokwa na povu hili:

Young Lunyo Afungukia Tetesi za Kulimendea Penzi la Wolper

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayechipukia kwa kasi ya ajabu Young Lunyo anayeunda kundi la OMG amefunguka na kumuongelea msanii wa Bongo movie Jacqueline Wolper na uwepo taarifa za mahusiano kati yao.

Wolper ni moja kati ya mastaa wa Bongo movie ambaye mara kwa mara amekuwa akihusishwa na wanaume wadogo kiumri maarufu kama viben-10 au serengeti boys kwaiyo watu walivyoona wana mazoea sana hasa kwenye Instagram utaona Young Lunyo anamposti sana Wolper.

Bongo 5 wanaripoti kuwa Young Lunyo amekana tetesi hizo na kudai hazina ukweli wowote ila zimesababishwa na ukaribu ambao walionao wawili hao kwa ajili ya mazoea waliyojijengea:

Wolper ni dada yangu ambaye ananipa sapoti katika muziki wangu na nilivyopata hizo taarifa sikujisikia vizuri kwa kweli, nilijisikia vibaya kwa kuwa tunaheshimiana sana, sijashangaa sana kwa maana ni msanii kwaiyo lazima ingekuwa Ivyo”.

Lakini Young Lunyo amedai kwa upande wake tayari ana mpenzi wake lakini pia Wolper amedai ana mpenzi lakini asingependa kumuweka wazi kwa sasa mpaka muafaka utakapowadia.

Jacqueline Wolper Akemea Wasanii Wanaovaa Nusu Uchi

Muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper amewajia juu wasanii wenzake wa kike ambao mpaka leo wanaendelea na tabia ya kuvaa nusu uchi kwenye mitandao ya kijamii.

Mapema mwaka huu serikali iliingilia kati suala la wasanii kuvaa nusu uchi kwenye mitandao ya kijamii na hata Raisi John Pombe Magufuli aliliongelea hilo suala na hata kusema kuna baadhi ya watangazaji wana tabia ya kuvaa nusu uchi.

Baada ya kutangaza mapambano dhidi ya wasanii ambao wana tabia ya kuimba nyimbo zisizo na maadili ya Kitanzania lakini pia serikali imetilia mkazo suala la mavazi ya heshima kwa watoto wa kike.

Wolper amewatolea povu wasanii wenzake ambao bado wanaendelea kuvaa nguo fupi ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika maneno haya:

Haki ya kweli yule kiongozi wa kukomesha vichupi yuko wapi? mbona bado tunaona makalio ya watu Instagram? au ndio sanaa every where I go me I wonder mpaka Jasho la damu linanitoka chaaa…..hakuna aliyenihach nauliza swali”.

Mapema mwezi wa jana Naibu wa Waziri habari na sanaa Bi. Juliana Shonza alitangaza vita dhidi ya wasanii wote watakaonekana wanavaa nusu utupu moja kati ya wasanii ambao walitajwa alikuwa msanii Preety Kind ambaye aliishia kufungua kufanya sanaa kwa miezi Sita na Gigy Money.

“Nko na msururu ya wanaume” Jacqueline Wolper reveals why was never hurt when she broke up with Harmonize

Jacqueline Wolper says she has never been hurt by the long list of men who dated her. The Tanzanian actress prides herself in having a backup plan when she is in a relationship.

Wolper has no apology using men like toilet paper and dumping them when she so pleases. She has an obsessive interest in young men in particular.

Also read: “Mwanaume si mashine” Harmonize ex Jacqueline Wolper reveals why she likes her boyfriends young and ‘tiny’

Jacqueline Wolper and Harmonize
Spoiled for choice

Wolper reveals that she always have men waiting in the event that her relationship ends. She has dated Tanzanian stars like Diamond and Harmonize.

After her breakup with Harminize, Wolper dated a young model called Brown. She dumped Brown and moved on with another young upcoming artist called Engine.

Jacqueline Wolper

“Sijawahi kuumizwa na mapenzi yaani nisikufiche kabisa sijawahi kuumia kuachana na mtu ila naumia kwa nini nilimtangaza kuachana. Kuumia hapana, kwanza kwa sababu nina foleni ya wanaume wamejipanga wananisubiri nitoke kwenye mahusiano kwaiyo mimi ndio ninachagua nimchukue nani,” said Wolper during an interview with Global TV.

 

 

Sijawahi Kuumia Kisa Mapenzi, Nina Foleni ya Wanaume: Wolper

Muiguzaji mashuhuri wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amefunguka na kusema hajawahi kuumizwa na mapenzi hata siku moja kwani kuna wanaume wamepanga foleni.

Wolper ambaye mwaka jana alikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na msanii kutoka WCB Harmonize lakini waliachana na baadae akaingia kwenye mahusiano na mwanamitindo Brown kisha naye akaachana naye ndipo inasemekana hivi sasa anatoka na msanii anayeitwa Engine.

Wolper amefunguka na kusema kuwa hajawahi kulia kisa mapenzi bali kinachomuumizaga akiachana na mtu ni kwa sababu tu ametangaza na si vinginevyo kwani kuna kuwaga na msururu na foleni ya wanaume wanaokuwa wanamhitaji muda wowote.

