Alar! Diamond Platnumz side chick spotted at Tanasha and Mama Dangote’s Great Gatsby 707 birthday party

The Great Gatsby party went down on the night of 7th July at the Mlimani city bringing Dar Es Salaam to a stand still.

From the photos and videos making rounds on social media we can all admit that Diamond Platnumz went out of his way to give his two favorite women the best bash witnessed in East Africa.

Diamond Platnumz Great Gatsby

Well, having jumped from one woman to another in the past Diamond Platnumz now contented with Tanasha.

So far we understand that the two are expecting a baby boy two months from now but still no proposal to seal the deal.

Well, could this be the same reason as to why Diamond Platnumz old flames are still comfortable to show up at his parties?

Side Chick present

Thanks to a photo of Tunda taken at the Great Gatsby party’s red carpet we can confirm that she was indeed among the invited guest.

Tunda is one of the lady’s said to have jumped in bed with Diamond Platnumz when he was still with Zari. Anyway check out the photo below and be the judge.

Tunda at the Great Gatsby party

Tunda Amuombea Amber Rutty

Mwanadada ambae amekuwa na jina kubwa kutoka ana kazi yake ya kuwa video vixen katika video za wasanii mbalimbali , TUNDA ,  amefunguka na kusema kuwa wa sasa amekuwa muoga sana wa kufanya kitu chochote .

Tunda anasema kuwa anawaombea sana watu wanaofanya hivyo  kwa sababu hawajui lile walitendalo lakini pia anaomba hata Mungu awaongoze ili wasitake kurudia tena , na kwa upande wa Amber Rutty anasema hawezi kumsema kitu lakini anaamini kuwa mwanadada huyo kwa sasa atakuwa akipitia katika wakati mgumu.

Tunda anasema kuwa kwa sheria kali zilizopo sasa hii nchini inakuwa kazi  sana hata kwake kufanya vitu anavyoviita yeye kuwa ni vya kipumbavu kwa sababu anaogopa hajui nini  kinaweza kumpata .

Kama inakumbukwa , tunda aliwahi kuvujisha pia picha na video akiwa faragha na moja ya vigogo nchini lakini alijitokeza yeye na mhuiska na kuomba msamaha  na tangu hapo mwanadada huyo anasema kuwa amejifunza sana.

 

Tunda Atupa Jiwe Gizani Likimlenga Casto Dickson.

Mwanadada casto dickson ametupa jiwe gizani lakini jiwe hilo linaonekana kuwa na lengo la kumpiga Casto dicksona ambae alikuwa mpezi wake na kwa sasa wamekuwa hawaonekana kuwa pamoja tena kitu ambacho hata Casto mwenyewe amekuwa akikanusha kuwa hawajaachana lakini Tunda hajawahi kuongea kuhusu swala hilo.

Casto mabae mara nyingi amekuwa hataki kuonyesha wazi kuwa ameachana na Tunda amekuwa akikanusha swala hilo katika mitandao na hata anapokuwa katika mahojiano mbalimbali.

Katika ukurasa wake wa instagram, tunda aliweka picha yake huku akiwa ameandika caption yenye aneo kuntu kuhusu mahusinao hasa kwa watu walioachana huku mmoja wapo akionekana kutokubaliana na kuachana kwao.

Mwisho kabisa Tunda aliandika kuwa ukiachwa achika ikiwa kama ujumbe kwa mwanaume aliyekuwa nae katika mahusiano ambapo kwa hapa karibuni tu nda alikuwa katika mahusiano na Casto.

Huwa Nam-miss Sana Tunda:-AbdulKiba

Pamoja na kwamba sasa hivi inasemekana kuwa anatoka na mwanahabari Casto Dickson,lakini mwanadada Tunda ametwaja kuwa ndio mwanamke ambae hawezi kusahahulikana na msanii Abdul Kiba ambae ni mdogo wake na Ali Kiba.

Abdul Kiba alikiri kuwa katika mahusiano yake yote aliyowahi kuwa nayo, mahusiano ambayo hatokaa hayasahau ni  ya mrembo tunda ambae alidumu nae kwa muda wa miaka miwili .

Mahusiano ambayo sitakaa niyasahahu ni kipindi nipo na Tunda,kwanza tukikutana kupitia social network na nilimuelewa na yeye alinielewa na tukaweza kukutana, na tukaweza kuwa kitu kimoja ingawa ni muda kidogo kwa zaidi ya miaka mitatu hivi.

Abdul Kiba ansema kuwa ilikuwa ni vigumu sana kwa watu kushtukia kwa sababu ana kipindi hicho tunda alikuwa sio mtu wa kutoka toka kwa sababu alikuwa akikutana nae alikuwa ni mtu wa kukaa ndani au kwenye gari tu.

siko nae tena kwa sasa lakini tulikaa kama miaka miwili hivi ni haikuwa public sana ingawa kuna watu walikuwa wanajua lakini ilikuwa ngumu sana kushtukia kwa sababu hata tulikuw atukikutana ilikuwa muda mwingine anakaa tu kwenye gari.

inatokea kum-miss kwa sababu unapomuona kwenye mitandao alafu ulishawahi kuwa nae , kwaio inatokea.

Tunda Afunguka Skendo ya Kutoa Mimba Zaidi ya Nane

Baada ya picha nyingi kusambaa za mrembo Tunda akionea kuwa karibu na moja ya watangazaji wa vipindi pendwa vya Clouds Tv ,  Casto Dickson maarufu kama Sizkitaa, na kuonyesha kuwa mrembo huyo ni mjamzito , Tunda akumbwa na skendo ya kuwa anatoa mimba nyingi kila anapopata mimba na kusemekana kuwa mimba hizo zimeshafika nane mpaka sasa.

Akizungumza na Risasi, Jumamosi ya wikiend iliyopita mwanadada huyo amesema kuwa sio kweli kuhusu tuhuma hizo kwasababu hajawahi kutoa mimba hata siku moja.tunda nasema kuwa hata kama wanamzushia skendo kama hiyo haiwezekani mtu mmoja kutoa mimba zaidi ya nane.

Jamani kweli mtu anaweza kutoa mimba nane tena kwa kipindi cha muda mfupi tu,sidhani kama unaweza kuwa binadamu sahihi kabisa na binafsi sijawahi kutoa mimba kama watu wanavokuwa wanadai.

