TID features Lulu Diva on ‘Bamba’ (Video)

Legendary Tanzanian singer Khalid Mohamed, better known as TID and famed for jams such as; Zeze, Nyota Yangu and Siamini, has released a new track with his countrymate Lulu Diva and it’s totally worth your time.

Also read: Stop asking musicians what else they do!

The song dubbed Bamba has been getting good airplay since it came out a few hours ago and to be honest, we’re also feeling it.

TID

If you are a fan of both TID and Lulu Diva – like myself – then get ready to be entertained because this is the treat of a lifetime ladies and gentlemen.

Bamba is infectious and if you ask me, it has everything to do with Lulu Diva’s amazing voice. This lady sings like the world is almost coming to an end and that is what she has to do to save humanity.

Put simply, she’s awesome and I swear I can listen to her music all day. This is also a reminder that you should check out her  Extended Play (EP) titled The 4some if you’ve not listened to it yet.

Lulu Diva

As expected, TID also killed it. He has this hoarse yet melodic voice that I can’t seem to get enough of. To add to that, his voice complements that of Lulu Diva and I think they should become a duo. Okay, I’m joking.

The beat and instrumentation on this track are also dope. Other than the fact that they make the song catchy, I know that after listening to Bamba you  will agree with me that they blend well with the voices of both TID and Lulu Diva.

About the video, I think it’s really dope and brilliantly executed. Some of the things that caught my eye, other than its crisp quality of course, are the lighting, styling and flawless scene transitioning.

Watch Bamba below and tell us what you think.

Lulu Diva and Eddy Kenzo drop ‘Come Again’ (Video)

Tanzanian songstress Lulu Abbas, popularly known as Lulu Diva, has released a new jam with Uganda’s Eddy Kenzo and it’s getting a lot of love from their fans.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The track titled Come Again, is off Lulu Diva’s forthcoming EP The 4 Some and it has been getting so much love from their fans since it was released a few hours ago.

Eddy Kenzo

Basically, Come Again is about this lass who is really obsessed with her partner and she just want to keep seeing him every now and then.

This jam is really infectious. I’ve listened to it a couple of times since it was released and every time I play it, it’s like I am hearing it for the very first time. Yup, it’s that good.

Lulu Diva has an amazing voice – the kind that most men, including myself, wouldn’t mind listening to all day even if it’s just a casual conversation. She also knows how to control it.

Lulu Diva

As expected, Eddy Kenzo also did a good job. Some of his lines are in his native Baganda language and this spices up the song. To add to that, he is also a good vocalist.

If you ask me, Lulu Diva and Eddy Kenzo really complement one another and they should do more songs together in the near future.

The beat and instrumentation on Sawa are impeccable. It is the kind of songs that will get you dancing from the time you hit the play button until it ends and that is not a bad thing, is it?

Watch Come Again below and tell us what you think. Enjoy!

Lulu Diva teams up with Khaligraph Jones on ‘Sawa’ (Video)

Tanzanian songstress Lulu Abbas, popularly known as Lulu Diva, has dropped a track with our very own Khaligraph Jones and we are really feeling it.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The jam dubbed Sawa, which is a Swahili word that means okay, is off Lulu Diva’s forthcoming EP titled The 4 Some and it has been getting a lot of love from their fans since it was released a few hours ago.

Khaligraph Jones

This track is about a woman who is wondering why her partner keep chasing other women. She says no one has ever like he does and that he has all the things that she wants but things are just not working out.

I really love this song. It’s so infectious. I’ve listened to it a couple of times since it was released and every time I play it, it’s like I am hearing it for the first time. Yup it’s that good.

Lulu Diva has an amazing voice – the kind that most men, including myself, wouldn’t mind listening to all day even if it’s just a casual conversation. She also knows how to control it.

Lulu Diva

As expected, Khaligraph totally aced it. His verse was sick, especially the random rhymes like the part where he says, “Naona umechizishwa na huyu boy wa Western, the way I gat the sauce unaweza niita Peptang.”

If you ask me, Lulu Diva and Khaligraph Jones complement one another and they should do more songs together in the near future.

The beat and instrumentation on Sawa are impeccable. It is the kind of songs that will get you dancing from the time you hit the play button until it ends and that is not a bad thing, is it?

Listen to Chuki below and tell us what you think. Enjoy!

Lulu Diva links up with Syla on ‘Shoke’ (Video)

Tanzanian songstress Lulu Abbas, popularly known as Lulu Diva, has released a new jam with a Gabonese artist who goes by the name Syla and it’s getting a lot of love from their fans.

Also read: Kenyan musicians have so much to learn from their Tanzanian counterparts

The track dubbed Shoke has been getting a lot of airplay since it was released a few days ago and to be honest we are also feeling it.

Lulu Diva

I’ve always been a huge fan of Lulu Diva and that simply means that I’ve had this jam on replay since it was released because it’s so infectious.

She really has an amazing voice and it’s a bit hoarse and maybe, just maybe, it is the reason why she sounds as good as she does. I would listen to her all day, I kid you not.

Lulu Diva’s voice sounds even better when it is blended with that of Syla who spiced up Shoke by throwing in some French words or is it Lingala? You tell me.

Lulu Diva

This jam is well arranged. It just flows. It is the kind of songs that people should listen to when you are in low spirits because it will definitely get you on your feet and dancing in no time.

The beat and instrumentation on this jam is quite something. The producer did a good job. As you listen to it, you’ll sense a Lingala vibe and at the same time you’ll kind of feel like it’s a Bongo track.

I absolutely love the video. It’s just amazing. The execution was brilliant and if there is something that will keep you glued to your screen the it’s the sexiness of the two artists. Kudos to the videographer.

Watch Shoke by Lulu Diva and Syla below and tell us what you think. Enjoy.

Lulu Diva pregnant for Diamond Platnumz? She finally responds

Lulu Diva is said to be pregnant with Diamond  Platnumz child; something that has left most of Tanasha Donna’s fans attacking the TZ singer on social media.

Apparently Lulu Diva is the side chick who  tried to force her way into Tanasha’s baby shower but was locked out to avoid causing drama.

Lulu Divas

Diamond Platnumz on the other hand was also said to have had a hard time during the baby shower as he was afraid of his alleged side chick ruining his new relationship.

Lulu Diva finally speaks

Anyway, with everyone convinced that Lulu Diva has been enjoying Diamond Platnumz money and not Jaguar’s as many thought earlier.

Lulu

Speaking to Dizzim Online, Lulu opened up claiming she will not be associating herself with such rumors since one day she will became a mum and is not willing to have her child read her ‘scandals’ in future.

People will always talk, what depends is how you react. I know that one day I will become a mum so that’s why I dissociate myself from these kinds of rumours. There are many scandals that I have been linked to and I don’t address them as they are

Tanzanian songstress Lulu Diva reveals she is dating Jaguar, wedding might be on the way 

Tanzanian Songtress Lulu Diva has revealed that she’s in love with Starehe MP Charles Njagua alias Jaguar.

The two have been rumored to be dating for a while now but the controversial singer officially confirmed that they are a couple to Global Publisherssaying they have been secretly dating.

Lulu told the publication that she has been dating the MP for some time now, and looks forward to their wedding in the near future.

Vacation

She denied that it was a publicity stunt as many have been suggesting insisting that they are in love. She added that they were even recently in Dubai for vacation and plans to visit Nairobi soon.