Wolper amefunguka hayo kwenye mahojiano aliyofanya na Global Tv alipohudhuria baby shower ya Gigy Money siku ya Jumamosi iliyopita:

Sijawahi kuumizwa na mapenzi yaani nisikufiche kabisa sijawahi kuumia kuachana na mtu ila naumia kwa nini nilimtangaza kuachana kuumia hapana kwanza kwa sababu nina foleni ya wanaume wamejipanga wananisubiri nitoke kwenye Mahusiano kwaiyo mimi ndio ninachagua nimchukue nani”.

Wolper amefunguka na kuweka wazi kuwa kwa sasa anaelekeza nguvu zake zote kwenye biashara yake ya nguo na filamu ataweka kando kwa sasa kwani anataka biashara yake imfikishe mbali.

“Sijioni Mzuri Bali Mimi ni Mzuri” Wolper Amtolea Povu Shabiki Aliyemshauri Aolewe

Muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper amerudi Kwenye headlines za mitandao ya kijamii baada ya siku ya jana kuvurugana na shabiki wake na kurushiana maneno mazito baada ya shabiki huyo kumshauri Wolper aolewe.

Sakata hilo lilianza baada ya Wolper kuweka picha ya harusi ya Ay na Remmy na kuisindikiza na makopa kibao kuonyesha sapoti yake kwa couple hiyo lakini cha ajabu shabiki huyo alimtolea povu Wolper ambapo aliandika maneno haya kwenye picha hiyo:

Ufanye na wewe uolewe umekazana kujiona mzuri na pengo lako kama mfereji wa maji machafu”.

Baada kupewa maneno hayo Wolper alishindwa kuvumilia kwani alimjia juu shabiki huyo na kumuibia;

Yaani umeandika kwa jazba mwenyewe kwanza pole, pili sio kwamba najiona mzuri mimi ni mzuri, tatu kuolewa kwangu hakuhusiani na hili pengo ulivyo mjinga unaona hili pengo ndio shida kuolewa wanaolewa vipofu na hawamjui bwana au mke anafananaje mxiuuuui itakuwa pengo langu linalokusanya mate ya denda… We anza kuolewa kwanza kwa niaba yangu    alafu uende kwenye darasa la ndoa ili ukajue ndoa haibebwi na pengo…mshamba wewe”.

Baada ya povu hilo Wolper alimblock Shabiki huyo na kuandika kwenye ukurasa wake wa Instagram “I honestly can’t handle anymore stress in my life right now”.

Jacqueline Wolper: Nimepoteza Muda Wangu Mwingi Kufanya Bongo Movie

Muigizaji maarufu wa Bongo movie ambaye hivi sasa amegeuka na kuwa mjasiriamali Jacqueline Wolper ameeleza majuto yake ya kupoteza miaka mingi ya kufanya Sanaa ya Bongo movie.

Wolper amekuwa maarufu Kwenye tasnia ya Bongo movie kutokana na filamu kadhaa alizoigiza kuanzia miaka ya nyuma huko tangu enzi za supastaa marehemu Kanumba.

Miaka ya hivi karibuni upepo umebadilika na kumekuwa na maneno kadhaa ya kuelezea kifo cha Bongo movie huku wadau wengi wa filamu wakilia na suala la hatimiliki kuua soko la Bongo movie lakini watu wengi hasa mashabiki wameongelea suala la ukosefu wa ubunifu na uhalisia kuua soko.

Wolper amefunguka na kusema anajutia kupoteza muda wake kukomaa na Kufanya Bongo movie kwa miaka yote badala yake anaona angejiingiza kwenye ushonaji kama hivi sasa. Wolper anamiliki duka la nguo ‘Boutique’ linalojulikana kama Wolper house of stylish.

Wolper ameongea hayo na Global Publishers ambapo amedai kuwa miaka kumi iliyopita alitumia nguvu kubwa mno kukuza jina lake kupitia sanaa lakini ukweli ni kwamba angetumia nguvu hiyo kukuza kipaji chake cha ushonaji basi bila shaka angekuwa mbali:

Ningejua tangu mwanzo ningekomaa na mitindo maana naona huku watu wananielewa zaidi na ninapata pesa nyingi lakini kwenye filamu nimeishia kujulikana”.

 

Young Tusso Bado Anazimika na Penzi la Wolper

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayejulikana kama Young Tusso ambaye alijipatia umaarufu miaka ya nyuma kwa mara ya kwanza baada ya kutoa wimbo wake aliouita Jacqueline Wolper.

Young Tusso aliupa wimbo huo jina la Wolper kwa sababu wimbo mzima alimuimba Wolper na kufunguka jinsi gani anamkubali na yuko tayari hata kumuoa siku moja endapo atapata nafasi kwake.

Young Tusso Akiwa na Wolper

Baada ya kusikia wimbo huo na kuvuma sana Wolper alikiri kuvutiwa na wimbo na alisema anamkubali Young Tusso kama shabiki wake lakini pia alisisitiza kuwa na yeye pia ni shabiki wa kazi za Young Tusso.

Lakini tangu hapo Young Tusso hakukomea kumtaja Wolper kwenye nyimbo zake nyingine ameendelea kumtaja Wolper Kwenye nyimbo zake nyingine kama ishara ya kwamba anampenda kimapenzi jambo ambalo baadhi ya wadau wa muziki wamedai inamuharibia biashara.

