7 reasons why most men fear committing

When a man tells you he is not ready to commit whether relationship or marriage wise – believe him! Men fear committing for a number of reasons we have explained below.

However it’s also good to remember if a man is not growing and working on his issues; chances are, he will continue making the same mistakes over and over again with woman after woman!

Below are just a few reasons why most men find it hard to settle down or rather committing.

Also read: Why most young men are dating and settling down with older women

Nagging girlfriends/wives

Okay yes, 99% of women are generally nagging and annoying. However if a man is indeed ready to settle down or commit, then he would quickly ignore this by learning how to live with it; however most men are not up for this.

Financially unstable

Most will not tell you that money is the reason they choose not to settle down; but for the wise ones, they see it’s better not to drag somebody else’s daughter into poverty by starting a family. At least with this, a man can weigh himself pocket wise and decide whether he can or cannot support himself and others.

Also read: Effects of dating a Mama’s boy that no one will tell you about!

Lack of maturity

Mamas boys will definitely have a hard time trying to settle down. This is because they already have a lifetime partner (mummy) who will easily provide and prefer everything for her dear son.

Loss of freedom

Also read; Why you keep dating the wrong partners

Settling down means quitting all the side pieces and sometimes it gets hard for a man to let all these go! For this reason most would rather stay wireless than have someone following up with them all the time.

Lack of direction

Just like the subheading, most men from this generation lack the sense of direction. Most who have aged and should already have families prefer roaming and jumping from one woman to another. Call it laziness or lack of direction but they all still sound the same.

 

Effects of dating a Mama’s boy that no one will tell you about!

Love is not just a beautiful thing, but an amazing experience with an ugly side especially when it turns sour! So far we have seen couples end up behind bars, dead and for the lucky ones married all in the name of love.

However, there are a few things that determine how a love story will go; and this is where mums come in! Don’t get me wrong but there is nothing wrong with a man loving his mother and wanting to follow every advice given them.

Sandra Kassim with son, Diamond Platnumz

But question is, do they ever grow up?

Well, below are just a few positive and negative effects of indulging yourself with a man who‘s still attached to his mother!

Second to mum

As beautiful as it is to see a man still close to his mother; sometimes it may get annoying. This is because chances of feeling like the 3rd will in your own relationship are quite high! Most men who are attached to their mum’s tend to prioritize their commitment to their mums leaving you on the side lines. With this, it is easy to get frustrated since it is obvious that your man will always side with his mum hence making you look like the bad person

Dating mum and son

Some men will never draw boundaries when it comes to their relationships. This is because they believe having an extra person (mummy) onboard is like killing two birds with one stone! Such men will always involve their moms in the decision making i.e buying land, running businesses and mostly how to react during arguments. If he has no limits on what he tells his mother or what she controls, then I guess you know how it’ll end!

Also read: From Zari to Tanasha, all of Diamond Platnumz’ exes are competing for his mother

Mummy this, mummy that

There is no harm in having a mom –son relationship as long as the boundaries set are respected and followed by your partner. However, having a man depend on his mother for emotional and financial support means trouble! This is because every decision made in the relationship has to go through his mother for approval – which also means trouble!

In touch with his emotions

Away from the negative effects; most women will tell you dating an emotional man is good! Yes, this is true. Sometimes women get attracted to men who can shed a tear here or there simply because they are in touch with their feelings! And of course no one does this well than a mama’s boy!

Openness

A man who is still attached to his mother will always be open for responsibilities – meaning they are reliable! Unlike other men with rowdy behavior, a mama’s boy will always make sure he does not disappoint his partner….and who wouldn’t want this?

Anyway now you know!

Ukiona Dalili Hizi Ujue Mpenzi Wako Anachepuka

Mapenzi ni matamu lakini huingia shubiri pale mambo yanavyoenda mrama. Je umekaa kwenye uhusiano na mumeo/mkeo/ mpenzi wako kwa muda mrefu kwa raha na amani lakini ghafla unaanza kuona mambo yanabadilika?

Wanawake wengi na wanaume wengi hawataki kuamini yule umpendaye anaweza akachepuka lakini ndio hivyo wengi wao huishia kuwa wasaliti kwa wapeenzi wao.

Hizi ni dalili atakazo zionyesha mpenzi wako akiwa anachepuka:

1. Matumizi Makubwa Ya Mtandao wa kijamii 

Kwa ulimwengu huu wa sayansi na teknologia na uwepo wa utandawazi simu za mkononi zinatumika sana kuficha maovu yaani ukishaona mpenzi wako anaweka na kubadilisha password kila siku, anatumia muda mwingi kwenye mitandao ya kijamii na kupendelea kuweka picha akkiwa peke yake na kusema kuwa hana mke au mume basi mchunguze vizuri mpenzi wako maana huwezi jua.