“We have been dating for the past four months, we wanted it to be secret but now we have decided to go public. It is not abrupt as people think,” she said. 

 

Lulu Diva Adai Hakuna Mwanaume Kama Idris

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maauru kama Lulu Diva ameibuka na kumwagia sifa kibao msanii wa sanaa ya vichekesho Idris Sultan na kudai kuwa hakuna mwanaume kama Idris Sultan.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Lulu Diva aliandika kuwa hakuna mwanaume mzuri kama Mshindi wa Big Brother 2014, Idris Sultan.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Lulu Diva alitakiwa afafanue kwanini ameamua kumwagia sifa hizo Idris  alisisitiza kwamba, ameamua kuandika maneno hayo kwa sababu kaka yake huyo ni handsome (mzuri) na uzuri wake hauwezi kuufananisha na mwanaume mwingine yeyote Bongo.

Ndio ni kweli nimeandika hivyo kwenye akaunti yangu ya Instagram kwa sababu Idris ni handsome jamani kwani we huoni? Halafu kila siku mi’ huwa namw-ambia hata tukio-nana sema nikaona haamini ndio maana nikaposti kuonesha msisitizo”.

Lulu Diva aliweka wazi kuwa yeye na Idris ni ndugu kwa maana kuwa ni Mtoto wa mama mdogo na mama mkubwa

“Nisingehangaika na Muziki Ningekuwa Najiuza”- Lulu Diva

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka na kuweka wazi kuwa muziki umemsaidia kutoingia katika ulimwengu wa madada poa.

Lulu Diva ameushukuru muziki na kusema kuwa  kama asingefanya juhudi binafsi katika muziki wake angekuwa miongoni mwa wanawake wenye mwonekana hasi kwa jamii.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Dimba, Lulu Diva amesema kuwa awali alikuwa na ndoto za kuamini uzuri wake umetosha kumfanya aishi mjini, kitu ambacho kilikuwa mawazo potofu, kwani anaamini kama angeendelea hivyo asingeweza kufikia ndoto zake.

Ukweli nilizungukwa na marafiki ambao hawakuwa na ushauri mzuri kwangu, nilikuwa naamini uzuri wangu ndio kila kitu, kama nisingekaza kwenye muziki basi ningekuwa mmoja wa wanawake wanaojiuza mjini”.

Hivi sasa Lulu Diva anafanya vizuri katika tasnia ya Bongo fleva na pia amepata mafanikio makubwa ikiwemo kununua Nyumba na gari zuri.

Lulu Diva Kujiweka Kando na Mitandao Ya Kijamii

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva ameibuka na kuweka wazi kuwa Hivi sasa hana mpango wa kuweka mambo yake kwenye Mitandao ya kijamii.

Lulu Diva ambaye siku za nyuma aliwahi kuanika Mali zake kama gari, Nyumba na vinginevyo ametangaza kujiweka kando na mitandao ya kijamii ili kuishi maisha yenye uhalisia wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Dimba, Lulu Diva amesema kuwa wasanii wengi wanaishi maisha ya uongo mitandaoni kuliko uhalisia wao kitu ambacho kwake ameamua kujiweka nacho kando.

Nilichojifunza wengi wetu tunapenda kudanganywa, mtu anataka kuona unaonyesha maisha feki mitandaoni ndio akufuatilie, mfano mimi kwa sasa sipost mambo yangu lakini watu wananiandama kwamba nimefulia, hii inafurahisha sana”.

Hata hivyo Lulu Diva amekana vikali Tetesi Za kuwa amefulia kutokana na watu kutomuona akianika maisha yake kwenye Mitandao ya kijamii kama ilivyokuwa zamani.

‘She loved eating more than anything else’ Lulu Diva’s mother shares ’embarrassing’ secrets of her childhood 

Tanzanian eye candy Lulu Diva might love music now but while growing up, she loved something totally different.

According to her mother who spoke to a popular newspaper in the country, Lulu loved eating more than studying.

Frustrating

Lulu’s mother told the newspaper that she used to eat her food even before lunch, a thing that used to annoy her greatly because she would return home after finishing her food.

“Huyu Lulu alinisumbua sana, hu­wezi kuamini alikuwa anapenda kula kuliko masomo, nilikuwa nikimuan­dalia ‘paseli’ ya chakula kwa ajili ya kula ikifika mapumziko shuleni lakini cha kushangaza yeye alikuwa akila kabla na kikiisha anarudi nyumbani.” she said. 

Fast forward 20 or so years later, Lulu has become a mega star in Bong and her music is doing well even in Kenya. I guess she stopped focusing on food and focused on music.

 

Mama Mzazi Wa Lulu Diva Atoa Siri Nzito Kuhusu Binti Yake

Mama mzazi wa staa wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka na kutoa Siri kuhusu binti yake na kwa kudai kuwa alikuwa anapenda kula kuliko kusoma.

Mama wa  Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ kufunguka siri ambayo hajawahi kuisema popote, kwamba katika ukuaji wa mwanaye alikuwa anapenda sana kula kuliko shule.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Mama wa mrembo huyo alisema kipindi Lulu anasoma shule ya msingi alikuwa anapenda kum­fungia chakula ili aende nacho shule lakini matokeo yake alikuwa akifika shule anaanza kula kile chakula, kikiisha kabla ya masomo anarudi nyumbani bila kuingia darasani.

Huyu Lulu alinisumbua sana, hu­wezi kuamini alikuwa anapenda kula kuliko masomo, nilikuwa nikimuan­dalia ‘paseli’ ya chakula kwa ajili ya kula ikifika mapumziko shuleni lakini cha kushangaza yeye alikuwa akila kabla na kikiisha anarudi nyumbani“.

Lulu Diva Hivi sasa anafanya vizuri kwenye muziki hasa kwenye tasnia ya Bongo fleva ambapo ni mmoja kati ya wasanii wakubwa wa kike Tanzania huku akiwa ametoa kibao kilichofanya vyema mwaka jana kinachoitwa ‘Ona’.

Lulu Diva Afungukia Tetesi Za Kufilisika

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka  amefunguka kuwa watu wanaomsema amefulia watakuwa hawamuelewi vizuri.

Kwenye mitandao ya kijamii kumekuwa na tetesi kuwa Lulu Diva amefulia kupita kiasi kutokana na kutosikika kama ilivyokuwa siku za nyuma.

 

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Lulu Diva alisema watu wanaodhani mtu akiwa anajinadi kwenye mitandao ya kijamii, basi ndiyo maisha yake ya kweli anayoishi, wanajidanganya hivyo kwa sababu hawaoni nikifanya hivyo kama mwanzoni ndiyo wanaona kafulia.

Unajua watu wanapenda sana kudanganywa mitandaoni ndiyo maana macho yao yanaangalia wale wanaojionesha na vitu feki, lakini kama mtu ametulia watasema amefulia, hapo nashindwaga kuelewa kabisa, niwaambie tu sijafulia na siwezi kwa sababu ninajitambua”.

 

Lulu Diva Ajitabira Ndoa na Mtoto 2019

Msanii wa muziki wa Bongo fleva ambaye mwaka huu alifanya vizuri na kibao chake cha ‘Ona’ Lulu Diva amefunguka na kusema mwakani ana ndoto ya kuzaa na kuolewa.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa, Lulu Diva amefunguka kuwa kwa kazi yake ya muziki anayoifanya hivi sasa,  kufanya kitu ambacho huko mbeleni hakitampa kikwazo kama kupata mtoto mapema ili akiwa anaendelea kumtafutia maisha, yeye anaendelea kukua.