Kitu ambacho Young Tusso amekataa kata kata kwani amedai anaongea kuhusu mambo mengine mengi zaidi ya kumuongelea Wolper hivyo itakuwa ngumu kwa kufeli kimuziki.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Enews ya East Africa Tv, Young Tusso alifunguka yafuatayo:

Kwanza ukisikiliza wimbo wangu wa ‘Kaza roho’ ni wimbo ambao nimezungumza vitu vingi sana sijui kwa nini watu wameishika sehemu niliyomtaja Wolper  Alafu isitoshe sioni tatizo kumtaja kwani sijamtaja kwa ubaya ni feelings tu ninaepress mapenzi yangu kwake”.

 

Jacqueline Wolper: Msituchukulie Poa Bongo Movie

Muigizaji wa Bongo movie maarufu kabisa jacquiline Wolper amewataka wabongo wote hasa wale watu wenye tabia ya kuiponda Bongo movie wasiwachukulie poa kwani wanarudisha heshima yao hivi karibuni.

Kwa muda mrefu Sanaa ya Bongo movie Imesemwa kuwa imekufa na kila mmoja kuinyoshea kidole kwa kukosa ubunifu ambao ni muhimu ili kusaidia kuipeleka mbele ili kuhakikisha inakuwa na kufika level za kimataifa zaidi.

Ni kawaida siku hizi kusikia watu wakiiponda Bongo movie hasa inapofika wakati kuwa kuna makosa kadhaa ya kiubunifu yanafanyika. Imefika kipindi imekuwa hata ni kama soko Lao limekufa kwani sio sawa na miaka mitano nyuma.

Jacquiline Wolper ni moja ya msanii wa kike aliyejipatia umaarufu wake kutokana na kuchepuka filamu kadhaa za Bongo movie ambazo zilimletea umaarufu lakini hivi karibuni imekuwa ni nadra sana kuona wasanii hawa wanacheza filamu zao kutokana na soko Lao kupotea.

Wolper amefunguka na kusema sio kweli Bongo movie imekufa bali ni ilikuwa imelega tu ila hivi sasa wamepata madirector wapya hivyo wanategemea kurudi Kwenye chati kama zamani, kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika haya:

Oya msituchukulie poa Bongo movie hii ndio class yetu na tunapeta kazi zinafanya zituweke mjini msidharau jamani…kwanza nasikia Bongo movie tumepata director mpya tutarudi tu chatini”.

 

Jacqueline Wolper Awachana Wanaume Wote ‘Wadangaji’

Msanii wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper amewafungukia na kuwatolea povu wanaume wote ambao wanapenda kudanga.

Kudanga ni neno linalotumiwa sana hapa Bongo ambalo linaweza kumaanisha kuchuna buzi ambapo linawalenga hasa wadada wengi wa mjini ambao wanapenda miteremko katika maisha lakini sahivi mambo yamebadilika kwani hata wanaume wanatuhumiwa sana kwa kudanga.

Wolper amewatolea uvivu wanaume wote ambao wana kawaida ya kuchuna wanawake zao ambao kwa hivi sasa ni maarufu kama vibeni-10, ambapo Wolper amewasihi wawe makini maana wakiendekeza kudanga basi wataishia kuwa mahouse boy.

Wolper alifunguka hayo na kurusha dongi hilo kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo aliandika:

Naomba mjifunze kitu wanaume wadangaji, mnadanga au mnadangwa mwisho wa siku unageuka houseboy kwa unayoenda kupambana nayo…..sio kila unachokiona kipo kama unavyokiona!”.

Baada ya ujumbe huo kusambaa mitandao ilianza kuenea kuwa hilo lilikuwa ni dongo ambalo Wolper alimrushia mpenzi wake wa zamani anaye julikana kama Brown ambaye alikuwa ni kiben-10 cha Wolper ambapo alikuwa analelewa na Wolper na kuhudumiwa kila kitu lakini baadae walikuja kuachana.

Wolper hivi sasa ana maisha mengine na ameshakuwa mchumba wa mtu baada ya kuvalishwa pete na mwanaume wake anayeitwa Engine ambaye ni msanii wa Bongo fleva.

 

Sitaacha Kuwakomesha Wanawake Wenzangu- Jacqueline Wolper

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabishara maarufu  Jacqueline Wolper amefunguka na kudai kuwa hatoacha kuwakomesha na kuwasema wanawaje wenzake wote ambao hawataki kujishughulisha.

Wolper ambaye mbali na kufanya vizuri katika tasnia hii ya sanaa ya Bongo movie bali amejikita ni moja kati ya wafanyabiashara wazuri kwani ana duka lake la nguo/ boutique ambalo anashona na kuuza nguo linaloitwa ‘Wolperstylish’.

Wolper amefunguka na kusema kuwa kamwe hataacha kuwakomoa na kuwasema wanawake wenzake ambao wameishia kujibweteka tu majumbani na hawataki kujishughulisha kwa jambo lolote wala jambo lolote.

Wolper amefunguka hayo kwenye interview yake aliyofanya na Friday Night Live ya East Africa TV ambapo amesema kuwa ni wakati sasa wa mabinti kuacha kutegemea pesa wanazopewa na wanaume na badala yake wajishughulishe ili kutengeneza pesa zao wenyewe:

Nataka niongee na wadogo zangu wa kike 2018 mimi naendelea kuwatia hasira na kuwaambia kuwa hela ya mwanaume sio yako, ukishachukia pesa ya mwanaume Fanya kitu chako ili iwe yako usikubali kunyanyasika kwa pesa za mtu mwingine, kwaiyo wadogo zangu wanawake wenzangu nitaendelea Kuwa inspire ili ufanye kazi ili utambue hela yako, kamwe usitambue hela ya kuhongwa kama yako”.

