Hamisa blasts publication for asking whether Diamond is still supporting her: My life shouldn’t concern you

On several occasions, Diamond Platnumz has been publicly accused by his baby mama Hamisa Mobetto of being a dead beat dad and failing to provide his baby.

A local publication recently approached Hamisa to ask him whether Diamond has been providing for her and she ended up blasting them in the process.

“Nyie nanyi mnachosha, sasa kama ameacha kutoa huduma kwa Dylan inawahusu nini? Niacheni bwana, maisha yangu na familia haiwahusu. Mnauliza ili iweje” said Hamisa Mobetto.

Witch doctor

Also, there has been a lot of controversies surrounding the two former lovers in which they accused each of visiting a witch doctor.

Mobetto denied the allegations saying she was talking to a Sheikh and not a witch doctor as many people were made to believe.

“Alafu hakuwa mganga alikuwa Ustadh unajua sisi Waislamu unaweza kuwa unafanya dua muda wowote it doesn’t mean you are bewitching anybody, so then unakuja kuangalia kwamba mtu anaomba Amani anaongea na Ustadh anasema kwamba naomba unifanyie dua kwamba kama kuna uzito wowote, ama kuna maneno watu walipeleka ama kwamba moyo basi ufunguke watu waelewane kwa sababu mwisho wa siku kuna mtoto na lazima aende kwa bibi yake, lazima aende kwa babake, lazima awe kwangu. So there needs to be peace kwa hivyo ni vitu vya kawaida. Mimi naamini watanzania wengi sana wanaroga. Huyo mtu akawa anamwambia yaani wewe tumekupa kazi kwa nini Hamisa bado yupo na Diamond na mimi sikuwa kule hata huyo Sheikh ukiniuliza ana rangi gani simjui sijawahi kumuona na wala sijawahi kwenda huko,” said Hamisa Mobetto.

Hamisa Atuhumiwa Kutembea na Mkongo

Mwanadada Hamisa Mobeto ameingia katika skedno nyingine tena ya kujiingiza katika mahusinao na mwanaume wa kikongo ambae alikuwa akimsapoti sana katika maswala yake ya muziki na kudaiwa kuwa mwanaume huyo kwa sasa ameamua kumuacha baada ya kuonekana akitembea na rafiki wa mkongo huyo.

Habari zinazotolewa katika page za udaku zinasema kuwa , mwanadada hamisa mobeto alikuwa katika mahusinao na mwanaume huyo na aliahidi kumsaidia katika kazi zake za muziki lakini ghafa mwanadada huyo alimsaliti mwanaume huyo bila kujua na kwenda kutembea na mwanaume mwingine ambae hamisa hakujua kuwa ni rafiki na mkongo.

Hata hivyo inaripotiwa kuwa baada ya wawili hao kukutana na kuanza kusimuliana walijikuta wote wako katika mahusiano na mwanamke mmoja ndipo walipoamua kumuacha na kukatisha sapoti walizokuwa wakimpa.

Hamisa Atupa Dongo Gizani

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kusema kuwa watu wamekuwa na tabaia ya kuonyesha kuwa wanawapenda pindi tu wanapokufa kwa kuwalilia na kuwawekea mashada ya maua wakati walitakiwa kuonyesha huo upendo wakiwa hai.

hamisa analaani kitendo icho na kuona ni kama unafki na kwamba hakuna rafiki wa kweli uniani kwa sababu kila mmoja anakupenda pale unapokua.

Akisema swala hilo bila kulenga mhuiska, Hamisa alifanya hivyo katika snapchat yake huku akisema kuwa “upendo mwingi huja watu wakiona kuwa umekufa, watakuoa maua wakati wanajua kuwa huweiz kuyanusa’ 

Hamisa ni Mwizi wa Mabwana za Watu :-Juma

Moja wa watu wanaokaa katika mitandao kwa muda mrefu na wamekuwa wakiwakosoa sana wasanii na watu wanaoenda kinyume, lakini pia amekuwa na page ya udaku kwa ajili ya mastaa mbalimbali Juma lokole amefunguka na kuongea kile anachokiona na jinsi watu wanavyokuwa wakimtuhumu hamisa mobeto juu ya mahusiano na wanaume tofauti.

Juma Lokole anasema kuwa hamisa ni kweli muwizi wa wanaume za watu wa sababu watu wamekuwa wakimtuhumu kila mara kuhusu swala hilo kuwa ni tabia yake.

Maneno ya juma yanakuja  baada ya mwanadada huyo kutuhumiwa hivi karibuni   kuwa aliiba bwana wa  Tahiya ambae baada ya kumuuliza alikataa lakini cha ajabu mwanadada huyo alimuweka wazi mwanaume huyo na kuonekana kuwa ni mwanaume wake.

Hata hivyo hii itakuwa mara ya kwanza kwa sababu hamisa aliwahi kutoka kimapenzi na Diamond na hata kupata nae mtoto kipindi ambacho Diamond alikuwa kwenye mahusiano na Zari the bossy.

 

Hamisa Atuonyesha Bwana Mpya.

Mwanadada Hamisa mobeto ambae kwa sasa amekuwa moja ya trending kbwa katika sanaa ya bongo ameamua kuweka wazi mahusiano yake baada ya mwanadada huyo kumficha mwanaume huyo kwa muda mrefu.

Hata hivyo ingawa kuna watu wamekuwa wakisema kuwa alichofanya hamisa sio sahihi kwa sababu alitakiwa aweke mahusiano yake kuwa ya siri ili kutoharibu cv yake kama zinavyokuwa zikiharibikia cv za baadh ya wasanii kwa sababu ya kutafuta kiki.

Katika ukurasa wake wa snapchat , hamisa aliaweka baadhi ya picha huku akisema kuwa huyu ndio baba yenu kwa sasa huku wawili hao wakionekana kula raha katika moja ya hotel kubwa Zanzibar.

 

Hamisa Ashutumiwa Kuiba Bwana na Tahiya

Mwanada video queen katika video mbalimbali Tahiya amemshtumu mwanadada hamisa maobeto kwa kuiba bwana ambae kwa upande wake anasema ni wa kwake lakini Hamisa amejifanya kama hamjui na kuingia nae katika mahusiano .

Tahiya alianza kutoa povu hilo baada ya mwanadada Hamisa Mobeto kuonekana akiweka picha akiwa zanzibar akiwa anakula rah ndipo , mwanadada huyo alipoamua kufichua siri kuwa mwanadada huyo ameenda zanzibar akiwa na bwana wake.

Hata hivyo mwanadada huyo aliweka pia baadhi ya charts ambazo zinasemekana kuwa zilitengenezwa na  tahiya ili zionekana kuwa ni za kweli kuhusu mwanaume huyo ilhali hazina ukweli wowote.

 

 

Mh Makonda Amtia Nguvu Hamisa.

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda ameteka ghafla mazungumzo mtandaoni kufuatia ujumbe uliomwandika Mwanamitondo Hamisa Mobetto.