Tunda nasema kuwa inawezekana watu wanakwa wanamsema kutokana nkuwa tumbo lake kwa kipindi kirefu limekuwa  kubwa hivyo wakawa wanahisi hivyo  lakini kua kipindi amekuwa akifanya mazoezi na linapungua.

Hili tumbo wanaweza kuwa wanalishangaa lakini ni kubwa siku zote liko hivyo tena hasa kama sijafanya mazoezi muda mrefu na pia sijinyimi kwenye kula chakula kabisa, linakuwa kubwa .

Lakini pia tunda anasema kuwa watuwamekuwa wakimsingizia lakini yeye mwenyewe wala hajawahi kushika mimba hata mara moja “mimi napenda watu wafahamu kuwa sijawahi kushika mimba ya mtu yeyote kama wanavyosema  siku zote na wala sijawahi kutoa maana tumbo langu ndivyo lilivyo.”

Kwa kuonyesha kujiamini kabisa Tunda aliamua kumuweka wazi mtu ambae kwa sasa yupo nae katika mahusiano kuwa ni casto dickson.”kwa sasa hivi mtu wangu ni  Casto Dickson, maneno mengine sitaki kabisa kuyasikia kwa sababu huyu ndo natarajia kuzaa nae.”

Diamond Platnumz pregnant ex apologizes for calling Wasafi records lead dancer’s child ‘ugly’

Tunda is no longer a new name to many as she was linked to Diamond Platnumz a few months back. The two were said to be in a romantic relationship that seems to have ended now that she has a new man.

However before all this, Tunda caused a few issues here and there that almost saw her get a beat down by Tanzanian actress Aunty Ezekiel. This is after she went on to abuse the actresses baby calling her ‘the ugliest baby’ in the Tanzanian entertainment industry.

Also read: Drama! Tunda exchanges bitter words with Wema Sepetu’s best friend over unpaid liquor bill

Well, of course it also angered the child’s father who happens to be Wasafi records lead dancer Mose Iyobo. Since then it seems that Tunda was kicked out of the Wasafi circle making her settle else where.

Tunda apologizes and announces she is pregnant!

Tunda’s pregnancy weight showing

Finally Tunda has broken her silence as she recently came out to apologize to Aunty Ezekiel in a post shared on her Instagram.

She went on to apologize for her bitter words and shockingly revealed that she will soon be welcoming her first child. She wrote saying;

Tunda Amuomba Msamaha Aunty Ezekiel Baada Ya Kumtukana Mtoto Wake

Video vixen na Socialite maarufu Tunda Sebastian amefunguka na kumuomba radhi msanii wa Bongo movie Aunty Ezekiel baada ya kumtukana mtoto wake na Mose Iyobo, Cookie.

Miezi michache iliyopita kulizuka bonge valangati baada ya Aunty Ezekiel kumuashia dude Tunda ambapo alienda kwenye ukurasa wake instagram na kumdai pesa yake aliyomkopesha pombe dukani kwake.

Baada ya hapo walianza kurushiana maneno ya kejeli na matusi hata Tunda alifikia hatua ya kumtukana mtoto wa Aunty Ezekiel ambapo alimuita mtoto wake kuwa ni mtoto mbaya dunia nzima.

Wikiendi iliyopita Tunda amemuomba msamaha Aunty Ezekiel kwa kumtukania mtoto wake na kudai kuwa zilikuwa ni hasira tu na hakupanga kumtukana mtoto wao.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Tunda alimuandikia Aunty ujumbe huu:

 

Kwa kipindi kirefu Kumekuwa na tetesi kuwa Tunda ni mjamzito na alithibitisha kuwa ni mjamzito kwa kuandika “Naomba msamaha kama mwanamke ambaye nitaitwa mama pia soon”. 

Kwa habari za chini ya kapeti zinadai kuwa ujauzito huo ni wa miezi mitatu na inasemekana kuwa baba wa mtoto huyo ni mtangazaji za Clouds Tv Casto Dickson ambaye ni Baba mtoto wa Munalove ambaye ni rafiki wa Tunda.

“Wanawake Tuache Majungu na Wivu Tusapotiane”- Tunda

Socialite na video vixen maarufu Tunda Sebastian amefunguka na kuwasihi wanawake wapendane na wapeane sapoti badala Kupikiana majungu na kuoneana wivu.

Tunda alijipatia umaarufu zaidi wiki chache zilizopita baada ya taarifa kutoka kimapenzi na Diamond Platnumz kuenea Kwenye mitandao ya kijamii na baadae video na picha za kimahaba akiwa na mume wa mtu mfanyabiashara Kinje kuenea mtandaoni pia.

Ikiwa jana ilikuwa ni siku ya kusheherekea siku ya Wanawake duniani Tunda amewapa ujumbe huo mzito wanawake Akiwasihi washike upendo na waachane na chuki kwa kushikiliana na kupeana sapoti ya hali ya juu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Tunda aliandika ujumbe huu:

Women today we need to be supporting each other to set an example for the next generation….Sio mawili tu na majungu bila mwisho… Happy Women’s day”.

Tunda Akiri Kuogopa Kumuongelea Tena Zari

Mrembo Tunda Sebastian ambaye ni Video queen maarufu amefunguka na kusema hatokaa kumuongela Zari wala kuvunjika kwa penzi la Diamond na Wema.

Tunda amedai amefikia uamuzi huo baada ya kukiri kuoga mvua ya matusi kila mara akifungua mdomo wake kuongelea jambo lolote linalomuhusu Zari amekuwa akiishia kuoga mvua ya matusi kutoka kwa Watanzania.

Tunda alipata umaarufu zaidi mwezi uliopita baada ya kupatwa na skendo ya kutoka kimapenzi na Diamond ambaye kwa kipindi hiko alikuwa kwenye uhusiano wa kimapenzi na mzazi mwenzake Zari the Bosslady.

Kwenye Interview aliyofanya na Global Publishers Tunda alifunguka na kusema kuwa amefikia uamuzi wa kutokaa na kumzungumzia tena Zari kwani chochote kile anachokizungumza watu wataanza kumshushia mvua ya matusi na familia yake haipendi kuoana anatukanwa vile.

Kwenye mahojiano hayo Tunda ameongea haya:

Mimi kuhusu Zari au sijui ishu zao za kuachana kwao na Diamond au kitu chochote kinachohusiana na mambo yao sitaki kabisa kuzungumzia maana wengine sisi Damu zetu ni kama za kunguni nikisungumza chochote itakuwa ni shida tupo”.