Ni vizuri sana kujipangia malengo ya kimaisha na mimi ndiyo hivyo nimeshapanga ninachokitaka mwakani kwa sababu maisha yenyewe ni mafupi. 2019 nikifanikiwa kupata ndoa ni heri, lakini hata kama nitapata mtoto nitashukuru pia”.

Mwaka huu ulianza kwa tetesi za Lulu Diva kuolewa lakini taarifa hizo ziliyeyuka Baada ya Lulu Diva kuachwa na mchumba Wake Baada ya kuenea kwa tetesi za mahusiano na Rich Mavoko.

Nisingejiongeza Ningejiuza :-Lulu Diva

Mwanadada  Lulu diva amefunguka na kuelezea maisha yake ya nyuma kabla ya kuwa mwanamuziki aklikuwa akiuza na kuhudumiwa katika moja ya migahawa iliyopo jijini.Lulu diva ansema kuwa  baada ya kuona kuwa mambo bado ni magumu aligundua kipjai chake na hata kuamua kujiongeza kwa kujituma sana ktaika muziki na mpaka kufikia hatua hiyo ya kufanikiwa sana.

Lulu Diva anasema kuwa kuna kipindi alikutana na masiha magumu huku akiangalia baadhi ya watu wake wa karibu wakifanya baishara haramu na wanatoka kimaishs na alianza kushawishika kufanya hivyo lakini aliamua kukaza buti katika muziki.

Niliwahi kufanya kazi kwenye mgahawa pale Mlimani city, nikaacha na nikaamua kupambana  kwa sababu tu nilikuwa nalipwa kidogo sana.maana hata kama nisingetumia akili yangu na kuamua kujikaza katika kuimba ningeweza kujiuza hata kwa hali ya sasa ilivyo.

Lulu diva ni moja ya wasichana waliopo katika game ambao walianza taratibu lakini sasa wanajivunia mafanikio ya kile walichopigana nacho.

Hamisa Amekuwa Akinivutia Sana , Hasa Alivyingia Katika Muziki :-Lulu Diva

mwanadada Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa mwanadada Hamisa Mobeto ni moja ya wasichana anaowakubali na wamekuwa wakimvutia sana hasa maisha yake anayoishi lakini kukibwa zaidi amefurahi sana alivyojiingiza katika muziki.

Lulu diva anasema kuwa pamoja na kuwa mrembo na kuwa maarufu lakini ni mwanamke wa kipekee kwa sababu hakai kutegemea kitu chochote cha kupewa kutokwa kwa watu hasa wanaume kama ilivyo kwa wanawake wengine warembo.

Hamisa amekuwa akinivutia sana kwa sababu anajituma sana, ni msichana mrembo anaepigania kile anachokiitaji kila siku.unajua wanawake wengi wanafikiria kuwa ukishakuwa mzuri basi unakuwa unawezo wa kukipata chochote unachotaka kwa sababu tu unatumia uzuri wako lakini kwa hamisa ni tofauti sana pamoja na kuwa ni mama wa watoto wawili lakini amekuwa akijitahidi sana.—Alisema Lulu alipokuwa akiongea na Times Fm.

Ukiachana na upinzani mkubwa anaoupitia mwanadada Hamisa lakini amekuwa mwanamke jasiri na kupambana sana hata kama amekuwa na mapungufu yake mengi lakini anaweza kustahili sifa anazopewa na baadhi ya wasanii wenzake lama Lulu diva.

 

Lulu Diva Akanusha Kuwa sababu ya Ugomvi wa Diamond na Rich

Mwanadada Lulu diva amefunguka alipokuwa akiongea na bongo 5 na kukanusha taarifa kuwa kumekuwa na ugoimvi kati ya rich mavoko na Diamond Platinumz na kusababisha Rich Mavoko kushindwa kuendelea kufanya kazi na WCB.

Lulu diva anasema kuwa pamoja na hayo yote , hajui kama kuna ugomvi kati ya Diamond na Rich ila kama wameshindwa tu kufanya kazi pamoja , lakini hata hivyo anasema kuwa yeye na Diamond wamekuwa wakiheshimiana sana kiasi kwamba hawawezi kuwa na mahusiano ya kimapenzi.

Lulu Diva amekanusha kabisa tetesi hizo kuwa aliwahi kuwa na mahusiano ya siri na bosi wa Rich na kusababisha Rich kuondoka  baada ya siri hiyo kuvuja na kisha kusema kwa anavyojua yeye hakuna ugomvi katI ya wawili hao.

Nyinyi waandishi ni waongo, sijawahi  na haiwezi kutokea na pia mimi na Diamond hatujawahi kuwa na mahusiano na mimi ninamuheshimu sana Diamond na wala sidhani kama kuna ugomvi kati ya  Rich na Diamond kabisa.

 

Penzi La Lulu Diva na Kigogo Aliyekuwa Anamuweka Mjini Lafika Mwisho

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri sana Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva anadaiwa kumwagana na Kigogo aliyekuwa Ananias heuristic hapa Mjini.

Global Publishers wanaripoti kuwa kigogo huyo alimwagana na Lulu Diva hivi karibuni japokuwa mwanadada huyo amekuwa akifanya kuwa ni siri kwani anahofia watu ‘watamzodoa’ kwa maneno endapo wakiujua ukweli.

Yule kigogo aliyekuwa anampa jeuri Lulu Diva amemmwaga na amemnyang’anya mpaka lile gari la kifahari alilokuwa anajidai nalo mjini, sasa sijui itakuwaje na ataishi vipi maana ameshazoea kujishaua nalo”.

Baada ya Tetesi hizo, Gazeti la Amani lilimsaka Lulu ili kupata ukweli wa taarifa hizo ambapo aliweka wazi kuwa hajaachwa na Kigogo huyo bali wameachana na sababu kubwa ni mwanaume huyo kukosa uaminifu.

Yaani unajua kuna kipindi kingine mwanamke unapaswa kujifunza kujiongeza mwenyewe ndiyo moja ya mafanikio yako. “Siyo kila wakati umtegemee mtu akuongoze kwenye maisha yako kitu ambacho kimepitwa na wakati na ndiyo maana nikaamua kuendelea na maisha yangu na kupiga kazi tu“.

Lakini pia Lulu Diva amekana vikali tetesi za kunyang’anywa gari na nyumba baada ya Penzi kuisha.

Gari bado ninalo, kuhusu nyumba si ndiyo unaona bado ninaishi hapahapa jamani? Nitaendelea kukaa hapa maana nina uwezo wa kulipa kodi kupitia muziki wangu”.

 

Pedeshee Lammwaga Lulu Diva.

Mwanadada Lulu Diva amejikuta katika wakati mgumu baada ya Kuzagaa kwa  tetesi kuwa yule mwanaume ambae hapo awali aliwahi kuripotiwa kumpa kila kitu cha ndani na kumkabidhi mkoko ameamua kufunga  virago vyake na kuondoka na kumuacha mwanamke huyo solemba.

Watu wa karibu wa Lulu Diva wanasema kuwa mwanadada huyo amekuwa akifanya mambo hayo kwa siri kwa sababu hataki watu wajue hasa kwa sababu  mwanadada huyo amenyanganywa baadhi ya vitu vingi vya thamani ambavyo alinunuliwa ikiwemo gari.