RC Makonda ametumia ukurasa wake wa Intagram kuweka video ya Hamisa Mobetto na kuisindikizia na ujumbe uliosomeka;’Mama kwa uzoefu nilionao hili lisikupe tabu’.

Ujumbe huo ulikuja zikiwa ni saa chache kupita tangu kwa muimbaji Diamond Platnumz kumtambulisha mpenzi wake Tanasha kwenye familia yake.

Utakumbuka Diamond na Hamisa Mobetto wamejaliwa kupata mtoto mmoja katika mahusiano yao ambayo waliyafanya siri kwa kipindi kirefu. Tetesi ziliwahi kudokeza huenda wawili wangekuja kufunga ndoa, hata hivyo hilo linaoneka kuota mbawa kwa sasa.

Kwa Mara ya Kwanza Hamisa Afanya Show yake Jijini Dar.

Mwanadada hamisa mobeto kwa mara ya kwanza amefanya show yake  jijini Dar tangu amekuwa msanii  wa kuimba katika Industry ya sanaa.

Mwanadada huyo ambae ana miezi kama minne tangu ameanza kuimba aliweza kufanya shoe na kuperform nyimbo zake mbili za tunaenda na madam hilo katika usiku wa masauti pale Legency Park hotel.

Hamisa aliweza kuungana na wasanii wengine wengi wakubwa na wenye uzoefi tayari katika muziki ili kuwaburudihs mashabiki akiwepo Lady jay dee, Ruby na hata Aslay pia ambapo kwa msanii mchanga kama yeye kuna vitu anajifunza kupitia wao.

Diamond and Majizzo didn’t bother wishing Hamisa Mobetto happy birthday- Hamisa’s mum  

Hamisa Mobetto’s mother has come out to reveal that Hamisa’s baby daddies didn’t send her any wishes after she turned 24 years old recently.

The socialite posted a very lovely letter to herself saying she has changed a lot and no longer the lady she was several years ago. She also said 2018 has been more than a lovely year for her since she has enjoyed immense success.

Hamisa decided to spend her big day at Gospare Orphanage House at Kisarawe in Tanzania to cap the day unlike all other birthdays she used to party.

Ignored

Her mother, speaking to Millard Ayo TV, said that Hamisa wasn’t affected by the fact that Diamond Platnumz and Majizzo ignored her.

“They may not have wished her a happy birthday on Instagram but there are other important things going on off social media. Maybe they didn’t want to wish her but I don’t think she really has a problem with it,” Hamisa’s mum told Millard Ayo TV.

 

Hamisa Akataa Kumuongelea Lynn kwa Lolote.

Mwanadada Hamisa Mobeto alipokuwa katika  birthdau party yake alifuatwa na waandishi wa hhabari na kuulizwa maswli mawili matatu kuhusu siku yake hiyo, lakini moja ya maswalia liyoulizwa ilikuwa ni kuhusu kuhusikia wimbo mpya ya lyn ambao umetoka hivi karibuni.

Mwanadada huyi bia  kusita alikataa kujibu kuhusu swali hilo huku kioa anachoulizwa anjibu NO COMMENTS, kitu ambacho sio cha kawaida.

Wawili hao wanaonekana kuwa katika bifu la chnichini ingawa Lyn aliwahi kutamka kuwa hajawahi kuonana na  hamisa hata mara moja zaidi ya kumsikia katika mitandao  ya kijamii.

Lyn na hamisa wanatajwa kuwa katika bifu hasa baada ya wadada hao wote kusemwa kuwa waliwahi kuwa na mahusiano na msanii Diamond platinumz ambapo kwa hamisa ni baba wa mtoto wake.

Hata hivyo lynn alisema kuwa katika kazi zake mpya za muziki zinazoanza anatamani kufanya kolabo na Hamisa.

Hamisa Mobeto pens lovely letter to herself to celebrate her birthday

Tanzanian socialite Hamisa Mobetto has turned a year older and as expected, did it in style.

The socialite turned singer took to Instagram to share a series of photos while celebrating her birthday and capped it with a beautiful message of how she has grown and matured.

Through a lot

In the letter, Hamisa, who is a mother of two and has been through a lot, confessed that she has changed and she’s now more confident and focused.

She then went on to break down how her year has been including her famous visit to the US last month which saw her also host her first show there.

Here’s the letter:

Dear Hamisa Mobetto

Have you noticed lately how much you have changed? You are now more confident and focused.

I remember the days I used to cry for hours till the tears dried, the throat hurt and the nose blocked. But gone are those days! 
It’s my birthday today, and I want to count my blessings. I have met a lot of people this past year and only gratitude is what I can show. 

First I Want to thank @mama_mobetto for always standing by me. You have proved to be my best friend and my confidant. You believing in me made me start @mobettostyles. Thank you @beatricendungu my PR ?? for always believing that I can achieve anything in business. My dear fans, I don’t even know where to start. You have made me stronger; you have shown me that Strangers can be family.

And to you @the_ironlady1976 I love you so much my director and my second mum. & My dada @mangekimambi_ Nakupenda ??
This year my baby turned one, what a joy it is to be called mum by my 2 amazing kids. You are gems. Thank you for all the products that believed in me.

Charmed Cosmetics

Mzurii magazine

Bahari castle

TCRA

PRIMA AFRO

An Nisa Tanzania Clothing line

GSM mall

Free Style Pads

Poa TV

Dimoda fashion Burundi

Zimbabwe big spenders’ night

Judge at Miss IFM

Winning Female stylish personality of the year at Swahili Fashion Week

My first time hosting such an honourable event, Miss Tanzania.

Hamisa you pulled it off. Congratulations.

Last but not least Madam Hero. I am still in awe because of how people support my music. It has made me realize that many people go through a lot of things, but have no platform to talk. I am so happy I was a pillar to all these people through Mobetto Foundation.

How can I forget COMING TO AMERICA, what an experience. This is where I say God is good. My first time in America and I travelled to almost all the states. I still find it hard to believe at times. Not forgetting that I was given the opportunity to walk the runway. Thank you Joe Malaika for believing in me.  And I got to meet (I’m screaming inside) @facet .

Thank you for not giving up Hamisa.

GRATEFUL 
HAPPY BIRTHDAY TO ME!
….. cheers ? to 2019? 

Baada ya Kutoa Wimbo Mpya, Mashabiki wa Hamisa Waofia Mahusiano ya Msanii Wao

Wikiendi hii mwanadada Hamisa Mobeto ametoa wimo mpya uanajuliakana kama tunaendana wimbo ambao amefanya shooting nchini marekani alipokuwa amekwenda kwa ajili ya kazi zake za kimuziki amojana kufanya tour sehemu mbalimbali.