 

Abdu Kiba: Tunda Alikuwa Mpenzi Wangu, Nimemiss”.

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na wimbo wake wa ‘Jeraha’ Abdu Kiba ambaye pia ni kaka wa Staa wa Bongo fleva Ali Kiba, amefunguka na kusema aliwahi kuwa na uhusiano wa kimapenzi na mrembo Tunda Sebastian.

Tunda ni video queen lakini pia ni maarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa sababu ya Msanii Diamond Platnumz. Tunda alijipatia umaarufu wiki chache zilizopita baada ya tetesi kusambaa kuwa ana uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond lakini pia alizidi kupata umaarufu baada ya vieeo zake na Kinje kuvuja mtandaoni.

Ikiwa tunasherekea mwezi wa mapenzi ambapo juzi tu ilikuwa ni siku ya Wapendanao, Abdu Kiba alifunguka kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv ambapo alidai kuwa alishawahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na Tunda na yalikuwa matamu kiasi ya kwamba alitamani yasivunjike.

Kwenye interview hiyo aliyofanya siku ya Valentine’s Day Abdu Kiba alizidi kufunguka:

Mahusiano ambayo yaliwahi kunifurahisha ambayo sikutamani hata yavunjike long time ago lakini kipindi hiko nipo na Tunda ambapo tulikutana kupitia social media nilimwelewa na vile vile alinielewa kwaiyo tukaweza kukutana na mwishowe wote tukaelewana ila muda kidogo kama miaka mitatu iliyopita na tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili lakini kwa sasa hatupo wote”.

Abdu Kiba amekiri kuwa penzi lao lilikuwa la siri kutokana na mazingira waliokuwa nayo ambapo amesema sehemu yao kuu ya kukutana ilikuwa kwenye gari hivyo watu wao wa karibu sana ndio walioshtukia mchongo.

Sipelekwi na Wanaume Mahotelini, Nalipa Mpaka Dola 400 Kulala Mwenyewe

Video queen maarufu kwa sasa Tunda Sebastian aliyetawala vichwa vya habari kutokana na skendo zake ameibuka na kudai kuwa habari za yeye kutembea mahotelini kudanga na kupelekwa na wanaume sio kweli kwani huenda mwenyewe na ana uwezo wa kujilipia hata shilingi dola  400 na kulala mwenyewe.

Tunda amepata umaarufu katika siku hizi za karibuni kutokana na skendo yake ya kutembea na supastaa  wa Bongo fleva Diamond Platnumz, huku ikisemekana kuwa ana ujauzito wake lakini pia muda huo huo alikumbwa na skendo ya kutembea na mume wa mtu ambaye ni mfanyabiashara maarufu Kinje, ambapo video zao wakila Debra zilisambaa mtandaoni.

Lakini pia moja kati ya skendo kubwa ambazo zimekuwa zikimuandama Tunda kwa muda mrefu ni tabia yake ya luxuriate kwenye mahoteli ya kifahari na kula chakula kizuri huku alikiri kama mitandaoni kwa was tabia yake ya kupenda kula kula ovyo.

Kwa habari za kimbea zimedai kuwa Tunda huenda mahotelini humo kudanga yaani kutafuta mabwana lakini pia hupelekwa na wanaume, jambo ambalo Tunda amelikataa kwa nguvu na kudai kuwa anashangazwa na tuhuma hizo kwani kiukweli ni kuwa huenda mwenyewe hotelini humo na kujilipia chakula anachokula lakini pia hujilipia kulala mwenyewe.

Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv, Tunda amefunguka yafuatayo:

Kwanza kitu ambacho kila mtu anatakiwa aelewe ni kwamba mimi napenda vitu vizuri napenda kula sehemu nzuri napenda kulala sehemu nzuri kwaiyo hata nyumbani kwangu mimi ni pazuri  kwaiyo hata ukiona nimeenda hoteli nzuri basi ujue ni hela yangu nimetoa maana siwezi nikasema nikale uswahilini hapana nitaenda kula kwenye hoteli nzuri na ni hela yangu sijawahi kwenda na mwanaume na najilipia mwenyewe mpaka dola 400”.

Lakini Tunda amekana tuhuma za kuvujisha video zake na Kinje wakiwa wanafanya yao na kudai was kuwa sio yeye kwani hata video zile hazikuwa kwenye simu yake.

Familia Yaamua Kumuweka Kitimoto Tunda Kuacha Skendo Chafu mitandaoni

Tangu mwaka umeanza Tunda amekuwa akisifika kwa skendo chafu kila kona katika mtandao ya kijamii, kila mtu anakuwa  anamsema yeye tena hasa baaada ya skendo yae ya kugombana na Aunty Ezekiel na kuvuja kwa picha zilizokuwa zikimuonyesha yupo na ‘sponsor’ mmoja mjini ambae ni mume wa mtu.

Ukiachana na sendo hizo mbili, Tunda amekuwa na skendo za kusema kutokana na tabia ya kuwa na wanaume tofauti tofauti kila siku na kuingia katika mahoteli makubwa makubwa kila leo kwa ajili ya starehe.

Baada ya video zile za siri kuvuja zikimuonyesha yupo na mwanaume mwingine , familia ya mwanadada huyo waliamua kumkalisha chini na kumuonywa kuacha kudhalilisha famila yao na yeye mwenyewe pia.Wazazi wa Tunda walionekana kuchukizwa sana na video hiyo na kusemekana kuwa tunda kwa sasa hayupo sawa na wazazi wake lakini walikaa chini na kumuonya kuhusu hilo.

Akiongea  na kukataa kutajwa jina lake moja ya marafiki wa tunda alieulizwa kuhusu hali ya watu wa karibu wa Tunda , mtu huyo alisema”familia ya Tunda walimuita chini na kumuweka kitimoto na kumsema sana na alihaidi kubadilika kabisa na akawaangukia wazazi wake na kuwaomba msamaha ingawa haikuwa rahisi sana kwake”

tunda alitafutwa na kuulizwa kuhusu swla hilo na ndipo alipothibitisha kuwa ni kweli wazazi wake wameathirika sana na video zile na anaona kabisa kuwa amewakosea.

