Aslay Claims Rayvanny’s Arrival at Wasafi Records Contributed to Yamoto’s Disintegration

Aslay, former member of the defunct Yamoto Music Band, has revealed that the group’s disintegration can be attributed to the arrival of Rayvanny at Diamond Platnumz’s Wasafi Records.

Yamoto, a popular music ensemble consisting of Mbosso, Beka Flavour, Enock Bella, and Aslay himself, had been a dominant force in the Tanzanian and East African music scene in the mid-2010s, producing hit after hit. However, the group’s unity began to unravel, and Aslay believes that Rayvanny’s affiliation with Wasafi Records was the final blow.

In an interview with Millard Ayo, Aslay admitted that the band was already on shaky ground. Still, the situation took a dramatic turn when Rayvanny was unveiled as a Wasafi Records artist in 2016.

Rayvanny’s swift reception into the label included the gift of a Toyota Rav 4 for his transportation needs, a move that reportedly stirred envy among the Yamoto members.

Aslay explained that this incident sparked a desire for individual success and similar rewards among the Yamoto members, leading them to entertain the idea of pursuing solo careers.

He disclosed that he was the first to depart from the group, releasing his debut solo track “Kidawa.” Following his lead, other members of Yamoto also ventured into their solo projects.

Aslay suggested that this marked the beginning of the end for the once-thriving ensemble. He lamented, “To be honest, in the end, it seemed like the group was heading towards dissolution because everything was going downhill, not where we expected it to go.”

While Aslay’s claims may be controversial, they offer a glimpse into the dynamics of the Yamoto Music Band and the factors that ultimately contributed to its demise.

Aslay talks about buying his mother a house before she died

Tanzanian artist Aslay has revealed that he built a house for his parents when he was only 13 years old, before his mother’s death.

Aslay made the revelation in an interview with Ayo TV where he celebrated 10 years in the music industry. He said that he was able to build the house because his mother was in control of everything and she insisted that he invest in real estate.

Aslay said that his mother’s influence ensured that he made wise financial decisions and that he is grateful for her guidance. He also said that he has achieved great success because of his mother’s love and support.

Aslay’s story is an inspiration to young people everywhere. It shows that it is possible to achieve your dreams, no matter how humble your beginnings may be. It also shows the importance of having good guidance and support.

Mr. Blue has featured Aslay in his new jam titled ‘Nitabadilika’ and it’s a big tune (Audio)

Tanzanian musician Khery Sameer Rajab, popularly known as Mr Blue, has featured the equally talented Dogo Aslay in his latest release and  we love it.

The song dubbed Nitabadilika, which is a Swahili word that means ‘I’ll change’, is about a man who is promising his significant other that he will reform.

Aslay
Aslay

Mr Blue says that he willing drop habits such as coming to the house late and excessive drinking because he loves the lady.  He also promises her that he will listen to every word that she says.

This jam is so dope, apart from the cliche message in it, you must admit that the delivery by Mr Blue and Dogo Aslay was out of this world.

I don’t know if this jam is dope because of  their voices but the way it flows is so mice. I kept hitting the replay button and didn’t want the song to end. Now that is what defines beautiful music.

The beat on this jam is also awesome. You could say that it sounds pretty much the same like most of the Bongo jams out there but you have to agree that it really blends well with the vocals.

Listen to Nitabadilika below and tell us what you think.

Tanzanian singer Aslay is back with ‘Don’t Cry’ alongside Sat B and it’s a big tune (Video)

Tanzanian musician Aslay Isihaka Nassoro, better known as Dogo Aslay, has dropped a new song with Burundi’s Sat B and it’s totally worth your time.

The song titled Don’t Cry talks about the pain that someone goes through when they are in love with a person i.e. you can’t tell whether the other person has feelings for you or they don’t.

Sometimes, it feels like you are causing the person – who you have feelings for – pain instead of bringing joy into their lives, hence the title Don’t Cry.

I really love this song never mind the fact that I could not understand most of it since it was sang in Kirundi but then again, isn’t that the beauty of music? When a song is good even a language barrier can’t stop you from enjoying it.

Sat B
Sat B

Although this was my first time I listening to a song by Sat B, I was completely impressed. Actually, I went to look for other songs by him after listening to this jam. No lie.

I also love how the Ubutumire hitmaker infuses Kirundi and Swahili so that people who don’t understand the former can grasp the message that he is trying to put across.

Aslay’s delivery was also on point, as expected. From his Naenda Kusema days, this young lad has always impressed and by the look of things, there is no stopping for him.

Both the producer and videographer also nailed it. As I was listening to this song, one person kept crossing my mind and this wouldn’t have happened if the audio or video was whack. Props to them.

Watch Don’t Cry below and tell us what you think.

Aslay decides its time to ‘Bembea’ in new jam as he features Ali Kiba

Tanzania as always have a way to sway their vibe down our hearts . This time Rockstart Entertainments boss Ali Kiba has featured in  fellow artist Aslay’s  Song dubbed ‘Bembea”

The song  starts with an Indian-Arabic blend of sounds coupled with Kibas’s signature ‘YO!’ Aslay takes up the first part of the song with the Swahili lyrics rolling off his tongue with ease backed up by his captivating voice while Kiba picks up the last part of the song at the same pace and carries it to the end. The transition is smooth and the two voices well blended.

Lyrics

The lyrics delivered at a slow pace gives the listener enough time to listen.  Aslay states his contentment in the love he is receiving and how he can go lifeless in the event that he misses out on that love.

naridhika ridhika, naridhika na huba lako, Nakuahidi ntakufa nikija kulikosa hilo penzi lako’

Further on , Kiba emphasizes the need to be able to keep the love,regardless of the negativity surrounding it.

The duo are well known to reach the hearts of many ladies and this song is just about it.

Ali Kiba And Aslay

The song is an embodiment that carries all that is their about love and its secrets.The urge to always be there for each other despite the hustle in life.

“Beiby, tuifiche hiyo siri Tusionyeshe dhahiri Huwanga wanasubiri Waone utavyonimwaga”

This to ask the love of his life  to keep their love a secret especially from those that posses negative energy.