Hata hivyo katika wimbo huo ambao anaeonekana kuwa ni video model ni mwanaume ambae hapo awali aliwahi kutrrend sana kama mwanaume mwa mwanadada huyo na kusema kuwa wamanza mapenzi hivi karibuni lakini baada ya kutoa kwa muziki huo kila mtu amekuwa na maoni tofauti.

Kama ili kawaida kwa wasanii wa tanznaia kufanya trending sana ya nyimbo mpya hasa pale wanapokuwa wakivunjisha picha za baadhi ya vipande vinavyopatikana katika wimbo unaokuwa unakuja, mashabii wanahofia kuwa inawezekana kuwa drama zote za msnaii huyo inaweza kuwa ni mahusiano feki na ni kwamba kwa sababu alikuwa akitoa wimbo huo ambao mwanaume huyo yupo.

Hata hovyo mwanadada huyo hajasema chochote tangu ametambuklisha wimbo huo huku akiwaacha mashabiki wake njia pande kwa sababu team hamisa waligombana na kuwatukana watu wengi sana kutokana na swala la mwanadada huyo kujiingiza katika mahusiano na mwanaume huyo.

Esma Amwita Mpenzi Mpya wa Hamisa Mario

Mwanadada Esma Platinumz ambae ni dada wa msanii Diamond platinumz amefunguka na kutoa yake ya moyoni baada ya mashabiki wa Hamisa kumsifia  sana mwanaume mpya wa Hamisa kuwa yuko tofauti sana na wanaume aliyowahi kuwa nao katika mahusiano akiwemo Diamond platinumz.

katika uwanja wa maoni, Esma alindika la moyoni baada ya kukwera na kile kilichokuwa kikisemwa na mahsbiki kuhusu kaka yake na kuandika “tofauti yao ni nini maana mbona huyo kwa kwenu anaonekanakuwa mario”

Hamisa kwa mara ya kwanza leo aliandika katika ukursa wake kuwa mwanaume huyo ambae amekuwa akihisiwa kuwa yuko nae katika mahusiano ni kweli kuwa ndio mpenzi wake kwa sasa.

Hamisa Amtangaza Mpenzi Wake Rasmi

Pamoja na kwamba kumekuwa na picha na video mbalimbali katika mitandao ya kijamii zilizokuwa zikimuoyesha mwanadada Hamisa Mobeto akiwa na mwanaume wake, sasa ameamua kubwaga manyanga chini na kuamua kumutambulisha wazi kabisa kuwa yule ndio mpenzi wake.

Hamisa Mobeto ambae alikuwa katika mahusiano na diamond kwa muda mrefu ameamua kuweka katika mitadano ya kijamii kupitia ukurasa wake wa instagram na kuandika caption iliyoashiria kuwa kwa sasa ameamua kujiweka hapo.

Kwa sasa hii mwanadada huyo bado yuko nchini Marekani ambap alikwenda kwenye tour na msanii Christian Bella.

 

Hamisa Alinga na Penzi Jipya.

Mwanadada Hamisa mobeto ambae hivi karibuni alitangza kwa picha kuwa kwa sasa amepata mwanaume mwingine, ameanza kulinga na kulingishia katika mitandao ya kijamii kuhusu mahusiano yake hayo mapya bila kujali watu watasema nini.

Wiki iliyopita katika ukurasa wake wa snapchat aliweka picha ya mwanaume mwenye asili ya kiarabu na kuweka emoji za mapezi na picha hiyo kusambaa sana katika mitandao ya kijamii.

Leo tena mwanadada huyo ameweka picha nyingine akiwa amebebwa na mwanaume kifuani kwake huku akindika kuwa kwa sasa hivi anadekezwa na wala sio kugombezwa.

Hamisa aliwahi kuwa katika mapenzi ya siri  ya msnii diamond platinumz, mapenzi amayo hata baada ya kujulikana yalimletea matatizo na kumfanya kupata misuko suko huku tayari akiwa na mtoto wa msanii huyo.

Hamisa aliwah kukiri hivi karibuni kuwa kuachana na Diamond kummfanya kuwa huru na kupata mafanikio Pia.

Picha ya Mwanaume Kwenye Snapchat ya Hamisa Yazua Utata.

Mwanadada Hamisa Mobeto amezua utata katika ukurasa wake wa snapchat baada ya kuweka picha ya kijana mwenye asili ya kiarabu katika ukurasa huo huku akiweka emoji za makopa kuashiria kuwa mapenzi tele.

Mwanadada huyo ambae kwa sasa amekuwa kimya na hakutaka kuonyesha kuwa na mahusiano na mwanaume yoyote amezua gumzo kwa ,mashabiki wake na kumtaka awaeleze ukweli kama huyo ndo mrithi wa diamond kwa sasa.

Mwanadada huyo ambae alisema kuwa ameazna kuwa na mafanikio makubwa kwa sababu ya kuachana na diamond na kwamba diamond alikuwa akimpa gundu la kutokuwa na mafanikio.

Hata hivyo gumzo ilo limekuwa ni la amshabiki tu na wala sio yeye mwenyewe kwa sababu kwa upande wake hajataka kuongea kitu kuhusu picha hiyo.

Diamond Alikuwa Ananipa Gundu;-Hamisa

WANAMITINDO anayebamba Bongo, Hamisa Mobeto amekiri kuwa mzazi mwenzake ambaye ni mkali wa Bongo Fleva, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ alimpa gundu.  Hamisa alitoa kauli hiyo hivi karibuni kwa hoja kwamba katika kipindi chote cha uhusiano wao hakuwahi kupata madili mengi na ya maana kama ambayo anayapata sasa baada ya kutemana naye.

Akizungumza na Ijumaa Wikienda, Hamisa alisema tangu ameachana na Diamond ambaye alibahatika kupata naye mtoto mmoja wa kiume, amekuwa akipata madili mengi ya ndani na nje ya nchi ambayo hakuwahi kupata kipindi alipokuwa na jamaa huyo hali anayoitafsiri kama gundu.

“Unajua sasa hivi ninapata madili mengi hadi mimi mwenyewe nashangaa baraka zote hizi zilikuwa wapi tangu mwanzo mbona nilikuwa sipati, yaani utadhani nilikuwa na mtu ambaye alikuwa ananipa gundu, lakini sasa baada ya kumkwepa ndiyo gundu limenitoka,” alicheka na kukata simu.

Hamisa amekuwa akipitia changamoto mbalimbali kutoka kwa familia ya Diamond hadi kufikia hatua ya kupigwa na mamamkwe, kisa tu asionekane na jamaa huyo. Lakini baada ya kuachana na Diamond, mwenyewe anadai amekuwa akipata madili mengi ndani na nje ya nchi na watu wengi wanampenda na kumshauri asirudiane na jamaa huyo maana ameshadhalilishwa vya kutosha.