2. Atabali Muonekano wake au Mavazi

Ukikaa na mpenzi wako kwenye mahusiano kwa muda mrefu na umeshamzoea kwa kufanya vitu fulani au kuvaa mavazi fulani lakini ghafla unashangaa anabadilika anavaa tofauti anatumia muda mwingi kujibadilisha kama umri umeenda utaona anaanza kubadilisha mavazi ilimradi tu awe tofauti basi hutakuwa na jingine la kufanya zaidi ya kumuangalia mpenzi wako kwa karibu maana dalili zote zinaonyesha inawezekana anachepuka.

3. Mlalamishi/ Mrusha Lawama 

Mtu yoyote anayefanya kosa basi ana kawaida ya kujishtukia hii inatokana na yeye kujisikia vibaya kwa vitendo anavyokufanyia kwaiyo ukiona mpenzi wako anaanza kukusingizia vitu kama vile kwa nini una ukaribu na marafiki zako wa jinsia tofauti na wewe basi jua wazi kabisa anafanya hivyo kwa sababu hivyo ndio vitu yeye anafanya.

4. Mawasiliano Yatapungua

Mkiwa kwenye mahusiano hakuna kitu cha muhimu kama mawasiliano kwani ndio kitu ambacho kitawafanya muwe karibu kwaiyo ukishaona mpenzi wako haongei na wewe mkikaa hamna cha kuongea au saa nyingine anaona hata mzigo kukaa chini na kuongea na wewe basi jua wazi kuwa mpenzi wako huyo anachepuka.

5.  Kutumia Simu Kwa Siri

Simu za mkononi zinachukua nafasi kubwa katika kuharibu mahusiano ya watu ghafla utaona mkiwa pamoja simu yake anaweka mbali au hata ikiita mbele yako hawezi kupokea akaongea kwa uhuru hivyo ataenda kuongelea nje au hata chooni au hata akipokea mbele yako hatakuwa na uhuru. Mkiwa mbali ukipiga simu yake basi itakuwa inatumika mara kwa mara.

Fahamu Aina Ya Wanawake, Wanaume Upenda Kuwa Nao Kimahusiano

Kwa mwanaume mwenye malengo na msimamo na mahusiano yake mara nyingi uchagua ni nani wa kuwa nae katika mahusiano, hata kama atakosa vigezo vyote ila vipo ambavyo anaweza kuvizingatia kwa ukaribu zaidi.Hizi  baadhi ya sifa wanaume wengi upenda wanawake wao kuwa nazo.

1.Wenye msimamo.

Wanawake hawa mara nyingi huwa ni wa daraja la kwanza kwa wanaume, mwanaume anapenda mwanamke mwenye uelewa mkubwa na mwenye maamuzi yenye kuwa na msiamamo.sifa hii umfanya mwanaume amshirikishe mwanamke wake katika mambo mengi hata yale ya siri.

2.Wapenda usawa

Wanaume pia utaka mwanamke mwenye kupenda usawa wa jinsia, mtu anaeweza kubeba majukumu sawa na mwanaume n akuweza kusaidia.sio kila jukumu likitokea basi linakuwa linaegemea upande mmoja.

3.Marafiki.

Wanawake marafiki ni wale ambao wanakuwa karibu na wapenzi wao katika shida na raha, ni wale wenye kujua matatizo ya watu wao wa karibu na kutaka kuyabeba kuwa kama ya kwao pia.

4.Anaejua mapenzi.

Hii inakuwa ni moja ya mambo yanayoweza kumfanya mwanamke na mwanaume kuachana kwa urahisi pia, wanaume wanapenda wanawake walioo wajuzi na mafundi katika swala la faragha.Mwanamke anaejua jinsi ya kuondoa kiu ya mpenzi wake hudumu katika mahusiano.

5.Wapenda uwazi

wanawake wanapokuwa wenye kuongea na kusema kila jambo baya au uzuri pia inakuwa ni rahisi kufanya mahusiano kuwa yenye amani, mwanamke inabidi awe muelewa wa mambo , mkweli na awe msemaji wa vile vile anaona haviendi sawa katika mapenzi ingawa wanawake wengi hapa ukosea na kuwa waongeaji sana na kulalamika badala ya kuongea vitu vyenye msimamo.

6.Wanaojitegemea

Imezuka tabia kwa wanawake kuwa mwanaume ndio anatakiwa amuhudumie mwanamke kwa kila kitu, hii inawachosha wanaume kwa sababu na wao pia wana vitu wanataka kufanya tofauti na yale ya kwako.Mwanamke anatakiwa ajitegemee ila inapotokea kunahitaji msaada basi itaonekana na mtaweza kusaidiana  kama wapenzi.