 

Ndoa ya Wolper Kugharimu Mil.60

Harusi ya staa mkubwa bongo Jackline Wolper inayotegemewa kufanyika siku yoyote hivi karibuni inategemewa kufanyika na kugharimu zaidi ya millioni 60 huku ikisemekana kuwa itakuwa ndoa kubwa ya aina yake itakayofanyika kwa mbwembwe nyingi sana.

Wolper ambae anasema kuwa harusi hiyo itakayofanyika nchini Tanzania na kisha kuhamia Marekani itakuwa ya kuacha historia kubwa sana bongo na sehemu nyinginezo na hata watakapokwenda Marekani haitakuwa ya watu wengi zaidi ya kumchukua rafiki yake wa karibu Aunty Ezekiel.

Milioni kama 60 zitztumika mbapo milioni 50 zitzfanyika kwa ajili ya harusi ya hapa bongo,na nyingine kama 10 kwa ajili ya kule marekani kwa sababu kule hakutakuwa na watu wengi.wasanii ambao nitaenda nao kule watakuwa kama wanne tu,mmoja kati ayo atakuwa ni aunty ezekiel  kwa sababu huwa ananipa sapoti sana katika biashara zangu , hivyo huyo siwezi kumuacha  kabisa. -Alisema wolper alipokuwa akiongea na moja ya waandishi wa gazeti wa kampuni la GPL

Jacqueline Wolper opens up about plan to spend 60 million on her two weddings

Jacqueline Wolper is set to wed her toyboy Sadick Athanas. The actress will have two weddings one in Tanzania and another one in America.

Jacqueline Wolper wants to settle down with a new toyboy. The actress was forced to unveil her new catch after his photos were leaked online.

Jacqueline Wolper with her soon husband-to-be Sadick Athanas

Wolper, who dated both Diamond and Harmonize, is now serious about marriage after years dating random men. She plans to spend Tsh 60 million/Kes 2.7 million on her wedding.

“Milioni kama 50 zitatumika kwenye sherehe ya hapa Bongo na nyingine 10 nje kwa sababu kule Marekani hatutakuwa na watu wengi sana,” Jacqueline Wolper said.

Tag along four artists

Wolper also reveals that she will fly four artists to America for her wedding there. She states that she will cater for the air tickets, accommodation and allowances.

“Wasanii ambao nitaenda nao kwa ajili ya kuhudhuria harusi yangu ni wanne tu, mmoja kati yao ni Aunt Ezekiel kwa sababu huwa ananipa sapoti kwenye biashara zangu hivyo siwezi kumwacha.”

 

Jacqueline Wolper unveils new toyboy who she now wants to marry (Photos)

Finally Jacqueline Wolper wants to settle down with a new toyboy. The actress was forced to unveil her new catch after his photos were leaked online.

Jacqueline Wolper dated and had a fling with several young men in 2017. Idris Sultan recently joked that the number of men Wolper was involved with in 2017 exceeded the number of song Alikiba released in the same year.

Wolper dumped Harmonize last year and hooked up with a certain man named Brown who was said to be bisexual. She also got rid of Brown and became a ‘free agent’ until she met the new man whom she now wants to marry.

Meet ‘Engine’

Wolper plans to marry an upcoming Tanzanian singer Sadick Athanas popularly known as ‘Engine’. The actress had previously refused to to unmask Engine for fear of losing him to other women.

Jacqueline Wolper and Sadick Athanas aka ‘Engine’

Jacqueline Wolpe revealed in a past interview that her new toyboy would traveled to her parents’ home in Moshi to pay dowry.

 

 

Huyu Ndio Mume Mtarajiwa Wa Jacqueline Wolper

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara Jacqueline Wolper hatimaye alitangaza kuwa ana mpango wa kuolewa wiki iliyopita na hatimaye mume mtarajiwa amejulikana.

Jacqueline aliwashtua watu wengi baada ya kutangaza kuwa ana mpango wa kuolewa ikiwa kiukweli ulikuwa hata gaujapita hata mwezi tangu ameachana na mpenzi wake aliyekuwa naye kwa miezi michache Brown au BFF.

Ingawa aliweka wazi kuwa anaenda kutolewa mahali kwao Moshi lakini pia aliweka wazi kuwa hana mpango wa kumuweka wazi bwana harusi kwa kile alichodai kuwa anaogopa kuibiwa lakini mapaparazi wa mjini wamemtafuta na hatimaye sura yake imeonekana.

Jamaaa huyo aliyemchumbia Wolper kijijini kwao Moshi kwa Bibi yake na inasemekana kuwa kwa jina anaitwa Sadick Athanas lakini jina lake la umaarufu anaitwa Engine na pia ni msanii chipukizi wa mziki wa Bongo fleva.

Gazeti la Amani limeripoti kuwa sherehe ya kuchumbiwa kwa Wolper iliyofanyika wikiendi iliyopita ilizua gumzo la aina yake baada ya muoaji kufanya kufuru ya aina yake inasemekana sherehe hiyo ilihusisha msafara Mkubwa wa magari kutoka Dar es Salaam kuelekea Moshi kijijini.

 

 

Idris: The number of men Wolper dated last year exceed the number of songs Alikiba released

Idris Sultan has killed two birds with one stone. He took a swipe at Jacqueline Wolper and Ali Kiba with a single post on social media.