Production

The music video directed by Hanscana features two main scenes. One in the serene coastal atmospehere(aqua blue ocean, green grass and trees, white sand, plush white beds and seats) that gives a calm relaxing effect.

The second indoor set up is open, with a good blend of cool colors. There isn’t any serious dancing which gives enough room and time to enjoy the tune which is close to a Mexican serenade staged by Alejandro outside Maria-Clara’s bedroom window. Yeah right!

Well the song was averagely doen as compared to the duo’s track record this was not their best collabo.We want more guys.

For rating I will go for a 5/10.Watch and tell us what you think.

 

Men who listen to Bongo music, have we lost our masculinity?

Tanzanian music is big in Kenya. This is a fact of life and from the look of things, this will be the case for a long time to come. It’s just what it is.

If you are keen enough, you’ll notice that the top trending songs on YouTube (Kenya) are usually Tanzanian songs. As we speak, Diamond’s latest single dubbed The One is occupying the number one spot.

Before that, Harmonize’s Kainama was trending at number one and before that it was probably another Wasafi song or a song the likes of Aslay, Shetta Juma Jux, Darassa or even Ali Kiba. The point is, the biggest song in Kenya on most occasions is always a Tanzanian song.

There’s no explanation for this other than the fact that musicians from that country are very consistent and then there’s the obvious fact that their music is good. From the videos, to the lyrics down to the beat, everything is always top-notch.

Naturally, if you are a music fan, whether male or female, you’ll find yourself vibing to these songs never mind the fact that they are Bongo songs. Let’s be honest, when a song is good, it’s good there are no two ways about it.

I was recently having a conversation with some friends and I thought I should ask them what their thoughts are on men who listen to Bongo music. My question was driven by the fact that Tanzanian jams are always trending in Kenya.

Some of them claimed they would never listen to such songs. If they did, they would come off as weak men. Others, however, admitted that they listen to Bongo music because the songs are infectious. Incase you were wondering, I fall in the latter category. I listen to Tanzanian songs once in a while. Yup!

Truth is, no music genre is a preserve of a certain gender. It’s just the way the society has shaped our thinking. From a young age, men are taught to be tough while ladies are seen as soft. Perhaps this explains why men are drawn to Hip Hop while ladies are drawn to Bongo music, R&B and what not.

This should not be the case. Men should not feel like they are losing their masculinity because they love Bongo music. It’s totally okay to enjoy music that you feel is good. There’s absolutely no shame in it.

Diamond Platnumz

Allow me to say this again, “No music genre is a preserve of a certain gender.” If you enjoy Bongo music, knock yourself out, it doesn’t make you any  less of a man. And no, I’m not telling you to listen to Tanzanian songs at the expense of Kenyan music.

What are your thoughts on this topic? Feel free to leave a comment below.

Nichombeze by Aslay is a jam that you wouldn’t want to miss

Nichombeze by Aslay is full of love. The Tanzanian singer has given his fans a new jam after he recently released Nyang’anyang’a. Nichombeze  is all about love for a girl and describes her beauty. Nichombeze video is barely 24 hours and his fans can’t keep calm on youtube. He is really tryig in world of bongo. The song just talks more about his love for a girl. Also the song is done is swahili making it easy for any common person to listen.

Production

The song is well produced. Look  at the video and how it is done, I am sure you will like it. The audio is clear and the beats are on point. As I have listened and watched the video, Aslay had in mind the youths as his target audience.  There is no energy in the song but it is good when one wants to listen to a love song. The song is done is a slow manner which is calming and can only be accompanied by a slow dance. Nichombeze was directed by Joowzey.

Lyrical presentation 

In the lyrics Aslay has expressed his prowess in love songs. He has done it well. There are some stanzas which am sure you wouldn’t miss to replay; “Nasimamia ukucha, usiku natetema(aah mama) Akishikaga ukuta nashindwaga kuhema Kazini kurudi narudigi mapema(aah mama) Naogopa wenye nazo wasije ninyang’anya.” Could he be talking about sex in this stanza? Look at how he has described the prowess of the girl in bed. He goes ahead to say that he leaves work early to get home to the lady so that she is not snatched from him. This is love and obsession.


Also repetition has been been used in the chorus.  This style emphasizes more on the message being delivered. In the Chorus he says the lady is the spray to his heart; “Ya habibi, ya habibi Ya hayati, ya hayati Ya habibi, ya habibi Marashi ya moyo wangu eeh.” This verse has used symbolism to show how the lady has an effect to his heart just as the spray has effect on ones body scent.

The song is good and I like it. The only thing that missed here was energy. Aslay can deliver. I rate the song at 5/10.

Below is a link to the video.

Mbosso Afungukia Bifu Lake na Aslay

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema chini ya Label ya WCB amefunguka na kuweka wazi kuwa hali sio shwari kati yake na msanii mwenzake Aslay.

Mbosso ameweka wazi kwamba kwa sasa hayupo sawa na muimbaji mwenzake, Aslay ambaye awali alikuwa anafanya naye kazi katika bendi ya Yamoto Band.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Azam, alisema kuwa awali alikuwa anamsupport Aslay katika kazi zake ambazo amekuwa akizitoa lakini yeye amedai alikuwa hasapotiwi na muimbaji huyo.

Baada ya kumsupport Aslay kwa muda mrefu watu wakawa wananimbia mbona wewe unam-support halafu yeye haku-support? umem-follow mwenzako ameku-unfollow. Jifunze kubalance shobo, nikasema kumbe na mimi naonekana namshobokea ngoja na mimi nim-unfollow. Kwa hiyo sasa hivi kila mtu hana urafiki na mwenzake”.

Aslay na Mbosso walikuwa katika Kundi moja la Yamoto Band kwa miaka mingi Lakini walikuja kutengana  kutokana na sababu za kimaslahi ambapo Mbosso alijiunga na Label ya WCB.

Aslay Achora Tattoo Ya Sura Ya Binti Yake

Msanii wa Bongo fleva anayeendelea kufanya vyema kabisa Isihaka Nasorro maarufu kama Aslay ameonyesha mapenzi ya hali ya juu baada ya kuchora tattoo ya sura ya binti yake Mozah kwenye mkono wake.