Nimejifunza sana kwa maana ile video ilinichanganya  sana, wazazi wangu walikasirika sana sana,mpenzi wangu mpaka sasa haongei na mimi ila bado naendelea kumuelewesha  kwamba ile ilikuwa ni pombe tu.Nina imani atakaa sawa tu hasira zikiisha atanitafuta tu kwa sababu  najua ananipenda sana,nimejirekebisha na nimeacha kunywa pombe.

 

 

 

Tunda Amesema Haya Kuhusu Uhusiano Wake na Diamond Pamoja na Zari

Video queen maarufu Bongo Tunda amefunguk tena kuhusiana na uhusiano aliokuwa nao na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz na mpenzi wake Zari the boss lady.

Wiki chache zilizopita Tunda amekuwa akitawala vichwa vya habari mbali mbali katika mitandao huku mara zote akihisishwa kuwa na uhusiano wa kimapenzi na Diamond lakini mara kwa mara amekuwa akikataa na kudai kuwa yeye ni shabiki wake tu na sivinginevyo.

Kwenye interview aliyofanya na Millard Ayo Tv, Tunda amefunguka na kusema yeye yupo karibu na Diamond kama shabiki lakini hana uhusiano naye lakini Zari hajawahi kuwasiliana naye wala kumtafuta kwa sababu hana cha kimwambia.

Narudia tena Mimi nahisi nasemwa sana kuwa na mahusiano na Diamond kwa sababu niko free kuweka wazi kwamba Diamond ndiye msanii ninaye mkubali sana kwa hapa Bongo tofauti na msanii mwingine sijawahi kuweka wazi nahisi ndio inapelekea watu kufikiria hayo lakini yule sio mpenzi wangu ni mtu tu ambaye namuheshimu   na yeye mwenyewe anaelewa support yangu kwake lakini sio mapenzi”.

Kwenye mahojiano hayo Tunda aliulizwa endapo ameshawahi kukutana na Zari au kumtafuta ili azungumze naye na jibu alilotoa kwa kung’aka ni amtafute Zari ili amwambie nini maana yeye anamkubali Diamond na wala sio Zari.

Tunda pia amefunguka na kudai kuwa hivi sasa yuko busy na kazi zake za kisanaa ambapo ameshirikishwa kwenye video mpya ya Barnaba.

“Tunda is just a friend, I love my wife” Man spotted kissing and vacationing with Diamond Platnumz side chick opens up!

Tunda is not only rolling around with Zari Hassan’s man; but with other people’s husbands too as seen in a new video.

The lady who has been accused of selling her body was recently exposed for dating a married man. Judging from the videos on social media it is clear to see that Tunda has indeed been misbehaving.

She however issued an apology to her fans and the wife of Kinje for the videos circulating online. She wrote saying;

Kinje denies dating Tunda

However the guy seen kissing the lady has come out to distance himself from rumors claiming he was Tunda’s lover. In an interview with Global news, he revealed that the two are ‘just friends’ and that he has a wife who truly loves.

What confusing is that he was seen with the lady on two different occasions leaving many calling him out for cheating on his wife. Watch the interview below courtesy of Global TV.

Photos of the lady married to the old man photographed kissing socialite Tunda

Tunda has lately been making negative headlines on social media. A few hours ago she was exposed for having an affair with a man by the name of Kinjeketile Ngombale. This is after their romantic videos made rounds on social media shocking many.

Also read: Drama! Tunda exchanges bitter words with Wema Sepetu’s best friend over unpaid liquor bill!

Looking at their age difference, it’s obvious to see that Kinje is almost the age of Tunda’s father. However, since the lady is popularly known to roll around with men for money, then it’s not surprising.

Anyway, in a statement released by the young lady she apologized to the public and wife of the fella for the videos leaked online.

Photos of the lady married to Tunda’s lover

There are new photos showing the face of the lady married to Kinjeketile.

According to sources the lady cannot comment about the issue since she already has kids with the guy. Check out her photos below.

Mose Iyobo na Tunda Warushiana Maneno Kisa Pombe

Dancer maarufu kutoka keen he label ya WCB, Mose Iyobo ameingia kwenye vita ya maneno na matusi na mrembo Tunda baada ya kutuhumiwa kuzulumu shilingi laki moja ya pombe ya Belaire.

Siku ya jana Aunty Ezekiel alianzisha kizaazaa na Tunda baada ya kuingia kwenye ukurasa wake wa Instagram na  kumdai pesa taslimu shilingi laki moja ambayo alimkopeshea pombe anzouza aina ya Beleire.

Lakini baada ya kudaiwa pesa hizo mara kadhaa Tunda alidai kuwa alipoenda kuilipia chupa hiyo Dukani kwao Aunty Ezekiel hakuwepo hivyo mtu aliyekuwepo alikuwa ni Iyobo ambaye ndiye aliyemkabidhi pesa hizo lakini alishangaa alipokutana na Aunty juzi akamdai wakati alishampa mumewe Iyobo.

Baada ya kuambiwa maneno hayo Iyobo aling’aka vibaya mno na kukana tuhuma hizo na kusisitiza kuwa hakupewa pesa hizo ndipo alipomtolea povu zito Tunda ambapo kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika maneno haya:

Ujinga nikubishana na mtu ambaye ameshafanya mambo yote ambayo wewe unafanya leo kama marudio unachotakiwa useme ni sina hiyo hela ntalipa siku fulani na sio kuanza kuongea ushamba  hawezi kutafuta kiki kwako ana mtoto maarufu kushinda wewe alafu kingine benten ni baba yako aliyekuzaa akashindwa kukupeleka shule umeishia kufumuliwa free unakosa laki ya kununulia pombe”.

Baada ya kutolewa povu hilo na Iyobo na Tunda naye alifunguka yaliyo moyoni mwake na kumjibu ambapo alimwandikia ujumbe huu :

Alafu na wewe Mose unakaa chini unaandika upuuzi kama huo kama ni kweli ni wewe umeandika basi huna Uso wa haya! Sasa nakuuliza swali moja tu kwa nini ulinoblock kukupigia kipindi Aunty ameanza kuniuliza kuhsu hela? Sikilizeni nyie hebu nitoleeni upuuzi wenu watu wazima mliokosa busara na akili kabisa yaani mimi nigombane na nyie Kisa laki moja? Kiukweli hata kama ningekuwa sina pesa siwezi kukosa laki “.