Irene:-Nilimjua Hamisa kwa Kuonyeshwa Kwenye Picha


Mwanadada Irene aefunguka tena kwa mara nyingine kuwa hajawahi kuwa na ukaribu wowote na mwanadada Hamisa Mobeto ambae inasemekana kuwa ni mke mwenzie kutokana na dada huyokuwa na mahusiano na Diamond ambae pia aliwahi kuwa na mahusiano na  Hamisa na kuzaa nae mtoto mmoja.

Wawili hao wanaonekana kuwa na bifu kutokana na teams zao kuwa wakiwakosoa kila mmoja kwa muda wake na kuwasemea vibaya lakini Irene mwenyewe anasema kuwa hajawahi kukutana na hamisa na wala hamjui kabisa.

Sina ugomvi na hamisa kabisa kwanza hatujawahi hata kuongea wala hatujawahi kukitana sasa unakuwaje na ifu na mt ambae hata hamjawahi kukaa na kuongea  au kuonana hata mara moja.ninaweza kuonana na hamisa na tukaongea na kuwa washkaji lakini kwa sababu sijawahi kuongea nae siwezi kusema kitu.

Hata hivyo mwandishi alipomuuliza Irene kama anamjua hamisa na e alijibu kuwa hamjui kabisa na ameazna kumjua baada ya kuwa akienda katika interviews amekuwa akiulizwa kuhusu Hamisa.

ofcourse simjui kabisa kwakweli zaidi ya kuwa naulizwa kuhusu yeye,  na vile kuwa naonyeshwa tu picha kuwa Hamisa ndo huyo lakini nimemjua siku za hivi karibuni tu wala sio zamani.

Hii haitakuwa mara ya kwanza kwa mwanadada huyo kusema kuwa hamjui Hamisa kabisa.

 

Mimi Niko tu Hivyo Kiuno Kimebinuka ;-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto amefunguka na kuzungumzia swala la mitandao ya kijamii kuwa wanamzungumzia kuwa amekuwa na tabia ya kupiga picha na kubinua kiuno.

Katika maoni ya mashabiki wengine wamekuwa wakimwambia kuwa amekuwa hakijibinua sana ili aoekane kuwa ana makalio wakati hana makalia kama walivyo wasanii wengine wa kike.

hata hivyo Hamisa amewajibu kuwa hilo sio kosa lake kwa sababu yeye ndio ameumbwa hivyo na Mwenyezi Mungu.

sio kama ninajibinua lakini nadhani pia kwa sababu ma-model wa bongo wanaokiki huwezi kuacha kuzungumzia hamisa ,  sometimes unakuta hata photographer anakwambia do this or do that,  lakini pia u akuta kuwa mimi ndo nilivyoumbwa na mwenyezi mungu niko tu hivyo, na siku zote wanasema kama haujaumbwa huwezi kuumbua.

Wakati Nampenda Diamond Hakuwa na Pesa Wala Huo Mwili :-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto ambae kwa sasa yuko nchi kenya kwa ajili ya show kubwa ya Chipukeezy inayofanyika nchini Kenya alipata nafasi ya kufanya interview katika television iliyompokea huku wakimuuliza sababu kubwa iliyomvutia kwa Diamond mpaka kuamua kutoka nae kimapenzi.

Hata hivyo mwanahabari huyo alimtajia baadhi ya vitu kama pesa, mwili au umaarufu ndio uliomkimbiza kwa diamond mpaka kuamua kuzaa nae.

siwezi kusema kiukweli ni kit gani kilinivutia kwake kwa sababu wakati nina kutana nae hakuwa na hivyo vyote unavyovitaja hata kimoja,yaan hakuwa na pesa, hakuna na mwili wala hakuna na umaarufu alionao sasa hivi.

Hata hivyo Hamisa pia anasema kuwa hata alipoamua kumuacha Diamond ni kwa sababu aliona kuwa ulikuwa ni muda sahihi wa yeye kumuacha na pia anaamini kuwa wapo wanaume wengine wengi wazuri kwa ajili yake.

Ikumbukwe kuwa pamoja na kuachana kwao lakini wawili hawa wanaonekana kuwa na agenda nyingi za siri za chinichini zinazoendelea kati yao pamoja na kwamba masgabiki wanakuwa hawajui.

 

Sitaki Kuolewa na Kijana , Nataka Mwanaume wa Kizungu Mzee ;-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto ameongea na kutoa dukuduku lake la moyoni kuhusu ndoa huku akisema kuwa hataki tena kuwa na mahusiano ya kimapenzi na kijana kwa sababu vijana wamekuwa wakisumbua sana kuliko wazee.

Hamisa anasema kuwa amekuwa akiwaza kuolewa na mwanaume kuanzia miaka 45 kwa sababu amekuwa akiwafikiria sana watoto wake kwa sasa na jinsi ya kuwalea.

mimi hapa nataka mtu mzima au mzungu, awe tayari alishakuwa kwenye ndoa alafu akaachika au mgane,kwaio ndio hivyo lakini nikisema kijana kwakweli hapana hapo.Awe na kuanzia miaka 45 hivi kwa sababu ukisema kijana mi mwenyewe nina watoto tayari na yeye anakuwa anataka kuendelea kukua, sasa atawezaje kulea wa kwangu.

Hata hivyo Hamisa alikiri kuwa hata ile sauti iliyokuwa ikisambaa katika mitandao ya kijamii ilikuwa ni ya kwake kweli lakini hakuwa anaongea na mganga.

 

 

Mama Diamond Ampiga Hamisa Vijembe kwa Mafanikio Yake.

Mama wa msanii Diamond Platinumz ameonyesha kupinga vikali kila maendelea anayoyapiga  moja ya wanawake waliozaa na mtoto wake Hamisa Mobeto kutokana na vijembe  anavyoamua kumrushia katika mitandao ya kijamii .

Wikiend hii ilisambaa picha ya Hamisa Mobeto akiwa amesimama na mchina mmoja huku wakionekana kupenana mikono kama ishara ya tukio muhimu lililokamilika la kusaini mikataba fulani lakini kitu cha ajabu mama wa msanii Diamond ametupia dongo ilo huku akisema kuwa kuna watu wameeenda kupiga picha na wachina Kariakoo.

Katika post hiyo ambayo inamuonyesha mwanamke  akiimba wimbo wa Diamond huku ikisemekana kuwa huyo ndio mwanamke aliyenae sasa hiv Diamond kutoka Nigeria, Mama Diamond alifanya ku-repsost kutoka kwa diamond huku yeye akiandika maneno yenye hashtag ya #watuwameendakariakookupigapichanawachinatuonedeal

 

Siwezi Kugombana na Mwanamke Mwenzangu Kisa Mwanaume.

Ingawa mara nyingi wamekuwa wakirushiana sana maneno katika  mitandao ya kijamii hasa kuhusu ugomvi wako wakiwa wanagombania penzi la msanii diamond platinumz lakini moja ya wanawake hao mmoja amefunguka na kusema kuwa hana shida ya  mwanaume hivyo hawezi kugombana na wanawake wenzie  kisa mwanaume.