Siku ya jana Mtoto wa Aslay alikuwa anafikisha umri wa miaka mitatu baba yake mbali ya kushiriki na kusheherekea siku hii na binti yake Lakini pia amechora tattoo ya sura ya Mtoto Wake.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Aslay ameandika maneno haya kwa ajili ya binti yake:

https://www.instagram.com/p/BuD5USUFEZi/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=a1a78c7dl370

Aslay ambaye ana umri wa miaka 23 alizaa Mtoto huyo na mrembo maarufu kwenye Mitandao ya kijamii Tessy Chocolate ambaye Hivi sasa hawapo kwenye mahusiano ya kimapenzi tena.

Mkubwa Fella Ashtushwa na Kuachana kwa Aslay na Tessy

Aliyekuwa meneja wa kundi la ya moto band mkubwa Fella, kundi  ambalo lilikuwa likiundwa na wasanii wanne chipukizi amefunguka na kuonyesha kushtushwa kwake na taarifa kuwa moja ya wasanii walikokuwa wakiunda kundi hilo amb ae ni aslay ameachana na aliyekuwa mpenzi wake a siku nyingi ambae pia ni mama wa mtoto wake mmoja.

Mkubwa Fella anasema kuwa taarifa hizo alikuwa haziamini hata kidogo na kwamba hakuona kama kuna umuhimu wa kuzifatilia kwa sababu zilikuwa zikisambaa katika mitandao ya kijamii tu.

Mkubwa fela anasema atakuwa tayari kufanya usuluhisho endapo wawili hao wataamua kutaka kumjulisha tatizo hilo na sio kubeba habari kutoka katika mitandao ya kijamii kwa sabab habariz hizo mara nyingine huwa sio za kweli.

 

Nandy Kupanda Steji Moja na Hamisa Mobetto

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Faustina Charles maarufu kama Nandy ametangaza habari njema kwa mashabiki Wake wanaokaa nje ya nchi kwani anatarajiwa kupanda steji moja na Hamisa Mobetto.

Nandy ambaye anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Aibu’ ameweka wazi kuwa mwezi huu baadae anatarajia kuungana na Hamisa Mobetto kwa ajili ya your yake ya nchini Marekani.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Ijumaa Wikienda, Nandy ameweka wazi kuwa yeye na msanii mwenzake Aslay wanatarajia kuungana na Hamisa Mobetto nchini Marekani.

Natarajia kusafiri siku ya tarehe 25 mwezi huu kuelekea Marekani kwa ajili yakufanya ziara nikiwa na msanii mwenzangu Aslay na Hamisa kisha nitarudi Bongo tarehe 10, Desemba tukiwa wote watatu, pia hii kwangu itakuwa ni mara ya kwanza kufika huko kwa sababu sijawahi kwenda kabisa”.

Hamisa Mobetto amekuwepo nchini Marekani kwa zaidi ya mwezi sasa ambapo ameonekana akiwa anafanya matamasha katika majimbo mbali mbali katik nchi hiyo.

Tanzanian singer Aslay forced to cancel show in Kenya after organisers tried conning him 

Tanzanian singer Aslay had to cancel his show in Mombasa last week after the organizers of the event failed to uphold their part of the agreement with his management.

The singer took to social media to inform fans that the show, which was scheduled for Saturday had to be canceled to protect his brand after organisers started dodging him.

Nachukua fursa hii kuwaomba radhi mashabiki zangu wa Mombasa ninaowapenda sana. Nilitamani sana kuwa pamoja nanyi katika burudani siku ya ijumamosi ila kutokana na kutofikia makubaliano na waandazi wa show hiyo hivyo imenilazimu kugoma kufanya show hiyo kwa kulinda msimamo wangu na viongozi wangu kikazi zaidi. Nawapenda sana sana na naamini tutakuwa pamoja atapotukutanisha Mungu kwa mara nyingine. TUKUTANE NEXTDOR MIDA HII MASAKI,” wrote Aslay Isihaka.

Rogue promoters

His post comes just a few weeks after another promoter left Tanzanian singer Harmonize stranded in Eldoret after failing to complete his total performance fee. Harmonize didn’t also perform in the event that later turned out chaotic as fans demanded for their refund.

Alichosema Aslay Baada ya Kuanguka Jukwaani Nchini Kenya

Msanii wa bongo fleva, Aslay amechukulia kitendo cha kuanguka kwake jukwaani ni kama moja ya changamoto wanayokutana nayo wasanii wakiwa stejini,Aslay anasema kuwa hilo linaweza kumtokea mtu yoyote mahali popote anachoshukuru ni kwamba hakuumia , kupitia ukurasa wake wa instagram, Aslay ameelezea juu ya ajali hiyo iliyompata akiwa Kisumu nchini Kenya kwa kuandika
It’s normal for celebrities and performers to encounter some challenging moments while on stage and mine came through yesterday, I slipped on stage but miraculously I wasn’t hurt, I came back on stage and gave one of the most electrifying performance, KISUMU  you guys are AMAZING the Energy was insane. Mwenyezi Mungu Awabariki !!!
Ambapo tasfiri yake ni kuwa “Ni Kawaida kwa Wasanii kupatana na changamoto jukwani, na Jana ilikuwa zamu yangu, yalitokea Haya punde tu nilipopanda jukwani kwa bahati nzuri sikuumia ,nilirejea jukwani na kuburudisha Mashabiki wangu wa Kisumu waliyojitokeza kwa wingi. Asanteni sana nyote Mwenyezi Mungu Awabariki!!!’ aliandika

Baada ya kuanguka kwa msanii huyo kulitokea maoni mengi sana katika mitandao huku baadhi ya waandishi na mashbiki walisema kuwa kuanguka kwa msanii huyo ni figisu zilizokuwa zikifanywa na baadhi ya watu hili kuondoa sifa nzuri ya kazi za wasanii wa kitanzania katika nchi za jrani , lakini alsya anasema kuwa maswala kama hayo huwa yanatokea  kial mahali.

