Husna na Tunda Ndani Ya Sakata La Kuibiana Mwanaume

Mlimbwende aliyewahi kushiriki shindano la Miss Tanzania miaka ya nyuma Husna Maulid na video vixen maarufu Bongo Tinda Sebastian wamedaiwa kutibuana kisa bwana wanayemgombania.

Gazeti la ijumaa wikienda linaripoti kuwa Husna ambaye alikuwa na urafiki na Tunda alijikuta amesalitiwa na shoga yake huyo baaada ya kugundua kuwa amemchukulia bwana ake anayeitwa Ally.

Katika mahojiano aliyofanya na Gazeti hili, Tunda alisema watu wamekuwa wakizungumza sana kuhusiana na hilo kwamba ameibiwa bwana na rafiki yake Tunda kitu ambacho hakifahamu kwani anachojua yeye ni kwamba ana mpenzi wake mmoja tu anayejulikana kwa jina la G na ndiye rafiki yake pia.

Jamani naomba watu waelewe kwamba nina mpenzi wangu anaitwa G, huyo mwingine anayetajwa simjui na wala sina urafiki na mtu zaidi ya mpenzi wangu, huyo ndiye rafiki yangu wa karibu“.

 

Tunda Apania Kurudi Shule Kujiendeleza Kielimu

Video vixen maarufu asiyeisha vituko kwenye mitandao ya kijamii Anna Sebastian Kimario ‘Tunda’ ameweka wazi mipango yake ya kutaka kurudi shule kwa ajili ya kujiendeleza kielimu.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Tunda amesema kuwa, lengo lake ni kuwa mtaalam wa mambo ya kompyuta hivyo anataka akasomee kozi ya Information Technology (IT).

Siku zote napenda kusomea kozi ya IT, ni kitu kilichopo kwenye ndoto yangu na kwa sababu sasa nimekua na kutulia, naamini nitasoma kwa utulivu kabisa“.

Tunda amekiri kuwa pamoja na kupoteza muda mwingi kufanya mambo ambayo amekuja kugundua kuwa hayana faida kwake kiasi hicho ameamua kutopoteza muda zaidi na kurudi shuleni kwani muda inamruhusu bado.

Tunda Adaiwa Kuzama Kwenye Penzi Zito na Tajiri Mtoto

Video vixen asiyeisha vituko kwenye mitandao ya kijamii Anna Kimario maarufu kama Tunda amedaiwa kuwa kwenye penzi zito na kijana mwenye mkwanja mrefu anayejulikana kama Tajiri mtoto.

Global Publishers wanaripoti kuwa, Baada ya kumwagana na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz kisha kuhamia kwa mtangazaji wa Clouds TV Casto Dickson, Tunda amemnasa jamaa anayefahamika kwa jina la Tajiri Mtoto wa Arusha anayedaiwa kuwa na umri wa miaka 27.

Kwenye mahojiano aliyofanya na gazeti la Risasi Jumamosi ndugu yake Tunda ambaye ameomba hifadhi ya jina, alidai kuwa kwa sasa video queen huyo anatoka na kijana huyo anayefanya kazi kwenye migodi na kwa kuwa ana mkwanja wa kutosha, Tunda ameamua kuhamishia makazi yake Arusha.

Tunda kwa sasa anaishi mjini Arusha, amepata bwana mwenye fedha zake watu wanamuita Tajiri Mtoto kwani ana hela za mgodini zinamsumbua, wanaume wa Dar watamsikia tu na kumuona mitandaon”.

Baada ya tetesi hizi kusambaa gazeti hilo lilimsaka tunda na kumhoji kuhusiana na tetesi hizo ambapo alifunguka;

Nimehama ndio maisha ya Dar si yangu tena kwa sasa nina maisha mengine na kifupi sipendi sana kuanika mambo yangu naomba watu waelewe hivyo kama wanavyoniona mitandaoni”.

Tunda- Sitaki Kuhusishwa na Diamond Kwa Njia Yoyote

Video vixen maarufu Kwenye mitandao ya kijamii Anastasia Sebastian Kimaromaarufu kama Tunda amefunguka na kutoa tamko la kutotoa kuhusishwa na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Tunda ameongea hayo Ikiwa siku chache tangu taarifa zienee Kwenye mitandao ya kijamii kuwa yeye na Mrembo mwingine maarufu kama Officiallyn wanagombania penzi la staa huyo.

