Zari Awachanganya Mashabiki

Mwanamama Zari The Bossy anaonekana kuwachanganya mashabiki wake hasa baada ya kuwa na sura mbili na kila mara amekuwa mtu wa kubadilika badilika hasa katika swala la dini.

Kuna muda  zari amekuwa akionekana akiwa anakwenda kanisani na watoto wake hao , na hata kuonyesha yuko kanisani akiwa na watoto wake wakiimba mapambio, lakini mara nyingine mwanamama huyo anakuwa akionekana akivaa nguo za kiislamu na kuweka caption za kwenda msikitini.

Hata hivyo pamoja na kwamba watoto wa zari aliozaa na diamond pkatinumz hawakupswa kwenda kanisani kutokana na dini ya baba yao lakini mama huyo aliwahi kuwiangiza kanisani watoto hao.

Hii pia haitoshi , zari amekuwa akionyesha kusoma dua nyumbani kwake , kitu kinachowachanganya mashabiki na kutaka kujua wako upande gani.

Daimond Haingii Katika list ya Wanaume Niliyowahi Kutoka Nao Wenye Pesa ;-Zari

Mwanamama zari the bossy amefunguka na kutupa dongo kwa mzazi mwenzie diamond platinumz kwa kusema kuwa watu wengi wamekuwa wakimjaji na kumwambia kuwa kama diamod asingekuwa na pesa basi inawezekana kusingekwa na mapenzi kati yao.

Hata hivyo Zari alijibu swali hlo kwa  shabiki huyo alieyeingilia katika ukurasa wake na kuandika upande wa maoni na kumwambia kuwa pamoja na kwamba amekuwa na mahusiano na wanaume wengi lakini hajawahi kumuweka diamond katika wanaume aliyowahi ku0date nao wenye pesa.

Zari anasema kuwa katika list hiyo hawezi kumuweka Diamond kwa sababu ukweli ni kuwa diamond hana pesa za kuwazidi hao wanaume wengine aliowahi kuwa nao hata kidogo.

Wawili hao ambao wanakaribia kutimiza mwaka sasa  waliwahi kuwa wapenzi na kufanikiwa kupata watoto wawili lakini watoto hao kwa sasa wanalelewa na mama yao huku daimond akihangaika kutafuta mwanamke mwingine atakae weza kumuoa.

 

Zari Ajibishana na Sanchi Mtandaoni.

Mwanadada Zari The Bossy amejikuta akiingia katika majibizano na Sanchi bada ya mwanadada huyo kumtaka zari kuandika kile anchokiandika kwa lgha ya kiswahili kwa madai kuwa wao watanzania mabo ni mahsmeji zake hawaelewi anachokiongea katika lugha ya kingereza.

Zari ambayo anaonekana alijibu kwa hasira kidogo alisema kuwa swala la watnzania kutokujua kiswahili sio jukumu lake ila ni jukumu la rais wao .

Katika ukurasa wa maoni katika moja ya post ya mwana dada zari mambo yarikuwa hivi kama inavyoonyesha katika picha.

 

Shabiki Amtaja Zari kama Mwanamapinduzi wa Fashion Tanzania.

Kila mtu anaweza kuongea ake kulingana na msiamamo wake na kile anachokiamini hasa inapokuja kwenye swala la kuwa shabiki wa kitu flani.

Moja ya shabiki wa Zari the Bossy amemsifia mwanamama huyo kuwa ndie aliekuwa kuiokoa fashio ya tanzania na kwamba wadada wengi a tanzania walikuwa hawajui kuvaa zaidi ya kujivalia kila kitu lakini tagu amekujwa mwanamama huyo kutoka uganda alipotambulishwa na diamond tanzania amekuwa msaada kwa wanawake wengine.

Shabiki huyo pia anasema kuwa wanawake wengi wa tanznia walikuwa hawataki kufanya kazi zaidi ya kudanga (kujiuza ) ili kupata pesa lakii zari amewasaidia wanawake hawa kupata akili ya kufnya kazi zao ili kujipatia pesa.

Mwanadada huyo ameonekana kuwatolea povu sana wanawake  wa tanzania kuwa pamoja na kwamba kwa sasa wanamchukia mama huyo lakini ukwlei utabaki kuwa aliwasaidia sana kubadlisha mionekna na mitazamo yao ya maisha hasa kwa wanawake wanajiita matajiri katika mitandao ilhali hakuna kitu.