‘It’s normal for celebrities to fall of stage’ Aslay message to fans after falling off stage in Kisumu

Tanzanian singer Aslay has assured fans he’s doing okay after a rather scaring moment when he fell of stage while performing in Kisumu.

Taking to social media, the singer told fans that celebrities falling of stage is not something new and happens once in a while.

“It’s normal for celebrities and performers to encounter some challenging moments while on stage and mine came through yesterday, I slipped on stage but miraculously I wasn’t hurt,” he said. 

Huge support

He went on to thank Kisumu people for the support and energy they had during the show despite the accident that almost ended his performance.

“I came back on stage and gave one of the most electrifying performance, #Kisumu you guys are AMAZING the Energy was insane. Mwenyezi Mungu Awabariki !!!” he said. 

Watch the video below

https://www.instagram.com/p/BqCkICclEkq/

Aslay Adaiwa Kuanguka Stegini Mjini Kisumu -Kenya.

Msanii wa muziki wa bongo fleva Aslay ameanguka jukwaani baada ya stegi ambayo ilijengwa kwa ajili ya perfomance  kuporomoka na kushindwa kuhimili mzigo ulokuwa umebeba.

Hata hivyo baadhi ya waandishi  wanadai kuwa hii inaweza kuwa ni mipangi kutoka kwa baadhi ya waandaaji au mtu yoyote ambae hakutaka kumuona Aslay akifanya vizuri katka tamasha hilo.

Matukio ya wasanii wa tanzania kuhariwa show wakiwa nchini kenya yameanza kuripoiwa kwa kushamili sana kiais kwamba inawezekana kuwa kuna figisu kubwa zinazoendelea kati ya wasanii wa Tanzania na waandaji au wasanii wa Kenya.

Aslay alionekana kuanguka mzima mzima katika jukwaa hilo huku akiacha mashabiki wake wakianga kilio kwa kile ambacho hawakutegemea kukiona lakii pia baada ya kukatishwa kwa show hiyo.

 

 

Nandy Amtaja Aslay Kama Msanii Alimtungia Nyimbo Kwa Ajili Ya Albamu Yake

Msanii wa muziki wa Bongo fleva nchini kutoka katika Nyumba ya vipaji Tanzania (THT) Faustina Charles maarufu kama Nandy amefungukia Albamu yake mpya.

Albamu mpya ya Nandy ambayo hivi sasa iko sokoni inaitwa ‘The African Princess” Kiowa ni albamu yake ya kwanza kuingiza sokoni tangu aanze Sanaa yake ya kimuziki.

Nandy ameweka wazi kuwa Albamu hiyo imemchukua Kama mwaka mzima kuiandaaa tu huku nyimbo zake akiandikiwa na msanii Kama Jay Melody na staa mkubwa wa Bongo fleva Aslay.

Kusema ukweli Albamu yangu imechukua muda mrefu kukamilika kwa sababu nimekuwa nikitungiwa nyimbo na wasanii Kama Aslay na Jay Melody”. 

Kwneye mahojino na kituo kimoja cha habari Nandy amefunguka haya kuhusu muziki wake na albamu yake hiyo:

Imenichukua mwaka mzima kutengeneza albamu yangu ili kupata Kitu kizuri hii imekuwa kwa sababu ya kusafiri kwa ajili ya kufanya shoo mbali mbali ambazo zimechukua muda wangu mwingi”.

 

Sijawahi Kulia Kisa Mapenzi :-Aslay

Msanii wa muziki wa kizazi kipya nchi Aslay amefunguka na kusema kuwa katika maisha yake  ya mahusiano hajawahi kulizwa na mwanamke kisa mahusiano hivyo mapenzi .

Aslay ambae alikuwa na mahusiano na mwanadada Tessy Chocolate kwa muda mrefu sana na kubahatika kupata mtoto mmoja laki ni walikuja kuachana bila kuwa na sababu bayana ya kufanya hivyo  na hata baadae kuanza kuwa na skendo za kuwa katika mahusiano na wanawake tofauti .

Mwanamuziki huyo anasema “sijawahi kulia kwa sababu ya mapenz lakini niliwahi kulia machozi kwa sababu  nilimpoteza mama yangu mzazi”

“Najisikia Vibaya Kushindanishwa na Aslay”- Mbosso

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva kutoka WCB anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Hodari’ Mbosso amefunguka na kuweka wazi kuwa anachukia sana kupambanishwa na Aslay.

Mbosso na Aslay walikuwa pamoja katika kundi la Yamoto Band lakini baada ya kundi kuvunjika kila mmoja alienda njia yake lakini mashabiki wamekuwa wakiwapambanisha sana.

Mbosso amefunguka na kusema hakuna kitu kinachomsumbua na kumfanya ajisikie vibaya kama kuona anapambanishwa na Aslay kwa sababu anaona kabisa hawawezi kulingana kwa sababu Aslay ni kaka yake.

Hakuna kitu kinanifanya najisikia vibaya mara kwa mara kama nikaona nashindanishwa na Aslay, Mimi Aslay ni Braza angu, alafu isitoshe mimi nimeanza mziki kama Solo artist nina Miezi Tisa sasa lakini Aslay alianza muziki kama Solo artist tangu mwaka 2011 kwaiyo ni mkubwa sana kwangu mimi bado mchanga mno kwaiyo ukinifanisha naye unakuwa unamvunjia heshima yake na mimi sitaki iwe huvyo”.

 

Shuga Mamy wa Harmorapa Afunguka Mazito Kuhusu Aslay.

Mwanadada amanesemekana katika mitandao ya kijamii kuwa kwa sasa amemuweka ndani harmorapa na kumsaidia kwa kila kitu mpka afamilia  yake anajulikana kama khadija ziota kutoka mwanza amefunguka mambo makubwa na mazito kuhusu msanii anaefanya vizuri sana katika tasnia aslay.

Mwanadada huyo anaekiri kuwa aliwahikuwa na mahusiano na wasanii wengi sana na kuwa anawasaidia lakini baadae wanakuja kuachana nae , anasema kuwa aliwahi kuwa na mahusiano na aslay na kumsaidia sana lakini alikuja kumuacaha kwa sababu ya kuchoka kuwa anaombwa pesa kila siku.

