Nandy afutilia mbali fununu kuwa amekosana na Dully Sykes

Nandy ambaye ni msanii mpya kutoka Bongo ameanza kuwapa wengi wasiwasi kwani anaonekana kuwa anatalanta ambayo itampa umaarufu Afrika Mashariki.

Hata hivyo hapo awali ilikuwa inasemakana kuwa Nandy na Dully Sykes hawakuwa wanasikizana lakini akizungumza hivi karibuni kupitia Planet Bongo ya EA Radio Nandy alisema,

Nandy
Nandy

“Yupo sana proud na mimi kila tukikutana huwa ananisisitiza kuwa na heshima, kusikiliza wakubwa walionitangulia, kufanya kazi kwa bidii kwa sababu hustling yangu aliiona toka way back na ndoto zangu anazijua nyingi sana,”

Aliendelea kwa kuzungumzia issue ambayo mashabiki wengi wanadai kuwa anajaribu kuwa Kama Ruby ingawa alisema,

“Kwa hiyo kaniambia ndoto zako zimetimia, so usiachia hiyo chance kwako kwa kufanya lolote baya.”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.