 

 

Ulinzi wa Zari ni Habari Nyingine

Mwanadada Zari the Bossy  hivi karibuni alisaini dili nono la kuwa balozi wa utalii nchini Uganda kitu ambacho ni kikubwa na chenye heshima sana kwa mtu maarufu kama yeye , lakini sasa habari nyingine inakuja baada ya mwanadada huyo kuonekana akiwa karibu na walinzi wasiokuwa wa nchi hii.

Zari amekuwa akilindwa sana tangu alipopata dili la kuwa balozi wa nchi hiyokwa heshimaya kuwa balozi na kile anachokifanya kuitangaza nchi yake uUganda.

Ukiachana na ukubwa wa timu ambayo inamuongoza mwanadada huyo katika shughuli zake za kuitangaza nchi yake katika sekta ya utalii, lakini pia amekuwa akitembea magari makubwa makubwa na ya kifahari ambayo amekuwa akiambatana nayo kila kona.

Mwanamama huyo anatajwa kuwa moja ya wanawake wenye mafanikio na ushawishi ,kubwa sana katika mitandao ya kiajmii hivyo kwa heshimakubwa amepewa heshimaya kutangaza utalii nchini kwake.

 

Ommy Dimpoz Uso kwa Uso na Zari

Mwanamama Zari the bossy amekutana uso kwa uso na msanii Ommy dimpoz ambae hapo awali iliwahi kuripotiwa lkuwa alikuwa na bifu na mwanaume aliyezaa  watoto na mwanamama huyo.

Hata hivyo Zmmy na zari wamekutana nchini afrika ya kusini ambapo ndipo kuna makazi maarum ya zari na familia yake na pia ndio kumekuwa makazi ya ommy dimpoz kwa sasa na uongozi wao.

Hata hivyo haijafahamika sana kuwa wawili hao walikutana kwa sababu ya tukio gani lakini imekuwa ikionekana kuwa mkutana wao umekaa kikazi zaidi.

Ikumbukwe kuwa pindi cha mahusiano ya Zari na Diamond  hakukuwa na ukaribu kati ya Ommy na zari na picha hiyo imezua gumzo kwa sababu ya mahusiano yaliyopo kati ya diamond na Ommy.

Anaedaiwa ,Kuwa mtoto wa Zari Afunguka

Mwanadada mmoja maliyejipatai umaaruf hivi karibuni kutokana na ukweli kuwa muonekano wake umekuwa ukifanana sana na ule wa mwanamamazari amebanwa na kuulizwa kama ana mhausiano yoyote na zari the bossy kutokana na kufanana kwao.

Kupitia ukurasa wake wa instagrma upande wa Direct message, moja ya waandishi wa GPL alimfuata wanadada huyo na kumohoji baadh ya mswali kuhusu swala hilo.

Mwanadada huyo ambae n raia wa nchini Kenya alikataa kwanza kutoa ushirikiano kwa waandushi mpaka pale mwandishi alipoona ni baora kujitamblisha kwa nyaraka za kazi zake ndipo alipoamua kujibu maswali yake.

Martha anasema ” Mimi na Zari hatujawahi kukutana lakini kama itatokea nitapata nafasi nitakuja nchini tanzania ili kufanya mahojiano kwa kirefu na waandishi.

Hata hivyo mwanadada huyo alifanya kila jitihada za kumkimbia mwamndishi  na alifanikiwa kwa sababu hakutaka kujibu tena meseji alizokuwa akitumia.

Hata hivyo baadhia ya watu wa karibu wa mwanadada huyo wanasema kuwa hakuna uhusiano owowte kati  ya wawili hao zaidi ya kufanana tu na hata baadhi ya video zinazotumwa zisizokuwa na maadili hazjawahi kutumwa na mwanadada huyo bali kuna watu wanatengeneza akaunti feki kumchafua.

Gigy Money Aapa Kuzaa na Mtoto wa Zari ili Kuipata Heshima ya Zari

Mwanadada Gigy money ameiapiza nafsi yake kuwa katika maisha yake anataka kuzaa na mtoto wa kwanza wa Zari wa kiume ili aweze kuapata heshima kutoka kwa zari kama binti yake mkwe na hiyo itamfanya ari aweze kujishusha kwake.

Sasa zari mimi nakuahidi kuwa lazima nizae na mwanao wa kwanza ili wew uwe bibi wa mwanangu ndio ataniheshimu nadhani ,a na alafu yeye atakuwa mama mkwe wangu na hatokaa aamini  nitakapopita na mwanae wa kwanza na kuzaa nae.