Lakini unakumbuka pale ambapo Mose aliposema mwanangu Cookie maarufu kuliko we we? Basi Funds alifika mbali katika ugomvi huo na kumuingiza mtoto wao kwa kumuita mtoto mbaya Tanzania nzima.

Baada ya Video Kuvuja Tunda Aomba Radhi kwa Mashabiki Wake.

Video queen hasieishiwa na matukio bongo Tunda, ameomba msamaha kwa mashabiki wake na watu wake wote wa karibu baada ya video zake na sponsor wake kuvuja na kuonyesha wakiwa katika mahaba mazito.tunda ambae jana aliingia katika ugomvi mzito na Aunty Ezekiel kwa sababu ya deni la kukopa pombe ameomba msamaha  kwa kuwa kuna mtu asiemjua amevujisha picha hizo.

Tunda anasema kuwa kuna mtu aliyeamua kufanya kitu hicho kwa maksudi ili kutaka kumdhgalilisha yeye lakini anaomba msamaha kwa sababu amejifunza kitu kupitia ilo.

Tunda anasema kuwa picha na video hizo zilishapitaga tangu siku nyingi kwa kuwa mwanaume alikuwa nae katika video na picha hizo walishaachana siku nyingi na mahusiano yalishaisha kitambo.’ninaomba radhi kwa kila niliyemhusu  na pia ninashangaa kwani ni umeamua iwe hivyo wakati ilishaisha na tulishamaliza kitambo bila ugomvi wowote.”

Pia Tunda ameomba msamaha kwa mke wa mwanaume huyo kwa kutembea na mume wake , mbaya zaidi ni kitendo cha kuvujisha hizo picha na kumdhalilisha mume wake.’sio muda wa kulaumu tena ,nisameheni wote inayowahusu has amke wa mhusika  na wote inayowahusu japo ilishapita’.

Tunda anaonekana kutokujua ni nani aliyefanya tukio la kuvujisha picha na video hizo lakini anamuomba  mtu huyo kvujisha na ushahidi wote uliobaki ili yaisha kabisa kuliko kuyatunza na kisha kuvujisha tena baadae ionekane kama vile vitu hivyo vimefanyika hivi karibuni.

katika mitandao ya kijaimi miezi kadhaa iliyopita zilitokea habari kuwa mwanadada huyo Tunda ana mahusiano ya kimapenzi na mume wa mtu anaejulikana wa jina moja la Kinje na kuwa huyo ndio anaemueka mjini.lakini skendo hiyo ilikaa kimya kwa muda mrefu mpaka jana zilipovujishwa tena picha hizo.

Aunty Ezekiel na Tunda Ndani ya Bifu Kali Warushiana Matusi ya Nguoni

Muigizaji wa Bongo movie Aunty Ezekiel amejikuta katika vita kali ya maneno na mrembo Tunda baada ya kupishana kuhusu malipo ya pesa ya pombe ambayo Tunda alikopa.

Siku ya Jana Warembo hawa waaili waliingia kwenye mabishano makali kwenye mtandao wa Instagram baada ya Aunty Ezekiel kwenda kwenye ukurasa wa Tunda na kumdai pesa yake kiasi cha laki moja alichochukua pombe ya Belaire.

Ambapo kwenye ukurasa wa Tunda Aunty Ezekiel aliandika maneno haya:

Baada ya Aunty kumuandikia vile inaelekea Tunda hakupenda kabisa kwani mara moja alianza kutokwa na povu kueleza kuwa alimpa pesa Mose Iyobo huku akimuita kiben-10 na kumtuhumu kwa kuitumia pesa ile. Hili ndio lilikuwa povu la Tunda:

 Uzee unakujia vibaya we we Bibi Mdashi na Una lako jingine nje ya pombe jibu ni lile lile ongea na Ben-ten wako akueleze pesa alipopeleka”.

 

 

Lakini habari chini ya kapeti zinafai kuwa kilichotokea ni kwamba Aunty Ezekiel anafanya biashara ya kuuza hizo pombe za Belaire sasa Funds alimpa ofa Diamond ya hiyo chupa moja ambayo ni laki moja kwa kipindi hiko Diamond na Tunda walikuwa wapenzi sasa baada ya Tunda kumuona juzi Diamond yuko na Wema na kusikia wamerudiana alikasirika na kugoma kumlipia tena ile pombe aliyompa ofa na hapohapo ndipo kizazaa zaa kilipoanza rasmi na wao kuja kurushiana maneno mtandaoni.

“Ati Madale State Lodge, au Madale State House?” Zari Aendelea kumpiga Madongo Diamond

Mfanyabiashara maarufu Zarinah Hassan ‘Zari’ ambaye pia ni mpenzi na mzazi mwenza wa staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz amejikuta anashindwa kuvumilia kinachoendelea mtandaoni na kumtupia madongo mpenzi wake.

Tangu wiki hii inaanza stori iliyotawala mitandao ya kijamii ni uhusiano uliopo baina ya Diamond na mrembo Tunda. Tangu mwanzo wa wiki kilichokuwepo ni tetesi tu na maneno ya watu yaliosemwa mpaka Jana video iliyosambaa mtandaoni ilitomuonyesha mdogo wa Tunda akijiachia Nyumbani kwa Diamond Madale.

Ifahamike kuwa nyumba ya Diamond iliyopo maeneo ya Madale ilibatizwa jina la ‘State house’ ikimaanisha mjengo wa raisi/ Ikulu na Guest House ikimaanisha nyumba ya kufikia wageni.

Baada ya stori ya Jana kutoka kuwa msichana huyo amejirekodi akitembea Madale lakini pia Hamisa na yeye ameshajirekodi akiwa Madame inaelekea uzalendo ulimshinda Zari ikabidi amrushie dongo hill la kuhoji endapo  nyumba hiyo bado ni jumba la raisi au imekuwa ni guest house?

Zari alihoji hayo kupitia ukurasa wake wa Snapchat na kuandika:

Ati Madale state lodge or Madale state house? Kuna mtu alikuwa anauliza akipanda Bajaji anashukia wapi? Mama yangu sio state house Tena….”.

 

Tetesi za Diamond kutembea na Tunda zimekuwa zikisikika mjini hapa kwa muda mrefu lakini wote wawili wamekuwa wakizikana lakini pia hivi sasa kuna habari zinazodai kuwa Tunda ni mjamzito na Diamond ndiye baba mtoto ingawa ni taarifa tu ambazo hazijathibitishwa na Tunda wala Diamond.

