Mhe Jokate Mwegelo: Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wampende Harmonize

Kisarawe District Commissioner, Mhe Jokate Mwegelo has come out claiming she is behind Harmonize´s success because she urges her people to listen to his anthems.

The youthful Tanzanian politician articulates that her bid to promote Harmonize, has seen many embrace and listen to his songs as well as love the star.

Speaking up and close during an event held in Kisarawe by the ´Tetema´ singer, Jokate expresses:

Mimi actually ndio nimefanya watu wengi wilayani kwangu wampende Harmonize.

https://www.instagram.com/p/Bx0Lgr6nXiX/

She further surprisingly reveals that Harmonize´s Kainama and Kwangwaru jams are their recent best hits:

Sasa hivi wimbo ambao tunaupenda ni Kainama na Kwangaru,

Na sio unafiki.

Sisi nyimbo zake tunazitwanga sana, maana yake ukiingia field lazima upige muziki kidogo

This the beauty adds is because of the touch and the feeling they give, whenever you listen to them:

Sisi Kwangwaru, Kainama na hii Never Give Up tunaisikiliza kwa sababu inaamsha.

However, her last words to the bongo artist is to get married and to always feel welcome in her territory, Kisarawe.

https://www.instagram.com/p/ByADDLJh7Su/

Jokate Mwegelo Azikingia Kifua Tuzo Za SZIFF

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo ambaye pia ni mlezi wa tuzo za sinema zetu ametoa pongezi kwa uongozi wa Azam ambao ndio  waandaaji wa tuzo hizo , na ametoa ushauri kwa wasanii walioshiriki katika tuzo hizo huku akiwahakikisha tuzo kubwa hutoka kwa mashabiki.

Kupitia ukurasa wake wa instargram, Jokate amesema anaamini Tuzo hizo zinachamsha tasnia ya filamu nchini, ambapo amesema yapo mapungufu machache yaliyojitokeza ni moja ya vitu vya kujifunza.

https://www.instagram.com/p/BuRWBgDnZxw/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1ijmoq1f5xm5m

Esther Kiama Atamani Nafasi Ya Jokate

Muigizaji wa Bongo movie Ester Kiama amefunguka na kuweka wazi kuwa ametokea sana kumtamania mrembo Jokate Mwegelo ambaye kwa sasa ni Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Ester alidai kuwa, kwa sasa Jokate amekuwa ‘role model’ wake na anaamini siku moja atakuwa kama yeye.

Unajua nimejikuta natamani kuwamkuu wa wilaya flani hivi ingawa najua siyo mchezo kama watu wanavyofikiria. Kiukweli Jokate ndiyo amenifanya nitamani hivyo, navutiwa na utendaji kazi wake lakini pia anavyonyuka zile suti. Na mimi nimeshaanza kumuiga katika uvaaji”.

Miezi michache iliyopita Mrembo Jokate Mwegelo aliteuliwa na Raisi Magufuli na kuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe na mara moja mrembo huyo ameonekana kufanya vizuri sana katika nafasi yake na kuwatumikia vyema wananchi.

Jokate Adhamiria Kuweka Urembo Pembeni

Muigizaji wa Bongo movie na pia Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Mheshimiwa Jokate Mwegelo amefunguka na kusema ameamua kuachana na mambo yote ya urembo na kuelekeza nguvu zake katika Wilaya yake ya Kisarawe.

 

Jokate ameweka wazi kuwa anataka kuweka pembeni mambo mengine yote na kuhakikisha anafanya kazi mwanzo mwisho hadi aone wilaya yake imebadilika na kuwa anavyotaka.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la  Amani, Jokate alisema kuwa mambo ya urembo na mengine yote aliyokuwa anayafanya, anayaweka pembeni kuhakikisha vitu muhimu vinavyotakiwa kuwepo Kisarawe vipo na vitakuwa vya kudumu hata kama yeye hatakuwepo.

Yaani mambo sijui ya kujiona mrembo huku kwangu mimi sina, sasa hivi yaani nataka kuona Kisarawe ambayo haina ziro, mimba za utotoni hakuna, unyanyasaji wa kijinsia umeondoka kabisa hata kama sitakuwepo madakarani“.

Jokate ameonekana kufanya vizuri sana kwenye nafasi aliyochaguliwa miezi michache iliyopita kwani Mpaka sasa ameshafanya mambo ya maendeleo katika Wilaya yake ya Kisarawe.

 

Jokate Atoa Adhabu kwa Taifa Stars Baada ya Kufungwa.

Mwanamitindo na mkuu wa wilaya ya Kisarawe mwanadada Jokate Mwegelo amefunguka na kuonyesha hisia na mapenzi aliyonayo katika muziki kwa kusema jinsi gni ameguswa na kufungwa kwa timu ta taifa ya Tanzania ya TaifaStars.

Taifa stars ambao jana walipotza mcheoz baada ya kufugwa bao 1-0 na kupoteza mchezo huo ambao mashabiki wengi walikuwa wameweka matumaini kuwa watashinda, wamemuangausha pia mwanadada huyo na kuamua kuwapaadhabu,

katika ukurasa wake jokate aliandika  kwa kuweka picha ya timu hiyo na kusema “kubangua korosho kunawahusu aiseee…”

Mwanadada Jokate ameuwa moja ya wasanii, wanamitindi na viongozi weny kuonyesha mapenzi sana latika swala zima la mpira hata kufikia hatua ya kusaidia vijana wenye vipaji.

Jokate Afurahishwa na Uteuzi wa Mh Rais.

Mwanadada mwanamitindo, mjasimiali, mwanasiasa na pia mkuu wa wilaya  wa Kisarawe ametoa yake ya moyoni baada ya mh Rais kufanya utezuzi wa viongozi wapya hivi karibuni huku akiwa na imani na uteuzi wa kijana Japhet Justice Sayi ambae bado kijana mdogo lakini kupewa nyadhifa kubwa serikalini.

Jokate amefunguka na kuona kuwa alichokifanya mh Rais ni jambo jema na kuwa amekuwa akionyesha vijana kuwa wanaweza kuleta mandeleo katika nchi na ndio maana ameazna kufanya kazi na vijana.

Katika ukurasa wake wa instagram, joate aliandika ”

Rais kaomba leo Ikulu uthibitishwe kijana mdogo uwe Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania. – TADB. 
“Tunaamini kwa akili na uwezo wako mkubwa sasa wakulima watafutwa machozi yao na hili la korosho utalisimamia vyema. Sina shaka na uwezo wako kabisa. Mwenyezi Mungu aendelee kukuongoza . 
“Asante Mhe Rais kwa kuendelea kuamini vijana wenye sifa na weledi kufanya vitu vikubwa kwa maendeleo ya nchi yetu,” ameandika Jokate kupitia ukurasa wake wa Instagram leo.
Japhet Justine Sayi alikuwa Kaimu Mkurugenzi wa Benki hiyo kabla ya jana Rais Magufuli kuelelekeza Waziri husika anayeshughulikia benki hiyo kumthibitisha Rasmi kuwa Mkurugenzi mkuu

Ali Kiba Amtumia Salamu Za Pongezi Jokate Mwegelo

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Ali Saleh Kiba amemtumia salamu za pongezi Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Jokate Mwegelo kwa kazi nzuri anayefanya.