Gigy Money amekuwa akisema kuwa mwanamama zari amekuwa na dharau sana hasa kwa wtanzania na kuwa amekuwa akiwahibu vibaya kutokana na hali yake ya kujiita bossy lady wakati hata pesa zenyewe sio yeye amekuwa akitafuta bali ni pesa za kupewa na wanaume.

 

 

Mimi na Zari Hatuna Ugomvi;-Sallam K

Moja yamabosi wa msanii Diamond pPlatinumz,  Sallam k amefunguka na kusema kuwa pamoja na kwamba hakuna mahusiano mazuri kati ya msani wake diamond na mama  wa watoto wake  lakini kwa upande wake na mwanamama huyo mahusiano yao ni mazuri na hakuna ugomvi wowowte.

Sallam anasema kuwa pamoja na yote lakini Zari na yeye wamekuwa wakiwasliana hata kuambiana maswala ya kibiashara na kama kuna ushauri wamekuwa wakipeana hivyo kwa upande wao hakuna shida yoyote.

mimi na zari hatuna tofauti yoyote, mpaka tunawasiliana na kupeana madili ya kibiashara na kama kuna ushauri anataka ninampatia.

Ikumbukwe kuwa Zari na Diamond wameachana kwa muda mrefu lakini wau wa karibu na msanii huyo wamekuwa wakiendelea kuwa na mahusiano nae pamoja na migogoro yote iliyopo kati ya wazazi hao.

Shamsa, Faiza Ally Wamshambulia Zari the Bossy.

Wasanii wa bongo movies nchini wamefunguka na kumshambulia mwanamama Zari The Bossy kwa kile kinachosemekana kuwa mwanadada huyo amekuwa na dharau sana kwa watanzania na kwamba amekuwa akimtesa sana ndugu yao diamond kuhusu watoto wake,

kwa upande wa Faiza Ally ambae yee amewatolea povu mpaka watanzania wenzake na kusema kuwa wamekuwa wakimuona zari kama mtu muhimu sana wakati hakuna chochote cha maana alichonacho mwanadada huyo.

katika ukurasa wake wa instagram ambapo aliweka picha hiyo na kisha baadae kuifuta , faiza laisema ” wanawake bhana mna ujinga mwingi sana , mnataka watu wote tumuone zari kama mnavyomuona ninyi, mimi ninamuona tu ni mshamba wa kiganda kama washamba wote….msinitagi up*** wenu, kwanza mi mzuri sema maisha tu ndo magumu.

katika posti hiyo hiyo, Shamsa nae akaja na kupigilia msumari na kusema “mtu asiyetabasama muda mwingi yeye kafumba mdomo na hana tabasamu mara nyingi anakuwaga sio mtu mzuri kabisa,wanakuwaga na roho mbaya sana zilizokomaa kiasi kwamba hata kujifanyisha hawezi…

Hata hivyo haya yote yanakuja baaada ya mwanamke huyo kuonekana kukataa kuwaona ndugu na watu wa karibu wa msanii Diamond katika birthday party ya mtoto wake huko Afrika ya Kusini.

 

Akaunti ya Zari Yadukuliwa Mapema Leo.

Akunti ya instagram ya mwanamama Zari the Bossy leo mapema baada tu ya kuweka  birthday wishes za mtoto wake wa kike imedukuliwa na kufutwa kila kitu katika akaunti hiyo.

Mwanadada huyo ambae hivi karibuni tu aliweza kufikisha followers zaidi ya 1milion anaripotiwa kutoonekana wala kupatikana kwa sasa katika mtandao huo kutokana na wajanja hao kumfanyia mchezo huo mchafu.

Hata hivyo watu wake wa karibu wamethibitisha hilo huku wakisema kuwa wanafanya kila liwezekanalo hili kutatua tatizo hilo.

Safari ya Wabongo Kwenye Birthday ya Tifaah Yazidi kuwa Ngumu, Zari Kupanga watakaohudhuria.

Limekuwa gumzo tangu Diamond atangaze swala la baadhi ya wabongo kwenda kwa madiba  kaika sherehe hiyo huku wengi wakimtaka wema kuachana na hiyo safari kwa sababu Zari hamtaki aende kule.

Hata hivyo baada ya diamod kutangaza kuwa anategemea wanakamati kumi walionandaa sherehe ya zamaradi kwenda afrika ya kusini kwa ajili ya kufanikisha pia birthda ya Tiffah,

Hata hivyo kwa maneno ya chini chini Zari hataki kabisa kuwaona watu hao nyumbani kwake ingawa kwa upande wa aunty alisema kuwa yeye ni moja ya wanafamilia kwaio hawezi kuacha kwenda hata kama Wema hatakiwi huko.