Wiki iliyopita kuna video ilisambaa Social Media iliyomuonyesha Tunda akibambuwa na Diamond katika Private Birthday party yake.

Tunda ambaye ameshawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond katika siku za nyuma amesema hana Mahusiano kwa sasa na Diamond na wala hamgombanii na mtu bali ni rafiki tu.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Tunda ameandika posti hii:

Lynn na Tunda Vitani Kisa Penzi La Diamond

Video vixen aliyejizolea umaarufu Kupitia video ya wimbo wa Rayvanny ‘Kwetu’ Lynn ameingia Kwenye vita kali na video queen mwenzake Tunda Sebastian na inadaiwa kisa ni Diamond.

Global Publishers wanaripoti kuwa warembo hao hivi sasa ni kama Paka na panya kutokana na wote wawili kumpenda Diamond na kuchanganywa kwa wakati mmoja.

Kwa mujibu wa chanzo cha GPL, mrembo Lynn ambaye haambiliki kwa Diamond, mara baada ya kusambaa kwa video ya Tunda na Diamond pamoja  ndipo lilipotangazwa bifu jipya mjini kati ya Tunda na Lynn.

Si unajua ni juzi tu Lynn alidaiwa kuzawadiwa mpaka gari na Chibu (Diamond) wakati wa bethidei yake?

Sasa hiyo video ya Tunda imemtibua Lynn na timu yake kwa sababu Lynn humwambii kitu kwa Diamond ‘so’ sasa hivi ni mwendo wa vijembe tu huko social media (mitandao ya kijamii).

Wenyewe wanasema kama mwanamke akitaka kumtibua Lynn, basi ajisogeze kwa Diamond kama alivyofanya Tunda maana ameshasema kuwa yupo tayari kuolewa na jamaa huyo, sasa hataki mtu amtibulie”.

Baada ya Tetesi hizo za bifu gazeti hil lilimsaka Tunda ili kumhoji kuhusu bifu na Lynn ambaye alifunguka:

Jamani kama ujuavyo ile ilikuwa ni sherehe na kila mtu pale alikuwa ameshakunywa (amelewa) na wengi walikuwa wanacheza, nashangaa sana wameniona mimi tu ndiye nilikuwa nacheza na Diamond, kama siyo mambo ya ajabu ni nini?.

Mimi kucheza na Diamond imekuwa ishu kubwa, kitu ambacho kinanishangaza sana. “Ina maana watu waliniona mimi tu? Lakini mimi naona ni kitu cha kawaida kabisa kwangu hivyo watu wasipate tabu sana,” alisema Tunda. Alipoulizwa kuhusu mwanaume wake anasemaje juu ya video hiyo, Tunda alisema kuwa, kwa sasa hana mtu anayemhofia kwani alishaachana na Casto Dickson muda mrefu.”.

Lynn alipotafutwa ili kujibu tuhuma hizi alikataa kuzungumza chochote Lakini tangu sakata hili litokee Diamond ameonekana kwenye party mbili tofauti akiwa na video vixen mwingine maarufu kama Kim Nana.

“Sipendi Ujinga Nikiwa na Mwanaume”-Tunda

Video vixen maarufu Bongo Anastasia Sebastian maarufu kama Tunda amefunguka na Kusema tofauti na watu wengi wanavyomfikiria yeye anaweza sana kudumu na mwanaume Kwenye Mahusiano.

Tunda amewajia juu na kuwashangaa watu wanaomuona yeye  hawezi kudumu na mwanaume mmoja, lakini ni kwa sababu hapendi kufanyiwa ujinga kisha kunyamaza kama walivyo wanawake wengine.

Katika mahojiano yake na gazeti la Ijumaa Wikienda, Tunda alisema sasa hivi wanaume wengi wanapenda kuwachezea wanawake kwa sababu wanawajua ni dhaifu, lakini wangejitambua thamani yao wala wasingekubali kupelekeshwa na wanaume.

Sijui kabisa kitu kubembeleza mwanaume ni kitu ambacho sijajaliwa kabisa. Mimi najua kupenda kama mwanaume atakavyonipenda, lakini mambo mengine hapana, vitu vingine anatakiwa anifanyie mimi kama mwanamke wake”.

