Jokate Mwegelo sends lovely message to Diamond Platnumz after sensational collabo with Fally Ipupa 

Tanzanian District commissioner Jokate Mwegelo, who also dated Diamond Platnumz, recently left many tongues wagging after sending a lovely message to Diamond following his collabo with Fally Ipupa.

Taking to social media, Mwegelo shared that Diamond has proved he can really make hits after hits since joining the music industry 10 years ago.

“Kwa miaka 10 unatoa hit juu ya hit, unaziita anthem. Kama kijana mtafutaji usiyechoka, unayefungua njia kwa wengine kutokukata tamaa juu ya ndoto zao, kuweka ndoto kubwa kwenye maisha yao na kuhakikisha zinatimia unastahili pongezi nyingi sana sio kitu rahisi kabisa.”

Hit

Diamond and Fally have released the new track dubbed “Inama” which is proving to be yet another mega collabo. In the post, Mwegelo praised the song saying that she’s anticipating the video.

“Tunakupongeza na kukupa sifa zako sasa ukiwa bado hai!! Tunasubiiri uishiwe nyimbo kidogo tu maana. Here’s another anthem from your favorite  ft  Kisarawe tunakusoma kupitia Na tutasubiri kuchungulia video kupitia ,” she said.

https://www.instagram.com/p/BxAgWatHK6b/?utm_source=ig_embed

 

 

Diamond regrets dumping Jokate, Jokate doesn’t know why she dated him

While Diamond Platnumz is regretting dumping Tanzanian model Jokate Kidoti, Jokate doesn’t know why she dated him. Diamond recently came out to share that he regrets dumping the newly appointed District Commissioner.

“I dated her and then I broke up with her for Wema. It was very bad. When I sit down I think I have really done her wrong. She is still my friend and visits me but I really feel ashamed of the situation.” he said. 

Jokate, who dated the singer and then moved on to Alikiba after being dumped, said that she’s not sure why she went for Diamond in the first place.

Regrets

“I don’t know, sijui. Ni emotions and feelings. There are somethings you cannot explain. Siwezi kuelezea. Walai sijui, ningejua ningekuelezea,” Jokate said in an interview with a Tanzanian TV station.

Diamond also said that he’s not sure why he left her for Wema.

“I don’t know why I left her, maybe I was bewitched because she never wronged me. I think it was the folly of youth. She is very hardworking, civil and has really built her career. I still feel bad about it.”

Ali Kiba finally speaks up after ex-lover Jokate Mwegelo’s appointment

Tanzanian singer Ali kiba has finally opened up on his ex-girlfriend Jokate Mwegelo’s recent appointment as Kisarawe District Commissioner by President John Pombe Magufuli.

The appointed left Jokate trolled by citizens online forcing the government to intervene and protect the commissioner by threatening arrest on any one caught mocking her.

Happy

AliKiba opened up on the appointing but didn’t want to say much.

“Siwezi kuzungumzia hilo lakini kiufupi nilifurahi na ninampa hongera,” Alikiba said after being approached by Millard Ayo TV while attending his younger sister Zabibu Kiba’s wedding.

The two dated almost three years ago and were pictured in several events publicly sharing their love for each other.

Alikiba’s ex girlfriend raises eyebrows with her latest post shared immediately after his wedding

Many Tanzanian fans had been convinced that Alikiba would settle down with his long term girlfriend, Jokate. However things did not work out between the two.

The former couple is said to have split in 2016 before Kiba got his new lady; but it never occurred that the two would settle down as man and wife.

Anyway earlier this morning the two became man and wife confirming that his relationship with Jokate was all in the past. With the event taking place in Mombasa, Jokate happened to share a selfie which she captioned saying ‘Lol.’

Also read: Alikiba finally kisses bachelorhood goodbye, this is how he stepped out dressed for his wedding!

Fans console Jokate

Well, many believe that Jokate’s reaction came after seeing Kiba’s wedding. In the comment section many encouraged her to stay strong and not worry since Muslim men are allowed to marry upto 4 wives.