Jacqueline Wolper has dated several men, some of her relationships barely lasted a month. The actress reveals she usually looks for fun and not a serious relationship that leads to marriage.

“Kwa kuwa nafanya vitu vya kijamii , najaribu kuepukana na baadhi ya mambo, mahusiano yangu mnayoyaona katika mitandao huwa ni ya kujifurahisa tu kwakweli na ndo maana mnaona nachiachia sana lakini endapo mama yangu angekuwa katika mitandao ya kijamii wala nisingejaribu kufanya hivyo, lazima niwaheshimu wazazi wangu,” Jacqueline Wolper said during an interview with Global Online TV.

Jacqueline Wolper with one of the boys she dated

Number of men

Idris Sultan is thrilled by how Jacqueline Wolper changes her men like a model changes clothes. The comedian jokingly said the number of men Wolper dated in 2017 exceeds the number of songs Alikiba released in the same year.

“Idadi ya wapenzi wa Wolper mwaka huu ni kubwa kuliko nyimbo alizotoa Kiba.” Idris tweeted.

Wolper Atangaza Kutolewa Mahari Siku Ya Leo Kwao Moshi

Muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper aeweka wazi mipango yake ya kutaka kuolewa hivi karibuni baada ya kusema kuwa siku ya leo anatolewa mahari.

Wolper ni moja kati ya watu waliopitia historia ndefu kimapenzi na watu mbali mbali mpaka kufikia leo hatimaye amepata mwenzi.

Ni mwezi uliopita tu Wolper alikuwa na uhusiano na kijana anayeitwa Brown lakini hsbari za wawili hao kuachana zilitapakaa in tangu hapo Brown amekuwa akitajwa kuwa na uhusiano na wanawake mbali mbali.

Jana kupitia ukurasa wake wa Instagram Wolper aliweka wazi mipango yake ya kuolewa ambapo aliandika:

Nashukuru sana Mungu kwa kuniamini na kwa kuwa na mimi na kutaka kubadilisha historia ya maisha yangu wewe ni mwanaume ambaye umejitoa ili niwe wako umetaka tufike mbali kwanza ndio mambo mengine yafuate (uwende kwa wazazi (ndoa)) pamoja na kwamba mahusiano yangu ya nyuma yalikuwa yana misukosuko mingi ila wewe ni mwanaume uliyemthamini Jacq, nilipotoka niliteswa na mapenzi yaani usaliti, dharau. Pamoja na hayo alishatokea mmakonde mmoja na kunipeleka mpaka mtwara na matembele nikachuma wanakijiji kunipokea na kwa wazazi nikatambulishwa lakini sikufanikiwa kufikia hatua hii ambayo umeifikia! Umenijali na umenisikiliza nilipokwambia sihitaji mtu bali future husband, Nashukuru sana Mungu kwa kunifunza kunyamaza kwenye haya mahusiano kati yangu na wewe, can’t wait kesho Moshi watakavyompokea mkwe wao kwa ajili ya kutoa mahari na mambo mengine najiona mwenye bahati sana kumaliza mwaka kiaina hii  na kuanza mwaka nikiwa na wewe. Mungu akubariki wa kuniona na kuniamini kuwanafaa kuwa mke wako”.

 

Mimi Bado Ni Bikra – Jacqueline Wolper

Muigizaji wa Bongo movie na mfanyabiashara maarufu Jacqueline Wolper ameibua mzozo mtandaoni baada ya kuandika na kudai kuwa yeye bado bikra.

Wolper amekuwa kwenye vichwa vya habari sana kwa mwaka huu wa 2017 aliuanza mwaka kwa kushangaza watu wengi na kuzua mjadala mzito baada ya kuweka wazi uhusiano wake wa kimapenzi na msanii kutoka WCB Harmonize lakini uhusiano wao pia uliisha kwa kishindo miezi michache iliyopita huku kila mmoja akimnyooshea mwenzake kidole kwa kujihusisha na usaliti.

Lamini Wolper hakuishia hapo alianza kutoka na kijana mdogo kwake au kwa lugha rahisi ni kiben-10 wake ambaye alijulikana kama Brown lakini nathubutu kusema uhusiano huuhaujawa mrahisi kwa Wolper kwani yeye na Brown wamekuwa watu wa kuachana na kurudiana na hivi sasa wameachana tena .

Wolper amezua gumzo tena kwenye mtandao wa kijamii baada ya kuanfika kwenye ukurasa wake wa Instagram kuwa yeye ni msichana bikra ambapo aliandika “Wallahi I am still a virgin na mavirgin wenzangu tukutane High spirit kesho”. Hii ni kauli ambayo iliwashangaza wengi kwani inaelekea watu wengi hawakuamini kuwa Wolper anaweza kuwa bikra huku wengi wakidai kuwa amekuwa na uhusiano na wanaume wengi mpaka kuwa bado bikra.

Pamoja na hayo yote Wolper amesisitiza kuwa kwa sasa kitu pekee anachojali ni kufanya kaziJac zake na kukuza biashara zake ambapo duka lake la nguo la Wolper house of stylish linafanya vizuri sana

Wolper Amefunguka Sababu Iliyomfanya Mpaka Wazazi Wake Kumtimua Nyumbani

Mfanyabiashara na muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper amefunguka kwa mara ya kwanza na kueleza siri iliyomfanya mpaka wazazi wake wakamtimua Nyumbani kwao.