Siku za hivi karibuni Tunda alidaiwa kumwaga mpenzi wake wa Miezi kadhaa Casto Dickson na kuanzisha Mahusiano na Jamaa mwingine lakini juzi Tena ameonekana na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

They are back together! Tunda Sebastian erotically grinds on Diamond’s crotch (Raw video)

Tunda Sebastian stopped fooling around with Diamond Platnumz sometimes in March 2018 when she started dating Clouds TV presenter Casto Dickson.

Tunda’s relationship with Castro didn’t stand the taste of time, she confirmed the breakup in September this year after only 6 months or so of dating.

Diamond has also been ‘single’ for a while after breaking up with Hamisa Mobetto following claims of witchcraft. The singer has been fooling around with two ladies – Irene Hillary ‘Lynn’ and Rwandan lady Shaddy Boo since he broke up with Hamisa.

Tunda was also yearning for a piece of Diamond since her relationship ended, she was quick to send the singer sweet  message on his birthday.

Also read: Diamond’s side chics come out to shower him with sweet birthday messages

Erotic dance

Tunda pounced on the chance to hook up with Diamond when opportunity presented itself. She was seen grinding on Diamond’s crotch while dancing to the new hit song ‘Katika’.

Watch the video below:

https://www.instagram.com/p/BodZvdkn_6e/?

 

 

Tunda Abambwa na Diamond Baada Ya Kumwaga Casto (+video)

Socialite na video queen maarufu Bongo Tunda Sebastian amerudi Kwenye headlines baada ya kuonekana na staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Tunda ameshawahi kusemekana kuwa Kwenye Mahusiano na Diamond lakini baadae alianzisha Mahusiano na Mtangazaji wa clouds Tv Casto Dickson.

Pamoja na kwamba Casto alichora bonge la Tattoo ya Jina la Tunda Kwenye Mkono wake lakini aliishia  wiki chache zilizopita na siku ya jana ameonekana Kwenye Birthday party Diamond.

Diamond alionekana akicheza na Tunda kwa ukaribu sana kiasi ya kupelekea kuzua tetesi za kuwa Tunda kamtosa Casto na Kurudisha majeshi yake kwa Diamond.

https://www.instagram.com/p/BodZvdkn_6e/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1mcmagtlbnvu

Siku ya jana ilikuwa ni Birthday party ya Diamond na housewarming party ya nyumba yake mpya ambapo alifanya Private party na kualika Mastaa kibao ikiwemo timu nzima ya WCB , Navy Kenzo, Dully Sykes, Billnas, Tunda na wengineo.

Diamond’s side chics come out to shower him with sweet birthday messages

Diamond Platnumz turned 28 on Tuesday October 2nd. The singer has been receiving birthday messages from family, friends, fans and side chics.

The singer’s side chics – Tunda Sebastian, Irene Hillary ‘Lynn’ and Rwandan lady Shaddy Boo have all sent the singer sweet birthday messages.

This year Diamond has mostly been seen with Shaddy Boo and Irene Hillary. The latter has even declared interest to get married to Diamond.

Also read: Video queen Irene Hillary announces she is more than ready to get married to Diamond two weeks after they were spotted together in Zanzibar

Also read: Diamond Platnumz Rwandese lady is here to stay! She steps out wearing his designer slippers 

Birthday messages

Below are the sweet birthday messages the three ladies sent Diamond:

 

 

Tunda Afunguka Kuhusu Tetesi Za Kuwa na Mpenzi Mpya

Video vixen maarufu Kwenye mitandao ya kijamii Tunda Sebastian amefungukia tetesi za kuwa na njemba mpya na kuweka wazi kuwa yule ni rafiki tu hana Mahusiano naye.

Wiki iliyopita taarifa zilisambaa Kwenye mitandao ya kijamii kuwa Tunda na mpenzi wake wa Miezi kadhaa Mtanagzaji Casto Dickson wameachana na mara moja kuna taarifa zilidai kuna mpenzi mpya.

Kupitia ukurasa wake wa Snapchat Tunda alisambaza screenshot ya FaceTime na mwanaume mwingine picha iliyosambaa kwenye mitandao ya kijamii na kusababisha kusambaa kwa Taarifa kuwa Tunda ana mpenzi mpya.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Vibes, Tunda amesema mwanaume huyo aliyekuwa anachati naye ni rafiki yake wa kawaida tu na siyo mpenzi wake kama watu wanavyodai.