Baada ya hayo yote, moja ya watu wa karibu wa zari anaonyesha kabisa kupingwa  kwa safari ya watu hao kwa kusema kuwa wageni waalikwa wa sherehe hiyo watapangwa na mama mwenye nyumba ambae ni zari mwenye na kuamua nani ataenda na nani hataenda.

mwanadada huyo anaejulikana kama lady naa ameandika ‘ok ratiba iko hivi, mwezi wa nane kuna birthday ya tifa na mwezi wa tisa kuna birthday ya zari the bossy pamoja na white party  london, lady naa atasimamia mpango mzima wa london ila kwa birthday ya tifah south  itasimamiwa na Zari , namaansiha kuwa she will be your host , sasa basi hata list ya wale wakwenda south atapanga yeye, msijishauwe wengine mnaweza msikanyage south , let see and wait.

Esma Awataja Zari na Wema kuwa na sifa za kuolewa na Diamond.

Esma platinumz ametaa sifa za mwanamke ambae anataka kaka yake amuoe huku akitaja kati ya wanawake wote ambao kaka yake amekuwa nao anaona kuwa Zari na Wema ndio wanaweza kuwa na kaka yake kutokana na sifa walizonazo.

Mwanamke classic, mwanake anaejielewa , mwanamke mwenye akili mwanamke aliyesoma, kwa mfano kama Zari yuko vizuri sana  ni mwanamke anaeielewa na yuko vizuri , pia amesoma lakini pia mwingine Wema, mwanamke ambae shule kidogo imeingia ingia .

Hata baada ya kuwataja wema na zari kama wanawake alioona wanaweza  kuolewa na kaka yake lakini pia esma amesema kuwa ikitokea akaletewa mwanamke tofauti na sifa alizozitaja basi kwake haitakuwa shida ataumia roho lakini baadae  atamzoea.

yoyote atakae niletea kwangu itakuwa sawa tu na siwezi kumsemea ni nai lakini hata kama atamleta na sijamkubali najua roho itaniuma lakini itaenda baadae nitamzoea.

Zari Apiga Marufuku Wanaokwenda Kwenye Birthday ya Tiffah, Asema Watamchafulia nyumba.

Ikiwa impita siku moa tangu diamond kutanaza kuwa anatoa offer ya watu kumi kwenda kwenye birthday party ya Tiffah huko Afrika ya Kusini mwezi ujao huku akimtaja wema na aunty ezekiel katika list hiyo, mambo yameanza kuwa moto baada ya Zari ane kuanza kupaniki na kujibu kuwa hataki kuona mtu nyumbani kwake kwa sababu watamchafulia nyumba.

katika moja ya comments za mashabiki, aliyemwambia Zari kuwa siku ya birthday wanakwenda mama wadogona namashangazi zake zari nae alionekana kupaniki na kujibu kwa hasira, kama hivi.

shabiki”mama tee tunakuja sauzi sis shangazi zake na tee na mama zake wa kambo” na ndipo zari alipoamua kumjibu “hahaa sitaki kunichafulia nyumba samahani mkai uko uko

Kwa upande wa Diamond ambae anaonekana kuisubiria kwa hamu sikukuu hiyo ya mtoto wake wa kwanza wa kike na hata kutoa ofa kwa mashabiki zaidi ya 20 kwenda kushereea sherehe hiyo , huku mama wa mtoto akionekana bado ana kisirani.lakini pia kitu cha kuhoji ni kwamba inawezekana diamond anatoa ofa hizi bila kumshirikisha mama wa watoto wake.

Zari Afuta Namba ya Simu ya Baba Watoto Wake

Ni takribani Miezi mitatu sasa tangu Zari na Diamond walipoachana nakusambaratika kila mtu kuchukua ustaarabu wake lakini watoto bado wakiwa chini ya malezi ya mama yao.akimjibu moja ya mashabiki zake katika ukurasa wa instagram wa mtoto wake wa kike Tiffah , mwana mama huyo anasema kuwa hawezi kummiss Diamond na wala hana muda nae na ndio maana hata namba yake ya simu tu hana.

Katika picha hiyo ambayo Zari aliandika kuwa “how i wait for my papa’s call” ambapo baada ya hapo moja ya mashabki zake aliandika pia “believe me zari is missing ex-hubby text”  na ndipo Zari alipoamua kumjibu na kusema hana haja ya kumi-miss text zake maana hana namba za simu hana.