7.Maridadi

Hakuna mwanamke anaevutia kama yule maridadi, msafi mwenye kujipenda na kujiremba pia.mwanamke anaekwenda na wakati tena mwenye kujali anavaa nini na wapi na kwa muda gani.Mwanamke anapaswa kuwa msafi ili kila napokutana na mwenzi wake , mwenzi wake anakuwa mwenye amani ya kuwa nae karibu.Mfanye mwanaume wako akusifie kila siku kila wakati.

Usitumie Vigezo Hivi Kulazimisha Ndoa

Watu wengi hasa vijana wamekuwa na tabia ya kufunga ndoa za haraka haraka na wapenzi wao kwa sbabu tu kuna vitu wanhisi vitakaa sawa katika maisha.ndoa ni jambo la kheri lakini inapaswa kuwa la amani na utulivu kwa sababu yule unaenda kuisi nae itatakiwa kuishi nae maishayako yote, muda ambao hauwezi kuhesabu maana haujui ni lini mmja wenu atatangulia. zifuatazo ni sababu za kuepuka kufunga ndoa kwa haraka.

1.Umri wangu umekwenda sana

Hii inawakumba sana wanawake wengi husema  kuwa wanazeeka hivyo ujikuta wakipanga kabisa kuwa ikifika umri fulani ni lazima niwe nishaolewa na nina watoto kadhaa,kulingana na unyeti wa swala la ndoa watu hawapaswi kukimbizana na muda bali kusubiri muda ukifika na kuingia kwenye ndoa ili isikuletee matatizo.

2.Kigezo cha mali na utajiri wa mwenzi wako.

Kuna baadhi ya wati wanajikuta wanaingia katika mahusiano na kutaka kuoa au kulewa na watu waliowazidi kipato kwa sababu tu anaamini kuwa mtu huyo ataweza kuyaendesha maisha yake kwa sababu ya ela,huko ni kijidanganya, ndoa inahitaji mapenzi na maelewano usije ukaingia  na mtu mwenye kuzidi uwezo ukawa mtumwa.

3.Kujifananisha na watu wako wa karibu(marafiki)

Wapo watu wanendeshwa sana na maisha ya watu wa pembeni, kuna baadhi wanaumia roho kuwa kwanini rafiki yangu kafanya hiki na mimi sijafanya, kwanini fulani kaoa au kaolewa mimi bado , hivyo anajikuta kulazimisha ndoa ambayo bado au mtu ambae sio sahihi kwa sababu tu rafiki zake wameoa na kuolewa.

4.Kuwa karibu na yule umpendae.

Inawezekana labda kwa sababu ya umbali ndo maana labda kunakuwa na mikwaruzano ya hapa na pale lakini hii isiwafanye wawili wakaazimisha kufunga ndoa wakitegemea itakuwa njia bora ya kuimarisha mahusianao na kuwa karibu zaidi.

5,Niondoke katika nyumba ya familia

Wapo wanaokuwa wanahisi kuchoka kukaa nyumbani, anahisi kubanwa na ndugu zake na mambo kama hayo, hivyo anapopata mwanaume wa kuwa nae katika mahusiano anataka kufanya ndoa ya haraka itakayo mfanya atoke nyumbani.Hili sio jambo jema kabisa maana haujui unakoenda unaenda kukimbilia nini kikubwa au kidogo zaidi.

6.Kisasi kwa uliyekuwa nae nyuma

Usifanye kitu kwa ajili ya kumkomesha mwingine, wapo watu wanafunga ndoa ili tu kumuonyesha mpenzi wake wa zamani kuwa hata kama yeye amemwamcha yupo aliempenda zaidi, watu husema mapenzi huongea yenyewe, kama unataka kumkomesha basi tafuta njia nyingine lakini sio ya kukimbilia ndoa ukidhani ataumia, maana huwezi jua na wewe labda utaenda kuumia zaidi.

 

Vitu Mwanamke Anapaswa Kuepuka Kufanya Kwa Mwanaume

Katika maisha ya mapenzi watu wanapaswa kulewana na kusikiliza , hii ndio njia sahihi na rahisi zaidi ya kukaa pamoja kwa muda mrefu lakini pia itasaidia wawili wanaopenda kudumu katika mahusiano yao.Ikitokea mwanamke akamsikiliza vizuri mwanaume na mwanaume akamsikiliza vizuri mwanamke basi mapenzi ya watu hawa yanaweza kuwa mfano kwa watu wengine.

moja ya vitu watu wemgi tunakosea katika mapenzi ni kujipa thamani na kujijali zaidi kuliko wenzi wetu,jitahidi kumthamini mwenzio, na huo ndo upendo mkubwa ambao hata mwenyezi Mungu alituagiza.

Wasichana wengi wamekuwa wakikosea baadhi ya vitu , inawezekana kwa kujua au kutokuja kabisa anajikuta mahusiano  yake yanakatika ghafla.Endapo utajitahidi kwa msichana kuepuka yafuatayo , itakusaidia kuboresha mahusiano yako.