Jamani nawashangaa sana watu maana siyo kila ninayeongea naye ni mpenzi wangu, huyu ni rafiki yangu tu wa kawaida hivyo nawasihi watu wasiwe na tafsiri za mapenzi tu kila wakati“.

 

Tunda Sebastian’s boyfriend gets tattoo of her name on his hand, vows not to remove it even if they break up

Tunda Sebastian’s boyfriend Casto Dickson has decided to demonstrate his love for the video vixen by tattooing her name on his hand.

For starters, Tunda is in a relationship with popular Clouds TV presenter Casto Dickson. The two lovebirds announced they were dating when they went on holiday together in Zanzibar in March 2018.

Casto Dickson and Tunda Sebastian
Casto Dickson and Tunda Sebastian
New beginning

Castro wants to marry Tunda, they are currently living together. He reveals that it took him only 10 minutes to decide to tattoo Tunda’s name on his hand during an interview with Bongo 5.

The presenter asserts that he will not remove the tattoo even if his relationship with Tunda hits rock bottom. Castrol also revealed that Tunda had changed and that she had agreed not to feature in any video as a video vixen.

“Nkaamua kuchora jina lake kwa maana sipiti tu na Tunda. Tumekubaliana wote kila mmoja anabadilika tunafanya maisha,” said Castro.

Watch the full interview below:

 

 

“Huyo Mobeto kazidi” Tunda Sebastian savagely tears into Hamisa Mobetto

Tunda Sebastian has expressed her frustrations with Hamisa Mobetto whom she says has stooped low just to show the world that she’s warming Diamond Platnumz’s bed.

For starters, Tunda was rumored to be Diamond’s side chick while the singer was still in a relationship with Zari Hassan. Currently Tunda is dating TV presenter Casto Dickson.

The petite socialite is displeased by Hamisa Mobetto and Diamond’s new-found love. Tunda claims Hamisa is only desperately trying to prove that she and Diamond are an item now.

“Huyo Mobeto kazidi, yaani kwanza amekubali kudhalilishwa kwenye ile video ya nusu utupu kisa tu aonekane yupo na Diamond ingekuwa ni mimi wala nisingekubali kudhalilishwa huko,” said Tunda during an interview with Ijumaa Wikienda.

Law suit
Tunda Sebastian
Tunda Sebastian

Tunda further says that she is surprised that only recently Mobetto sued Diamond over child upkeep but now she is desperate to be with someone (Diamond) who doesn’t really care about her.

“Nashangaa sijui kwa nini wanawake wengine wanapenda sana kudhalilishwa, hebu fikiria juzi tu ameenda hadi kumshtaki mwenzake juu ya bwana huyo jua ya malezi ya mtoto lakini leo kasahau yote na kachezewa na video chafu, ametukanwa weee lakini bado yupo tu tena anajiona mjanja,” said Tunda.

 

 

 

 

 

Tunda- Sina Bifu na Hamisa

Video vixen maarufu Kwenye mitandao ya kijamii Tunda Sebastian ameibuka na kuweka wazi kuwa hana bifu lolote na Hamisa Mobetto na wala hajawahi kugombana naye.

Tunda na Hamisa walisemekana lies Kwenye bifu zito siku za nyuma na ikidaiwa kisa kilikuwa ni penzi la staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Inajulikana wazi kuwa Hamisa ana uhusiano na Diamond na hata kuzaa naye mtoto mmoja lakini hapo nyuma ilishasemekana kuwa Tunda alikuwa ana uhusiano na Diamond kwa muda mrefu.

Kuwepo kwa bifu hilo kulithibitika baada ya Tunda kutumia mtandao wa kijamii kumfikishia Ujumbe Hamisa Miezi kadhaa iliyopita na kusema kuwa Diamond hamtaki lakini anajipendekeza.

Lakini pia siku zilizopita Tunda alimpiga Dongo Zito Hamisa baada ya kusikia karudisha majeshi kwa Diamond ambapo alidai ni mjinga kwa kurudiana na Diamond.