Others went on to tell her off as she had apparently refused to convert to Islam making it hard for Kiba to marry her.

Anyway read the comments below.

https://instagram.com/p/BhvZ8QXgS5Y/

Yawezekana Hii ni Sababu ya Kutumbuliwa kwa Jokate

Habari zilizo chini ya kapeti na ambazo bado hazijathibitishwa zinasema kuwa kutumbuliwa kwa mrembo jokate katika nafasi yake ya kaimu katibu wa uhamisishaji kwa vijana wa UVCCM kumesababishwa na nafasi hiyo kuatak kupewa msanii mweingine wa kike bongo ambae amehamia CCM hivi karibuni.

Pamoja  na kwamba baaada ya kutumbuliwa kwa mwanadada huyo hakutaa kusema kitu chochote kuhusu sababu iliyofanya atolewe katika nafasi hiyo lakini watu mbalimbali wameanza kusema kuwa kutokana na Wema Sepetu kuhamia CCM wa sasa inawezekana nafasi hiyo itakuwa imewekwa wazi ili aweze kupewa yeye baada ya muda.

Akitoa habari hizo moja ya watu wa karibu  amesema kuwa inawezekana kabisa kuwa nafasi ya jokate atapewa wema na kisha wema atapewa nafasi kubwa zaidi ingawa kwa sasa  jambo hilo limekuwa ni siri kwa sababu ni mambo ya uongozi na muda mwingine inabdi kutunza siri.

Hata kaimu katibu mkuu wa UVCCM, amesema kuwa swala la kuondolewa kwa Jokate ni kitu cha kawadia kabisa  kwa kuwa mpaka wanafanya maamuzi hayo ni kwamba walishajiridhisha na maamuzi hayo na sababu za kumtoa zinakuwa zimewaridhishwa wanakamati wote.

 

Jokate Kumuongoza Ramsey Nouah Kwenye Kongamano La Vijana

mwanadada mrembo kabisa Tanzania ambae anazidi kungara kutokana na moyo wake wa kujitoa katika maswala ya kijamii leo ataweza kuambatana na msanii mkubwa wa kimataifa kutoka nchini nigeria Ramsey Nouah katika kongamano la viajana litakalo fanyika katika viwanja vya chuo kikuu UDSM.Wasanii hao watakuwa wagenni wakuu  wazungumzaji  katika kongamano la vijana  maeneo ya chuo kikuuu cha Dar Es Salaam.

Ramsey Nouah  ni moja ya wasanii wakubwa kimataifa ambao ambao wameipeleka tasnia ya movies za nigeria mbali zaidi,ramseya alishawhi kufanya kazi na msanii wa bongo movies marehemu Steven Kanumba iliyojulikana kama  Evil Kingdom iliyofanya vizuri katika tasnia ya movies za Afrika.

Rasmsey Nouah akiwa na msanii Idrisa Sultani.

Kongamano hilo ambalo linalengo la kuwahamasisha vijana na kuwainua katika sanaa litafanyika na kuhuduriwa na mastaa wengie akiwepo Idriss Sultan  aliyewahi kuwa mshindi wa BBA miaka ya nyuma.

Wasanii hao wataanza na mahijiano maalumu yanayofanyika sasa hivi katika kituo cha Radio cha East Africa.

 

 

Jokate:Napenda Watu Wanijue Kutokana Na Kazi Ninazofanya

Mwanadada mrembo ambae amekuwa akifanya kazi nzuri katika jamii hasa ya kurudisha fadhila  na kusaidia watu wenye mahitaji mbalimbali katika jamii amefunguka na kuongelea vitu ambavyo vimekuwa vikimkera hasa katika matumizi ya mitandao na maswali ambayo amekuwa akiulizwa na waandishi wa habari kuhusu maisha yake.

Jokate amesema kuwa ukiachana na yeye kuwa maarufu  lakini hapendi kwenda katika interviews na kuanza kuulizwa maswali binafsi yanayohusu maisha yake ya ndani  na ndio maana amekuwa ni mtu asiependa kuwaweka ndugu na watu wake wa karibu katika mitandao ya kijamii labda iwe ni kikazi au swala linalomlazimu kufanya hivyo.