Wanawake kugombania mwanaume na mara nyingi huwa ni kawaida kwenye maisha tunayoisho lakini hili limekuwa tofauti kwa upande wa Hit Maker wa ngoma ya ‘MadamHero’ Hamisa Mobetto baada ya kuweka wazi kuwa hawezi kugombana na mwanamke mwenzie kisa mwanaume kwa madai wanaume wako wengi.

Hamisa amesema hayo akiwa kwenye interview alipokwenda kutambulisha nyimbo yake na alipoulizwa kama ana tatizo na Wema na Zari kisa Diamond mwanamitindo huyo akajibu “Siwezi kugombana na mwanamke mwenzangu kisa mwanaume na sina ugomvi na Wema wala zari” kwa upande mwingine Hamisa amekubali kuwa ile voice note iliyovuja ilikuwa ni yake na alikuwa akiongea na Sheikh kuhusu dua na sio mambo mengine ya kishirikina.

Nyota Ya Hamisa Mobeto Yazidi Kung’ara.

Pamoja na kwamba amekuwa akishambuliwa katika mitandao ya kijamii huku wengune wakumtuhumu vibaya hasa wale watu  ambao ni mashabiki wa upande wake wa pili ,mwanadada Hamisa Mobeto amezidi kuonekana akiwa na nyota yenye kungaa baada ya kupata deal lingine alilosaini hivi karibuni.

Akionekana katika picha  na moja ya mabosi wa kampuni fulani, mwanadada hamisa mobeto ameonekana mwenye furaha na mwenye kuonyesha sura ya mafanikio sana hasa baada ya kuweka picha hiyo akiwa tayari ameshasaini mkataba huo.

Hamisa ambae hivi karibuni alitoka kusaini mkataba mwingine  wa kampuni ya Prima Afro anaendelea kuonyesha mafanikio yake hasa baada ya hivi karibuni kutoa wimbo wake na kuonyesha kupokelewa vizuri.

Hamisa Atoa Sababu Kubwa ya Kumblock Diamond

Mwanadada Hamisa Mobeto wikiend hii amefunguka na kutoa sababu yake kubwa inayomfanya kuwa anam-block Damond katika kurasa zake za intagram lakini hata ile ya mtoto wake kama ilivyosemakana hapo awali tangu kwa shangazi wa mtoto huyo ambae alipowahi kuulizwa aliongelea swala hilo.

Hamisa ameongea hayo alipokuwa akifanya mahojiano na Times Fm ambapo alisema kuwa amekuwa akifanya hivyo kwa sababu kuna maswala ambao mtoto wake hayamuhusu kabisa katika gomvi zao lakini mtoto huyo amekuwa akingizwa humo.

Kwenye page ya mtoto sio kumfuata tu lakini hata kum-block  pia kwa sababu amekuwa kama hajielewi vile,hata kama we have issues hakuna haja ya kumuingiza mtoto au hata mama yake, unajua kwetu wanasema mstiri mtu aliyekuzaliwa mtoto au kumheshimu yule ambae ni mke wako kwa sababu aibu yako ndio aibu yake.

Hamisa na Diamond wamefanikiwa kupata mtoto mmoja wa kiume na kumfanya Diamond kutimiza idadi ya watoto watatu,

kijembe cha Steve Kilimlenga Hamisa Mobeto.

Kama siku mbili nyuma kuna habari ya Steve Nyerere kuongelea mambo ya uchawi na ushirikina ilisambaa sana katika mitandao ya kijamii huku steve akisema kuwa mchawi mkubwa pekee ni mungu tu na wala sio binadamu kama watu walivyozoea.

Lakini katika kukaa saa na kuchunguza steve nyerere pia alisema kuwa ” wanawake wengi sana  wanaamini kuwa hawawezi kufanikiwa mpka wapate wanaume wenye pesa na wengine udirki hata kwenda kwa waganga wa kienyeji ili kupata wanaume hao wanaowahitaji

Kwa trending ya habari  ya wiki iliyopita habari kubwa iliyokuwepo katika mitandao ilikuwa ni swala la ushirikina ambalo alihusishwa hamisa mobeto na familia ya Diamond Platinumz huku ikisemekana kuwa hamisa amekuwa akimloga diamond ili aendelee kumpenda na kumpa pesa.

Swali linakuja je, kauli ya Steve nyerere haikuwa ni kijembe  kilicholenga kusistiza habar za uchawi za hamisa mobeto, na kwanini yamesemwa hayo baada ya kuvuma kwa skendo ya uchawi kwa hamisa Mobeto.

Yawezekana huo ni msumari wa moto steve nyerere aliamua kuupigilia kwa hamisa lakini bila kuwka wazi kuwa alikuwa akimlenga yeye.

Tangu Nikiwa Mtoto Nilikuwa Naongelewa, Mama Aliniambi kwa sababu Nina Kitu Special:-Hamisa

Mwanadada Hamisa Mobeto jana laipokuwa katika kampeni ya SMART na wasanii mbalimbali alipata bahati ya kuulizwa swali na waandishi wa habari  kuhusu yeye kuwa akiongelewa katika mitandao ya kijamii na ndipo aliposema kuwa kwake ni swala la kawaida kwa sababu amekuwa akiongelea tangu akiwa mtoto.

Hamisa anasema kuwa hata akitoka shule alikuwa kunyooshewa sana yeye vidole kuliko watoto wengine wote na alipokuwa akimuuliza mam ayake alikuwa akimjibu ni kutokana na utofauti wake aliopewa na Mungu ndio uliomfanya awe hivyo.

Hamisa anasema kuwa hakuwa anajibizana na watu tangu akiwa mtoto na hata sasa ni kutokana na malezi yale aliyoyapata kutoka kwa mama yake na maneno mazuri ndio yanayoendelea kumpa moyo wa kufanikiwa zaidi nakujikuta akifanikiwa kila siku.

nadhani kila mtu ana moyo na kwa upand wangu pia ni hivyo hivyo kila kukicha likija jipya unakuwa tu unasema na leo hili tena .hii ni kwa sababu nimekuwa na moyo mgumu kwa sababu tangu niko nasoma kablwa isjakuwa maarufu nilikuwa nasemwa pia.

na nilikuwa namuuliza mamangu kwa nini nikipita kutoka shule ninaongelewa tu yaani,lakini mamangu aliniambia ni kwa sababu nina kitu special na ndio maana ninaongelewa kuliko watoto wengine.lakini pia ni kutokana na moyo wa mtu na vile mtu ulivyolelewa.

Siku za hapo nyuma kidogo mama wa mwanadada Hamisa aliwahi kunakiriwa akisema kuwa hata Dunia imfanye nini lakini hatokaa aache kumsapoti mtoto wake Hamisa kwa sababu ndio mtoto wake wa pekee.

Pamoja na yote anayopitia na kutukanwa kwa hamisa baba yake ameonekana kuwa mstari wa  mbele kumsapoti na kumkingia kifua na hata kusimama mbele za watu na kusema anajivunia mtoto wake.