Mimi na aslay tulishwahi kutembea, tulishakuwaga wapenzi,tulishafanya vitu vingi tu mbalimbali hata ile nyumba yake ghorofa mimi ndio niliemalizia ile nyumba.tulikuwa tunakutana sana Isamilo lodge na Gold crest, tumelala sana pale.

Alipoulizwa sababu ya kwanini aliachana na Aslay ,mwanadada huyo kwa dharau kabisa alisema kuwa alichoka kuombwa ela na aslay na ndipo alipomuakumuacha.

Tuliachana kwa sababu mapenzi yana mwanzo na mwisho,yaani sikumbuki lini ila anaomba sana ela, unajua mtu ukiombwa saa ela unachoka nikamwamcha.

 

Aslay Kumsaidia Enock Bella Kimuziki Kwa Kolabo

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva Aslay Isihaka amefunguka na kuweka wazi kuwa ana mpango wa kumshika mkono na kumsaidia Msanii mwenzake kutoka Yamoto Band Enock Bella.

Aslay alikuwa mmoja wa wasanii waliounda kundi la Yamoto Band lakini baada ya kundi hilo kuvunjika miaka michache iliyopita kila msanii alishika njia yake.

Baada ya kila msanii kuendelea na kazi zake binafsi Aslay alionekana kupata mafanikio makubwa zaidi lakini pamoja na Beka Flavor ambaye pia amekuwa anafanya vyema na Mbosso aliyesainiwa WCB amekuwa anafanya vizuri pia.

Lakini Enock Bella aliyekuwa maarufu kwa kuimba bezi kwenye Yamoto amekuwa akisuasua tofauti kabisa na wenzake kwani ameshatoa nyimbo kadhaa ambazo hazijafanya vizuri kabisa.

Kwenye mahojiano na kipindi cha Kikaangoni cha EATV, Aslay amefunguka na kukiri kuwa kuna jitihada anafanya kwa ajili ya kumsaidia msanii mwenzake Ikiwa ni pamoja na kolabo hivi karibuni:

Ndio Enock Bella yupo na ninaongea naye na pia Bado Yupo Kwenye grupu moja kwaiyo bado tuna ukaribu na kuna jitihada tunafanya kwaiyo inshallah siku is nyingi mashabiki wataona kitu kutoka kwetu ingawa siwezi nikakiongelea sana”.

Enock Bella alitangaza kusainiwa kwenye label iliyopo nchini Uganda mwaka jana mwishoni lakini baada ya muda mfupi akatangaza kujitoa.

Heartbroken! Aslay reveals why he is hesitant to get in a new relationship after breaking up with baby mama Tessy Chocolate

Aslay is not in a hurry to love another woman after his relationship with baby mama Tessy Chocolate hit rock bottom. The Bongo singer seems he was heartbroken by his baby mama.

Tessy and Aslay went their separate ways a few months ago. To date the singer still refuses to reveal what made Tessy and him breakup.

Aslay and Tessy Chocolate
Aslay and Tessy Chocolate
Half-hearted love

Aslay however hinted what could have been the reason for his baby mama and him to split during a recent interview with a Tanzanian radio.

The singer claims he is not ready to jump in another relationship because women don’t love men wholeheartedly. He further says women are only after his money.

“Katika vitu ambavyo Sivipi kipaumbele kwa sasa ni Mahusiano na wanawake maana wengi wao hawana mapenzi ya kweli, hawajali maisha ya mtu au hawaamini kuwa fulani amepata leo pesa au amekosa,” said Aslay.

 

 

Aslay Adai Uongo Wa Wanawake Umesababisha Kuyachukia Mapenzi

Staa wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Totoa’ Aslay Isihaka amefunguka na kuweka wazi kuwa hana Mpango wa kuwa Kwenye Mahusiano ya Kimapenzi kwa sasa.

Aslay ambaye mwezi uliopita alitangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake na mama watoto wake Tessy Chocolate bila kuweka wazi sababu ya wawili hao kuachana.

Tangu Aslay  ameachana na Tessy amedaiwa kuwa kimapenzi na Muigizaji Diana Kimary jambo ambalo hata yeye alithibitisha Lakini hivi sasa Msanii huyo anafai hayataki Tena mapenzi.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari Aslay amefunguka na kuweka wazi kuwa kwa saaa hajali kuhusu kuwa na mwanamke kwani wengi wao ni waongo wanaangalia pesa tu:

Katika vitu ambavyo Sivipi kipaumbele kwa sasa ni Mahusiano na wanawake maana wengi wao hawana mapenzi ya kweli, hawajali maisha ya mtu au hawaamini kuwa fulani amepata leo pesa au amekosa”.

Hivi karibuni kulikuwa na tetesi kuwa Aslay amerudiana na aliyekuwa mpenzi wake Amber Lulu taarifa ambazo Aslay amezikataa na kusisitiza kuwa hana mpenzi kwa sasa na wala hahitaji.

Amber Lulu Akana Tetesi Za Kurudiana na Aslay

Video vixen maarufu ambaye pia ni msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayetamba na kibao chake cha ‘Jini kisirani’ Amber Lulu amefunguka na kukamatwa kurudiana na msanii mwenzake Aslay.

Miezi michache nyuma Amber Lulu aliyoa siri ambayo haikujulikana kwa watu wengi kuwa yeye na Aslay walishawahi kuwa wapenzi siku za nyuma kabla hajawa maarufu.

Siku za hivi karibuni baada ya Amber kutangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Prezzo na kudai yupo single amesemekana kurudiana na Aslay ambaye pia ameachana na mama watoto wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Amber amekana kurudiana na Aslay lakini alionekana kugoma kabisa kuiongelea ishu hiyo:

Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay”.

Mapema mwaka huu Kwenye Interview moja aliyofanya Amber alidai katika wanaume Wote aliowahi kuwa nao Aslay ndio amewahi kumridhisha zaidi.