Ali Kiba ambaye ameshawahi kuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi na Jokate katika siku za nyuma amefunguka kusema Jokate ni mmoja Kati ya viongozi wachapa kazi na kazi sake anazofanya zinaonekana.

Ali Kiba alifunguka hayo kwenye mahojiano na Big Chawa ambaye alimuuliza Kama anachochote cha kumwambia Mkuu wa wilaya ya Kisarawe mrembo Jokate naye alifunguka:

Namwambia Afanye kazi na pia nimeona kazi zake anazofanya jinsi zinavyoenda vizuri kwa hilo ninampongeza”.

Lakini pia mahojiano hayo Ali kiba amekana taarifa kwamba nyimbo sake mbili alizozitoa mwishoni zimebuma na kudai anaona amefanya vizuri tu Kama siku nyingine.

“Kwa niaba ya wana Kisarawe tunasema asantee sana” Jokate Mwegelo pours out her heart to Mercy Masika after she did this

Kisarawe District Commissioner Jokate Mwegelo hosted Kenyan songbird Mercy Masika who visited Tanzania and offered goodies to residents in Kisarawe District.

Mercy was in Tanzania for a media tour and she decided to make a notable contribution during her stop in Kisarawe district where Jokate Mwegelo is the DC.

The ‘Shule Yako’ hit maker offered to pay medical covers for 25 people residing in Kisarawe District. She also donated other foodstuff to residents.

Jokate Mwegelo and Mercy Masika
Jokate Mwegelo and Mercy Masika

Your songs move us

Jokate poured out her heart to Mercy Masika upon receiving the generous contributions on behalf of Kisarawe residents. She wholeheartedly thanked the Kenyan singer and also told her that her songs inspires many.

“Thank you so much for visiting our District, Kisarawe and making a notable contribution to our Tokomeza Zero Kisarawe Campaign and Health Insurance for some of our children @mercymasikamuguro your songs of praise and worship move us and our presence yesterday just solidified how much of a great person you are. God Bless You and Your Team. Tanzania Tunakupenda Sana ❤️,” said Jokate Mwegelo.

Mercy Masika also visited her friend Bongo actress Rose Alphonce popularly known as Muna Love during her visit in Tanzania. Muna Love lost her son who died at the Nairobi West Hospital, the kid died of brain tumor.

 

 

 

 

Jokate Atengeneza Uadui na Manara Kisa Yanga.

Mwanadada ambae amekuwa akijihusisha na mambo megi sana katika jamii ikiwepo biashara, siasa fashion nahata mpira  Jokate Mwegelo ameamua kutuma salamu za  upinzani kwa mhasimu wake mkubwa mabe pia ni moja ya viongozi wakubwa kwa timu ya Simba Hajis manara kutokana na mchezo ambaeulichezwa wikiend hii kati ya Simba na Yanga.

Jokate ambae ni shabiki wa yanga anasema kuwa pamoja na kwamba yeye na haji ni marafiki lakini kwake hilo hatojali kutokana na uadui wako katika swala la upinzani wa kimpira mpaka pale dakika 90 zitakapo isha.

Jokate alisema “samahani sana Haji, Haji wewe ni rafiki yangu sana lakini inabidi utambue  na kukubali kuwa yangu ni timu bora kabisa ya taifa, tumepitia wakati mgumu sana na tunaamini  yatakweisha kabisa”Alisema jokate alipokuwa akiongea na Wasafi Tv.

Hata hivyo kabla ya mchezo huo, Jokate aliitabiria yangu kuifunga sima 3-0 lakini baada mchezo walitoka Droo.

Tuzo Za SZIFF Zimerudi na Jokate Ateuliwa Kuwa Mlezi

Tuzo za Sinema Zetu zinazorushwa na kituo cha Azam Tv Kupitia chaneli Ya Sinema Zetu zimerudi tena kwa mwaka 2018.

Global Publishers wanaripoti kuwa, Mtendaji Mkuu wa Azam Media, Tido Mhando, amesema taratibu zote za maandalizi kuelekea msimu huo mpya zimeshakamilika na kwamba zitaanza rasmi Januari Mosi, mwakani na kuhitimishwa Februari 23 katika Ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es Salaam.

Uwasilishaji wa kazi hizo utaanza mara moja Oktoba Mosi, mwaka huu mpaka Novemba 30, mwaka huu, mchakato wote huo wa upokeaji wa kazi za wasanii utakuwa chini ya COSOTA na Bodi ya Filamu Tanzania, huku mwenyekiti wa jopo la majaji atakuwa ni profesa Martin Mhando kwani ndiye aliyekuwa pia Mwenyekiti wa Tamasha la Kimataifa la Filamu Zanzibar,”

Katika hatua nyingine, Tido alimtambulisha Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe, Jokate Mwegelo kuwa ndiye wamempatia jukumu la kuwa mlezi wa tamasha la tuzo hizo litakalofanyika Februari 23, mwakani.

Tuzo hizo zilipofanyika mara ya mwisho zilionekana kupokelewa vizuri na wasanii na kuonekana kuondoa uhaba wa Tuzo Tanzania.

Diamond Amuunga Mkono Jokate Kupitia ‘Tokomeza Zero’

Staa wa muziki wa Bongo fleva na CEO wa WCB Diamond Platnumz ameingia Mkono jitihada za Mkuu wa wilaya ya Kisarawe Mh. Jokate Mwegelo katika kuboresha elimu.

Wiki iliyopita Jokate alitangaza kufany harambee kwa ajili ya maboresho ya elimu katika Shule ya Minaki siku ya Jumamosi.

Wasanii kadhaa wameunga Mkono jitihada hizo akiwemo Aliyekuwa mpenzi Msanii Diamond Platnumz ambaye Kupitia ukurasa wake wa Instagram amewataka wananchi mbali mbali kushiriki siku ya kesho.

https://www.instagram.com/p/Bn-5ProhAVW/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=e0qllefy8n56

Jokate Aja na Tokomeza Zero Kisarawe.

Mwanadada Jokate amliyewahi kuwa mrembo wa miss tanzania lakini kutoka na juhudi alizoonyesha mh rais alimuamini na kumpa kiti cha ukuu wa wilaya ya Kisarawe anazidi kuonyesha nguvu na nia yake ya kutaka kuwasaidia vijana hasa katika kampeni yake mpya ya tokomeza zero katika wilaya ya kisarawe.

Jokate anasema kuwa kampeni ya kutokomeza wanafunzi wanaofeli katika shule za sekondari ilianza tangu 2017 hivyo anataka wadau mbalimbali sasa kutilia mkazo swala hilo ili kukamilisha azma hiyo.

ukimsaidia mtoto akaweza kupata elimu unakuwa umeweza kusaidia Tanzania nzima,na mimi kuanzia sasa nataka tuanze  na kidato cha nne na sita tufute hizo zero na zisiwepo kabisa.