Vita ya Hamisa na Zari Yahamia Kwa Tunda

kwa muda mrefu wanamaa wawili hamisa mobeto na zari the bossy wamekuwa katika malumbano katika mitandao ya kijamii kuhusu nani kuwa juu zaidi ya mwenzie huku wote wakiwa wamezaa na bwana mmoja msanii mkubwa duniani diamond platinumz.

Mgogoro huu unaonekana kuendelea chini chini  lakini safari hii inaonekana kuhamia kwa mtu mwingineambapo   ni kati ya Hamisa Mobeto tena na Tunda ambae alishawahi kuwa video queen wa Diamond tena katika moja ya kazi zake.Siku kadhaa zilizopita kulikuwa na tetesi katika mtandao wa kijamii kuwa video queen huyo (Tunda) anatoka na msanii Diamond ingwa yeye mwenyewe alikanusha kabisa tetesi hizo.

Lakini mambo yanazidi kuwa moto tena hasa baada ya Tunda kuweka picha katika ukurasa wake wa instagram huku akiweka caption ambao inasemekana kuwa inalenga kutupia dongo kizani kwa Hamisa Mobeto.A

Alipoweka picha hiyo ambayo ilimuonyesha yupo katika kibao kata cha rafiki yake, ambapo hata Hamisa alihudhuria, Tunda aliandika caption ya kusema  “ebu angalia yule kinganganizi asiyejua maana ya kukataliwa na mwanaume‘ Maneno haya yanasemekana kumlenga Hamisa ingawa Tunda mwenyewe hakutaja jina la kinganganizi huyo.

lakini hata hivyo , inaonekana kuwa kwa muda sasa tunda amekuwa akiposti vitu vya kutaka kumuumiza roho hamisa mobeto , kwa mfano siku ya kuzaliwa kwa zari, tunda aliposti picha ya mwanamama huyo na kuandika “happy birthday mama T, wifi wa Taifa uliethibitishwa na Tbs,#nikiwamkubwanatakakuwakamawewe” Aliandika Tunda.

Ingawa mpaka sasa haijathibitika moja kwa moja lakini habari za chinichini zinasema kuwa tunda ana uhusiano wa kimapenzi na msanii Diamond.Lakini pia hata baada ya drama hizo zinazoendelea katika ukurasa wa instagram wa socialite tunda , hamisa hajataka kujibu chochcote kuhusu tuhuma hizo na wala kujibizana na mwanadada huyo.

Tunda na Hamisa wote kwa pamoja walishawahi kufanya kazi na Diamond katika moja ya nyimbo zake za mwaka uliopita wakiwa kama video queens katika wimbo wa Salome.

 

Tunda- Nipo Tayari Kuwa Mke Wa Mtu

Muuza nyago maarufu mtandaoni Tunda Sebastian maarufu kama ‘Tunda the Bossbabe’ amefunguka na kudai kuwa hivi sasa ametulia na yupo tayari kuwa mke wa mtu.

Siku za hivi karibuni Tunda ameonekana kubadilika sana kwani kwa mara ya kwanza alipata umaarufu kwenye mitandao ya kijamii kwa vituko vyake vya kuvaa nguo za utupu na kula bata ndefu ambapo watu walikuwa wanamweka kwenye kundi moja na warembo kama Gigy Money.

Pamoja na hayo ni mara kwa mara kumekuwa na tetesi kuwa Tunda ni mjamzito ingawa mwenyewe amekuwa akikataa mwaka jana mwishoni habari zilienea kuwa Tunda ana ujauzito wa msanii wa Bongo fleva Diamond Platnumz ingawa mwenyewe alikataa tuhuma hizo na kudai kuwa watu wengi walidhani kuwa ni mjamzito kwa sababu alinenepa na kuwa na kitambi lakini sababu pekee iliyopelekea yeye kunenepa ni kula sana na si kingine.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Star Mix hivi karibuni Tunda amefunguka kuwa anapendezwa na muonekano alionao hivi sasa kwani angalau anaonekana mtu mzima kiasi ya lwamba mtu akimuona anaweza jua ni make wa kuia na kuweka ndani.

Nafurahia sana muonekano wangu wa sasa hivi nilivyo na kwa sasa nipo tayari kuitwa mke wa Mtu maana hata nikiwekwa ndani kama mke nafaa kabisa nilikuwa nakereka watu kunifananisha na katoto kadogo”.

 

Tunda Amefunguka Kuhusu Skendo Ya Kutoa Mimba na Uhusiano Wake na Diamond

Video queen maarufu Bongo, Tunda a.k.a the Bossbabe amefunguka kuhusu skendo inayomuandama kwa muda mrefu ya kutoa mimba mara kwa mara na hata kubeba ujauzito wa mwanamuziki Diamond Platnumz.

Tunda amezungumza kuhusu yale maneno yaliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa wiki kadhaa sasa ambapo amedaiwa pia kutoka kimapenzi na mwanamuziki Diamond baada ya kuposti picha zake mara kwa mara na kuweka picha yake kama profile picha.

Tunda amefunguka kuhusiana na skendo hizo zinazomkabili kwa sasa kwenye mahojiano aliyoyafanya na Millard Ayo Tv ambapo amesisitiza kuwa hana uhusiano wa kimapenzi na Diamond kama watu wengi wanwvyozusha bali ni rafiki wa karibu na kaka yake;

Hizi stori za mimi kuwa mjamzito siyo za kweli kabisa sijawahi kubeba maishani mwangu bali nimeongeza tu nikawa tofauti, na kwa maana hivyo sijatoa mimba wala sijawahi kutoa mimba maishani mwangu mwote. Kuhusu kuweka picha za Diamond mtandaoni ni kuwa mimi namkubali sana Diamond ni kama kaka yangu nampenda. Nakubali kazi zake ni mtu wangu wa karibu kwa kweli sisi ni marafiki”.

Lakini pia Tunda amesisitiza kuwa ana mpenzi wake tayari ambaye sio staa wala msanii kwaiyo watu wengi hawamfahamu  lakini amesema siku akiwa tayari kumuweka wazi basi watu watamuona, pia Tunda amewaomba watu wasim-judge kwa kumuangalia kwenye mitandao ya kijamii kwani kila kitu sio serious kiasi hicho.