Aslay denies having sex with Prezzo’s ex girlfriend Amber Lulu

Prezzo’s ex girlfriend Amber Lulu confessed during an interview with Global TV online that she dated Aslay back then when he was still struggling to make it in music industry.

Amber Lulu even described Aslay’s bedroom skills during the interview, she said the young singer was a bedroom bully.

“Kwenye game yuko noma. Aslay kiboko kabisa,” said Amber Lulu.

Lulu further claimed that Wema Sepetu was the reason why Aslay broke up with her. She revealed that Aslay fooled around with Wema Sepetu while they were still dating, and even cohabited for a while at the peak of their illicit love affair.

Amber Lulu and Aslay back then when they were still ashy and broke
Amber Lulu and Aslay back then when they were still ashy and broke

Also read: Waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume” Wema Sepetu and Aslay’s love affair revealed 

She’s lying

Aslay has since dismissed Amber Lulu’s revelations as pure malicious lies. The singer said Prezzo’s ex girlfriend was just being controversial.

“It’s just a publicity stunt to create an unnecessary scandal. Nothing like that has ever happened. Nowadays, people just talk the way they want without much thought to the consequences. If you follow me closely, you know I’ve never dated her. I have never been together with her because I respect her and she does the same to me,” said Aslay.

 

 

 

Mashabiki Wamjia Juu Aslay,ni Baada ya Kupata Mwingine Baada ya Tessy

Mashabiki wamemtolea maneno ya kashfa msanii wa muziki wa kizazi kipya anaefanya vizuri na kipaji chake bwana Aslay baada ya kusambaazakatika mitandao ya kijamii picha za mwanamke wake mpya ikidaiwa kuwa wawili hao kwa sasa ni wapenzi.

Mwanadada huyo ambae ametokea bongo movies anaonekana kujiamini kutokana na kuanikwa sana katika mitandao na mwanaume huyo  na kusahau kuwa aslya tatyri alishawahi kuwa na mahusiano na mwanadada mwingine na kupata nae mtoto.

Hata hivyo, mashabiki wameonekena kuchukizwa na maamuzi ya alsya ya kumtangaza mwanamke wake mpya hadharani huku hata mwezi haujapita tangu alipoachana na mama mtoto wake na kumwambia kuwa atapata tabu sana kwa sababu Tessy na diana ni wawili tofauti na watakuja kushindwana tu.

Aslay na Tessy wamedumu katika mahusiano kwa muda mrefu na kubahatka kupata mtoto mmoja na sasa kugombana bila wao wenyewe kuwa wazi ni nini chanzo cha ugomvi huo.

Aslay Ndani Ya Penzi Zito na Mrembo Mwingine

Staa wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Nibebe’ Aslay Isihaka ameweka wazi penzi lake zito na Mrembo ambaye ni Muigizaji wa Bongo movie Diana Kimary.

Wiki chache zilizopita Aslay alithibitisha kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Tessy Chocolate  ambaye pia ni mama wa mtoto wake mmoja wa kike anayeitwa Moza.

Aslay na Tessy hawa kuweka wazi sababu za kuachana lakini kila mmoja alisisitiza wameachana kwa wema na hawana chuki baina yao.

Siku ya jana Aslay amemuanika Rasmi mpenzi wake Mrembo Diana Kimary Kupitia ukurasa wake wa Instagram ambapo amemposti mara mbili huku akionyesha wazi kuwa wana Mahusiano zaidi ya urafiki.

Kwenye picha hizo Aslay alisindikiza kwa maneno kama “Mashallah” na “Sasa ndio nini Mke wangu”.

Aslay- Muziki Unanifanya Nakuwa Bize

Staa wa muziki wa Bongo fleva Aslay Isihaka amefunguka na kusema anajiona kama mtu anayeishi kama roboti kutokana na kufanya kazi mfululizo.

Aslay ambaye amekuwa kwenye chati toka aondoke Kwenye kundi lake la Yamoto Band ameendelea kufanya vizuri na nyimbo zake kama Nibebe, Natamba na nyinginezo.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, Aslay amefunguka kuwa anaamini muda wa kupumzika kwa mwanadamu ni pale anapoondoka duniani, kwa hiyo kila siku yupo studio, kama siyo studio yupo lokesheni anafanya video na kama siyo lokesheni basi yupo kwenye shoo majukwaani.

Sina muda wa kupumzika, kwa maana ninaamini mtu kupumzika ni pale anapofariki dunia, nafanya kazi kila siku ili kuhakikisha nasonga mbele kwenye maisha yangu”.

Aslay anategemewa kupanda stejini moja na mkali kutoka NIgeria Davido pale next door Arena siku ya tarehe 16 Kwenye 30 Billion concert.

Aslay kakua Maswala ya Mapenzi Muachieni Mwenyewe.-Fela

Mkubwa fella amefunguka kwa mara ya kwanza na kuongelea  kuhusu mahusiano ya Aslay na aliyekuwa mpenzi wake na kupata naeo mtoto mmoja kuachana na kwamba wawili hao kwa sasa wanaishi mbalimbali.

Mkubwa Felaa anasema kuwa kwa sasa aslay ameshakuwa kwaio anauwezo wa kuamua kufanya yale anayoweza kufanya kwa kuamua mwenyewe lakini kuhusu swala la ndoa yake Aslay mwenyewe hajamfata na kumuelezea kuhusu kitu icho kwaio hawezi kusema kitu juu ya swala  hilo.

mkubwa Fela anasema kuwa kwa sasa aslay amekuwa ‘ mtoto kakua , huu ni mwezi wa ramadhani kwaio ingekuwa mwezi wa kawaida tungeongea lakini yeye kakua na anajua kuna ubaya, kuna mazuri kuna nini,angekuwa na akili angekuja angenifuata na kusema baba kuna hili na hili ningejua tunamrekebisha wapi.

Aslay Athibitisha, Kufanya Kazi kwa Kujitegemea Kuna Faida Kubwa.

Msanii wa muziki wa bongo fleva , Aslay anasema kuwa kufanya azi kwa kujitegemea kuna utofauti mkubwa sana kuliko kufanya kazi kama kundi au kufanya kazi pamoja  kama ilivyokuwa kwake hapo awali.