Jokate anasema kuwa nia yake kubwa ni kuwasaid awatoto katika elimu lakini pia inabidi kuweka mazingira safi kwa ajili ya kuepuka na kila kishawishi .

Jokate Amtaka Miss Tanzania Ajiandae na Matusi Ya Mitandaoni

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe na Aliyewahi kuwa mlimbwende wa Miss Tanzania Jokate Mwegelo amefunguka na kumuandaa kisaikolojia Miss Tanzania mwaka 2018 Queen Elizabeth na mitandao ya kijamii.

Siku ya Jumapili Tanzania ilipata Miss mpya wa kuliwakilisha Taifa Mrembo Queen Elizabeth na mara moja mitandao ya kijamii ilianza kutoa maoni yao kuhusu Mrembo huyo.

Jokate ameibuka na kumuelezea balaa la mitandao ya kijamii na namna inavyoweza kumbomoa au kumjenga ambapo cha muhimu ni uajasiri kwani watu watakuwa na maoni mengi juu yake.

Kwenye mahojiano na Global Publishers , Jokate alisema baada ya kushinda, Queen Elizabeth amekuwa staa mpya kwa hiyo ategemee kusikia mengi kutoka mitandaoni.

Kikubwa unatakiwa kuwa tayari kupokea kila kitakachokuja kwako. Kwa sababu wakati mwingine unaweza kutukanwa kiasi kwamba ukatamani uachane na mitandao hiyo. “Lakini unatakiwa kufahamu hiyo ni hali ambayo inawakuta wengi wetu. Kwa hiyo kuwa mvumilivu na kwa upande wako itumie mitandao kwa manufaa ya jina na kazi zako”.

 

Jokate Mwegelo Ampongeza Miss Tanzania

Mkuu wa wilaya ya Kisarawe na Mrembo Jokate Mwegelo amemtumia salamu za pongezi Mrembo ambaye ni Miss Tanzania mwaka huu Queen Elizabeth Makune.

Queen Elizabeth aliyezaa tajiri hilo mwishoni kwa wiki iliyopita na mara moja kulikuwa kuna gumzo kuzunguka ushindi wake ikiwemo zawadi aliyopata na hata waandaji wa Shindano hilo.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jokate amemuandikia ujumbe huu Miss Tanzania mwaka 2018/2019:

https://www.instagram.com/p/BnkueosgAMU/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=ctg7mnbl6wrb

Baba Jokate Awataka Wema na Uwoya Wamuige Jokate

Baba mzazi wa Msanii na Mkuu wa Wilaya ya Kisarawe Jokate, Mzee Urban Costa Ndunguru amefichua siri nzito inayowafanya mpaka Wema Sepetu na Irene Uwoya Wasafikie malengo yao kisiasa.

Kwenye mahojiano na gazeti la ‘Amani’ Nduguru aliliambia Amani katika mahojiano maalum kwa njia ya simu hivi karibuni kuwa:

Mwanangu, Wema, Uwoya wote wana ndoto za kuwa wanasiasa na viongozi wa umma lakini hawa wawili kuna mambo yanawakosesha fursa.

Mimi Uwoya simfahamu sana, namsikia tu habari zake kwenye magazeti, lakini Wema namfahamu kwa sababu baba yake (marehemu Isack Sepetu) nimefanya naye kazi serikalini.

Matatizo yanayowakosesha nafasi za kufikia ndoto zao hawa watoto yako mengi lakini kubwa kabisa ni kuiacha misingi bora waliyolelewa na wazazi wao. Siri kubwa ya kufanikiwa hasa katika kutumikia watu ni kujiheshimu na kufanya mambo kwa siri, siyo kwenda kiholelaholela, unajivunjia heshima mwenyewe”.

Lakini pia Baba Jokate amewataka warembo hao wawili kuiga mfano wa Jokate:

Nimeona wanampongeza mwanangu kwa kuteuliwa kwake (kuwa DC), na mimi nasema wasiishie kumpongeza tu lakini waige tabia zake.

Jokate ni mwanangu, sisemi ni mkamilifu lakini ni msiri sana, vigumu kumuona kwenye jamii akifanya vitu vya ovyo, tabia hii naomba Wema na Uwoyawaiige itawasaidia kufikia ndoto zao za kuwa viongozi“.

 

Sikuwahi Kufikiria Kuwa Mkuu wa Wilaya, Nilitamani Ubunge:-Jokate

Mwanadada Jokate Mwegelo ambae kwa sasa ameanza rasmi kazi yake mpya ya kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kisawasawa na kishindo na kuwa karibu na wananchi wake  aliwahi kusikika siku ya kuapishwa kwake akisema kuwa hakuwahi kabisa kuwaza kuwa angeteuliwa na Mh Rais kuwa mkuu wa wilaya.

Jokate ambae hapo awali aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali katika chama tawala na hata baadae kuenguliwa atika moja ya vyeo vikubwa katika UVCCM, amesema kuwa hata baada ya kutolewa huko alikuwa amekaa kimya kumbe pia Mungu alikuwa akimtayarishia jambo kubwa na zuri zaidi.

Jokate anasema kuwa bado anamshukuru sana mh rais kwa kumuona na kumuamini lakini nafasi hiyo hakuwahi kuifikiria wala kujua kama angeweza kuipata.hata hivyo baada ya kutolewa katika cheo hicho alikaa kimya muda mrefu bila kuonekana katika mitandao ikiwa ni njia yake ya kujitafakari  na kujua nini anataka kufanya.

sikuwahi kufikiria kama ningekuwa mkuu wa wilaya , lakini nashukuru kwa hshima kubwa aliyonipatia mh rais.Nafasi niliyokuwa natamani kwenye siasa ni kugombea ubunge.sikutegemea wala kufikiria swala la ukuu wa wilaya.

Diamond regrets dumping Jokate, Jokate doesn’t know why she dated him

While Diamond Platnumz is regretting dumping Tanzanian model Jokate Kidoti, Jokate doesn’t know why she dated him. Diamond recently came out to share that he regrets dumping the newly appointed District Commissioner.

“I dated her and then I broke up with her for Wema. It was very bad. When I sit down I think I have really done her wrong. She is still my friend and visits me but I really feel ashamed of the situation.” he said. 

Jokate, who dated the singer and then moved on to Alikiba after being dumped, said that she’s not sure why she went for Diamond in the first place.

Regrets

“I don’t know, sijui. Ni emotions and feelings. There are somethings you cannot explain. Siwezi kuelezea. Walai sijui, ningejua ningekuelezea,” Jokate said in an interview with a Tanzanian TV station.

Diamond also said that he’s not sure why he left her for Wema.