Wolper ametoa siri ya jinsi wazazi wake walivyomsusa kwa kudai kuwa Kisa anawadhalilisha wakati amekuja Dar-es-salaam kujitafutia maisha.

Wolper amesema kuwa kiuhalisia familia yake ni watu ambao wanajiweza, hivyo alivyoamua kifanya biashara ya umachinga katika soko la Kariakoo familia yake haikupendezwa na kuamua kumtenga:

Wolper alifunguka hayo yote kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5 ambapo alizidi kufunguka na kudai:

Kuna baadhi ya mabinti wananiambia wanataka kuwa kama Wolper lakini hawajui mimi nilianzia chini nakumbuka nilianza kuwa machinga Kariakoo nakumbuka nimeshatukanwa sana lakini pia hao watu wanaotaka kuwa kama mimi hawajui kuwa nilichuniwa nyumbani kisa kufanya kazi ya kuuza sabuni kwa sababu wazazi wangu kidogo wana uwezo na walikuwa wana uwezo wa kunitunza mimi na kunipa biashara nikafanya na nikaweza kuendelea na maisha yangu lakini mimi nikaenda kuiza sabuni kama machinga kule kariakoo kwaiyo wenyewe wakaona kama nimewadhalilisha kwa kufanya vile hivyo ikapelekea mpaka wazazi wangu kunichunia kwa mwaka au miaka miwili mizima lakini hizi zote ni changamoto za maisha ambazo lazima uzipitie katika njia yako ya kupata mafanikio”.

Wooler anayefanya vizuri kwenye biashara zake za duka lake la Wolper Stylish lakini pia App yake aliyoizindua hivi karibuni ambayo itaonyesha mambo Mengi kuhusu maisha yake na pia kazi zake sanaa na ujasiriamali.

“Hili pengo nimelipandia ndege kwenda South Africa” Jacqueline Wolper hits back at trolls making fun of her gap teeth

Jacqueline Wolper is gap-toothed and she is proud of it. Critics have been making fun of Wolper’s gap teeth and she decided to hit back.

Critics started trolling Jacqueline Wolper during her birthday a few weeks ago. A viral photo of the actress’ gap tooth was the reason why trolls started mocking Wolper.

Jacqueline Wolper during her birthday. This photo was the reason why critics started trolling her

I traveled to South Africa to get silver tooth

Jacqueline Wolper says the viral photo showing a wide gap between her teeth was photoshopped. The actress reveals that she traveled to South Africa to get a silver tooth filled on the gap between her teeth. Wolper also asserts that she is very proud of her gap teeth.

“Ngoja niwaelezeni kitu kimoja ambacho hamkijui kuhusiana na hili pengo….hili pengo nimelipandia ndege kwenda South Africa kwenda kulitoa na kuweka ma silver sasa wewe kunguni unatokea pasipojulikana unakuja kuedit ukadhani nitakasirika am soleee…mimi najipenda nilivyo na ikitokea nimechoka nitanyanyua makalio yangu na kwendaa kuweka jino ili niwe na jino so pliz usitokwe nadamu pliz pengo langu ndilo ninalodanga kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui,” wrote Jacqueline Wolper on Instagram.

 

Wolper Amedai Kuwa Pengo Lake Ndio Linamsaidia Kudanga

Mfanyabiashara na muigizaji wa Bongo movie Jacqueline Wolper amewajia juu wale watu wote wanao-muedit na kumsema kuhusu pengo lake jeusi na kudai kuwa like pengo ndio linalomsaidia kudanga.

Wolper aliwaacha watu wengi midomo wazi baada ya kuandika maneno hayo lakini kwa habari za chini chini na za kimbea zinadai kuwa Wolper alimrushia dongo lile mrembo mwingine anayejulikana kama Husna Maulid.

Inadaiwa kuwa Husna Maulidi ana uhusiano na mpenzi wa zamani wa Wolper (ex-boyfriend) anayejulikana kama Brown. Sakata hilo lilianzia kwenye mtandao wa Snapchat ambapo Husna aliweka picha ya pengo la Wolper na kumcheka kwa kebehi.

Baada ya kuona hivyo Wolper alimjibu Husna kwa kumuita skeleton kutokana na wembamba wake ambapo aliandika:

Walahi nimecheka mpaka nimepaliwa skeleton unajua kuniua mbavu zangu, nalipenda sana pengo langu aaah najua kinachokuumiza hujatia sign….Hapa kazi tu skeleton”.

Lakini Wolper hakuishia hapo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliwatolea povu wale wote wanaomkejeli Kisa pengo lmatak kusisitiza lina thamani sana na ndio linamsaidia kudanga.

Ngoja niwaelezeni kitu kimoja ambacho hamkijui kuhusiana na hili pengo….hili pengo nimelipandia ndege kwenda South Africa kwenda kulitoa na kuweka ma silver sasa wewe kunguni unatokea pasipojulikana unakuja kuedit ukadhani nitakasirika am soleee…mimi najipenda nilivyo na ikitokea nimechoka nitanyanyua makalio yangu na kwendaa kuweka jino ili niwe na jino so pliz usitokwe nadamu pliz pengo langu ndilo ninalodanga kwa taarifa yako kama ulikuwa hujui”.

 

 

Zari Hassan nowhere to be seen as Diamond parties all night with his ex girlfriend Jacqueline Wolper

Diamond Platnumz and Jacqueline Wolper spent Thursday night partying together. Zari Hassan however didn’t attend the party in Dar es Salaam.