Hata hivyo Jokate amesema kuwa anapenda watu wamjue na kumuongelea zaidi kuhusu mambo anayoyafanya katika jamii yeye na brand yake na sio maisha yake binafsi.

Sipendi kuulizwa kuhusiana na maisha yangu binafsi na hata ukiangalia katika page zangu  siposti mchumba, siposti wazazi na wala siposti nduguy kivile kwa sababu najua ukishawapost unakuwa unawaweka katika situation ya watu kutaka kuwaongelea na kama unavyojua watu wengi online wanakuwa na uwezo wa kuongelea kitu chochote kile  kwaio napenda kuwalinda sana watu wangu wa karibu, lakini pia napenda watu wanijue kupitia kazi zangu na vitu vya muhimu ambavyo nimekuwa nikivifanya kwa jamii yangu na vitu kama hivyo – Aliongea Jokate alipokuwa akiojiwa na Millard Ayo Tv

Jokate ambae hivi karibuni amekuwa akionekana akifanya mabo mengi yanayohusiana na jamii amesema kuwa anataka kuwa mfano wa kuogwa kwa mambo mengine mazuri na ndio maana hataki kuwa anaweka maswala yake binafsi katika media.

Hata hivyo ni wachache tena hasa watu maarufu kama Jokate wanaoweza kuendesha maisha yake hasa binafsi kwa siri kubwa, tangu Jokate isemekane kuwa ameachana na Ali Kiba amekuwa kimya sana kutaka kuwaonyesha watu mahusiano yake ya kimapenzi hadharani.

Jokate anapaswa kuwa mfano wa kuigwa sio kwa watu maarufu tu lakini pia kwa watu wote ambao waliweza kupewa nafasi ya kujulikana na bado wakaichezea nafasi hiyo, ukiachana na urembo ambao Jokate umekuwa ukimfaidisha lakini sasa Jokate ameamua kurudi na kusaidia jamii yake katika maswala mbalimbali yanayoikabili ikiwepo na sekta ya elimu.

Mrembo Jokate Kutumia Nafasi Yake Kutetea Wanawake na Watoto

Mwanadada Jokate Mwegelo aliyekuwa mwanamuziki napia mshiriki wa shindano la Miss Tanzania mwaka 2006 na kufanikiwa kushika nafasi ya pili, amefunguka na kudai kuwa anategemea kutumia nafasi aliyonayo katika chama chake na umaarufu katika jamii katika kuhakikisha anasimamia haki za wanawake na watoto.

Jokate ni moja tu kati ya mastaa walioamua kugeukia siasa, ambapo kupitia chama cha mapinduzi anashikili nyadhfa fulani. Jokate amesema kwa kupitia nafasi aliyonayo atahakikisha kuwa anapambana awezavyo kuhakikisha anapambania haki za wanawake pamoja na watoto kwa ujumla.

Kwenye mahojiano aliyoyafanya na kipindi cha Star Mix, Jokate alidai kuwa kuna umuhimu sana kila mmoja mwenye nafasi kwenye jamii atambue umuhimu wa mwanamke kwani wao ndio wenye nafasi kubwa kwenye jamii na hivyo wakazane katika kuhakikisha wanawapa elimu.

Unajua watu wengi wanajisahau kuhusu mwanamke na mtoto lakini kwa upande wangu nawaona wana nafasi  kubwa sana ya hasa mwanamke akipewa elimu bora na kupewa nafasi nyingi za kuongoza huku watoto wakipewa haki inayostahili”.

Jokate ambaye anamiliki kampuni yake ya kidoti inayofanya vizuri amezidi kung’aa na mafanikio take kuonekana hadi nje ya nchi hasa pale ambapo mapema mwaka huh alichaguliwa kama mmoja Kati ya vijana 100 mwenye ushawishi nchini Afrika lakini pia ameamua kugeukia siasa na siku za hivi karibuni ameonekana akijikita zaidi katika kuisaidia jamii katika mambo mbali mbali yenye umuhimu na yenye kujenga taifa letu.