1.kuzungumza sana

Wanaume wengi hawapendi wanawake wanaoongea sana au wako mapepe sana.Inawezekana kuwa ni tabia yako kupiga soga unapokuwa na watu uliowazoea hasa mashosti zako, lakini jitahidi kubadilika na kuwa na spidi  unapokuwa na mpenzi wako.Usijifanye kuwa unajua kila kitu,jitahidi kuongea maneno ya kufariji, kutia moyo, au kumfanya apumzike na kuondoa mawazo aliyonayo.Haimaamisie kwamba uigize kuwa mkimya maana hatakapogundua pia itakuwa shida ila jitahidi kuongea maneno kidogo na yeye maana, mwanamke anashauri kuwa na uchaguzi wa maneno kwa mwanaume.

2.kumzingua mnapokuwa faragha.

Wapo wanawake ambao muda wote wao wanakuwa na udhuru, anakuwa anasema anampenda mwanaume aliyenae kwenye mahusiano lakini kila siku anampiga tarehe, je unategemea starehe mwanaume wako aliyokuwa akiitegemea kwako ataipata kwa nani, mwisho wake ataanza kuchepuka na utalalamika pia.Mwanaume ana haki juu ya mwili wa mwanamke, na mwanamke vilevile. Sio kila siku wewe umechoka au unaumwa.

3.kutokumheshimu mwanaume.

Ni kitu kisichopingika kuwa wanaume wote wamelelewa katika misingi ya kuwa kichwa cha familia,hivyo wanapoona wanahesimiwa na watu wao wa karibu wanakuwa na upendo zaid.Kwani kuna shida gani ukimpenda na kumheshimu mwanaume wako.Acha kumuogopa maana huko kutawafanya mkose kuwa na uhuru kwa kila mmoja wenu, mpe heshima yake mwanaume mbele ya watu na hata mnapokuwa wawili , heshima ni kitu ambacho kila mwanaume anakitamani kutoka kwa mpenzi wake.

4.Kumbadilisha mwanaume kwa haraka

Kila mtu amekulia katika maisha yake na nyie kama wapenzi mmekutana tu ukubwani,kuna vitabia na mazoea mabaya kila mtu alikuwa nayo kabla hamjakutana, mwanamke usikurupuke kuanza kumwambia mwanaume sitaki hiki au sitaki tabia hii au sitaki unavyofanya hivi,kila kitu uanza polepole , cha kufanya ni kuzisoma na kuzielewa tabia zake na ikibidi kujua kwanini anapenda kufanya kitu icho.Hata kama kina ubaya kiasi gani, haipaswi kumlazimisha kwa gafla kumbadilisha, kuna baadhi ya wadada ufikia hatua ya kusema kama hautoacha kitu flani basi mimi na wewe basi, hapana mapenzi hayako hivi, inabidi kuelewana na kusaidiana kwa kila kitu.Lakini pia kumbuka unapomkataza tabia moja au kitu kimoja absi jiathidi kumatafutua njia nzuri ya kuondikana na kile usichokihitaji.

 

5 toxic habits that will leave your relationship dead!

There is no man or woman on earth who wants to spend their forever alone and if you happen to have a friend who says ” I enjoy my life alone because I am single” – believe they are lying or probably want to drag you down into their misery! (Just saying)

For those who are in relationship I bet understand that it’s not a walk in the park. There are ups and downs that make the relationship stronger or weaker depending on what issues they are battling with.

I have compiled a list of 5 things that are likely to break up a couple since most assume it’s the best thing to do.

5. Flirting – Some couples believe that flirting ‘without touching is okay. I mean it’s just verbal and nothing serious -right? However this is wrong. The moment a man or a woman allows an outsider to make them feel some type of way…the habit will never die. One will always find an excuse to flirt around without thinking of the long term damage.

4. Brushing off issues – truth be told, most couples prefer to let an issue slide under the mat than talk about it. However what they forget is that the moment you start piling up things they end up growing and the moment things will go South…believe me you will end up being left alone in this cold cruel world!

3. Holding grudges – This has is not any different from brushing off issues! When you refuse to resolve an issue, your partner might take it personal thus hold grudges making the relationship good as dead since it ends up making one feel like they are being treated unfairly by their spouses.

2. Spending time apart – sometimes it’s good for a couple do things separately since not everyone is with a partner that likes the same activities like their spouses. However, this is not a habit that should be practiced often. It is better for both parties to find something they like and do it together instead of assuming – leaving the other wondering whether they are not good enough to spend time with them (spouse).

1. Willing to end things after every argument – if all you can think of is threaten your partner that you will leave every time you have an argument then believe me…you better go ahead and do it before they replace you with a person who is willing to solve issues than think of walking away every time there is a disagreement!

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.