Hata baada ya GPL kupata ubuyu huo waliamua kumtafuta Lulu diva kokote na ndipo walipomkuta nyumbani kwake hapo Mbezi Beach ambapo baada ya kuulizwa Lulu Diva alisema kuwa yeye ni mwanamke na ameamua kujiongeza kuachana na mwanaume huyo kutokana na kuwa hakuwa mwaminifu kwake  na kukanusha kuwa sio kuwa ameachwa bali wameachana.

Hata hivyo diva anasema kuwa hajanyanganywa nyumba wala gari kwa sababu ana uwezo wa kulipa kodi nyumba hiyo na kuhusu gari halijachukuliwa bado analo.

 

Lulu Diva Alinikasirika, Nilimuongelea Kuhusu Billnass;- Juma Lokole.

Mwanahbarai kupitia mitandao ya kijaii ambae amekuwa akifanya mambo mbalimbali ikiwa ni pamoja na kufanya habari za matangazo za watu mbalimbali amefunguka nakutaja baadhi ya changamoto anazopitia katika kazi hiyo.

Juma anasema pamoja na kwamba amekuwa akipatwa na maswahibu hayo lakini mwisho wa siku kazi yak kubwa ni kuwarekebisha na kuwakosoa wengine na ndio maana mara nyingi huwa anaomba sana  watu wengine wanapomuona yeye kakosea basi ni bora pia kumsema.

Akiulizwa ni msanii gani aliwahi kumkasirikia kuhsu habari zake juma anajibu’ Lulu diva aliwahi kunikasirikia kabisa na hii kwa sababu nilimuongelea katika mitandao kuhusu mahusiano yake na billnass kutoka kimapenzi na tumeanza kuongea hivi tu karibuni”

Juma anasema kuwa siku akiacha kufanya kazi hiyo ya umbea anahisi anaweza kufa kabisa ‘Siku nikosa kufanya umbea nahisi nitakufa na kupungukiwa na maji mwilini. ‘

Lulu Diva Kuanza Kutoa Misaada kwa Jamii.

Mwanadada  Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa amekuwa akiguswa sana na maisha magumu wanayoishi baadhi ya watoto wa mitaani ambao wengine wanakuwa hawana option zaid ya kuzurura mitaani kwa sababu wanakuwa hawana wazima hivyo ina walazimu kufanya hivyo.

Lulu Diva anasema kuwa kwa muda sasa amenza kufatlia taratibu za kuweza kufungua kituo kwa ajili ya kuwale watoto yatima na anakaribia kufanikiwa katika kufanya hivyo.

Lulu Diva ansema kuwa pamoja na kwamba amekuwa akitoa misaada katika vituo mbalimbali lakini hiyo pkee yake haitoshi hivyo ameona ni bora kufungua kituo cha watoto yatima.

Nimefatilia tarartibu zote na nina kiwanja kipo tegeta, hivyo sasa naona ni muda muafaka wa kuwasaidia watoto yatima.

Lulu Diva Atangaza Kuwa Single, Asema Hamjui Rich Mavoko.

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kukanusha tetesi za kusambaa kwa video iliyokuwa ikiwaonyesha yeye na rich mavoko wapo chumbani wakionekana  katika mapozi ya kimahaba .

Lulu diva ambae kwa muda mrefu amekuwa akisemwa kuwa yupo katika mahusiano ba msanii huyo ambae kwa sasa bado ana kesi nzito zidi ya waliokuwa mabosi wake kutoka katika kundi la WCB wamekuwa wakikana kla mara kuhusu ukweli wa mahusiano yao.

Hata hivyo kuwa kusiistiza zaidi, mwanadada huyo alisema kuwa yeye hana mahusiano yoyote na kwamba yuko single wala hamjui kabisa Rich mavoko.

Hapo awali alipowahi kuulizwa kuhusu mahusiano yake na rich mavoko baada ya kuachana na WCB ,Lulu aliwahi kukaririwa kuwa mambo hayo hayataharibu mahusiano yao lakini cha kushangaza  hivi juzi anasema kuwa hana anacho-share na Rich mavoko.

Rich Mavoko’s girlfriend Lulu Diva insist she won’t quit Wasafi even though her sweetheart left

Bongo songbird Lulu Abbas ‘Lulu Diva’ has set the record straight about her relationship with Rich Mavoko following his dramatic exit from Wasafi Record.

Mavoko quit WCB after seeking the help of Tanzania’s music and art regulatory body BATASA. He accused Wasafi of exploiting him.

Speaking during an interview with Showbiz Xtra, Lulu Diva said Rich Mavoko’s exit from Wasafi TV will not affect their relationship.

Not quitting

Lulu stressed that she loves Rich Mavoko so much but also stated that on her part she was not quitting Wasafi to follow her sweetheart wherever he goes.

Lulu Diva and Rich Mavoko
Lulu Diva and Rich Mavoko

“Watu wanahofia kwamba nitaachana na Mavoko kwa sababu ya kutoka WCB, hilo ni jambo lisilowezekana kwani tunapendana kweli na penzi letu halishikiliwi na lebo,” said Lulu Diva.

 

 

Lulu Diva- Siwezi Kuachana na Mavoko Kisa Kuondoka WCB

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka na kudai hawezi Kuvunja Bongo Penzi lake na msanii wa Bongo fleva Richard Mavoko kisa tu amejitoa WCB.

Lulu Diva ambaye amekuwa Kwenye Mahusiano ya muda mrefu na Rich Mavoko ameongea juu suala hili kutokana na sakata linaloendelea hivi sasa kati ya Mavoko na uongozi wake WCB.

Kwenye na Global Publishers, Lulu Diva amesema kuwa amekutana na maswali ya wengi ambayo yame-fanya afahamu kwamba wanahofu na penzi lao kwamba linaweza kuwa ni mwisho kwa sababu uhusiano wao ulianza wote wakiwa wapo kwenye lebo hiyo, lakini wafahamu kwamba penzi lao haliwezi kukatishwa na WCB.

Watu wanahofia kwamba nitaachana na Mavoko kwa sababu ya kutoka WCB, hilo ni jambo lisilowezekana kwani tunapendana kweli na penzi letu halishikiliwi na lebo“.

Lulu diva pia alikataa kuongelea tetesi ambazo zimekuwa zikienea kuwania hivi sasa ana ujauzito wa Mavoko.

Lulu Diva Adai Anamiliki Gari La Thamani Kuliko Wasanii Wote Tanzania

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Ona’ amekiri kuwa yeye ndio msanii anayemiliki gari la thamani Tanzania nzima.

Lilu Diva amefunguka hayo Kwenye mahojiano na Millard Ayo Tv, ambapo Lulu Diva aliulizwa kuhusu mali zake na kuulizwa kama ana mpango wa kubadilisha gari anayotumia.

Lulu Diva alifunguka na kusema hana mpango wa kubadilisha gari kwa sababu gari lake ni zuri na la thamani kuliko magari yote ya wasanii hapa Bongo:’

Hapana sina mpango wa kubadilisha gari lakini nitabadiisha rangi kwa sababu sijaona gari ambayo ninaweza nikabadilisha tofauti na Jeep naipenda sana”.

Halafu pia katika wasanii wote mimi peke yangu ndio nina gari nzuri halafu la thamani nyie wenyewe mkiangalia mnaona na sio kitu ambacho naongea ili kujisifia ila am proud of myself”.