Tunda Aomba Msamaha Kwa Petitman

Tunda na Petiti Man walikuwa katika bifu zito baada ya Tunda kumwita Petit kuwa chawa wa Wcb, lakini bifu hilo halikuishia hapo liliendelea na kufikia hatua ya watu hao kutukanana katika mitandao ya kijamii na  baade kuna baadhi ya  ya sms zilivuja zikionyesha wawili hao kuwa wamekuwa wakitukanana hata katika magroup ya whatsap na katika simu zao.Hata hivyo mwanadada huyo aliamua kukubali yaishe na kuamua kujishusha kwa kuomba msamaha kwa Petitman

Hata hivyo akiongea na Clouds E ya Clouds Tv, mwanadada Tunda amesema kuwa yeye ameamua kuomba msamaha na bora aishe kwa sababu yeye ni muoga sana wa kuwa na bifu na watu na anaogopa sana kupigwa hivyo aliona bora yaishe kuliko kuanza kuangalia ni nani kamkosea nani.

Niliamua kuona bora yaishe kwa sababu sitaki kuwa na bifu na watu, mimi sitaki kujua  nani kamuanza mwenzake lakini bora tu bifu liishe kwa sababu mimi ni muoga sana wa mabifu alafu naogoapa sana kupigwa kwaiyo sitaki tu. -Alisema Tunda

Hata hivyo aliulizwa kwanini waligombana mpaka kufikia hatua ya kuyaanika katika mtandao Tunda anasema kuwa bifu hilo halikuanzia instagram lakini lilianzia private katika simu zao na baadae watu walikuja kuvujisha katika mitandao ya kijamii, bila hata  kujua nini chanzo.

Akiendelea kuongezea , mwanadada huyo anasema kuwa watu wengi wamekuwa wakimjudge kutokana na maisha yake anayoishi  na kuyaweka katika ukurasa wake wa instagram lakini ukweli ni kwamba hayo sio maisha yake kuna muda huweza kujisikia akaposti   kitu chochote lakini sio kwamba ndivyo anavyoishi kila wakati.

Alipoendelea kuulizwa kuhusu tabia yake ya kuonekana katika viwanja na kula bata mwandada huyo anasema kuwa watu wamekuwa wakimsema kuwa anafanya starehe sana na hata wengine kumuiga maisha anayoishi yeye bila kujua yeye ela anatoa wapi, ni bora kila mtu akaamua kuishi maisha yake na sio kuanza kuiga maisha anayoishi yeye kwa sabau kwake yeye starehe ni kitu cha kawaida kutokana na ela anayoingiza ingawa kuna muda huwa anakaa nyumbani tu na kupika na kula lakini akiamua kutoka na kuspend kwa chakula huwezi kufika hata milioni moja na nusu.

Huwa nakaa nyumbani najifungia na kupika na kula lakini nikiamua huwa naweza kutumia hata milioni moja na nusu kwa ajili yaku-spendi kwa siku.-Alifunguka Tunda

Tunda Akumbwa Na Skendo Ya Mimba Kwa Mara Ya Pili

Sio mara ya kwanza kwa muuza nyango maarufu katika video mbalimbali kuambiwa kuwa anamimba,Tunda ambae miezi kadha iliyopita alisemekana kuwa na mimba lakini baadae ilisemekana kuwa ametoa mimba hiyo bila kuweka wazi ni nani alikuwa muhusika wa mimba hiyo.

Hata hivyo mwanadada huyo alisema kuwa hakuna na mimba ya mtu yoyote na kitendo chake cha kuwa na mwili mkubwa ni kunenepa kwa sababu amekuwa akila sana vyakula lakini alisema anaanza kufanya diet ili kupunguza mwili huo, na kusema kuwa alikuwa hajui swala lolote kuhusu mimba watu wamekuwa wakimsingizia.

Hivi karibuni tena , mwanadada huyo ameonekana akiendelea kupasuka kutokana na badahi ya sehemu za mwili wake kuendelea kuongezea kama tumbo pamoja na maziwa ambapo waatalamu wa mambo wanasema kuwa mwanadada huyo kwa sasa ana mimba na hawezi kupindua hilo.lakini kitu cha kushangaza ni kwamba mwanadada huyo amekataa na kusema kuwa hana mimba.

Lakini pia mwanadada huyo amekataa kuzushiwa kuwa mimba aliyonayo ni ya msanii wa bongo fleva  ambae alikuwa mpenzi wake wa muda mrefu kwa kipindi cha nyuma, na kusema kuwa kitendo cha yeye kumuweka katika ukurasa wake wa instagram mara nyingi ni kwa sababu anamsapoti msanii huyo kama rafiki yake na sio vinginevyo kama watu wamekuwa wakimzushia.

Ndio kwanza nasikia kwenu mimi wala sina mimba, na wala hizo taarifa sio za kweli kabisa.Huwa namuweka insta ili kusapoti kazi zake tu maana ni rafiki yangu sana sana lakini cha ajabu watu walivyoona hivyo tu ndo wakaanza kuzusha  kwamba ninatoka nae na nina mimba yake , swala la kuhusu kunenepa ni kweli nimenenepa sana kwa sababu nimeridhika na maisha ninayoishi tu.

Hata hivyo Tunda amekuwa kila siku akikana swala la yeye kuwa na ujauzito huku wataalamu wa mambo wakisem akuwa mtu mjamzito akionekana anaweza kujulikana kutokana na vile anavyokuwa.Kama ni kweli mjamzito tunamtakia afya bora yeye na kiumbe kilichopo tumbano na kama ni uzushi basi kila la kheri kwake.Maana wahenga wanasema lisemwalo lipo kama halipo linakuja.

Tunda Anapenda Sana Kufatilia Maisha Yangu Binafsi: Petit Man

Petit Man Wakuache ambaye ni mume wa dada wa Diamond, Esma Platnumz amefunguka kuhusu skendo iliyomwandama wiki chache zilizopita pale alipomtolea matusi ya nguoni mrembo Tunda.

Petit Man alipata umaarufu kwa mara ya kwanza alipokuwa na ukaribu na mrembo Wema Sepetu. Baada ya kumuoa Esma na kuwa shemeji wa Diamond ndipo pale umaarufu ulipozidi. Lakini muda wote Petit aliweka ukaribu wake zaidi na Wema kuliko na familia ya Esma, lakini hata baada ya kupatana na Wema siku za hivi karibuni Petit ameonekana kuweka ukaribu zaidi na familia ya Diamond.