“I don’t know why I left her, maybe I was bewitched because she never wronged me. I think it was the folly of youth. She is very hardworking, civil and has really built her career. I still feel bad about it.”

Mh. Jokate Aanza na “Operation Jokate ” Kisarawe.

Mwanadada mrembo na mwanamitindo Jokate Mwengelo ambae hivi karibuni aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe, ameanza kazi rasmi katika wilaya hiyo huku akianza kwa kishindo kikubwa kwa Operation Jokate ambayo inalengo la kuondoa wavamizi  katika mapori na hifadhi za taifa.

Kampeni hiyo ambayo Jokate ameanza nao inalengo la kuondoa wafugaji wanaotumia vibaya hifadhi za taifa kwa ajili ya ufgaji kitu ambacho ni kinyume na taratibu.

Zifuatazo ni picha zinazomuonyesha Mh Jokate akiwa na watendaji tofauti tofauti walikuwa wakitekeleza jukumu hilo.

Licha ya Kuwa Mkuu wa Wilaya,Jokate Akiri Kutoachana na Uanamitindo.

Mwanadada Jokate Mwegelo ambae hivi karibuni aliteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe  amesema kuwa hawezi kuacha kuwa mwanamitindo kama wengi wanavyodhania kwa sababu tu yeye ameteuliwa kushika nafasi fulani katika serikali.

Jokate anasema kuwa  watu wengi wamekuwa wakijiuliza kuwa itakuwaje kuhusu kazi yake ya uanamitindo hasa baada ya kupewa cheo kingine serikalini, lakini anachoamini kuwa hiyo ni kazi yake hivyo hawezi kuacha kazi hiyo.

jamani mimi bado membo kwaio siwezi kuacha kufanya kazi na wabunif mbalimbali kwa sababu ya kuwa mkuu wa mkoa. na kwa sababu bado navaa, nitaendelea kuvaa nguo , vitenge, na nguo mbalimbali zinazobuniwa ila tu kwa sasa lazima kuwe na utaratibu maarum wa kuvaa lazima nibadilike kidogo.

lakini pia ikumbukwe kuwa kuna mitindo na urembo mbalimbali kama mafuta, wanja, na urembo ni lazima tuendelee nao kwa sababu tu ni maisha yetu ya kila siku.na sio kwamba nitakuwa ninashiriki sana lakini nitafanya pale kwa uweoz wangu, kwa mfano kama nguo niliyovaa sasa imebuniwa na mwanamitindo kutoka hapa nchi , sasa ntaachaje kuvaa, nitaendelea kusapoti mitindo na huu ukuu wa  wilaya wangu.

No exposing skin! Jokate Mwegelo seeks a new beginning on social media after being appointed DC

Jokate Mwegelo landed plum government job thanks to her loyalty to the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), she served as deputy secretary (Mobilisation) in the CCM youth wing prior to the appointment.

For starters, Jokate dated both Alikiba and Diamond Platnumz. She was in a relationship with Kiba for a long time and everybody actually thought she was the girl the singer would marry.

On Saturday July 28th President John Magufuli awarded CCM loyalists with plum government jobs. Jokate was appointed District Commissioner for Kisarawe, Coast Region.

Jokata has since wiped clean her Instagram page days after taking office. She used to pose titillating photos but now her job requires her to be ‘decent’.

Regret dumping Jokate

Meanwhile last Friday Diamond Platnumz said he regrets dumping Jokate. The singer cheated on Wema Sepetu with Jokate then he dumped Jokate and rushed back to Wema.

“Jokate was very innocent and never did anything wrong to me. I put her through a lot of trouble and created a perception in peoples mind that she was a bad girl who had snatched me from Wema (Sepetu).

Jokate Mwegelo and Diamond Platnumz
Jokate Mwegelo and Diamond Platnumz

“Truth is I’m the one who pursued her. I dated her then broke up with her without a reason and run back to Wema. To date I don’t know why I left her, maybe I was bewitched because she did nothing wrong. She is hard working and has built a career for herself. She is still my friend but every time she visits I feel ashamed of the situation. I still feel bad about it,” Diamond narrated during an interview.

 

 

 

 

Mheshimiwa Jokate Ala Kiapo Cha Kuwa Mkuu wa Wilaya Ya Kisarawe (+video)

Msanii na mfanyabiashara Jokate Mwegelo amekula kiapo rasmi siku ya leo cha kuwa mkuu wa mkoa wa Kisarawe.

Jokate ameapishwa siku ya leo na Mkuu wa Mkoa wa Pwani, Mhandisi Evarist Ndikilo katika hafla fupi iliyofanyika wilayani humo.

Hii ni video fupi ya tukio hilo:

https://www.instagram.com/p/BmAl7EmBCpf/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1642csbb1n6uh

Ali Kiba finally speaks up after ex-lover Jokate Mwegelo’s appointment

Tanzanian singer Ali kiba has finally opened up on his ex-girlfriend Jokate Mwegelo’s recent appointment as Kisarawe District Commissioner by President John Pombe Magufuli.

The appointed left Jokate trolled by citizens online forcing the government to intervene and protect the commissioner by threatening arrest on any one caught mocking her.

Happy

AliKiba opened up on the appointing but didn’t want to say much.

“Siwezi kuzungumzia hilo lakini kiufupi nilifurahi na ninampa hongera,” Alikiba said after being approached by Millard Ayo TV while attending his younger sister Zabibu Kiba’s wedding.

The two dated almost three years ago and were pictured in several events publicly sharing their love for each other.

Steve Nyerere -Hakuna Msanii Yoyote alikasirishwa na Uteuzi wa Jokate .

Msanii wa bongo movies steve nyerere amefunguka na kukanusha ttesi zinazosambaa katika mitandao ya kijamii kuhusu yeye kuwa amekasirika kwa sababu ya  kuteuliwa kwa mwanadada Jokate kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe na kusema kuwa yeye anamshukuru sana rais kwa sababu ameleta heshima katika tansia ya sanaa.

Steve anasema kuwa maneno yamekuwa yakizunguka mengi sana huku wengine wakipinga uteuzi huo kuwa ni wa upendeleo lakini kwake ni furaha sana kwa Jokate kuwa mkuu wa wilaya.

moja ya kazi aliyonayo baada ya kuteuliwa ni kutuwakilisha sisi vijana wenzake na ametuwakilisha sisi vijana,kwa namna moja ama nyingine hakuna msanii yoyote au msanii yoyote  alikasirishwa na uchaguzi wa ma-DC wote tuko tayari kuwasapoti katika kazi kwa namna moja au nyingine. vinavyoongelewa na kuashiriwa ni vya kwenye mitandao tu wala hakuna kitu kama icho.

Ali Kiba Avunja Ukimya Kuhusu Uteuzi wa Jokate

Staa wa muziki wa Bongo fleva Ali Salehe Kiba amevunja ukimya na kufunguka kuhusu uteuzi wa aliyekuwa mpenzi wake Jokate Mwegelo kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe.