Lulu Diva amesema hajanunuliwa na mwanaume hilo gari bali ni kwa juhudi zake mwenyewe amenunua gari pamoja na nyumba kutokana na biashara zake na ukulima wa kahawa anaofanya.

Lulu Diva Aelezea maisha ya u-video Queen ni Mateso.

mwanadada Lulu Diva mabe kwa sasa anafanya vizuri sana katika maswala ya muziki hasa kwa wimbo wake mpya mabao amemshirkisha rich mavoko na kusema kuwa kwa sasa wimbo huo umemfikisha mbali sana kiasi kwamba anayaona mafanikio yake kama mmoja wa wasanii wa kike bora katika muziki Tanzania anasema kuwa hapendi kabisa kuyazungumzia maswala yake ya nyumba wa sasa.

Lulu diva ambae hapo awali aliwahi kuwa video queen kabla ya kuwa msanii wa muziki anasema kuwa hapendi kukumbuka maisha hayo ya kuwa video queen na kama mwandishi anataka kugombana nae basi amuulize kuhusu maswala hayo.

kwa kweli sitaki kusikia kabisa maswala ya u-video queen,ni kweli kuwa hayo ni mapito yangu na huko ndipo nilipotoka lakini sasa hivi nimeendelea na akili yangu yote ipo katika muziki ninaoufanya na uigizaji ndio ninaoufikiria zaidi.mtu unachukuliwa na kupamba wimbo wa mtu kwa malipo kidogo sana  na bado hicho kidogo unachokiangaika unakipta kwa manyanyaso.

Lulu Diva Adai Akikumbuka Alivyokuwa Video Queen Anatamani Kulia

Msanii wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka na kuweka wazi kuwa piga ya garagaza hawezi kuwa video queen tena  kwenye video za wasanii wengine.

Lulu Diva ni moja kati ya wasanii ambao kusema ukweli wametoka mbali kwani alianza kama muuza mgahawa baadae akaingia kwenye ulimwengu wa sanaa kama video vixen kwenye video za wasanii mbali mbali na mpaka sasa anafanya vizuri.

Kwenye mahojiano aliyofanya na gazeti la Risasi Vibes, Lulu Diva amesema  kwamba akikumbuka baadhi ya mambo kwenye u-video queen, muda mwingine hutamani hata kulia.

Kiukweli sitaki kusikia kabisa kuhusu mambo ya u-video queen, ni kweli ni mapito yangu na ndiyo huko nilikotoka, lakini kwa sasa ninaendelea na kuweka akili yangu yote kwenye muziki ninaoufanya na uigizaji huko ndiko ninafikiria zaidi.

Mtu unachukuliwa na kupewa kazi ya kupamba wimbo wa mtu kwa malipo kidogo, bado hicho kidogo chenyewe unakihangaikia na manyanyaso kibao”.

Wasanii wengi ambao waliwahi kuwa video queens kama vile Gigy Money na Amber Lulu wameponda sana kazi hiyo kusema haina pesa kabisa yaani wanaishia kupewa pesa ya nauli.

Lulu Diva- Kolabo na Rich Mavoko Imebadilisha Maisha Yangu

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na kibao chake cha ‘Ona’ Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amefunguka na kuweka wazi kuwa wimbo wa Ona umempa mafanikio makubwa.

Lulu Diva aliachia Kolabo hiyo miezi miwili iliyopita aliyomshirikisha msanii anayesemekana kuwa mpenzi wake Rich Mavoko na amepata mafanikio makubwa baada ya utumbo hiyo kufanya vyema.

Kwenye Interview aliyofanya na Global Publishers, Lulu Diva alieleza kwamba nyimbo zake za nyuma zilikuwa ni nzuri na zilifanya vizuri lakini baada ya Wimbo wa Ona, umemfanya atambulike kwenye gemu la Bongo Fleva kama msanii mkubwa na kumpatia shoo za kila mara.

Wimbo wa Ona umenipeleka kwenye levo nyingine kabisa kiukweli. Kwa sasa na mimi ni miongoni mwa wasanii wakubwa, shoo zimeongezeka na hata hadhi pia”.

Kutokana na kufanya vizuri na  wimbo huo Lulu Diva ameonekana kwenye shoo mbali mbali akitumbuiza kama vile In Love and Money Tour ya Vanessa Mdee na Jux hivi karibuni.

Lulu Diva Azungumzia ONA ilivyobadili Maisha Yake ya Muziki

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kuelezea mafanikio yake ya muziki tangu alipoanza mpaka alipofikia sasa na kusema kuwa kwa sasa na yeye amekuwa akijiona kuwa ni msanii mkubwa sana kutokana na wimbo wake huu mpya wa sasa hivi.

Lulu diva anasema kuwa wimbo wa ona ambao amemshirikisha Rich Mavoko ambao kwa sasa umekuwa ukifanya vizuri katika vituo mbalimbali vya radio na tv umekuwa moja ya mafanikio yake makubwa na anaona kabisa kuwa kwa sasa amepiga hatua kubwa kutokana na hilo.

Wimbo wa ona umenipeleka kwenye levo nyingine kabisa, kwa sasa mimi ni miongoni mwa wasanii wakubwa ambao kila siku shoo zinazidi kuongezeka tu  na hata hadi yangu pia.

 

 

Lulu Diva Akiri Kulaumiwa Sana Kwa Kuiba Madanga Ya Watu

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Ona’ amekiri kuwa wanawake wengi wamekuwa wakimlaumu kwa kuiba wanaume wao (madanga).

Lulu  Diva amekiri kwamba ameshakutana na tuhuma nyingi kutoka kwa wanawake kadhaa ambao wamekuwa wakimtuhumu kwa kuwachukulia wanaume zao.

Kwenye mahojiano na Kipindi cha ‘Now you Know’ Lulu Diva amefungukia tuhuma hizo na kusema haya:

Nimeshakutana na hizo kesi sana unakutana na mtu anasema “Unatembea na bwana angu umemchukua” sasa mimi najiuliza mwanaume anachukuliwaje? Anachukuliwa au anakuja mwenyewe”.

Kwa muda mrefu kumekuwa na tetesi kuwa Lulu Diva Anatembea na mwanaume mwenye pesa Chafu na hata ilisemekana kuwa mwanaume huyo ni Kigogo wa serikalini tetesi ambazo mwenyewe amezikataa mara kwa mara.

 

 

Lulu Diva Adaiwa Kufaidi Penzi La Bill Nas

Msanii wa Bongo fleva anayefanya vizuri na kibao chake cha ‘Ona’ Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva amesemekana kuwa Kwenye Mahusiano ya kimapenzi na msanii mwenzake Bill Nas.

Global Publishers wanaripoti kuwa wasanii hao wawili wamekuwa na ukaribu wa ajabu na wameonekana wakionyeshana Mahaba hadharani bila kujali macho ya watu.

Gazeti hilo linaripoti kuwa lilimpata mtu ambaye alitoa taarifa hiyo ambapo alifunguka:

Walianza kama masihara, tukajua labda Rich Mavoko ndiyo anakaa kwa Lulu kumbe ni Bill Nas bwana, juzi walikuwa tena pamoja wakielekea mkoani sijui mkoa gani lakini picha zao za kujibebisha zinamaanisha“.

