Mr Nice denies he’s broke as many people like to claim: I always walk around with money stashed in my car boot. Have you ever walked with money in your boot?

Singer Mr Nice has yet again addressed persistent rumors that he’s broke and struggling to make a living despite having an illustrious career.

Over and over again, fans, media personalities and even family members have claimed the once popular singer who used to live a lavish life is now wallowing in poverty.

The singer, however, has insisted that he’s doing just fine and people should mind their business.

In an interview with Milard Ayo, a YouTube channel, Mr Nice said he sometimes walks with bundles of cash in his boot so there’s now way he can be broke.

“I always walk around with money stashed in my car boot. Having cash in your wallet or bank account does not mean you have it all. Have you ever walked with money in your boot? I have done it all,” he said. 

Rich

Asked why he’s ever drinking, the singer straight up said that he does it because he can. He has the money.

“They say I live in bars, yes I do because I have the money,” the singer added.

The Kidali Po hitmaker further claimed he is never going to disclose how vast his wealth is just to satisfy nosy people.

 

Mr Nice and popular gospel singer Bahati hit the studio, what could they be planning?

Tanzanian singer Mr Nice has revealed that he is currently in the studio working with Bahati for new project to be released soon.

If this is true, then Mr Nice will be the second artist from Bongo land working with the young gospel singer who seems to be doing well with his music in East Africa.

From the photo shared by Mr Nice, the two are seen hanging out at the EMB records and caption confirms that they will soon be dropping something hot for their fans.

Mr Nice on the other hand has been trying to make a come back by collaborating with different artists including Wasafi records Harmonize who featured him in this latest video.

Below is the photo shared by the singer.

Mr Nice aeleza kwanini anahisi Wakenya wanamtambua kushinda Watanzania

Lucas Mkena anayetambulika kama Mr Nice amefunguka mara ya kwanza kueleza sababu zake za kupiga show Kenya sana kushinda Tanzania.

Akizungumza na Showbiz ya Tanzania, Mr Nice alifunguka kusema mengi ambayo nimeambanisha hapa courtesy ya Global Publishers.

Isome hapa chini;

Showbiz: Mashabiki Bongo walikumisi kwa muda mrefu wangependa kujua ulikuwa wapi na unafanya nini kwa sasa?

Mr Nice: Maisha yangu kwa sasa yapo Kenya, huko nina zaidi ya miaka mitatu nikifanya muziki wangu, nimeamua kuhamishia makazi huko kwa sababu kule wenzetu mambo ya burudani wako mbali sana hivyo kazi zinapatikana kwa wingi tofauti na Bongo.

Showbiz: Vipi kuhusu mazingira ya huko hayakukupa shida? Mr Nice: Hapana halafu unajua maisha yangu ya muziki yamekuwa ya kwenda hapa na pale nchi mbalimbali hivyo hiyo haikunisumbua. Showbiz: Unazungumziaje habari zilizokuwa zikizagaa kuhusu kifo chako?

Mr Nice: Ni chuki tu za baadhi ya Watanzania wenzangu na ninashindwa kuelewa kwa nini wananichukia kiasi hiki wakati nchi nyingine wananiona lulu? Kwa nini wananifanyia hivyo wakati Kenya naishi kama mfalme maana hata nikiambiwa nije kufanya shoo Tanzania, najifikiria mara mbili mbili kwa sababu naona watu wangu wamenitenga.

Showbiz: Kuna siku ulikuwa ukiimba wimbo wako wa Mama huku ukibubujikwa na machozi na kusema unaumia watu wanasema una ugonjwa wa Ukimwi, unazungumziaje hilo?

Mr Nice: Ni kweli watu walinipakazia hivyo na wimbo ule wa Mama unaniliza kwa sababu najua mama yangu angekuwepo angewakemea waache kuzungumza maneno hayo maana mastaa wenye mama zao wakisakamwa tu, mama zao wanaibuka kukanusha.

Showbiz: Kwa nini unasema baadhi ya Watanzania wanakuchukia?

Mr Nice: Kwa sababu wamekuwa ni watu wa kunidharau, kunidhihaki kwa sababu heshima ambayo ningeipata hapa nyumbani naenda kuipata nchi nyingine.

Showbiz: Mashabiki wako wangependa kufahamu huko Kenya upo na familia yako?

Mr Nice: Kenya, nafanya kazi tu, familia yangu yote ipo Tanzania, lakini sijaoa na wala sitegemei kufanya hivyo kwa sababu tayari nina watoto wawili ambao nataka kuwalea bila karaha ya mama wa kambo.

Showbiz: Najua muigizaji Miriam Jolwa ‘Jini Kabula’ huko nyuma alikuwa ni mpenzi wako vipi unazungumziaje kuhusu matatizo yaliompata?

Mr Nice: Namuombea ila kwa upande wa Watanzania, waache kushabikia mtu anapopatwa na janga na kuanguka. Wamuombee na waache manenomaneno.

Showbiz: Ni faida gani umeipata mpaka sasa kutokana na muziki?

Mr Nice: Nyingi sana, kwanza nina mijengo ya maana minne, nina usafiri wangu na nina mashamba kutokana na muziki huohuo na miradi yangu mingine mingi.

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.