Tunda ambaye amekuwa na urafiki wa siku nyingi na Petit Man alirushiwa matusi hayo na Petit baada ya kumuita Petit chawa wa Diamond baada ya Petit kusafiri na timu nzima ya Diamond kuelekea Zanzibar kwaajili ya shoo ya Diamond. Kitendo kile cha kuitwa chawa na Tunda kilimuumiza Petit na kumtukana Tunda.

Alipohojiwa na clouds tv Petit alifunguka yafuatayo kuhusiana na Tunda:

Yaani yule msichana Tunda anapenda sana kuingilia vitu vyangu binafsi yaani anachimba vitu vyangu vya ndani sana anapenda kuviingilia na kuviongelea sasa sielewi kwa nini anapenda kunizungumzia wakati mimi simzungumzii hata siku moja kwaiyo kitu kama hicho kinatokea kea binadamu yoyote unaposikia unazungumziwa kitu kibaya kupaniki kitu cha kawaida sana”.

Pia Petit alifunguka kuwa kwa sasa anasimamia wasanii wawili ambao ni Country Boy na Bill Nass ambao wanategemea kutoa kazi zao mpya hivi karibuni.

Tunda Amwita Petit Man Chawa Wa Wasafi

Mwanadada asiechuja ambae amekuwa akifanya vizuri mpaka sasa kutokana na kuuza sura katika video za wasanii mbalimbali ikiwemo video ya Diamond Platinumz  ‘Salome’, amemwita Petit Man mume halali wa Esma Platinumz kuwa ni chawa kutokana na kufatana fatana na Diamond na kundi la wasafi kila sehemu, ,Petit Man ni moja kati ya wanafamilia ya wasafi kwa sababu ni mume wa dada yake na Diamond anaejulikana kama Esma Platinumz.

Katika moja ya post katika kurasa za Dizzimonline, katika ukurasa wa instagram ambapo ilipostiwa picha ikimuonyesha Petit Man akiwa na mke wake Esma na Aunty Ezekiel akiwepo, Tunda alicoment na kumuita Petit Man kuwa ni chawa wa wasafi.

“Petiiman hatimaye amekuwa chawa wa WCB, kweli maisha yanabadilika” aliacha comment iyo katika picha, hata hivyo Petit Man na Tunda walikuwa wakionekana pamoja na hata kufanya kazi  pamoja lakini kinachshangaza mashabiki kuwa ni kwanini Tunda aandike ujumbe kama huo tena wazi katika post ambao watu wengi wangeiona au alijua kabisa kuwa lazima ujumbe utafika.

Hata hivyo , picha iyo ni moja ya picha zinazoonyesha matukio  na watu waliokuwa wameudhuria katika show mojawapo alioifanya Damond Platinumz  na Rayvanny katika uwanja wa Amani huko Zanzibar , Petit Man akiwa kama shemeji na mtu wa karibu wa familia ya Diamond alikuwepo kwa ajili ya kusapoti show hiyo.

Hata hivyo show iyo ilihudhuriwa na watu na wasanii wengi maarufu ikiwemo Aunty Ezekiel kutoka bongo movie, Zari The Bossy ambae baada ya kumaliza uzundizi wa  duka jipya Mlimani City mali ya Gsm waliondoka na kuelekea Zanzibar.

Hii sio mara ya kwanza kwa Petit Man na mkewe kutokea katika events na party za familai ya Diamond, na akiwa kama mwanafamilia na mtu anaesapoti sana muziki wa Tanzania basi anapotokea katika shughuli kama izo anakuwa pia na umuhimu wake kwa mkewe na kwa wasanii pia kwa sababu petit man alishawahi kuwa meneja wa wasanii mbalimbali wa bongo fleva na bado anaendelea kusapoti baadhi ya wasanii.

Tunda akiwa pamoja na Petit Man

Tunda akanusha tetesi za kutoa ujauzito

Yule mwanadada anaetikisa jijini Dar Es Salaam  hasa katika upande yeye  wa kuwa moja kati ya  video vixen bora na amekuwa  akionekana katika video nyingi za mastaa wakubwa nchi , Tunda Sebasita anafahamika kwa jina la umaarufu kama Tunda  leo amefunguka na kukanusha stori zilikuwa zikisambaa katika mitandao kuwa alikuwa mjamzito kipindi cha nyuma  na sasa ameitoa mimba iyo, hata hivyo kuenea kwa tetesi izo kunasababishwa na mrembo huyo  (Tunda) ambae amekuwa akipost picha huku akionyesha sehemu za  tumbo lake ambapo watu walianza kujudge na kusema  kubwa  mrembo huyo atakuwa ni mjamzito, lakini bado hata muda ulipopita bila kuona maendeleo yoyote  basi tetesi zilibadilika na kusemekana kuwa  ametoa mimba iyo.

Hata hivyo Tunda amekanusha tuhuma hizo zinazoendelea katika mitandao ya kijamii na kusema kuwa kwa upande wake taarifa hizo ni ngeni, na wala hakuwa na mimba na katika maisha yake hajawahi kupata mimba kabisa.

Akizungumza na waandishi wa habari wa kituo cha EATV, Tunda anasema kuwa sababu za yeye kuwa na  tumbo ni kitambi tu kilichokuwa kinakuwa sababu ya yeye kunenenpa maana yaye ana asili ya tumbo ila kwa sasa anafanya diet na ndio maana watu wanaona tumbo linaisha.

“Sina mimba na sijawahi kupata ujauzito hilo tumbo limeongezeka tu nina asili ya tumbo nikinenepa na tumbo linaongezela hizo tetesi za kutoa mimba ndo nazisikia kwako sijawahi kupata wala kutoa mimba kabisa.”

Tunda ni moja ya video vixen maarufu hapa nchi na amekuwa akitokea katika video za wasanii wakubwa maarufu nchi.baaadhi  ya video zake ambazo ameshawahi kutokea ni pamoja na “Salome”  ya Diamond Platinumz, pamoja  na “Furaha” wa Young Dee

Tunda ni mmoja kati ya video queen mwenye drama nyingi sana za kwenye mitandao kutokana na picha anazoposti katika ukurasa wake wa instagram, na katika historia yake mrembo huyo alishawahi kutoka kimapenzi na msanii wa Bongo Fleva Young Dee  mwenye kibao kipya cha “Utani utani”

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.