Tanzanian showbiz is the most interesting in East Africa. Bongo celebrities just keep recycling boyfriends and girlfriends.

Diamond, Alikiba and Harmonize have all shared the same girl – Jacqueline Wolper. The Tanzanian actress dated the three singers at different time of her life.

Wolper’s birthday party

Wolper arrived at her birthday party at a club in Dar dressed like the queen of Sheba. Diamond was the first person Wolper embarrassed when she got into the club.

Diamond and Wolper tightly hugged each other and spent almost a minute whispering in each other’s ears in the same posture.

Watch the video below to see how the two ex lovers rekindled old memories:

Wolper Amsifia Faiza Kwa Picha Yake Ya Uchi Adai Asijali Maana Wabongo Washamba

Muigizaji wa Bongo movie na mwanamitindo Jacqueline Wolper ameibuka na kumpa tano rafiki take Faiza Ally kwa picha ile ya uchi na kudai asijali maana wabongo ni washamba tu kwa kutoelewa maana ya picha ile.

Mwishoni mwa wiki iliyopita Faiza aliwashangaza watu wengi baada ya kuamua kurusha picha iliyomuonyesha akiwa uchi kabisa huku sehemu zake za siri zikiwa wazi wakati akizaa leba mtoto wake wa kiume. Baada ya pica hiyo kusambaa ilizua gumzo sana na kusababisha picha hiyo kuenea mtandaoni kama moto wa kifuu.

Baada ya picha hiyo watu wengi walimjia juu Faiza huku mastaa wa mziki kama Snura akimuomba Faiza aitoe picha ile kwa kuwa ilikuwa haimdhalilishi tu yeye kama mwanamke bali wanawake wote maana mambo yanayotokea leba yanapaswa kuwa ya siri kabisa.

Wolper alipohojiwa na kituo kimoja cha habari ili aweze kupima uzito kwenye suala linalo-trend hivi sasa ambalo ni picha ya uchi ya Faiza, Wolper alidai anawashangaa wait wanaomponda Faiza aliyeposti picha hiyo hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa Instagram wakati yeye amevutiwa sana na kitendo hiko na iko siku atamuiga.

Wabongo ni washamba sana ushamba ndio unawasumbua sio kitu kingine kabisa, sioni ubaya wa ile picha hata kidogo eti katudhalilisha sasa pale kamdhalilisha nani? Mimi nimefurahi mno na binafsi ipo siku nitamuiga endapo nitajaaliwa kupata mtoto wangu mwenyewe”.

 

Wolper: Sina Wivu Nimemualika Harmonize na Mpenzi Wake Kwenye Party Yangu

Muigizaji wa Bongo movie na mwanamitindo maarufu Bongo, Jacqueline Wolper amefunguka na kudai kuwa hana hata chembe ya wivu wa kimapenzi kwa Harmonize na mpenzi wake Sarah na ndio maana amewaalika wote wawili kwenye party ya birthaday yake.

Wolper na Harmonize waliachana miezi michache iliyopita baada ya kuwa pamoja kwa muda. Baada ya kuachana kila mmoja alimtuhumu mwenzie kwa kuchepuka huku Wolper akiweka wazi kuwa waliachana kwa sababu Harmonize alikuwa na uhusian na Sarah kwa sababu ya fedha alizonazo mzungu huyo. Lakini hata baada ya kuachana na kila mmoja kupata mpenzi ambapo Harmonize alianzisha uhusiano na Sarah na Wolper alianza uhusiano na Brown lakini bado wawili hao wamekuwa na bifu la chini chini.

Siku ya jana ilikuwa sherehe ya siku ya kuzaliwa ya Wolper ‘birthday’ ambapo yeye mashabiki zake pamoja na ndugu zake walienda kushiriki kula chakula cha mchana na kituo  cha kulelea watoto yatima Temeke. Lakini aliweka wazi kuwa party kubwa ya birthday yake itafanyika leo tarehe saba.

Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv, Wolper aliweka wazi kuwa kwa sasa hana tatizo lolote na Harmonize wala  mpenzi wake mzungu Sarah ndio maana amewaalika kwenye sherehe yake:

Nimemualika Harmonize na sio yeye tu hadi mwanamke wake Sarah ili kuonyesha kuwa sina wivu wowote tupo sawa kabisa alafu ningekuwa nasikia wivu kama watu wanavyosema basi nisingewaalika kabisa yaani kwenye maisha mapenzi yanaisha na unatakiwa uendelee na maisha yako sasa mimi nimesha-move on na maisha yangu na nashukuru kwa sasa tumekuwa ndugu na Sarah inabidi tu awe ndugu yangu ili nimsaidie hata kujua kiswahili na pia nimsaidie kama Harmonize akichepuka nimpe nyendo zote ili nimwambie kama anachepuka kwaiyo inafika wakati watu inabidi tu muwe marafiki”.

 

“Mwanaume si mashine” Harmonize ex Jacqueline Wolper reveals why she likes her boyfriends young and ‘tiny’

Jacqueline Wolper is fond of dating men who are younger than her. The Tanzanian actress has now explained her choice for boyfriends.

Jacqueline Wolper was dating Harmonize before she dumped him and moved on with another young man. Wolper has a fixation on young men especially if they are slim. Wolper also dated Diamond Platnumz, another team slim.