Siku ya juzi Tunda kawatolea povu zito watu walioandika stori kuwa yeye na Hamisa wana bifu ambapo amedai kuwa hana ugomvi wowote na Hamisa.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram Tunda aliandika ujumbe huu huku akisisitiza kuwa hana bifu na Hamisa:

Hamisa hajawahi kujibu tuhuma zozote na Tunda na hata kumrushia maneno Kwenye mitandao ya kijamii.

Sijawahi Kupiga Picha Za Utupu- Tunda

Video vixen na mwanamitindo maarufu Tunda Sebastian ameibuka na kudai kuwa hajawahi kuvaa nguo z utupu au kukaa uchi hadharani.

Tunda amefunguka na kudai kuwa yeye hana kawaida ya kupiga picha za utupu bali vile anavyovaa ndivyo alivyo na ameshazoea kuvaa hivyo siku zote.

Tunda amesema picha za utupu ni pale mtu anapoenda studio na kupiga picha lakini zile anazopiga akiwa nyumbani kwake ni zinapaswa kueleweka ni picha za kawaida.

Unajua kuna picha za utupu kwamba ile mtu unaenda studio unaamua kuwa wazi na kupiga picha, na kuna jinsi mtu anavyovaa kama ni nguo fupi yaani kawaida ya yeye kuvaa yapo si utupu kuna tofauti, mimi sipigi picha za utupu”.

Kumekuwa na kawaida kwa wasanii wa kike Tanzania kupenda kuvaa nusu uchi na kujianika Kwenye mitandao ya kijamii kitendo ambacho serikali imekuwa inakemea kwa wasanii kufanya.

Wedding bells! Diamond’s former side chick Tunda Sebastian set to marry TV presenter

Tunda Sebastian’s boyfriend has announced wedding plans. The socialite’s boyfriend says he is rushing to marry Tunda because she has all the qualities he is looking for.

Tunda is in a relationship with popular Clouds TV presenter Casto Dickson. The two lovebirds only announced they were dating when they went on holiday together in Zanzibar in March 2018.

Also read: Tunda Sebastian introduces her new celebrity boyfriend while on holiday in Zanzibar

Casto Dickson revealed his plan to marry Tunda during a recent interview with a Tanzanian daily. The TV presenter says he will marry Tunda before the year ends.

“Unajua nimekuwa na wanawake tofauti sana lakini kwa Tunda nimekuta vitu tofauti sana,kwangu naona anafaa kuwa mke wa mtu tofauti na watu wa nje mnavyomuona. na nitamuoa kabla ya huu mwaka haujaisha,” said Casto.

Men Tunda has dated
Tunda Sebastian
Tunda Sebastian

Castro also addressed the long list of men who Tunda has dated or had a fling with. He says that he is not concerned about the socialite’s past because he too has a history.

“Unapokuwa na mahusiano na mwanamke na ukataka kujua wanaume alikuwa nao yatakushinda.unachotakiwa kuangalia ni pale mnapoanzia tu. Kwani hata mimi nilishakuwa nao wengi tu kabla ya kukutana na Tunda,” Castro said.

 

Tunda Amtupia Dongo Zito Hamisa Baada Ya Kumuona na Diamond

Video vixen maarufu Tunda Sebastian amerudi tena Kwenye headlines baada ya kumtupia Dongo Zito hasimu wake namba moja Hamisa Mobetto baada ya video zake za chumbani na Diamond kuvuja mtandaoni.

Usiku wa jana Diamond na Hamisa walizua gumzo baada ya kuonekana pamoja chumbani wakiwa wanakumbatiana kwenye mahaba mazito jambo lililozua gumzo kuwa wamerudiana.

Lakini muda mfupi baada ya Hamisa kuonekana na Diamond video zilizomuonyesha Diamond na demu wa kizungu wakila Madenda nazo zilivuja mtandaoni jambo lililowachanganya watu wengi kuona Diamond na wanawake wawili tofauti katika usiku mmoja.

Kama utakumbuka Tunda na Hamisa wameshawahi kuwa na bifu siku za nyuma huku ikiaminika kuwa walikuwa wanamgombania Diamond kwani wote wawili wameshahusishwa kuwa na Mahusiano na Diamond.

Tunda ameibuka na kumpa Dongo Zito Hamisa baada ya video zake na Diamond kusambaa mtandaoni ambapo amedai kuwa anamuonea huruma Hamisa maana amedhalilishwa na mwanaume ambaye ni wazi kabisa kuwa hamtaki.