Ali Kiba ambaye alikuwa mpenzi wa Jokate amefunguka Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv,  kusema anamtumia salamu za pongezi na kumtakia kila la Kheri;

Siwezi kulizungumzia sana hilo lakini kwa ufupi tu ni kwamba nimefurahi na nampa hongera sana”.

Lakini pia kaka wa Ali Kiba, Abdu Kiba ambaye pia alikuwa na ukaribu na Jokate amefunguka na kumpongeza Jokate:

Namtakia kila la heri na aweze kuongoza vyema Kwenye uongozi wake. Sijapata nafasi ya kuongea naye kwa sababu naamini yuko bize lakini pia sijawahi kuwasiliana naye kwa kipindi kirefu lakini Kupitia hii Interview namtakia kila la kheri Kwenye maisha yake”.

Jokate aliteuliwa siku chache zilizopita na Raisi John Pombe Magufuli kuwa mkuu wa Wilaya ya Kisarawe.

Tanzanian government warns citizens against mocking Diamond’s ex-lover 

Days after Tanzania president John Pomber Magufuli appointed Diamond Platinuz’s ex-lover Jokate Mwogelo as the new Kisarawe Provincial Commissioner, the online space has been buzzing with congratulatory messages and, trolls.

Some Kenyans and Tanzanians decided to mock Mwogelo after the appointment with many using her relationship as reference that she doesn’t deserve the post.

Tough

Tanzanian government, however, isn’t having that anymore and has now threatened to arrest any citizen mocking the new commissioner. Jokate’s appointment came as Magufuli’s government reshuffled some of its District and Provincial leaders.

Jokate also dated singer Ali Kiba. After the appointment, she confessed her journey hasn’t been easy in an Instagram post.

https://www.instagram.com/p/Blzt6DdAIO1/?utm_source=ig_embed&utm_campaign=embed_loading_state_control

Barnaba Aongelea Uteuzi wa Jokate.

Msanii wa muziki wa bongo fleva kipaji bora kutoka THT , Barnaba classic amefunguka na kumpongeza sana mwanadada Jokate Mwegelo kwa kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya ya kisarawe na kusema kuwa hiyo ni moja ya hatua kubwa ambavyo nchi yetu inapiga kwa kutambua michango wa watu katika tasnia.

Akiongea na simple katika kipindi cha break, Barnaba anasema kuwa amefurahia uteuzihuo lakini anawaona wale ambao wanamsema na kumponda na hata kuchukia utezi wa jokate ni wapumbav na wamekuwa wakipoteza muda wao kufanya kitu kama hicho.

Nampongeza sana Jokate kwa uteuzi, na kwa wale ambao wamekuwa wakimsema vibaa naona ni wapumbavu tu, wapumbavu tena sana kwa sababu kama mtu una kazi zako za kufanya huweiz kukaa na kumsengenya mtu, nasema ni wapumbavu mara mbili.

Mwanadada Jokate anatarajiwa  kuripoti na kuapishwa na mkuu wake wa mkoa katika kituo chake cha kazi.

Nimependa na Kukubaliana na Uchaguzi wa Jokate- Irene Uwoya

Msanii katika tasnia ya Bongo Movie Irene Uwoya amefunguka na kuweka wazi kuwa amependa na amekubali kabisa katika uteuzi wa Msanii mwenzake Jokate Mwegelo ambaye ni Mkuu wa wilaya.

Uwoya amefunguka hayo wakati alipokuwa anajibu barua ya wazi ya msanii Rado ambaye alimhoji kuhusu ushiriki wake katika siasa na kudai anaona kama Uwoya amestahili pia kuchaguliwa kuwa mbunge.

Kama utakumbuka mwaka 2015, Irene Uwoya aligombania nafasi ya Ubunge viti maalumu CCM na kusema ukweli alifanya vyema sana lakini Rado amemuuliza Uwoya kama anataka kuenda mbele kama Jokate je Dogo Janja anafaa kuwa kama mume wake?

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Uwoya ametoa majibu kuhusu hilo ambapo ameweka wazi kuwa hana wivu wala tatizo na Jokate kuchaguliwa kwani anaheshimu maamuzi ya Raisi Magufuli.

Naamini sana katika maamuzi na mapendekezo ya mwenyekiti wangu wa Chama. Naamini sana na nimependa uteuzi wa Jokate kwa sababu baada ya kampeni na uchaguzi kuisha watu wengi tuliendelea na mambo yetu binafsi lakini ukifuatilia kwa ukaribu Jokate amepambana na amekuwa karibu sana na harakati za chama na haswa kushiriki katika shughuli za kijamii kwa haya na mengi zaidi nampongeza zaidi kwani amepanda mbegu nzuri ambayo amevuna mavuno mazuri hongera kwake Mheshimiwa Jokate Mwegelo”.

 

Huddah Awachana Wabongo Kwa Unafiki Amkingia Kifua Jokate

Socialite maarufu kutoka pande za +254 Kenya, Huddah Monroe amewatolea uvivu wabongo kwa vitendo vya kinafki walivyomfanyia Jokate Mwegelo mara baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa wilaya.

Huddah amewatolea povu watu waliomnanga Jokate baada ya Ali Kiba kumuoa mwanamke mwingine ambaye ni Amina mwaka huu na kusababisha watu kumcheka sana Jokate.

Kupitia Kwenye ukurasa wake wa Snapchat Huddah ameandika ujumbe huu:

Ali Kiba alivyomuoa msichana mwingine mapema mwaka huu watu walimcheka sana na kumdhalilisha Jokate. Lakini sasa hivi anapata mafanikio hao hao watu wanageuka na kumpongeza ama kweli mitandao imeshindikana. Hana mashabiki wa kweli bali ni wanafiki tu na wanaondoka kwa upepo”.

Ali Kiba alikuwa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi na Jokate kwa muda mrefu lakini mapema mwaka huu alimuoa Amina.

Wikiendi iliyopita Rais Magufuli alimtangaza Jokate kama Mkuu wa wilaya ya Kisarawe jambo lilipelekea kupata pongezi nyingi sana kutoka kwa mashabiki mbali mbali na hata wasanii wenzake.

Huddah Monroe: When Alikiba married another lady people laughed at Jokate, now everyone is congratulating her

Jokate Mwegelo recently landed plum government job thanks to her loyalty to the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), she served as deputy secretary (Mobilisation) in the CCM youth wing prior to the appointment.

On Saturday July 28th, President John Magufuli awarded CCM loyalists with plum government jobs. Jokate was appointed District Commissioner for Kisarawe, Coast Region.

The former Miss Tanzania runner-up received congratulations galore following her appointment by President Magufuli.

Hypocrites

Huddah Monroe has come out to throw shades at some of the people congratulating Jokate Mwegelo. The Kenyan socialite says the same hypocrites who mocked Jokate when Alikiba failed to marry her the one who are now congratulating her on her appointment.

Jokate dated both Alikiba and Diamond Platnumz. She was in a relationship with Kiba for a long time and everybody actually thought she was the girl the singer would marry.