Gigy Money Atoboa Siri ya Aliyeimba I like It Kwenye Jibebe Ya Diamond ni Hamisa.

Kwa muda sasa tangu wimbo wa jibebe umeanza kusikika katika masikio ya watu na mpaka video yake kutoka katika television mbalimbali watu wamekuwa wakijiuliza ni nani aliyeimba wimbo huo na kwamba kwanini hata kwenye vide hajaonekana.

Basi siri imevuja baada ya mwanadada Gigy Money kuamua kutoa siri hiyo kuwa aliyeimba kasauti hako katamu ambako watu wengi wamekuwa wakiipenda na kumuulizia muimbaji kuwa ni Hamisa Mobeto mzazi mwenzie na Diamond.

hamisa na gigy money ni marafiki hivyo kwa asilimia fulani maneno ya Gigy Money yatakuwa na ukweli ndani yake . Gigy Money anasema ” Najua Hamisa anafanya muziki sio kwa biashara ila for funny , ila ile i like it ya jibebe  ameweka yeye , ana sauti nzuri ila siwezi sema kuwa atafika mbali kweye muziki.

Why Hamisa Mobetto blocked socialite Suzan Michael on social media

Tanzanian socialite Hamisa Mobetto has blocked socialite Suzan Michael popularly known as Pretty Kind for having too much negativity around her.

Pretty Kind was once in the headlines after claiming that she’s waiting for Diamond’s relationship with his fashion stylist to fail so that she can pounce and take the popular musician.

Keep off

Mobetto confessed that she blocked her on social media but not because of that but rather because she abused her and always talked ill of her online.

Kwanza kabisa nilikuwa sijui na hata nilimsahau huyo mwenyewe halafu sikumblock kwa sababu ya Diamond sababu kuna wanawake kama milioni tano wote wanamtamani huyo huyo mtu mmoja sasa kama ndiyo hivyo nitablock wanawake wangapi jamani?

Suzan Michael

Hamisa then went on to add that there are millions of women who dream of dating Diamond Platnumz and she can’t block all of them.

“Yeye kuna maneno machafu na mabaya aliyaongea kuhusu mimi alinichafua sana halafu mimi ni brand simui nikaona huyu naye katokea wapi? Nikamblock maisha yangu yaendelee kwa sababu kwa nini mtu ambaye ananipa kero?” said Hamisa Mobetto while speaking to Global publishers.

Idris Aongea na Hamisa, Amsapoti Kama Maskini Mwenzake.

Mchekeshaji maarufu nchini idris sultani ameamua kuvunja ukimya baada ya kuamua kumpa maneno ya faraja mwanadada Hamisa Mobeto kutokana na biashara zake na mambo ya upinzani yanayoendelea katika mitandao ya kijamii.

Kupitia ukurasa wake wa instagram, idris sultan aliandika maneno hayo ikiwa ni njia ya kumtia moyo  mwanadada huyo kutokana na safari yake ya muziki na ujasiriamali aliyoiazisha.

naomba niwe wa kwanza kabisa kukusapoti ili baadae unapoanza kuchukua matuoz usitusahau masikini wenzako.mwanzo sio mwepesi lakini kamamsiamamizi wa mpesa vodacom ninaweza kusema yajayo yanafurahisha.nitashangaa kuona watu wanakukejeli kwenye hii hatua yako , sijui wanataka utembee barabarani unauza naniliii.

katika hatua zako za mafanikio, jua sana kuchuja maneno, kama kweli umekubali kuanza muziki basi kazz na utatoboa tu kwani hao wengine ni wakina nani,wengine tulianza na wala hatukubaliki tutoe msaada wa nguo zetu tubaki watupu ila unakazaa tu baada ya muda unaanza kuokota fans  mmoja mmoja wawili mwishowe unajikuta una mamilion.

hamisa mobeto amekuwa moja ya wasichana wanaoandamwa sana katika mitandao ya kijamii kutokana na kila hatua anayoipiga na hayo yote yalianza baada ya kuzaa na Diamond platnumz.

Hamisa Mobeto na Zamaradi Hapatoshi.

Mwanadada Hamisa Mobeto na mwanamama Zamaradi Mketema wameingia katika bifu zito na kujibishana  maneno katika mitandao ya kijamii baada ya Zamaradi kumshushia maneno mazito hamisa Mobeto kwa kumsambazia habari za uongo kuhusu makubaliana yao ya kushonewa nguo kwa ajili ya 40 ya mtoto wa Zamaradi.

Katika kurasa za udaku , hapo awali kuna ukurasa uliandika mambo mengi kuhusu zamaradi ikiwa ni pamoja na kwamba nguo alivaa siku ya sherehe hiyo ilitakiwa kushonwa kwa hamisa lakini cha ajabu baada ya hamisa kumpa mshono zamaradi, basi zamaradi akakimbia kwa fundi mwingine , lakini pia kuwa sherehe hiyo ilichangishwa pesa kutokwa kwa wadau na mshabiki zake .

Baada ya maneno hayo ndipo Zamaradi naeo alipoamka na kutaka kuonyesha ushahidi wa yote yaliyokuwa yakiongelewa na kusema kuwa pesa hakuwahi kumchangisha mtu yoyote zaidi ya pesa ya zawadi ambayo wanakikundi waliamua kumpa siku hiyo na wala hakuwa anajua hilo.”tukija kwenye nguo naambiwa kuwa nilipewa mshono na mwingine na nikaenda kushona kwa mwigine, funny nimeattach hapo juu na picha muone kuwa mimi ndio nilietuma mshono wake na wala sio yeye.kutokana na kupishana na muda nikaona bora nikashone kwingine , kwanza ni uamuzi wangu kuamua kushona popote pale.”

Hata baada ya zamaradi kuongea hivyo, Hamisa nae aliamua kuja na kuongea  nakuweka picha za chat  zinazoonyesha mazungumzo yake na zamaradi na kwa jinsi gani mwanamama huyo alimtafuta na kuomba ushauri wa nini cha kushona siku hiyo.

 

 

I just wish Diamond told me he was cheating- Zari 

Diamond Platnumz’ ex-wife Zari Hassan has come out curse him for playing him like a fool. The socialite, who has two kids from Diamond, shared that Diamond should have at least hinted that he was having someone else instead of pretending he wasn’t touching another woman.

“I had rumours about this thing but I just ignored it untill the baby was born and he was still denying. He was going on radio stations saying the father of this child should come out and he knew this was his child. I was like this girl is bringing out receipts, not only that but in my bed, our home, how are you gonna explain this?” said the socialite in an interview with  South Africa’s Phat Joe.

Betrayal

She went on to confess that she wanted the relationship to work despite the distance between them. She lamented that Diamond should have mentioned it to her when he cheated instead of acting all clueless.