But i dont have his number incase i miss him,incase i miss him i dont have to expres it in  my daughter’s account  dont project your behaviour on me.

 

 

 

.

 

Zari Asema Ivan Ndie Aliyekuwa Baba Bora Kwake.

Mwana mama tajiri kutoka Uganda Zari The Bossy amefunguka na kusema kuwa kwa upande wake  anaona kuwa mwanaume wake Ivan ambae alshafariki siku nyingi ndi baba bora kwake kuliko wa baba wote Duniani .

Ivan ambae amefariki mwaka mmoja uliopita amekumbukwa na mama watoto wke huyo huku akisema kuwa pamoja na kwamba maemuachia jukumu la kulea watoto wote lakini anaona kuwa responsibilities zake zinaendelea kutekelezeka na kwamba siku zote ataendelea kumuenzi.

happy fathers day to me,the late don and to all women playing the both roles,we are the real MVP, Gone but still here with us in all possibloe way, we miss you.

Ukiachana na Zari kuwa na mahusiano  na Diamond lakini muda mwingiamekuwa akipost sana kumkumbuka Ivan na hata baada ya kuachana na ivan anazidi kuonyesha maumivu yake ya kupotelewa na mwanaume huyo.

Zari Atoa Ruhusa ya Hamisa Kuzaa Hata Watoto Kumi.

Mwanamama Zari the Bossy amemwaga povu lake huko katika ukurasa wake wa instagram baaada ya moja ya mashabiki zake kumwambia kuwa pamoja na kwamba yeye anataka kurudiana na Diamond lakii akae akijua kuwa mwanamke mwenzie ambae ni Hamisa kwa sasa ana mimba nyingine.

Kwa kuonyesha kuwa hata yeye hajali kwa hilo, Zari aliandika na kumnibu shabiki huyo kuwa huyo hamisa hata kama anataka kuzaa watoto kumi azae.

Zari kuwa makini maana kuna tetesi huko mtaani kwetu kuwa Hamisa ameshanasa mimba nyingine, Lisemwali lipo kama halipo laja.

Lakini kitu cha  kushangaza zari alijibu tu kwa kifupi na kusema ‘azae tu hata watoto kumi’ 

Wikiendi iliyopita Diamond alioneka akiwa Afrika ya Kusini akiwa na watoto wake aliozaa na zari ,  hii ilithibitisha tetesi kuwa inawezekana wawili hao kwa sasa ni wapenzi.

 

 

Zari Kuanika Maisha Yake Kwenye Jarida la True Love.

Mwanamama Zari the Bossy ataonekana katika jarida la true lovehuku jarida hilo likisadikika kuongelea maisha yake yote ya biashara na mapenzi katika jarida hilo.

Jarida hilo ambalo lina Cover picha  ya mwana dada Zari the bossy , litaanza kuuzwa hivi karibu na kusambazwa kwa  watu mbalimbali  na nchi mbalimbali huku watu wakifaidika kujua maisha yake halisi na familia yake na maisha yake ya mapenzi.

Muonekano wa  Cover la jarida la True love.

 

Ikiwa Mwaka Umepita Tangu Kifo Chake, Zari Bado Anamlilia Ivan

Mwanamama kutoka uganda Zari The Bossy ambae alibahatika kupata watoto wawili na diamond platnumz, wikiendi hii alizua gumzo mitandaoni kutokana na kile alichokiandika kuhusu machungu yake kwa mwanaume wake wa kwanza kabisa ambae wikiendi hii ambapo Ivan anakaribia  kutimiza mwaka mmoja tangu alipofariki mwaka uliopita.

Zari na Ivan walifanikiwa kufunga ndoa na kupata watoto watatu lakini walikuja kuachana na kisha kujiingiza katika mahusiano na Diamond Platinumz, ameonyesha kumlilina ivan kila siku kutokana na maneno yake aliyoyandika siku hiyo.

ni vigumu kuamini kuwa ni takribani mwaka sasa umepita tangu ulipotutoka , naona kama jana,hakuna siku ambayo inapita bila kukuombea  na mama yako.roho yako ziendelee kupumzika kwa amani,hakika siis waja hutoka mbali- Aliandika zari katika ukurasa wake wa instagra,m akiwa ameweka picha ya ivan akiwa amembeba mtoto wao wa kiume kipindi akiwa mdogo.