Diamond’s ex Jokate Mwegelo opens up about her struggles after President Magufuli appoints her District Commissioner

Jokate Mwegelo has landed plum government job thanks to her loyalty to the ruling party Chama Cha Mapinduzi (CCM), she served as deputy secretary (Mobilisation) in the CCM youth wing prior to the appointment.

For starters, Jokate dated both Alikiba and Diamond Platnumz. She was in a relationship with Kiba for a long time and everybody actually thought she was the girl the singer would marry.

On Saturday July 28th President John Magufuli awarded CCM loyalists with plum government jobs. Jokate was appointed District Commissioner for Kisarawe, Coast Region.

Jokate Mwegelo
Jokate Mwegelo
Almost gave up on everything

Jokate Mwegelo couldn’t thank God enough for the appointment. She says only last year she was on the brink of giving up on life after facing several challenges.

The former Miss Tanzania runner-up took to social media to narrate her struggles after the President appointed her District Commissioner.

https://www.instagram.com/p/Blzt6DdAIO1/?

 

Flaviana Matata Amkingia Kifua Jokate Kwa Wanaomponda Kuwa DC

Mlimbwende na Model wa kimataifa Flaviana matata amefunguka na kumkingia kifua Mrembo Jokate Mwegelo baada ya kupondwa sana baada ya kutangazwa Mkuu wa wilaya siku chache zilizopita.

Siku chache zilizopita Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Magufuli alimteua Jokate Mwegelo kuwa mkuu wa wilaya ya Kisarawe.

Taarifa hiyo ilipokelewa kwa hisia tofauti tofauti huku wapo waliofurahishwa na taarifa hiyo na kuona Jokate anastahili nafasi hiyo Lakini pia wapo walioona Jokate hastahili kupewa nafasi ya kuongoza wilaya.

Baada ya Mkanganyiko huo mashabiki mbali mbali walianza kuweka mambo ambayo yalikuwa negative huku wakimtupia madongo na asilimia kubwa waliokuwa wanafanya hivyo walionekana kuwa ni wanawake.

Flaviana Matata alishindwa kuvumilia na kumtetea Jokate ambapo kupitia ukurasa wake wa Twitter Flaviana aliwataka wanawake wapendane na wampe sapoti Jokate kwani amepata nafasi ya kusaidia wanawake wengine:

Wanawake hatupendani very sad. Not sure hii itabadilika lini we need to support her na kukumbuka anatuwakilisha wanawake wote”.

 

Jokate Afunguka Baada Ya Kuteuliwa Kuwa Mkuu wa Wilaya

Mshiriki wa mashindano ya Miss Tanzania mwaka 2006-2007 Jokate Mwegelo amefunguka rasmi baada ya kuteuliwa kuwa mkuu wa Wilaya siku ya Jumamosi.

Jokate ameteukiwa kuwa mkuu wa wilaya na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania John Pombe Pombe Magufuli mwishoni mwa wiki iliyopita.

Baada ya kupata nfasi hiyo Jokate amefunguka mazito ambapo ameweka wazi kuwa mwaka jana tu alikuwa Kwenye hatua za kukata tamaa Kwenye mambo ya siasa.

Jokate amesema mwaka jana alitaka kukata tamaa kwenye maisha yake ya siasa kwani aliona giza mbele yake lakini hakufanya hivyo hii ni kutokana na kupokea maoni mengi kutoka kwa vijana ambao alikuwa anawashawishi kuingia kwenye siasa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Jokate ameandika:

Amini Mungu ni mwingi wa rehema kamwe hamtupi amtumainiye yeye!! Ahsante Mungu Wangu. Labda ni-share kitu kidogo, kuna muda mwaka jana mwishoni nilikuwa so down nilitamani kukata tamaa na kila kitu kwenye maisha nilikuwa pia sijaelewa vizuri hatma yangu kwenye siasa. Nilikuwa kwenye mkutano mkuu wa chama kuna mdada mmoja kutoka Arusha akanikimbilia na kunikumbatia kwa nguvu sana alikuwa na mama mmoja hivi walikuwa wamekuja kupiga picha namimi.

Huyo dada mdogo hivi akasema ananipenda sana sana na mimi ndio nilimfanya aingie kwenye siasa na akagombea nafasi kupitia mkoa wa Arusha akashinda!! Nikabaki natabasamu. Ikanipa nguvu kubwa ya kupiga moyo konde na kusonga mbele. Nilifurahi kuona kuna mdada nimeweza kumhamasisha na kumpa ujasiri wa kugombea. Unaweza ukawa unapitia mitihani migumu sana kwenye maisha yako lakini inakubidi usikate tamaa saa zingine kwasababu tu ya wale wanaokutegemea, wanaokuangalia na kuvutiwa nawe na kujifunza kupitia maisha yako.

Lakini zaidi kwasababu safari ya mafanikio ina milima na mabonde, inabidi upambane na kiukweli hakuna mafanikio yasiokuwa na changamoto. Na kuna muda changamoto ndio haswa zinatengeneza “character” zetu.
Kikubwa zaidi wakati wa changamoto tukumbuke kuwa wanyenyekevu, wenye kujishusha na kumuomba Mungu aendelee kutupa imani, hekima na busara ya kusubiri wakati wake. Tukumbuke Mungu hamtupi mja wake. Nawatakia Jumapili Njema. Nawapenda Sana. Ahsanteni ??”.

Alikiba’s sister speaks of her friendship with her brother’s longtime girlfriend Jokate Mwegelo whom he was meant to marry

Alikiba and Jokate Mwegelo dated for years. It’s even puzzling how the two ex lovers didn’t end up being man and wife in the long run.

Back in July 2017, Alikiba’s mother and sister Zabibu insisted that he marries Jokate because she could comfortably take care of his four kids.

Also read: “Ana watoto wanne kila mmoja na mama yake” Ali Kiba’s mom and sister pile pressure on him to marry Jokate to take care of his kids

Alikiba however ended up marrying a Kenyan beauty Amina Khalef after breaking up with Jokate who was very close to his mother and sister.

Still BFFs
Jokate Mwegelo and Zabibu
Jokate Mwegelo and Zabibu

Alikiba’s sister Zabibu asserts that Jokate and her are still good friends despite her brother marrying another woman. Speaking to Over Ze Weekend at their home in Dar es Salaam, Zabibu praised Jokate saying she is a mature woman who didn’t end their friendship just because her brother broke up with her.

“Siwezi kuzungumzia kitu chochote kibaya kuhusiana na Jokate kwa sababu ni kama dada yangu kabisa ninamheshimu na ninampenda sana halafu pia tunaongea tu vizuri hatuna shida yoyote na ni msichana anayejielewa mno,” said Zabibu.

 

Esha: Jokate Usinichukie Mimi Ni Bendera Fuata Upepo

Muigizaji wa Bongo movie Esha Buheti ameendelea kumtolea povu zito mwanadada Jokate Mwegelo huku akimsihi asimchukie kisa Ali Kiba kuoa kwani yeye ni bendera fuata upepo tu.