Hata hivyo Aslay anasema kuwa pamoja na kwamba sasa hivi anafanya kazi peke yake lakini bado yupo karibu na wasanii wenzake waliokuwa wakiunda kundi lao la ya moto band lililovunjika mwaka uliopita.

Aslay anasema kuwa hakuna utofauti wala ugomvi kati yao na kama itatokea moja wao akitaka kufanya nae kazi atafanya nae lakini ameona kuna utofauti mkubwa sana kufanya kazi kama kundi na kufanya peke yake lakini pia anaamini kuwa kufanya kazi katika kundi ilikuwa ni moja ya safari yake ya kimuziki.

Itambulike kuwa hapo awali aslay na wenzake walikuwa wakifanya kazi pamoja kama kundi lakini baadae wwalikuja wakashindwana na kuanza kufanya kazi kila mmoja kwa kujitegemea.

 

“Waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume” Wema Sepetu and Aslay’s love affair revealed 

Prezzo’s girlfriend Amber Lulu has opened up about her past relationship with Bongo singer Aslay. Lulu says Wema Sepetu was the reason why Aslay broke up with her.

Lulu claims Aslay fooled around with Wema Sepetu while they were still dating. She further reveals that Wema and Aslay cohabited for a while at the peak of their illicit love affair.

“Kama ukiona mtu ako na mambo yake unahitaji kuchill pia, no need to force. Sababu ashakua (Aslay) na watu wengi. Naskia mara ashakua na Nimaa, ashakua na Wema Sepetu na wakakaa nyumba moja kapika na kupakua… Sasa mimi Amber Lulu najua…Alafu kipindi hicho mimi nlikua bado zile nanyapia nyapia so nkaona tu its ok,” said Amber Lulu during an interview with Global TV.

Bedroom bully

Amber Lulu also confessed to sleeping with Aslay while they were dating. She told Global TV that the young Bongo singer is a bedroom bully.

“Kwenye game yuko noma. Aslay kiboko kabisa,” said Amber Lulu.

Watch the interview below:

 

 

 

 

 

Aslay Atoa Siri Yake Ya Kutoa Ngoma Kali Mara Kwa Mara

Msanii wa muziki wa Bongo fleva Aslay Isihaka amefunguka na kutaja siri ya mafanikio yake inayompelekea kutoa nyimbo kali kila siku.

Aslay alianza kupata umaarufu katika kundi la Yamoto Band miaka ya nyuma kidogo amezidi kung’aa Zaidi baada ya kuondoka katika kundi.

Aslay ameweza kuwa msanii pekee ambaye amekuwa akitoa nyimbo mara kwa mara na zote zimekuwa ni hit baada ya hit kitu ambacho hakiwezi kufanywa na wasanii wengi Bongo.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Aslay amefunguka na kudai siri ya kuwa na nyimbo kali ni katika uandishi ambapo anazingatia kuzungumzia maisha halisi ya watu hasa ambao anaishi nao.

Mimi nikiwa naandika sana naangalia maisha ya kweli ambayo yanayotokea kila siku alafu mimi nimetoka uswazi hivyo naangalia vitu vingi vya uswahilini kwaiyo ni vitu ambavyo vinanipa mimi mashairi mazuri.

Lakini pia kuna baadhi ya mambo sio lazima yanitokee mimi yanaweza kuwatokea watu wengine ila cha muhimu viwe ni vitu vya Ukweli”.

Aslay atakuwa mmoja kati wasanii ambao watafanya show katika Tamasha la Sport&Music Festival mkoani Mwanza,

Amber Lulu- Aslay Ameshawahi Kufaidi Penzi La Wema Sepetu

Msanii wa Bongo fleva anayefanya vizuri na kibao chake cha ‘Jini Kisirani’ Amber Lulu amefunguka na kupasua kuwa Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu ameshawahi kufaidi penzi la staa wa Bongo fleva Aslay.

Amber Lulu, ametoboa siri ya Wema Sepetu na Aslay kuwa wapenzi miaka ya nyuma lakini pia amedai waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume.

Wiki iliyopita Amber Lulu alianika hadharani kuwa yeye na Aslay walishawahi kuwa Kwenye Mahusiano pale alipoanika orodha ya wanaume ambao ameshawahi kubanjuka nao.

Kwenye mahojiano yake na Global Publishers, Amber Lulu ameweka wazi kuwa kipindi alipokuwa na Aslay alisikia pia alikuwa na Wema Sepetu aliyekuwa anaishi naye nyumba moja kitendo kilichofanya Mahusiano yao yasiwe serious:

Kipindi hiko nilikuwa undergrad nikawa nasikia Aslay alishakuwa na watu wengi nasikia alishakuwa na Wema Sepetu na wakakaa nyumba moja na wakapika na  kupakua halafu mimi kipindi hiko bado kabisa nilikuwa nanyapia nyapia”.

Amber Lulu amedai kuwa Aslay alikuwa ni fundi mzuri sana kunako mausuala ya sita kwa sita huku pia akitumia sifa hiyo kumtofautisha na Mbongo Fleva mwingini, Young D ambaye nae pia alikuwa mpenzi wake lakini hakuwa fundi sana kama ilivyo kwa Aslay.

Aslay- Pesa Ninayo Lakini Sina Utajiri wa Kutisha

Staa wa muziki wa Bongo fleva na hitmaker wa Natamba Aslay Isihaka amefunguka na kuweka wazi kuwa pesa anayo kidogo japo sio pesa kubwa kiasi hicho lakini angalau anayo.

Aslay ni moja kati ya msanii  ambaye amekuwa  akifanya  vizuri sana Kwenye ulimwengu huu wa Bongo fleva kwani amekuwa akitoa hiyo kwa kila nyimbo yake anayoweka mezani.

Hivi karibuni Aslay aliwekwa kundi moja na wasanii wakubwa kama Diamond na Ali Kiba na kusemwa na yeye anaingia Kwenye listi ya wasanii walio na mkwanja mrefu Bongo.