Kupitia ukurasa wake wa Snapchat, Tunda kaandika maneno haya:

 

Tunda Awapa Ujumbe Mzito Wapenzi Wake Wote Wa Zamani

Model na video vixen maarufu Bongo, Tunda Sebastian ametoa ujumbe mzito kwa wapenzi wake wa zamani (ma-ex) na kuwaambia kuwa watamkumbuka tu.

Ingawa hajamtaja mwanaume yoyote kwa jina lakini Tunda alipata umaarufu zaidi hivi karibuni baada ya skendo yake na Diamond na tetesi zilienea kuwa amekuwa mchepuko wa staa huyo wa Bongo fleva kwa muda mrefu hadi alifikia hatua ya kumbebea mimba.

Baadhi ya wanaume ambao Tunda ameshawahi kubanjuka nao ambao ni mastaa ni pamoja na Diamond, Mfanyabiashara maarufu Kinje, na wasanii wa Bongo fleva Young Dee na Abdu Kiba.

Tunda alitumia ukurasa wake wa Instagram kufikisha ujumbe huo kwa wapenzi wake wa zamani ambapo amewaambia Maex wake  kuwa wakimuona anataka wajue walichokipoteza, wajutie kwa kumpoteza yeye na wajue kuwa kamwe hawatampata Tena.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram aliandika ujumbe huo uliosindikizwa na picha:

Dear Ex….when you see me, i want you to recognize what you have lost, and realize what your never getting back”.

 

“Wengine damu zao ni kama za kunguni” Tunda reveals why she is afraid to talk about Diamond and Zari’s breakup

Diamond Platnumz’s alleged side chick Tunda Sebastian has explained why she opted to keep quiet when Zari dumped her baby daddy.

Zari said Diamond’s infidelity was the reason why she left him. She stressed that she couldn’t compromise her respect and dignity for the sake of her cheating husband.

Tunda, Wema Sepetu, Hamisa Mobetto are some of the women who Diamond was allegedly fooling around with. Mobetto in particular was embroiled in a fierce beef with Zari.

Why the silence?
Tunda Sebastian

Tunda Sebastian has addressed her silence in the wake of Diamond’s breakup with Zari. The petite socialite says she opted to zip her mouth because she gets trolled whenever she talks about Zari.

Tunda explains that trolls usually tear her apart when she says anything good or bad about Zari. She says she would rather keep just keep silent.

“Mimi kuhusu Zari au sijui ishu za kuachana kwao na Diamond au kitu chochote sitaki kabisa kuzungumzia maana wengine damu zetu ni kama za kunguni nikisema chochote itakuwa shida,” said Tunda Sebastian.

 

 

 

 

“We dated for two years” Alikiba’s brother Abdu Kiba opens up about dating Diamond’s side chick Tunda Sebastian

Apparently Abdu Kiba and Tunda Sebastian dated for two long years before they split. Alikiba’s brother has since come clean about his relationship with Diamond’s alleged side chick.

Diamond and Alikiba’s family go a long way in dating same women. Chibu and Alikiba both dated Jokate Mwegelo at different time and now it turns out Diamond and Abdu Kiba also shared Tunda Sebastian.

Tunda Sebastian
Secret relationship

Abdu Kiba opened up about his relationship with Tunda during an interview with Millard Ayo. The singer says he met Tunda on social media and they started dating secretly.

He reveals that they kept their relationship under wraps because of circumstance. Abdu Kiba and Tunda dated for two years before breaking up.

Abdu Kiba and his brother Alikiba

“Mahusiano ambayo yaliwahi kunifurahisha ambayo sikutamani hata yavunjike long time ago lakini kipindi hiko nipo na Tunda ambapo tulikutana social media. Nilimwelewa na vile vile alinielewa kwaiyo tukaweza kukutana na mwishowe wote tukaelewana, ila muda kidogo kama miaka mitatu iliyopita. Tulikaa kwenye mahusiano kwa miaka miwili lakini kwa sasa hatupo wote,” said Abdu Kiba.