Siku chache zilizopita Esha alimtuhumu Jokate kwa kumchukia kisa na mkasa alihudhuria harusi ya staa wa Bongo fleva Ali Kiba na mkewe Amina Mombasa nchini Kenya.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Ijumaa Wikienda, Esha amedai kuwa  amesikia kutoka kwa watu wake wa karibu kwamba mwanamitindo huyo anamchukia kwa sasa kutokana na kuwa karibu na Kiba kwenye harusi yake na mrembo Amina Khaleef.

Kama ni kweli Jokate atakuwa ananichukia kisa mpenzi wake wa zamani Kiba kuoa kama watu wanavyosema, basi atakuwa ananichukia bure“.

Lakini pia Esha ameweka wazi kuwa sio kosa lake kwani yeye ni kama bendera fuata upepo anafanya alichokuwa anaelekezwa kwani haikuwa harusi yake:

Mimi ni kama bendera tu nafuata upepo kwa hiyo wa kumchukia ni Kiba mwenyewe aliyeamua kumuacha yeye na kuoa mtu mwingine, na wala si yeyote yule ambaye yupo karibu na Kiba”.

Tangu Ali Kiba Afunge ndoa aliyekuwa mpenzi wake Jokate Mwegelo hajaposti kitu chochote Kwenye mitandao ya kijamii.

Esha Buheti Amlipua Jokate na Kudai Anaona Wivu Baada Ya Alikiba Kuoa

Muigizaji wa Bongo movie Esha Buheti ameibuka na kumtupia tuhuma nzito mrembo Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ baada ya kudai kuwa tangu amehudhuria harusi ya staa wa Bongo fleva Ali Kiba na Amina mrembo huyo amekata naye mawasiliano.

Esha ni mtu ambaye ana ukaribu sana na familia ya Ali Kiba na hata kwenye harusi ya Ali Kiba alionekana mwanzo mwisho akishitiki kwani alienda hadi Mombasa.

Hapo nyuma kuna taarifa ilisambaa kuwa Esha ndiye aliyemtafutia mchumba huyo Ali Kiba (Amina) ingawa mwenyewe alishakataa na hata Ali Kiba na Amina waliweka wazi walikutana wenyewe Kwenye ndege.

Kwenye mahojiano na Shilawadu  Esha anadai kuwa tangu ahudhurie ndoa ya Ali Kiba basi Jokate kama kama kamkasirikia kwani zamani alikuwa anaangalia status zake WhatsApp lakini saivi ameacha.

Mimi na Jokate tukiongelea kuhusu kukutana basi tulikutana kama mara tatu tu lakini kama yeye ananichukia ni yeye tu lakini mimi siwezi kumchukia kwa sababu sio mimi niliyeoa aliyeoa ni Ali kiba, ingawa kabla alikuwa ana view status zangu lakini tangu niende Mombasa sijaona aki view tena Lakini sikuhangaika kuangalia kama ameniblock au vipi”.

Jokate hajaonekana aliposti kitu chochote Kwenye mitandao ya kijamii tangu harusi ya Ali Kiba hivyo pia hajajibu tuhuma hizi.

Jokate Akimbia Mitandao Ya Kijamii Baada Ya Ali Kiba Kuoa

Msanii na mfanyabiashara maarufu mitandaoni Jokate Mwegelo ‘Kidoti’ amepotea kabisa Kwenye mitandao ya kijamii tangu aliyekuwa mpenzi wake staa wa Bongo fleva Ali Kiba alivyofunga ndoa.

Jokate na Ali Kiba walikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa muda mrefu lakini mwaka jana mwishoni habari zilisambaa kuwa wameachana ingawa hakuna aliyethibitisha taarifa hizo.

Ali Kiba alifunga ndoa na Amina Khalef tarehe April  19 / 2018 Mombasa nchini Kenya na kiukweli Jokate aliandamwa sana na mashabiki juu ya ali Kiba kuoa mwanamke mwingine.

Siku ya shughuli ya Alikiba Jokate aliposti picha katika ukurasa wake wa Instagram na kuambatanisha na caption iliyosomeka; LoL (Laugh Out Loud). Post hiyo ya Jokate ilienda mbali sana baada ya watu kuhusisha na hatua aliyochukua Alikiba ya kufunga ndoa.

Sasa basi, tangu April 20, 2018 siku moja baada ya Alikiba kufunga ndoa Jokate hajaonekana katika mtandao huo wa Instagram, hivyo hivyo katika mtandao wa Twitter na Facebook, mashabiki wanahoji ukimya wake umesababishwa na nini?.

Ingawa na Jokate aliweka wazi siku yake ya birthday kuwa anategemea Kuolewa mwaka huu.

Mange Amvaa Jokate Baada Ya Ali Kiba Kuoa Mwanamke Mwingine

Mwanaharakati wa siasa Mtandaoni Mange Kimambi amemvaa Jokate na kumtolea povu zito baada ya aliyekuwa mpenzi wake staa wa Bongo fleva Ali Kiba kuoa mwanamke mwingine.

Asubuhi ya Leo Ali Kiba Kumuoa mke wake Amina huko Mombasa nchini Kenya lakini Ex wake Jokate anashika headlines ambapo Mange amemjia juu Jokate huku akimcheka kuhusu hilo.

Mange amekuwa akiipinga ndoa hii kufanyika hivi sasa kwa hofu ya kwamba itazima haraka tu zake za Maandamano Lakini pia amekuwa katika vita na Jokate kutokana na Jokate kuwa chama tawala na alikuwa kiongozi.

Mange amemtolea povu zito Jokate huku akihusisha ndoa ya ALi Kiba ambapo kwenye ukurasa wa Instagram wa Jokate aliandika maneno haya:

Alikiba’s ex girlfriend raises eyebrows with her latest post shared immediately after his wedding

Many Tanzanian fans had been convinced that Alikiba would settle down with his long term girlfriend, Jokate. However things did not work out between the two.

The former couple is said to have split in 2016 before Kiba got his new lady; but it never occurred that the two would settle down as man and wife.

Anyway earlier this morning the two became man and wife confirming that his relationship with Jokate was all in the past. With the event taking place in Mombasa, Jokate happened to share a selfie which she captioned saying ‘Lol.’

Also read: Alikiba finally kisses bachelorhood goodbye, this is how he stepped out dressed for his wedding!

Fans console Jokate

Well, many believe that Jokate’s reaction came after seeing Kiba’s wedding. In the comment section many encouraged her to stay strong and not worry since Muslim men are allowed to marry upto 4 wives.

Others went on to tell her off as she had apparently refused to convert to Islam making it hard for Kiba to marry her.