Ivan alifariki mwaka 2017 may 25 na kwa sasa anakaribia kutimiza mwaka lakini zari anaonekana bado kum-miss na kujali uwepo wake katika kulea familia na kuendesha maisha ya watoto wao.

 

Irene Paul :Tanzania Inahitaji Zari Wake

Msanii wa bongo movie Irene Paul amewataka wasanii kuacha kuwa wanalalamika wanapoona wasanii wakubwa na wajasiriamali kutoka nje wanakuja Tanzania na kuchukua nafasi zao za umaarufu na biashara badalka yake wakae na kufikiria mtu huyo ana nini ambacho ni special ili na wao waweze kujitengeneza.

Irene anasema kuwa kuna haja kubwa sana kwa watanzania kutengeneza Zari wake ili kuweza kufix matatioz na malalamiko yanayokuwa yanatokea katika nafasi za baishara.

Irene Zaul anasema kuwa njia nzuri ni kuangalia nini Zari anafanya na sifa gani makampuni yanataka mpaka kumtumia zari na kisha kutengeza zari wao ili waweze kuziba nafasi inayozibwa kila siku na zari kutoka nje ya nchi.

Haya yanakuja baada ya hivi karibuni Zari kutoka Uganda na kuja Tanzania na kusaini dili la pampers kutoka nchini na kuwaacha wasanii wengi hasa wa kike kulalamika na kusema kuwa kwanini makampuni inachukua wageni na kuacha wazawa.

Idris Amtaka Diamond Kumpigia Magoti Zari

Mjasiriamali na mchekeshaji maarufu nchini Idris Sultani amabe kila linalotokea siku zote huwa aachi kuaa nalo moyoni ni lazima atatafuta namna ya kuliongelea na mara nyingi zaid uongea kwa utani lakini ujikuta akifikisha ujumbe kwa unaemhusu.

Akijitahidi kukumbushia ahadi ya Diamond siku za nyuma aliposema kuwa hatakaa kuona zari anamwacha hata siku moja na kama itatokea mwanamama huyo akataka kumuacha basi ni lazima atatafuta njia ya kumuomba msamaha na hata kama itakuwa ni kwa kupiga magoti kutoka Tanzania mpka Afrika ya Kusini.

Wobongo ni wanafiki sana utasikia ooh idris siku ile ya white party 2015 alimchomea kwa kumwambia zari kuwa embu  muone jamaa yako anavyokumbatia fans wake , mi nakuambaia hata hiyo mimba uliyobeba sio ya kwake  ni ya demu mwingine kakudanganya.

by the way shem ninaanzisha kilimo cha black roses sijui unataka  shares? mond naomba upige yale magoti  uliotuhaidi, unashindwaje kumganda wakati mganda.

Wakati msanii Diamond anapata skendo ya kuzaa na hamisa mobeto kulitokea pia mgogoro kati ya Diamond na mzazi mwenzie huyo, ambapo Diamond aliweza kutangza katika vyombo vya habari kuwa kama Zari atamuacha basi atatembea kwa magoti kutoka hapa mpka anapoishi huko Afrika ya Kusini.

Zari aliamua kutoa tamo la kuachana na mzazi mwenzie baada ya kusema kuwa amechoshwa na tabia ya kusikia skendo za michepuko ya Diamond kila siku hivyo ni lazima afanye vitu kulingana na status yake aliyonayo katika jamii.

Zari The Bossy Atangaza Kuachana na Diamond Rasmi

Mwanamama mjasiriamali na mwenye jina kubwa Tanzania na Uganda pia Zari The Bossy ametangaza rasmi kuachana na mzazi mwenzie  Diamond Platinumz kwa madai kuwa amekuwa akisikia habari na tetesi nyingi zinazomkabili mzazi mwenzie huyo hivyo haoni haja ya kuendelea nae.

Ikiwa jana ni siku ya waapendanao inayosherekewa kila mwaka kwa wale wanaopendana, Zari alimau kuonyesha sikitiko lake la moyo kwa kuonyesha kuwa upande wake yeye hakuna Valentines bali ni maumivu  ya mapenzi yaliyokuwa yakimsumbua kwa muda mrefu.