Jokate Awasihi Vijana Watumie Mitandao Ya Kijamii Kutafuta Fursa

Mwanamitindo Jokate Mwegelo amewafungukia vijana wanaotumia mitandao ya kijamii kuiona Kama fursa ya kuweza kuboresha maisha yao badala ya kutumia kwa udaku tu.

Jokate aliongea hayo kwenye mahojiano aliyoyafanya na Sam Misago ambapo alitoa ushauri kwa vijana ni kwa jinsi gani wanaweza kutumia mitandao ya kijamii kuboresha maisha yao.

“Nafikiri vijana watumie zaidi mitandao ya kijamii kuweza kujielimisha kwa sababu katika ulimwengu wa sasaivi kupitia mitandao ya kijamii tumeona kuna habari nyingi ambazo zinawekwa na pia kumekuwa na fursa nyingi sana kwa vijana kwa mfano kuibuka kwa biashara kama lebo kubwa tu za nguo za nchi za nje kwasababu tu wameweza kutumia mitandao ya kijamii vizuri kwa iyo Vijana waone mitandao ya kijamii kama fursa ya biashara isiwe sehemu tu ya kupiga umbea na udaku na kutafuta umaarufu ambao hauna faida”.

Jokate aliendelea kueleza umuhimu wa mitandao ya kijamii katika biashara;

“Mitandao ya kijamii tukiitumia vizuri inaweza kutunufaisha na tukaweza kumsaidia raisi wetu kutimiza adhma yake ya kuona Tanzania inakuwa nchi ya viwanda, kwaiyo vijana tupende kujifunza kwenye hii Mitandao tuitumie tu vizuri  kwa kunyanyuana zaidi ili tuzidi kuona fursa mbalimbali zilizopo kuliko kutumia kwa kupiga umbea na kufuatilia maisha ya watu binafsi”.

Jokate pia ni moja kati ya watu ambao ametumia mitandao ya kijamii vizuri kwa kufanya biashara, Jokate ambaye ni miiliki wa kampuni inayotambulika kama ‘Kidoti’ ameweza kutumia mitandao ya kijamii kuitangaza na kuikuza biashara yake.

8 popular women Diamond Platnumz is said to have been with (Photos)

Now that it is obvious Diamond Platnumz aka Chibu Dangote is not a man who can sticks to one woman – I have compiled a list of celebrity females he’s believed to have slept with and dated during the rise of his career.

Well having enough money in the bank has caused him to get away with a lot of things but his lucky strike might just be wearing off now that he has more than 5 children out there but only accepts 2 who he fathered with Zari.

8. Vera
From what I hear is that Diamond Platnumz might have been sexy involved with the lovely Vera Sidika during the Wasafi beach party that went down a couple of months ago. However since non of them came to address the rumors, let us give them benefit of a doubt just for now.

7. Hawa
If you remember well, before Diamond Platnumz became famous he released a song dubbed ‘Nitarejea’ that he featured a lady called Hawa. However what many don’t know is that he fathered her 1st child who he has refused to take care of the little girl.

6. Huddah
Back in 2015 word had it that Huddah slept with Diamond Platnumz right under Zari’s nose when they were in South Africa and knowing the type of lady Huddah is – she confessed about it through her social media pages leaving many shocked.

5. Jokate
Back in the day Diamond Platnumz had a fling with Jokate Mwegelo who later dated Alikiba making the two men continue to dislike each other to date!

4. Wolper
If you didn’t know, yes…Diamond Platnumz dated this actress before dating Wema Sepetu back in 2014 then later this actress went ahead to date his friend ‘Harmonize’ before breaking up a few months ago.

3. Wemasepetu
I need not explain there case as we all saw their bitter breakup back in 2015.

2. Zari
The Tanzanian star dated Hassan after publicly dumping Wema Sepetu. She has how given him two children but the man is still making more kids out here.

1. Hamisa
Well, meet the mother of his 2nd born son.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.