I can’t handle big men

Jacqueline Wolper and Harmonize

Jacqueline Wolper opened up about her choice for men while speaking on EATV’s Friday Night Live. The actress confessed that she gets turned on by men who are small body-wise.

Wolper states that she doesn’t chose her men based on what they carry between their legs. She reveals that she can’t handle big men.

“Actualy siwezi kusema nachukuliaje wanaume wenye maumbile madogo, na ndio nawapenda pia, kwa sababu mimi mwenyewe mdogo, nitapendaje vitu vikubwa ambavyo siwezi kuvihimili? Unajua mwanamke anayesema mwanaume mashine namshangaa, mwanaume pesa bwana, mwanamke ambaye anajua maisha, hawezi kusema mwanaume mashine, mimi mwenyewe siwezi kusifia mashine,” said Jacqueline Wolper.

 

Wolper Amedai Kuwa Anapenda Wanaume Wenye Vibamia Kwasababu Ana sehemu Za Siri Ndogo

Muigizaji wa Bongo movie, Jacqueline Wolper ameibuka tena kwenye headlines wikiendi hii baada ya kuweka wazi kuwa anapendelea kuwa na uhusiano wa kimapenzi na wanaume wenye uume mdogo kwani yeye mwenyewe ni mdogo.

Wolper aliacha watu midomo wazi Ijumaa iliyopita kwenye kipindi cha Friday Night live alipoulizwa kuhusiana na maneno aliyoyaweka kwenye ukurasa wake wa Instagram siku za nyuma kidogo ambapo inadaiwa kuwa alisema kuwa hapendi wanaume wenye vibamia anapenda waliojaliwa lakini siku hiyo alikataa kuandika maneno hayo badala yake alidai kuwa anapendelea vibamia na kusema mwanaume pesa sio mashine kubwa:

Kwenye mahojiano na East Africa Tv kupitia kipindi cha FNL Wolper alifunguka yafuatayo:

Mimi binafsi napendelea mwanaume awe na uume mdogo pia kwa sababu mimi mwenyewe mdogo kwaiyo utaona kabisa siwezi nikapenda vitu vikubwa ambavyo siwezi nikavihimili na kama kuna mwanamke anayekwambia mwanaume mashine huyo ni muongo maana kiukweli mwanaume ni pesa ukishakuwa na pesa hicho kibamia kitapendwa tu na kwa mwanamke aliyepitia mambo mengi maishani atapenda pesa siyo mashine kubwa”.

Mbali na hayo pia Wolper alifunguka kuhusu uhusiano wake na mpenzi wake Brown na kusema kuwa bado wako wote na wanapendana sana lakini pia ameongelea kuhusu biashara zake hasa inayofanya vizuri sana kwa hivi sasa ya duka lake la fashion.

Harmonize- Namuheshimu Wolper Ameona Utupu Wangu

Mwanamuziki kutoka WCB, Harmonize anayetamba na nyimbo zake mbili zinazofanya vizuri ‘shulala’ na ‘nishachoka’ amefunguka na kusema anamuheshimu sana Wolper kwa sababu ameona utupu wake.

Siku za hivi karibuni kumekuwa na attention kubwa sana iliyoelekezwa kwa Harmonize na mpenzi wake wa zamani wake Jacqueline na mpenzi wake wa sasa Sarah. Sakata hilo lilianza tangu Wolper alipoachana na Harmonize na kuweka wazi kuwa Harmonize yupo na Sarah kwa sababu ya pesa. Siku chache zilizopita baada ya Harmonize kutoa ngoma yake ya Shulala wanawake hao waliingia kwenye ugomvi mkubwa mpaka kusemekana kuwa Harmonize amerudiana na Wolper kitu ambacho Harmonize alichokataa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Lil’ommy  Harmonize alikataa kuwa wimbo wake wa ‘nishachoka’ amemuimbia Wolper:

Unajua msanii mzuri ni yule anayeimba nyimbo zinazogusa maisha ya watu na mapenzi ni kitu kinachogusa watu wengi kwaiyo ule wimbo mi nimeimba ili niwafurahishe mashabiki wangu lakini sio kweli kwamba nimemuimbia Wolper, kuhusu kumtumia model anayefanana na Wolper halikuwa wazo langu mi nimeimba nyimbo director ndo akachagua model wa kuwepo kwenye video kwaiyo mi sijui lolote itakuwa vizuri umuulize director”.

Harmonize aliendelea zaidi kufunguka kuhusu Wolper na mchango wake;

Kikubwa naomba nimshukuru Wolper kwa kuiposti ngoma yangu na kuisapoti kwani ametumia muda wake, bando lake, image yake kaweka kwenye kazi yako  kwa kweli sio kitu rahisi, mi namheshimu sana na namshukuru sana naomba mwenyezi Mungu amjaalie na ukizingatia vitu vyote vilivyokuwa vinatokea kwenye mitandao ya kijamii yeye ndo alikuwa anazungumza kwenye media kwa sababu mimi sio mtu muongeaji sana alafu mi huwa namheshimu sana mwanamke ambaye ameona utupu wangu siwezi nikakaa nikamzungumzia vitu alivyokuwa anafanya”.

Baada ya kuwepo kwa tetesi kuwa Harmonize amemuimbia Wolper ule wimbo, baadaye  akatoa video ya wimbo wake wa Nishachoka na kuonekana wazi kabisa model aliyetumika anafanana na Wolper.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.