Maamuazi ya Zari yanakuja baada ya kuwa na habari nyingi mbaya zinazoendelea katika mitandao kuhusu mwanaume aliyekuwa nae katika mahusiano kuwa na mahusiano na wanawake wenmgine wengi tofauti tofauti , na kwa muda mrefu mwanamama huyo hakutaka kuongelea swala hilo hadi pale jana alipoona kuwa ndio muda muafaka wa kutangaza rasmi ingawa kuna wengi waliosema kwa hawezi kuchukua uamuzi huo kwa sababu mara ya kwanza diamond alipotembea na Hamisa Zari  aliweza kumsamehe.

katika ukurasa wake wa instagram , huku akiweka ua jeusi kuashiria hakuna upendo, Zari The Bossy alisema amuamua kufanya hivyo ili kulinda heshima na utu wake kwa jamii inayomzunguka na kumjua kama bossy lady, lakini hataendelea kuwa mama bora kwa watoto wake wanne wa kiume na mmoja wa kike na kuwafundisha heshima siku zote.

Kwa kuongezea Zari anasema kuwa siku zote ataendela kuwa Bossy Lady na kuwahamasisha wengine kufata njia zake za kufanikiwa.Pia katika maisha yake alishakutana na changamoto nyingi lakini ndizo zinzazomfanya hazidi kukomaa.

Katika yote Zari anasema kuwa pamoja na kwamba anaachana na Diamond,haimaanishi kuwa yeye sio baba wa watoto wake bali wanaachana kimahusiano lakini wataendelea kuwa na mahusiano kama wazazi.

Understand that this is very difficult for me to do.There have been some multiple rumors some with evidence floating all around medias  in regards to Diamond cheating’s and I Sadly  have decided  to end my relationship  as my  RESPECT,INTEGRITY,DIGNITY  and WELL BEING  can not be compromised.we are separate as partner and not as  parents.This does not reduce me a self-made as individual and as a caring mother and the bossy lady you have become to know. I will continue to build as mogul, I will inspire the World of women  become boss ladies too. I will teach my four  son to always respect women and teach my daughter what self-respect means.Unlike I have been in entertainment industry for 12 years  and through all my challenges   I come out with victory because  I am a winner  and so are  all of you Zari  supporter.HAPPY VALENTINES

Baada ya Kukosana na Diamond, Zari Apeleka Watoto Kanisani.(video)

Mwanamama aliyebahatika kupata watoto wawili na msanii mkubwa Tanznaia  Diamond Llatinumz ameonekana akiwa kanisani  na watoto wake wawili ambao amezaa na msanii huyo.maswali yamekuwa mengi baada ya video hiyo kuvuja na kuacha maswali mengi kuwa inawezekana ndio ukawa mwisho wa mawasiliano katika ya Zari na Diamond na kuachanishwa kwa watoto wake.

Maswali yamekuwa mengi kwa sababu msanii Diamond ni wa dini tofauti hivyo kama Zari anataa kuwafunza dini watoto hao basi ilipaswa kuwapeleka msikitini kama dini ya baba yao inavyotaka lakini zari ameonekana katika video hiyo akiwa kanisani tena watu wakisifu na kuabudu.

 

Hivi karibuni Zari na Diamond wamekuwa wakitupiana maneno katika mitandao ya kijamii huko zari akionekana kuumizwa zaidi na matendo ya mzazi mwenzie hyo kwa tetesi kuwa diamond amekuwa na uhusiano na mwanamke mwingine tena tofauti na wale wa nyuma mwanamama huyo aliyekuwa nao.

Kajala Na Zari Wasemekana Kuwa Na Siri Nzito

Ikiwa ni kama wiki imeshapita tangu kufanyika kwa harusi ya  Rommy Jons ambae ni Dj  wa msanii maarufu na mkubwa Tanzania Diamond Platinumz  ambae pia ni ndugu yake ambae wamekuwa wakifanya kazi pamoja , siri imevuja kuwa katika watu waliohudhuria akiwemo Kajala na mzazi mwenzie na Diamond anaejulikana kama Zari The Bossy wamekuwa wakikwepana na hilo lilionekana live siku ya harusi.

Wanawake hao ambao kila mmoja amekuwa nguli katika mitandao kwa nafasi yake na warembo wamesemekana kukwepana hasa Kajala ambae aliamua hadi kutoka kabisa katika sherehe hiyo  baada ya kuona kuwa kitendo cha yeye kwenda mbele kingemkutanisha kwa karibu na Zari The Bossy.

Katika harusi hiyo kuna wakati ambapo Mc aliwahitaji baadhi ya watu mbele kwa ajili ya ufunguzi wa champaign  mabapo kati ya watu hao walitajwa ni pamoja na Zari na baadae alimuita kajala ili aweze kujumuika pale mbele kwa ajili ya kufungua shampeni lakini kitu cha ajabu na ambacho si cha kutegemea Kajala aliamka na kupitia mlango wa nyuma na kutokomea kusiko julikana ilhali sherehe ikiwa bado haijaisha na kuwaacha watu wakisubiri kutokea kwake.