Baada ya Tetesi hizo na kusindikizwa na picha kadhaa Kwenye mitandao ya kijamii zikionyesha ukaribu Global Publishers lilimsaka Lulu Diva ambaye alimwaga povu hili:

Hivi jamani mtu kuongozana na mwanaume ndiyo kutembea naye? Mbona mnataka kuniharibia kwa mtu wangu niliyekuwa naye?“Bill Nas ni mshikaji   wangu wa kawaida tu, juzi (Jumamosi iliyopita) tuliandaliwa shoo ya pamoja huko Iringa, tukiwa njiani tulikuwa tukipiga mapicha picha kama mtu na rafiki yake, nashangaa watu wanageu-zageuza maneno”.

 

Lulu Diva Awatupia Dongo Zito Mavideo Queen

Mwanamuziki wa Bongo fleva Lulu Abbas maarufu kama Lulu Diva anayefanya vizuri na kibao chake cha Ona, ameibua bifu zito na wauza nyago Kwenye video za wasanii (Video queen au video vixens).

Lulu Diva amewatupia Dongo Zito wale mavideo Queen wote ambao wanaacha kazi zao na kuamua kuongi Kwenye muziki wa Bongo fleva ambapo amedai sasa wameshapotea.

Lulu Diva alifunguka hayo Kwenye mahojiano na Global Publishers amesema kwamba, anaona kila dalili za wanadada ambao walikimbilia kwenye muziki wakitokea kwenye u-video queen wakipotea wote kwenye gemu jambo linalomfanya kujihisi kubaki bila mpinzani.

Wote wamepotea, siwezi kuwataja kwa majina nisije kuzua ya kuzua lakini sasa hivi hakuna video queen anayethubutu kubaki kwenye gemu zaidi yangu“.

Imekuwa kawaida kwa wasichana ambao wanafanya kazi kama mavideo Queen kujiingiza Kwenye Muziki ambapo wenyewe wamekuwa wakikiri kuwa mara ya kwanza walikuwa hawapati maslahi yoyote mfano wa mavideo Queen wanaofanya vizuri Kwenye Bongo fleva ni Gigy Money, Amber Lulu na wengineo kama Haitham.

The emotional message Lulu Hassan sent former workmate Kanze Dena after Uhuru snatched her away 

Citizen TV Swahili news anchor Lulu Hassan recently lost her work mate, Kanze Dena, to the government after Uhuru Kenyatta on Tuesday afternoon appointed her as Deputy State House Spokesperson and Deputy Head, PSCU.

On Twitter, Hassan, who has worked with her for years, took to social media to share the new announcement. The two have had a solid friendship that has spanned over a decade on and off the screen.

Kanze Dena and Lulu Hassan

Happy for her

Alhamdullilah !!!!!Mungu unajuwa mahali umetutoa !!!!!! RESIDENT Kenyatta appoints TV anchor Kanze Dena deputy State House Spokesperson; Munira to head Presidential Library,” posted Lulu immediately after the news broke.

She added later: MUNGU UNAJUWA MAHALI UMETUTOA !!!!!… PRESIDENT Kenyatta appoints Kanze Dena as deputy State House Spokesperson. 

According to the government, Kanze is to spearhead and “take leadership of the core communications teams, including digital, messaging, research, branding and press.”

She posted this emotional goodbye:

“I remember us sitting and giggling nervously when the news was broken to us, that we were the top anchors in the country, 4 years in a row. 4 years of holding our breath, perusing through news of the day before going on air, holding frantic conversations and arguing on random things,“ wrote Lulu.

There is something about our profession that I cannot quite define, but I think it has to do with the fact that your real boss is the audience. And they have the final say on whether you stay. To meet their standards is hard work. But with you, the journey has been gratifying.”

“We kept this news all under wraps for some time because our WHAT NEXT was haunting us as days passed by and yesterday it just dawned on me that woooahh this thing is real …after working together for about 5 years and a few months …I say thank you God for you know what we have been through and how our past looked like…”

Elizabeth Michael freed from jail after killing actor Steven Kanumba, put on probation

Tanzanian actress Elizabeth Michael famously known as Lulu, has been released from jail  after serving half of her two-year sentence given after she was convicted for the manslaughter of actor Steven Kanumba, in April 7 2012.

The actress, who celebrated her birthday just a few days ago, will be on probation of the rest of the sentence. The judge who was hearing the case said that the death occurred as an accident as Lulu was arguing with her boyfriend Kanumba.

Lulu

It was an accident

Lulu told the court that Kanumba wanted to attack her with her panga but she pushed him away and he fell down. She ran from the house only to be told later that she he had died.

Lulu said: “Marehemu alianguka mwenyewe na kujigonga kwa nguvu na kuinuka sehemu nyingine alikuwa kama anatapatapa, nilimwambia Seth kuwa Kanumba amedondoka na akajaribu kumuamsha hakuamka akasema anaenda kumuita daktari.”

Siwezi Kupata Mtoto Sasa Hivi Labda Miaka 5au 6 Inayokuja:Lulu Diva

Mwanadada Lulu Diva amefunguka na kusem kuwa hatokaa kubadilisha msimamao wake wa kupata mtoto sasa hivi kwa sababu hana  mpango wa kupata mtoto kwa sasa kama ambavyo alishasema tangu hapo awali,

kuna kipindi cha hapo awali kulikuwa na tetesi kuwa lulu diva alishapata mtoto huku awali lakini mtoto huyo amemuacha kwa mama yake na kwamba hataki watu wajue kama anamtoto, kitu ambacho lulu diva mwenyewe alikanusha na kusema kuwa amekuwa akiakaa na watoto wa ndugu zake wengi kwaio hana mtoto wala hategemei kupata mtoto kwa sasa.

kama mtoto nilishasemaga kuwa siwezi kupata mtoto sasa hivi labda miaka 5 au 6 inayokuja not now , maana sio kitu cha kukimbilia.

Akiongea na waandishi wa habari alipkuwa katika ufunguzi wa car wash ya perfect chrispin, Lulu Diva anasema kuwa kwa sasa amejikita kuwekeza zaidi katika kilimo kwa sababu kuna mashambe mengi ya mama yake ambayo ameachiwa na marehemu baba yake kwaio akiwa kama mtoto mkubwa kwenye familia yao ameona ni bora kuyafanyia kazi mashamba hayo.

Lulu Diva- Sina Mpango Wa Kuzaa Kwa Sasa

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na wimbo wake wa ‘Huba’ Lulu Diva amefunguka na kuweka wazi kuwa hana mpango wa kuzaa mtoto kwa hivi sasa labda baada ya miaka mitano.

Kama utakumbuka siku mwezi uliopita wakati Lulu Diva anasheherekea siku yake ya kuzaliwa (birthday) CEO wa WCB Diamond Platnumz alianika wazi uhusiano wake na Rich Mavoko na kumtaka Lulu Diva Azae naye mtoto.

Kwa kipindi kirefu Kumekuwa na tetesi za Lulu Diva kuwa na Mahusiano ya kimapenzi na Rich Mavoko ingawa wawili hao wamekuwa wakikataa na hata kuficha lakini wamebambwa pamoja mara kadhaa.

Kwenye mahojiano ambayo Lulu Diva alifanya na Sam Misago Tv, ameweka wazi licha ya kuwa Diamond alimtaka azae mtoto hivi karibuni na yeye akakubali hjamaanisha atazaa siku za hivi karibuni kwani hana mpango wa kuzaa mpaka miaka mitano ipite.