“He should have told me, you are South Africa, I’m in Tanzania, shit happens and I just happen to get my horniness off somewhere. He should have told me,”she said.

“After the betrayal, the connection was cut. The worst part was when I decide not to be with him anymore and I’d see all these stories about him trying to revenge. I understood where he was coming from.”

 

Hamisa Mobeto thanks her mum for helping her raise her babies

Socialite Hamisa Mobeto was recently on social media to thank her mother for the effort she put in to make sure that Hamisa’s two kids have been raised right.

The socialite, who several months ago was being insulted for having being materialistic and having babies with rich men, posted a sweet message on Instagram for her mum who has always supported her.

She wrote:

My babies ❤️@babyfansy Alivyokua Na Mwaka Mmoja(1)
Baby Dee @deedaylan Anavyokaribia Mwaka Mmoja ❤️
….. Alhamdullilah ??
……… Sifa Nyingi zimuendee Bibi Ya watoto Wangu @mama_mobetto Ahsante Kwa Kunisaidia Kulea Wanangu na Kwa Kuniongoza Kuwalea Hawa watoto honestly speaking you make it so easy for me Mama Mungu Aendelee Kukuweka mama Yangu?.”

Ballers

Hamisa is a mother of two children – Fantasy Majizzo and Deedaylan Abdul Naseeb. The kids were fathered by two rich men – Diamond Platnumz and Majizzo, who are both media owners. Majizzo is the founder and CEO of 93.7 E FM and E TV. Diamond Platnumz is the founder and owner Wasafi TV and Wasafi radio.

 

This TBT photo dug out by fans prove that Hamisa Mobeto really bleached despite argument 

Bleaching in Africa is at an all time high as women move to change their skin tone to look “prettier”. Many celebrities have bleached their skin but have been constantly denying.

Hamisa Mobeto is one of those who has been shooting down allegations that she lightened her skin despite photos of her filling up the internet when she was dark skinned.

Transition

 

However, a recent TBT photo showing Hamisa in the company of Tanzania’s top presenter B Dozen in what seemed like a club left tongues wagging and probably sealed the argument once and for all.

It seems Hamisa Mobetto has been transitioning from her dark skin days and slowly to a light skin.

 

Video: Diamond’s mother finally accepts Hamisa Mobetto’s son

Tanzanian singer Diamond Platnumz has been having a hard time after his mother Bi. Sandrah Dangote, has been sending hints that she’s not ready to accept the singer’s son with Hamisa Mobetto as her grandchild.

It seems that has changed now. On Monday, Mama Dangote was treated to surprise birthday party that had been organized by her family members at WCB Headquarters.

Diamond and Dylan

In a video posted by Wasafi TV, rumours that she doesn’t love Hamisa’s son were put to rest after she accepted gifts sent to her by Hamisa and her son Dylan. She also acknowledged Dylan as a grandson cancling doubts that she has rejected him.

This comes after Diamond posted on Instagram a birthday message which also asked her to love all his kids equally no matter their mother.

Watch the video below:

Hamisa Mobeto Ajiingiza Katika Muziki, ni kwa Ajili ya Kinamama

Mwanamitindo maarufu nchini Hamisa Mobetto kwa mara ya kwanza ameachia Clip Fupi inayosikika ngoma yake ya Madam Hero kupitia ukurasa wake wa instagram ambayo ni Track Mojawapo Aliyoimba Kwa Ajili ya Foundation yake ya The Mobeto Foundation

Hamisa  amesema lengo kubwa la kuachia ngoma hiyo ni iwafikie wanawake wote as An inspirational Song kama nguvu ya kupambana na kutokukata tamaa .
.
Vilevile hamisa amesema pesa ya mauzo atakayoyapata kupitia wimbo huo wa Madam hero itaenda kwa Wakina Mama wote wanaowalea watoto wao kwenye mazingira magumu na kwa wanojifungua katika hali ngumu

Ninge beba Mimba Tena Lazima Ingetoka:-Hamisa

MWANAMITINDO maarufu na mzazi mwenziye mwanamuziki Nasibu Abdul ‘Diamond’, Hamisa Mobeto amefunguka kuwa hana ujauzito kama watu wanavyoeneza uvumi huo kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.

Akizungumza na Amani, wakati akitoa msaada kwenye kituo cha watoto yatima cha CHAKUWAMA, kilichopo Sinza-Mori jijini Dar, Mobeto alisema haiwezekani akawa mjamzito kwa kipindi hiki sababu kwanza mtoto wake bado ni mdogo na maneno mengi ya kejeli yanatolewa dhidi yake mtandaoni.

“Watu naona wanachukulia kubeba mimba ni kitu rahisi sana lakini wangetambua mimi nina mtoto mdogo sana lakini kitu kingine waangalie kuwa hata kama ningeshika ujauzito lazima ungetoka maana kila kukicha ni kusimangwa ila muda wangu sahihi ukifika wa kuzaa mtoto mwingine nitafanya hivyo tu,” alisema Mobeto.

Nyumba ya Hamisa Yaleta Utata, Yasemekana ni ya Kupanga.

Inasemekana kuwa hiyo inaweza kuwa ni tabia ya msanii Diamond Platinumz kuwa na show-off kila anapofanya kitu na kuwaamisha watu kuwa kila anachokifanya  ni mali yake kumbe sio kweli, hii inaendelea kuonekana baada ya ku-trend sana katika mitandao ya kijamii kuhusu nyumba ambayo inasemekana kuwa ni nyumba ambayo Hamisa amenunuliwa na Diamond lakini habari za chini chini zinasema kuwa nyumba hiyo sio ya kununua ni ya kupanga.

katika moja ya kurasa za  instagram inayojulikana kama dalali kiongozi imeonyeshwa nyumba hiyo ilipokuwa katika matangaza ya kupangishwa hapo kipindi cha nyuma na hata kutajwa kiasi cha kupangishwa kwa nyumba hiyo.

Amber Lulu Amuonea Huruma Hamisa.

Mwana dada Amber Lulu amefunguka na kusema amekuwa akimuonea huruma sana  Hamisa Mobeto kutokana na jinsi ambavyo amekuwa akiandamwa na watu hasa familia ya ndugu wa Diamond mwanaume ambae amezaa nae mtoto mmoja wa kiume na kuonekana kuwa hapendwi na familia hiyo.

Anachokisema Amber Lulu ni kwamba anaamini kuwa Mungu yupo na Hamisa na ipo siku atamuona na kumpigania sana na kumtoa katika kifungo icho cha mateso anachopitia kwa muda wote sasa.

Mimi ninamuamini sana mobeto na nina jua ni mwanamke anaejiamini sana,kwaio hilo linalomtokea sasa ni changamoto tu za maisha , niseme tu yeye aendelee tu na biashara zake  na kazi zake kwa nguvu zake zote na kulea familia yake,achukulie hiyo kama chngamoto tu na kufanya kazi zake kwa bidii na kama mwanaume anampenda basi atarudi tu.