Hata hivyo baada ya kajal kutafutwa ili kuweza kuthibitisha hilo alikubali kuwa ni kweli aliamua kuondoka kwa sababu alikuwa hataki kuonana na baadhi ya watu, swali linakuja kwanini alikwenda kwenye harusi ilihali alijua hataki kuonana na baadhi ya watu na akiuja kabisa ni harusi ilipaswa kuhudhuriwa na watu maarufu, lakini pia kwanini iwe katika kipindi cha ufunguzi wa shampeni tena baada ya kuitwa mbele yeye na Zari.

ni kweli nilikwenda kwenye hiyo harusi  na nikaitwa mbele lakini niliamua tu kuondoka zangu kwa sabau sikutaka  kuonana na baadhi ya watu  .-Alifunguka Kajala.

Wawili hao hawajawahi kusikika kuwa wamegombana hata siku moja hivyo kama ni maadui basi kuna kinachoendelea kati yao ambacho hakijawahi kuweka wazi na watu hao wawili  na kuamua kufanya siri kwa maslahi yao binafsi.

Mitandao Ya Kijamii Uganda Yamuumbua Zari

Mama mzazi wa watoto wa Diamond platinumz, Zari the boss ambae pia  anaejulikana kwa utajiri mkubwa Afrika mashariki kutokana na utajiri mkubwa alioachiwa na baba wa watoto wake wa kwanza  Ivan The Don, Zarina Hassan Tlate maarufu kama Zari The Bossy ameumbuliwa na baadhi ya mitandao ya kijamii nchini uganda baada ya kuamua kuweka wazi sehemu asili ambayo alizaliwa mwanamama huyo.

Zari The Bossy ambae amekuwa akipiga picha zenye kuonyesha utajiri wa magari nyumba na vitu vingi vyenye thamani ameripotiwa kuwa ameshindwa kabisa kupaendeleza nyumbani kwao kijijini ambako ndio asili yake.

Zari ambae hivi karibuni alitajwa kama moja ya wanawake matajiri wakubwa nchini Uganda anasemeka kuwa uku Uganda katika kijiji chao kinachojulikana kwa jina la  Jinja hakuna kitu chochote cha maana alichokifanya huku mahali anapoishi yeye na familia yake jijini South Africa ikiwa inaonekana ni ya kitajiri sana.Zari amekuwa akijinadi sana majumba na magari yake yaliyopo Pretoria na Kampala lakini amekuwa akisahau kuwa kuna sehemu aliyozaliwa ambayo pia inatakiwa iendelezwe.

Katika baadhi ya kurasa za mitandao nchi Uganda ziliorodhesha hata mali ambazo mwanamama huyo amekuwa akimiliki na kusema

Zari amekwa akiposti picha akiwa na magari kama Ferrari ,Hummer H2, Lamborgin, na hata Mercedez Benz lakini kitu cha ajabu ni kwamba ukioyeshwa nyumbani kwao huko Jinja lazima utakata kama hapo ndio kwao kwa sababu kwa fedha alizokuwa nazo mwanamama huyo alipaswa kabisa kupatengeneza kwao.Na hata sisi waandishi tunaandika hivyo ili kumkumbusha kuwa ana kwao na mkataaa kwao ni mtumwa wala hatufanyi hivi kwa ubaya wowote ule

Wakielezea historia ya maisha ya mwanamama huyo, mtandao mmoja wa kijamii uliandika kuwa “Mama mzazi wa Zari aliolewa zamani huku Jinja nchi Uganda lakini baadae mama na baba na mama wa Zari walitengena hivyo mama mzazi wa Zari aliamua kuondoka na kuanza kuwalea watoto wake wote nane akiwemo Zari akiwa peke yake, na kuamua kuamia Kampala akiwa na Zari, katika kutafuta Zari alianza kuangaika lakini ikiwa na kutembea na wanaume ili kuweza kujikimu kimaisha ndipo alipokutana na  Ivan The Don na kumjengea mama yake ghorofa iliyopo Munyonyo jijini Kampala.

Ukiachana na utajiri mkubwa alioachiwa na mumewe ambao amezaa nae watoto watutu, Zari pia anajishughulisha na biashara za urembo pamoja na kuanda events za Zari All White Party ambayo imekuwa ikifanya vizuri katika ukanda wa Afrika Mashariki.

 

 

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.