Anyway read the comments below.

https://instagram.com/p/BhvZ8QXgS5Y/

Jokate Aonesha Mapenzi Yake kwa Watoto, ni Baada ya Kuwafadhiri Katika Soka

Mwanadada ambae siku za karibuni amekuwa akishindwa kutabirika kutokana na kujikita sana katika kutoa misaada katika jaii kwenye mambo mbalimbali ameibuka tena na kuwaonyesha watoto wa kiume hasa wanaopenda mpira kuwa yuko nao pamoja.

Jokate ambae aliungana na Shaffih Dauda katika hilo ameweza kumfadhiri na kutembelea baadhi ya familia za vijana ambao watashiriki Ndondo Cup mwaka huu  na kuwatia moyo wa kuendeleza vipaji vyao.

Akiandika katika ukurasa wake wa instagram, Jokate aliweka  baadhi ya picha akwa pamoja na  vijana wanaopenda soka na kuwepo pamoja na baadhi ya familia za vijana ho huku akiseamkuwa ameweza kumuunganisha kijana huyo na Shafih Dauda katika Foundation yake ya kukuza vipaji vya vijana katika soka ili kumfisha mtoto huyo katika daraja la soka analolitaka.

Jokate anaonyesha kuamua kutimiza aahadi yake aliyoiweka mapema mwaka huu kuwa kwa sasa anaamua kujikita zaidi katika kutoa huduma kwa jamii kwa sababu anaamini kuwa kuna watu wengi sana wanahitaji kuinuka hasa pale wanaposhikwa mikono.

jokate akiwa na kijana  hazzard ibrahim pamoja na Shaffih Dauda

akiwa na familia ya kijana aliyempa ufadhili

Jokate Aonyesha Mahaba Yake Kwenye Soka

Sio tu kwa sababu ni mwanamitindo basi ajikite huko, kumbe ukiachana na siasa na ujasiriamali bali pia mwanadada Jokate Mwegelo anapenda sana mpira na kwa kutibitisha ilo ameonyesha timu anayoipenda na pia mchezaji wa mpira anaemkubali katika soka.

Katika baadhi ya post zake Jokate alishawahi kusema kuwa yeye ni shabiki mkubwa wa taem ya arsenal lakini hakuwahi kusema wazi ni mwanasoka gani amekuwa akimkubali kati yao.Katika ukurasa wake wa instagram, Jokate ameandika kuwa anamkubali sana Ronaldo na kusema kuwa mwanasoka huyo anakipaji kikubwa kuliko Messi.

                               

 

 

 

Jokate Atumbuliwa Uongozi UVCCM

Mwanadada mrembo na mjasiriamli Tanzania, Jokate Mwegelo ametenguliwa uongozi katika chama cha mapinduzi, nafasi alikuwa ameteuliwa mwaka jana kuwa katibu Mwenezi wa uhamasishaji kwa vijana uvccm.

Utenguzi huo ulifanyika March 25 katika kikako cha dharura kilichofanyika jijini baada ya kamati kuu ya uvccm ikiongizwa na Denis James ambae ni mwenyekiti wake kuamua kumtoa uongozi huo dada huyo.

Hata hivyo mpaka sasa bado haijafahamikani kwa nini mwana dada huyo ametenguliwa cheo hicho, lakini kwa katiba na sheria zao viongozi husika wanayo mamlaka ya kufnya hivyo.

Ikumbukwe kuwa baada ya kuchaguliwa katika nafasi hiyo, Jokate aliweza kufanya shughuli nyingi zaidi za kijamii kupitia chama chake na alihaidi kufanya mengi zaidi.

Hasheem Thabeet Amkumbuka Ex Wake Jokate

Mwanamichezo anayecheza mpira wa kikapu ‘basketball’ nje ya nchi, Hasheem Thabit amemkumbuka aliyekuwa mpenzi wake mrembo Jokate kwa kumpa Zawadi siku ya birthday yake.

Hasheem alijzolea umaarufu baada ya kuanza kucheza basketball katika ligi ya NBA nchini Marekani miaka ya nyuma. Hivi sasa Hasheem anacheza basketball nchini Japan.

Hasheem na Jokate walikuwa kwenye mahusiano ya kimapenzi kwa zaidi ya miaka mitatu na baadae kuweka wazi kuwa wameachana lakini Siku chache zilizopita ilikuwa ni birthday ya Jokate na Hasheem alimpa zawadi ya maua rose.

Kupitia kwenye ukurasa wake wa Instagram Jokate alianika zawadi hiyo aliyopewa na Ex boyfriend wake na kuandika maneno ya shukrani:

“You are the African beauty” Diamond Platnumz flirts with his ex girlfriend on her birthday

One thing you need to know is that Tanzanian celebrities love to recycle girlfriends. Diamond, Alikaba and Harmonize have all date same women at one point.

Diamond dated Jokate Mwegelo before Alikiba got in a relationship with her. Diamond also dated Jacqueline Wolper before she hooked up with Harmonize.

Diamond started an affair with Jokate while he was still dating Wema Sepetu. Their relationship came to an end when Wema found out that her friend Jokate stabbed her in the back. To date, the two ladies have never seen eye to eye.

Note that Wema Sepetu is the reason why Zari Hassan dumped Diamond. And even Hamisa Mobetto dated another celeb called Majizzo before she cheated with Diamond.

Majizzo is Elizebeth Michael Lulu’s boyfriend. Lulu also dated Steven Kanumba while he was still alive. And Kanumba also dated Wema Sepetu. The recycling keeps going on and on.

Also read: Hamisa Mobetto’s baby daddy Majizzo writes a letter to jailed Elizabeth Michael Lulu

One in a million

Jokate celebrated her birthday on Wednesday March 21st. Diamond couldn’t hesitate flirting with his ex on her birthday, he told her so many sweet words.

Jokate Mwegelo

“Happy Birthday kate… wewe ni Mwiongoni mwa Wanawake wenye Akili na Busara ambao Tumebarikiwa Tanzania…You are the #AfricanBeauty ????” Wrote Diamond Platnumz.

 

 

Alikiba’s longtime ex girlfriend Jokate is pregnant and about to marry another man

Alikiba and Jokate Mwegelo dated for years. It’s even puzzling how the two ex lovers didn’t end up being man and wife in the long run.

Alikiba has found new love in Kenya. The Tanzanian crooner is secretly dating a Kenyan girl whose identity hasn’t been officially revealed.

Also read: Meet the stunning Kenyan lady rumored to be Alikiba’s fiancé!

Alikiba and Jokate Mwegelo
Soon to be mother

Jokate Mwegelo has also moved on with her life after the breakup with Alikiba. The popular Tanzanian model-cum-actress announced that she was expectant and in the process of getting married.

“March Baby ??. March Queen ????‍???‍?. Soon to be somebody’s Wife ??and Mummy??. God is Great and Faithful. Grown but forever a baby girl ??. Ni kwa neema tu na rehema. Thank you loves for dragging me out to take these @divaglam_beauty @petefarasi9 @jacquescollection Nawapenda ❤️ ~ otherwise I couldn’t be bothered ? #Kidoti #Kidoti2018,” wrote Jokate.

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.