Mbona mimi kila siku ninasemaga siwezi kupata mtoto sahivi labda miaka mitano sita huko na kuendelea sio sasa hivi kabisaaa”.

Lakini pia Lulu Diva aliendelea kukataa kuongelea Mahusiano Yake na Rich mavoko huku akidai hayo ni maisha yake binafsi na asingependa kuyaani

Lulu Diva Adaiwa Kutupiwa Jini Baada Ya Kuiba Mume Wa Mtu

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri hivi sasa na ngoma yake ya ‘Homa’ Lulu Diva amedaiwa kutupiwa jini/ shetani baada ya kuiba mume wa mtu.

Habari hii inaripotiwa na Global Publishers ambapo inadaiwa kuwa ubuyu huo ulitolewa na mtu wa karibu wa Lulu Diva ambapo amedai kuwa alitupiwa jini hilo na mke wa mtu baada ya kumuiba mumewe miaka kadhaa iliyopita.

Chanzo hiko cha habari kimedai kuwa tangu ametupiwa jini hill amekuwa akipata mikosi mitupu na wanaume hiyo ikidhihirishwa na mahari yake aliyotolewa kurudishwa kwa mwanaume.

Baada ya tetesi hizo Ijumaa Wikienda ilimsakaa Lulu Diva na alifunguka mazito haya:

Kwanza naomba niseme huyo aliyewaambia nishamjua maana mimi mwenyewe nilimwambia alafu isitoshe mimi nilitoa siri hiyo kwa sababu kila mipango yangu ya ndoa ikikamilika kunatokea jambo na mwanaume anasema ana mambo yake mengine. Hapo kama sio kupigwa juju ni nini? Hilo la kwamba aliyenipiga juju ni mume wa mtu ni siri yangu”.

Lulu Diva Kutoa Album Itakayomshirikisha Cardi-B

Mwanadada sext lady amefunguka na kukiri kuwa kwa sasa nyimbo na muziki unazidi kuendelea hivyo wanaitaji kwenda na mfumo mpya ambao wasaniiwengine wameshaanza kuufuta wa kutoa nyimbo zao kwa mfumo wa album na hata yeye yuko njiani kufanya hivyo.

Lulu Diva anasema kuwa baada ya kuamua kufanya hivyo, msanii wa kwanza wa nje ambae anataka kufanya nae kazi atakuwa ni Cardi-B ambae anatarajia kumuweka album yake ya kwanza.

Lulu Diva anasema kuwa kufanya kazi kwa mfumo wa labum kuna leta hshima kwa msanii lakini pia kunaweka  historia ya muziki wa msanii, hivyo basi anaamua kumuweka mwanadada huyo kwa sababu anaamini kuwa atamsaidia kutangaza muziki.

Najianda kufanya album kama ambavyo wasanii wakubwa wanavyokuwa wanafanya,na hivi karibuni tu nitafanya kama wasanii wengine wakubwa duniani wanavyofanya, album yangu itasheheni wasanii wengi na wakubwa ndani na nje ya nchi  na nina mpnago wa kumshirikisha Cardi -B , nitafurahi sana kama kazi zangu zitakuwa ni za kimataifa.

 

Lulu Diva- Sitaki Kupambanishwa na Shilole

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya muziki wa mduara Lulu Diva ‘Diva Divana’ ameibuka na kusema hataki kufananishwa na msanii mwenzake Shilole.

Lulu Diva amewataka mashabiki ambao wanafananisha rekodi zake na na miondoko ya nyimbo za Shilole waache kumpambanisha naye kwani hataki beef naye.

Lulu Diva amefunguka hayo Kwenye Interview aliyofanya na Enews ya East Africa Tv, ambapo amedai anamheshimu Shilole kama dada yake hivyo hatopenda kuwa na beef naye:

Hapana Jamani hakuna mtu ambaye anapotezwa kila mmoja anaimba mziki wake na mimi Shilole namheshimu kama dada na anafanya mziki wake wa kwake peke yake yaani hata ukiangalia mziki anaofanya na mziki wangu ni vitu viwili tofauti ni watu tu wanatengeneza vitu ili waweze kutuchonganisha”.

Lulu Diva aliendelea kumwagia Sifa Shilole huku akisisitiza hataki bifu naye:

No mimi namheshimu sana as a sister she is a legend ameanza mziki kabla yangu anajua vitu vingi kwenye gemu kabla yangu kwaiyo wasitengeneze hiyo kitu mpaka mimi nikawa kuna kitu nataka kujua kuhusu mziki nikashindwa kumfuata kwa sababu ya maneno kwaiyo naomba hivyo vitu visiwepo mimi nafanya mziki wangu mimi kama mimi”.

 

Hamisa Mobetto na Lulu Diva Kupamba Steji Moja Nchini Uingereza

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri hivi sasa na ngoma yake ya ‘Amezoea’ Lulu Diva atapanda steji moja Hamisa Mobetto katika uzinduzi wa Lipstick zake nchini Uingereza.

Mzazi mwenza wa staa Bongo fleva Diamond Platnumz, Hamusa Mobetto anatarajia kuzindua rasmi lipstick zake zinazojulikana Kama “Charmed Cosmetic”.

Kwenye uzinduzi huo utakaofanyika tarehe 5 Mei 2018, utasindikizwa na burudani toka kwa Lulu Diva ambaye ametoa wimbo wake mpya hivi karibuni unaoenda kwa jina la Huba.

Hamisa alitangaza habari hiyo njema kupitia ukurasa wake wa Instagram, ambapo aliandika:

 

United Kingdom get ready. Business marketing my charmed cosmetics lipstick launch coming soon. Live performance by the sexy Lulu Diva. We come for serious business”.

 

Lulu Diva Akanusha Kuishi Kwa Kudanga.

Msanii wa kike wa miondoko ya mduara Lulu Diva hivi karibuni amekuwa akikumbwa na tetesi nyingi  za kutupa mtoto mara za kuishi mjini kwa kutegemea wanaume na vitu vingine vingi.hata hivyo msanii huyo amefunguka na kusema kuwa sio kweli kuwa amekuwa akiishi kwa kudanga kwa sababu maisha mazuri kwake yamekuwepo kwa muda mrefu.

Kwanza kabisa mimi maisha ninayoishi ni mmazuri kabla hata sijawa  hata mwanamuziki, nilikuwa hivi hivi tangu zamani.mimi ni msichana niliyehangaika sana kutafuta maisha , nilishawahi kuwa waiter, nikafanya baaadhi ya biasghara.nimeshahangaikia sana pesa yangu na wala sijawahi kudanga, tangu zamani nilikuwa nahangaikia sana maisha yangu tangu zamani.

Lulu Diva pia amekanusha stori kuwa amechukuliwa na pedeshee  ambalo limemuweka mjini na kumpa kila kitu

Lulu Diva – Siishi Mjini Kwa Kudanga Maisha Yangu Mazuri Tangu Zamani

Mwanamuziki wa Bongo fleva aliyegeukia miondoko ya mduara Lulu Diva amefunguka na kuweka wazi haishi mjini kwa kudanga kama watu wengi wanavyomzushia bali anapiga kazi na mpenzi wake ni mwanaume wa kawaida.