 

Sebastian Tunda reveals what she did that made everybody to think she is sleeping with Diamond

Sebastian Tunda asserts she has never slept with Diamond Platnumz contrary to popular belief. The video vixen says what she did years ago has been used to justify claims she’s Diamond’s mistress.Tunda was rumored to be warming Diamond’s bed when Zari was away in South Africa. The socialite allegedly made out with Diamond at his Madale home sometimes in December.No one however could prove Tunda and Diamond were fooling around. The petite video vixen has since addressed the big misconception about Diamond and her.I am a big fan

Tunda Sebastian

Tunda dismissed claims she was Diamond’s side chick during an interview with Millard Ayo TV. She reveals that people started thinking she was bedding Diamond ever since she announced that the singer was the king of Bongo music.Tunda further discloses that she has never expressed admiration for any other singer in Tanzania. She says this further fuels the rumor about spreading legs for Diamond.”Narudia tena mimi nahisi nasemwa sana kuwa na mahusiano na Diamond kwa sababu niko free kuweka wazi kwamba Diamond ndiye msanii ninaye mkubali sana hapa Bongo tofauti na msanii mwingine sijawahi kuweka wazi. Nahisi ndio inapelekea watu kufikiria hayo lakini yule sio mpenzi ni mtu tu ambaye namuheshimu na yeye mwenyewe anaelewa support yangu kwake lakini sio mapenzi,” Tunda explains.

“Nisameheni wote” Tunda apologizes to the wife of man she was cheating with after romantic video is leaked online

Tunda Sebastian’s romantic escapade with a married man has been exposed in a leaked video. The socialite has since apologized to the man’s wife and everybody in general.

It’s now clear that Tunda Sebastian is a homewrecker. Apparently Diamond and Zari’s relationship isn’t the only one she ruined after all.

A leaked romantic video of Tunda and her sponsor has taken the internet by storm. The video shows Tunda exchanging saliva with the married man.

Forgive me please!

The socialite says the video was leaked by the married man she was dating. Tunda earnestly apologized to the man’s wife saying that it was a mistake that happened long ago.

“Okay tusikilizane kwa aya yanayoendelea!…Kwanza naomba radhi kwa watu wote kutokana na video zinazosambaa mtandaoni sielewi kwanini ameamua kufanya ivi muhusika mwenyewe lakini naomba radhi kwa watu wangu wote wenye mapenzi mema na mimi na hiyo ni mistake tu ilitokea na ilishapita kitambo naomba radhi kwakila inayemuhusu na pia nashangaa kwanini umeamua iwe hivi na wakati mimi na wewe zilishaisha tena kwa Amani kabisa bila ugomvi wowote!..Sio muda wa kulaumu tena nisameheni wote inayowahusu nisamehe Mke wa muhusika na kila mtu inayomuhusu japo ni vitu vilishapita!…Ombi langu pia kwa Muhusika ukiamua achia mpaka na msg tulizokuaga tunachati kabisa aya mambo yapite kimoja maana labda una maana yako kichwani kufanya ulichofanya!…Narudia tena nisamehewe nimejifunza kutokana na makosa,” wrote Tunda Sebastian.

Watch the video below:

https://www.instagram.com/p/BemZFSxjgn0/

 

Diamond slapped Zari for accusing him of cheating on her with Tunda Sebastian?

Diamond is said to have slapped Zari for questioning his relationship with Tunda Sebastian. The Tanzanian crooner is allegedly fooling around with Tunda.

Over the past two weeks Diamond has dominated headlines with news of his alleged infidelity. The ‘Waka’ hit maker reportedly slept with Tunda at his Madale home.

Tunda Sebastian
Grapevine

Diamond is said to have lost his cool and slapped Zari who accused him of cheating on her. Tanzanian newspaper Mwananchi reports that Diamond was involved in an altercation with Zari over his affair with Tunda.

The incident happened behind closed curtains but an insider leaked the grapevine to Mwanainchi. Neither Zari or Diamond has come out to confirm or deny the incident of violence.

 

 

 

Tunda followed Diamond Platnumz to Rwanda?

Diamond left Dar es Salaam for Kigali on Thursday January 18th. The Tanzanian crooner flew to Rwanda to set up his brands there.

Diamond launched his ‘Diamond Karanga’ nuts and Chibu Perform to the Rwandan market. The singer’s trip comes barely a week after he announced he was interest in buying a new home in Rwanda.