 

 

Hamisa Kulikwaa Penzi la The Game.

Habari izlizosambaa katika mitandao ya kijamii zinadai kuwa hivi karibuni moja ya wasanii wakubwa Duniani The Game amemtumia  mrembo Hamisa Mobeto meseji huko DM akimchombeza na kumsifia kwa urembo alionao huku akimkubali sana.

Hata hivyo siri hiyo imevuja baada ya mtu wa karibu wa hamisa kusema kuwa hamisa aliona meseji katika DM yake na kuona kama ni uongo au watu wa kawaida wa kimtandao lakini alipofatilia aligundua kuwa ni akaunt ya kweli kanisa ya msanii huyo.

Hata hivyo Hamisa alipata uoga sana kujibu sms hizo huku akionekana kutokuamini kwa kile anachokiona katika instagra, yake upande wa DM na kupatwa na kigugumizi  wa nini cha kujibu.

Hii ni habari njema kwa mashabiki wa mobeto, inawezekana msani huyo akataka kufanya kazi na Hamisa.

Zari Atoa Ruhusa ya Hamisa Kuzaa Hata Watoto Kumi.

Mwanamama Zari the Bossy amemwaga povu lake huko katika ukurasa wake wa instagram baaada ya moja ya mashabiki zake kumwambia kuwa pamoja na kwamba yeye anataka kurudiana na Diamond lakii akae akijua kuwa mwanamke mwenzie ambae ni Hamisa kwa sasa ana mimba nyingine.

Kwa kuonyesha kuwa hata yeye hajali kwa hilo, Zari aliandika na kumnibu shabiki huyo kuwa huyo hamisa hata kama anataka kuzaa watoto kumi azae.

Zari kuwa makini maana kuna tetesi huko mtaani kwetu kuwa Hamisa ameshanasa mimba nyingine, Lisemwali lipo kama halipo laja.

Lakini kitu cha  kushangaza zari alijibu tu kwa kifupi na kusema ‘azae tu hata watoto kumi’ 

Wikiendi iliyopita Diamond alioneka akiwa Afrika ya Kusini akiwa na watoto wake aliozaa na zari ,  hii ilithibitisha tetesi kuwa inawezekana wawili hao kwa sasa ni wapenzi.

 

 

Wasafi singer Harmonize shocks many after hiring ex-girlfriend Jacqueline Wolper

Singer Harmonize has left many in questions and confused after hiring his ex-lover Jacqueline Wolper to help him organize an upcoming gig.

Harmonize, who ex-changed words with his Wolper severally on social media as fans watched, has employed her in his upcoming show ‘Kusi Night’ at Dar Live.

The singer told Lil Ommy TV that they moved on from the drama and now have decided to make money.

Wolper has a lot of influence in society and she is also very good looking which will attract a lot of revellers you never know.” he said.

Adding:

“We have had skirmishes on social media and so we decided to put things behind us and make money instead of creating hate that doesn’t help. So we cleared the beef to show people we are okay and moving forward. I created a show and offered her the position of the main host, at the end of the day we have to show people that look up to us the right way.”

Mange Kimambi Aivaa Familia ya Diamond, Awaomba Wampumzishe Hamisa Mwezi Mtukufu.

Baada ya mama yake mzazi na Hamisa Mobeto kufunguka na kulalamika huku kiwaomba familia ya Diamond kuacha kumuandana mtoto wake, mange nae aangukiwa upande wa familia ya Hamisa kumpa moyo na kuwaonya familia ya upande wa pili  kuacha kumdharau Hamisa.

Mangekimambi_ – Unapoona familia ya kiislam hata mwezi wa Ramadhan hawana uwoga nao. Yani hata mwezi wa Ramadhan bado wanaendelea na visa, matusi, kejeli, chuki, husda, fitna, roho mbaya, dharau basi mtu inabidi uelewe unadili na watu wa aina gani.
Seriously mwezi wa Ramadhan wale bado wanachamba na kumdhalilisha mwanamke mwenzao. Yani hawana hofu ya Mungu hata mwezi huu ambao hata sisi tulioshindikana tumekituliza..Yani nashindwa hata kuwasema the way natamani niwaseme
Kutwa kuwapambanisha watoto wa wenzao huyu anajua kupika, huyu hajui, huyu mchafu, huyu msafi wao wanajua kupika? Wao wasafi? Mbona wao hawanyanyaswi au kudhalilishwa na ndugu za waume zao? Ila Mungu ni mkali sana @mama_mobetto siku hizi zilizobaki za mwezi mtukufu kazana na dua, mlilie Allah siku hizi zilizobaki. Wakabidhi kwake!! Usiwaombeee mabaya ila wakabidhi tu. Hizi dharau zote kwa wanawake wenzao sababu tu Allah kamwonyesha Neema ndugu yao?? Allah asingempa mafanikio ndugu yao je wangekuwa na dharau hizi? Hawa wanamletea nuksi ndugu yao. .
Pia Mungu keshaanza kujibu, Esma yuko busy na mahusiano ya kakake alafu mume wake laki moja hana mpaka anaweka passport rehani. Hizo zote ni fimbo Mungu anawachapa. Imagine kutwa mtoto wa mwenzenu yuko mdomoni alafu waume zenu laki hawana huo muda si mngeutumia kwa waume zenu ili wasiathirike? Kama nilivyosema nifimbo ya Mungu. Wao si wamemdhalilisha Hamisa sasa wao wanadhalilika mara mbili ya Hamisa.
Ila wale jamani sijui waislamu wa wapi wale. Yani hawana woga na mwezi mtukufu. Wengine hata kuandika shenzi hatuwezi ila wale wakavuuuuuuuu tena kwenye macamera, yani hawajali. Ndio sisi wote ni watenda dhambi so we cant judge each other ila muislam ambae hata mwezi mtukufu anaendelea na matendo yake ya kila siku huyo sio mzima

Alichojibu Fey Kuhusu Maumivu ya Mama Mobeto.

Mwanadada mwenye vituko katika mitandao ya kijamii Fey anmbae pia ni msanii wa nyimbo za bongo fleva amejibukwa kumpa moyo mama wa mwanadada Hamisa Mobeto baada ya mtoto wake kutukanwa sana katika mitandao ya kijamii hasa kuhusu mahusino yake na Diamond ambayo  familia ya mwanaume huyo inasema kuwa analazimisha na wala hawamtaki.

Hamisa na familia ya Diamond wamekuwa wakimuanda sana mwanadada huyo na kumtaka kuachana na mwanafamilia yao huku wakisema kuwa wifi yao mkubwa ni zari na hawataki mwanamke mwingine katika familia yao.

Fey ameandika katika ukurasa wa mama mobeto baada ya mama huyo kuwka picha yenye maneno makali ya  kuwaomba familia ya diamond kumpumzisha mtoto wake  kwa sababu wamekuwa wakimuandama na kumtukana aachane na kijana wao.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.