Siku za hivi karibuni Kumekuwa na maneno mengi sana ambayo yamesemwa kuhusiana Lulu Diva ambapo inasemekana kuwa malo zote alizokuwa nazo ambazo ni gari aina ya Prado na nyumba ya kifahari anayoishi Mbezi Beach vyote amepangishiwa na lake.

Kwenye Interview aliyofanya na Times Fm  Lulu Diva amekataa habari hizo na kudai kuwa maisha yake ni mazuri kabla hata hajawa Mwanamuziki:

Kwanza kabisa mimi maisha yangu ninayoishi na jinsi ambavyo nipo ni toka sijawa mwanamuziki nilikuwa na maisha haya sema mimi ni msichana ambaye nimehangaika sana nimeshafanya kazi hotelini nikawa waiter na biashara zote nimefanya kwaiyo nimehangika sana pesa yangu kwaiyo sijawahi kudanga hata siku moja Maisha Yangu mazuri ninayoishi nimeyafanyia kazi wala sijawahi kudanga”

Lulu Diva pia ameikana stori ya kwamba anachukuliwa kimapenzi na pedeshee ambalo linamuweka mjini na ndio linalompa kila kitu bali amedai mwanaume ambaye ni mpenzi wake ana maisha ya kawaida sana hana utajiri wa kiivyo.

 

Natamani Kupata Mtoto Lakini Sina Mpango Kwa Sasa.-Lulu Diva

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini, Lulu Diva amefunguka na kuzungumzia tetezi zinazoendelea kusamba juu yake kuhusu swala la kutelekeza mtoto wake kijijini na kwamba kutokana na umbali wake  na mtoto imefikia hatua mtoto huyo amekuwa akimwita dada badala ya mama.

Lulu anasema kuwa watu hawajui kuwa hata yeye anatamani mtoto kwa sababu ni baraka kutoka kwa mungu  na   kwamaisha ya sasa hivi kuwa na mtoto ni kuwa na dili kubwa sana kwa sababu anaweza kuwa ambasador wa kampuni flani hivyo ikakusaidia katika malezi pia.

Nimeona hizo taarifa sana katika mitandao lakini sio kweli kuwa mimi nimetelekeza mtoto,kwangu pia ni suprise kwa sababu kutoka kwa mwenyezi mungu mtoto ni zawadi na kwa maisha ya sasa hivi kutupa au kukana mtoto ni ushamba kwa sababu anaweza kuwa balozi wa mabenki , au kampuni flani.

Hata hivyo Lulu Diva anasea kuwa amekuwa akitamani kupata mtoto lakini hana izo plani kwa sasa kwa sababu muda wa kuzaa kwake bado.

Mimi mwenyewe natamani mtoto lakini sina mpango kwa sasa hivi  naona muda bado ila sina mtoto anaeniita dada.nina watoto wa mama zangu wadogo ambae nilimlea na sasa hivi yuko zanzibar, pia kuna mtoto wa dada yangu na wengine wengi ambao wamekuwa wakija kwangu na mimi nina kaa nao na kutoka nao.

Lulu anasema kuwa watu wamekuwa wakisema kuwa  anamficha mtoto mara hamjali mtoto wake lakini hiyo sio kweli lakini anategemea kupata mtoto baada ya miaka mitano.

Kwa sasa sina plani za kupata mtoto kwa sababu niko kwenye plani za kutafuta baba,labda baada ya miaka mitano.na hata mwennzangu nikimuuliza namuona hana muda kwa sasa.

Lulu Diva alipoulizwa kwanini anasubiri muda mrefu hivyo mpaka muda wa kupata mtoto na yeye alijibu.

Tunahitaji kuwawekea na kuwatengeneza mazingira mazuri watoto wetu,sio tunazaa tu kwa sababu tuna uwezo wa kuzaa.

 

Lulu Diva Akumbwa na Skendo Ya Kutelekeza Mtoto Wake Kijijini

Mwanamuziki wa Bongo fleva Lulu Diva ‘Lulu Abbas’ au maarufu kama Diva Divanna amejikuta katika wakati mgumu baada ya kukumbwa na skendo ya kutelekeza mtoto wake wa kumzaa mwenyewe kijijini kwao.

Habari za chini chini zilizo era zimedai Lulu Diva ana kula bata na kuishi maisha mazuri mjini lakini inasemekana kuacha mtoto wake kijijini kwao Handeni Tanga.

Mtu aliyetoa taarifa hiyo ni jirani ameiambia Global Publishers kuwa Msanii huyo alizaa mtoto huyo mwenye jinsia ya kike miaka Sita iliyopita huko Handeni Tanga lakini inadaiwa jambo hilo ni siri kubwa ya familia yake kwani hata mpenzi aliyekuwa naye hajui hili na hapendi kuliongelea:

Ninavyokwambia huyo Lulu alipozaa mtoto huyu alimuacha kwa mama yake kwa muda mrefu sana yeye akaja Dar, lakini kamwe huwezi kumsikia akimzungumzia mtoto wake huyo kwa mtu yoyote wala kusema aliwahi kuzaa”.

Lakini chanzo hiko cha habari kilizidi kutiririka kuwa kutokana na mtoto huyo kukaa na bibi yake kwa muda mrefu  hamjui kama Lulu Diva ni kama yake akimuona anamuita dada jambo ambalo limedaiwa kupendwa na msanii huyo.

Baada ya habari hizi kuenea gazeti hili lilimsaka Lulu Diva ili kumuuliza kama tuhuma hizo alizotupiwa na jirani yake zina ukweli wowote ambapo Lulu Diva alikana kuwa na mtoto na kusisitiza kuwa hajatelekeza mtoto kijijini ila amesema watu wengi wanamfananisha mdogo wake na mtoto wake.

Lulu Diva:Siogopi Kitu Nikitaka Kuachia Ngoma Mpya

Mwandada anaefanya vizuri sasa hivi na ngoma yake mpya ya amezoea , Lulu Abbas marufu kama Lulu Diva amefunguka na kusema kuwa kwa sasa amekuwa na ujasiri wa kuthubutu na kutokuogopa kitu chochote kila anapotaka kuachia ngoma yake mpya hata kama wapo watu watakaokaa wakamponda kuhusu nyimbo zake.

Akiongea na Dizzimonline, Lulu Diva ansema kuwa anaamini kuwa kama muziki ni mzuri siku zote ni lazima utaonekana tu hata kama wapo watu watakaa na kuanza kuongelea vibaya muziki huo.Diva anasema kwa kwa sasa ameshajifunza kufanya vitu bila kuogopa ni kitu gani kinachukua nafasi katika mitandao kwa kipindi hicho, hivyo kama anaamua kutoa nyimbo yake hana kinachomzuia.

Mimi siogopi kitu kama nataka kuachia ngoma yangu hata kuwe kunaendelea  nini katika mitandao ya kijamii  kwa muda huo wa sababu mimi ninaamini kuwa kama muziki wako ni mzuri  hakuna kitakachokufanya  usionekane  so nikuweka jitihada tu katika kazi  na maandilizi ni sumu peke yake.

Lulu Diva anasema kuwa kwa mwaka huu ameamua kuwakonga mashabiki zake kwa sababu amejipanga sana na anaayarajia kudondosha ngoma nyingi.

Kumekuwa na tabia ya wasanii wengi kuwa wanasubiria kama kuna kitu kikubwa kina-trend katika mitandao wakiogopa kuwa trending iyo inaweza kufanya muziki wao kufunikwa.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.