Also read: Diamond reveals his plan to buy new family home in Rwanda

Diamond Platnumz during the launch of ‘Diamond Karanga’ nuts and Chibu Perform in Rwanda
Tunda in Rwanda

Diamond’s trip to Rwanda comes amid accusations of cheating on his wife with Tunda Sebastian. A post on social media by Tunda seems to imply she was in Rwanda at the same time Diamond was there.

Tunda announced she was in Rwanda in one of her posts on IG. It’s not clear whether she was in Rwanda at the same time Diamond was there.

“Rwanda! I’m here babes,” Tunda captioned her photo.

 

Zari and Diamond shut down critics and rumormongers fanning cheating allegations with Tunda

The internet is awash with stories of Diamond and Tunda Sebastian. The Tanzanian superstar is said to be cheating on Zari with Tunda.

Last year it was Hamisa Mobetto who was dominating headlines thanks to her beef with Zari. Now Zari’s marriage is being threatened by Tunda, or is it?

Diamond is playing the typical playboy and is denying everything just like he did when Mobetto first claimed he fathered her son.

The Tanzanian superstar rubbished the incident in Madale. Diamond is said to have slept with Tunda Sebastian at his Madale home.

“Eti Diamond Madale KaNg’ung’aniwa…. Mxiiiew!?” Diamond sarcastically commented.

Never looked good at 37

Zari shut down critics who were claiming that Diamond is cheating on her with younger woman because of her age. The mother of five asserts that she still looks stunning at her age.

Diamond’s side chick Tunda Sebastian secretly dating a politician?

Tunda Sebastian was caught off-guard when she was asked about the rich politician she is allegedly dating. The lass is said to be sponsored by the politician.

Tunda drew attention when it was first reported in November 2017 that she was the new side chick who Diamond was fooling around with.

The attention Tunda got back then has come to haunt her. Tanzanian news outlets have been digging up dirt on Tunda and they discovered something big.

Dishi Bovu claims Tunda is dating a rich politician who owns apartment block in Tegeta, Dar es Salaam. The tabloid refuses to name the politician but contacted Tunda and sources close to her to establish the truth.

“Ninafahamu kwamba ni kweli Tunda yupo na mbunge, ila mtafuteni mwenyewe, si namba yake mnayo,” a source close to Tunda told Dishi Bovu.

Won’t tell

Tunda Sebastian

Tunda however refused to comment on whether she is dating the said politician. She claimed she didn’t know who the politician in question was.

Below is the telephone conversation between Tunda and Dishi Bovu:

Dishi Bovu: Tundaa…

Tunda: Nambie!

Dishi Bovu: Hongera mamaa!

Tunda: Kwa lipi? Kwanza naongea na nani mwenzangu?

Dishi Bovu: Ahaaa Tundaaaa! Dishi Bovu hapa!

Tunda: Shida yako?

Dishi Bovu: Nakuona unawakimbiza wenzio mjini!

Tunda: Kina nani?

Dishi Bovu: Mastaa wenzako! Tena huyo mbunge ambaye mna-share shuka eti amekupangishia apartment Tegeta siyo?

Tunda: Simjui bana huyo mtu unayemzungumzia.

 

While Zari baby sits, Diamond Platnumz spotted partying with his young side chick (Photos)

A few screenshots of Diamond Platnumz partying with Tunda emerged this past weekend confirming that indeed the two were are an item.

The screenshots captured from Babu Tale’s Snapchat page have left most of Hamisa Mobetto’s fans laughing at Zari. This is after the Ugandan socialite came out to claim that Diamond Platnumz had reformed and was now in a serious relationship with her.

Also read: Diamond Platnumz new chick disrespects Zari by using Tiffah’s photo this way (Photo)

However, Tunda Sebastian proving that Diamond Platnumz has not yet finally settled down. She is currently dating him and unlike Hamisa, Tunda is one troublesome lady.

Tunda attacks both Hamisa and Zari

Apart from firing shots at Hamisa Mobetto the lady over the weekend also gave Zari a taste of her medicine. She went on to use Tiffah’s photo as her Instagram profile photo leaving many surprised; but later on she pulled down the photo and also unfollowed Diamond Platnumz to maintain a low profile.

Judging from how she is coming, we can already tell Zari will have a lot to deal with this year!

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.