Kwenye Interview aliyofanya na Millard Ayo Tv, Aslay alisema kuwa hawezi kujisema ana hela kubwa lakini anayo pesa ya kubadilisha mboga ya kawaida:

Of course hela ya kubadilisha mboga ninayo Alhamdulilah siwezi nikasema sina nitakuwa naongopa hela ninayo lakini sina utajiri wa kutisha”.

Aslay alisemekana ana mkwanja mrefu sana baada ya miezi michache nyuma kununua ndinga la maana lenye viwango vyake aina ya BMW.

Penzi la Aslay na Mama Mtoto Wake Ladaiwa Kuvunjika

Kumekuwa na tetesi huko instagram kuwa msanii Aslay na mke  wake ambae amebahatika nae kupata mtoto mmoja kuwa kwa sasa hawapo tena pamoja na kwamba wawili hao  kila mmoja anafata ustaarabu wake kwa saa na inawezekana hata kukaa pamoja hawakai tena.

Wikiendi hii ilikuwa ni kumbukumbu ya kuzaliwa kwa wawili ho huku siku zao zikiwa zimefatana  lakini kitu cha ajabu ni kwamba hakukuwa na shamrashamra za sherehe hiyo kwa wote wawili huku alsya hakutaka hata kuweka picha ya mzazi mwenzake huyo katika ukurasa wake wa instagram

Habari ziliozpo chini ya kapeti ni kwamba Aslay na Tessy hawako pamoja tena na kwamba mwanamke huyo alishaondoka nyumbani kwa aslay na sasa wapo katika mahuiano kama ya wazazi tu na sio vinginevyo.

Wasanii wengi wamekuwa na skendo za kuwa na mape nzi ya muda mfupi na pengine hata kushindwa kufikia muafaka wa ndoa kwa wapenzi wao huku swala kubwa likihusishwa na wivu wa mapenzi na kulewa umaarufu.

Aslay- Kifo Cha Masogange Kilizima Wimbo Wangu

Mwanamuziki wa Bongo fleva Isihaka Nassoro maarufu kama Aslay amefunguka na kuelezea jinsi Kifo Cha marehemu Agnes Gerald ‘Masogange’ kilivyozima wimbo wake.

Aslay ameongelea jinsi wimbo wake wa ‘Kwa raha’ ulivyoshindwa kuvuma kutokana na kutoka kipindi kibaya ambacho ilikuwa ni msiba wa marehemu Masogange.

Kwenye mahojiano na Bongo 5, Aslay amesema kuwa ngoma hiyo aliitoa kama zawadi kwa mashabiki wake kwani ngoma yake ya mwisho kutoa rasmi ni Nibebe mara baada ya kubadilisha mfumo wake wa kutoa ngoma.

Kwa Raha nilitoa kama zawadi kwa sababu kuna ngoma inakuja kuitoa tena baadaye ila nasema ni ngoma yangu naipenda na namshukuru Mwenyenzi Mungu imeenda japo kuwa hapa kati imekutana misukosuko, Agness amefariki, kuna vitu kibao vimetokea lakini nashukuru ngoma hivyo hivyo inaenda“.

Aslay ni msanii mwenye mafanikio sana kiasi ya kwamba kila nyimbo anayotoa inafanya vizuri lakini  wimbo huu wa kwa raha haujafikia mafanikio wa nyimbo zake nyingine kutokana na kutoka wakati ambao kila mtu alikuwa na majonzi ya Masogange.

 

Aslay Afunguka Kuhusiana na Ndoa Ya Ali Kiba

Mwanamuziki wa Bongo fleva Aslay amefunguka na kuongelea ndoa ya staa wa Bongo wa fleva Ali Kiba iliyofungwa wiki iliyopita ambapo amesema haoni tatizo kwa Msanii huyo kuoa nje ya nchi.

Ali Kiba amemuoa mwanamke anayeitwa Amina Rikesh mwenye asili ya Kiarabu kutoka Oman lakini anayeishi Mombasa nchini Kenya.

Mashabiki walimtolea povu Ali Kiba kwa kitendo chake cha kuamua kwenda kuoa nje ya nchi wakati Tanzania kuna wanawake kibao jambo ambalo Ali kiba alijibu kuwa macho na moyo havina pazia.

Aslay ameipongeza na kusema watu wasishangae au kulalamika mtu kuamua kuoa nje ya nchi kwani jambo hilo ni la kawaida tu.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Global Publishers, Aslay amewataka mashabiki zake wasilalamike kitendo cha yeye kwenda kuoa nje ya nchi kwani ni jambo la kawaida sana kutokea:

Kuoa ni jambo la kheri bwana na ni hatua kubwa sana nampongeza sana kaka mkubwa kwani sio jambo la mchezo hilo, lakini watu wanatakiwa kuelewa kuoa nje ya Tanzania ni jambo la kawaida tu kama mtu anavyotoka kwenye kabila lake na kuoa kabila lingine“.

 

Natamani Kushinda Tuzo Ya Heshima- Aslay

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri sana hivi sasa Aslay amefunguka kuwa anatamani sana kama atafanikiwa kupata tuzo basi apate tuzo ya heshima.

Aslay amekuwa akifanya vizuri kimuziki tangu atoke kwenye kundi la Yamoto Band, kila nyimbo ambayo amekuwa akitoa zimekuwa zikifanya vizuri kiasi ya kwamba amewekwa kwenye ramani ya wasanii bora wa Bongo fleva wanaofanya vizuri.

Pamoja na mafanikio hayo Aslay hajawahi kushinda tuzo yoyote hii inaweza Ikawa sababu ya ufinyu wa tuzo nchini ambazo zinatambua mchango wa wasanii mbalimbali na wadau.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Enews ya East Africa Tv Aslay amefunguka haya kuhusu juu yake ya kuchukua tuzo Tanzania:

Nafikiri kuna tuzo nyingi sana zinatokaga Tanzania na mimi sijawahi kuchukua tuzo yoyote kubwa Tanzania lakini naamini siku nitakayopata tuzo ya heshima ndio nitajiona mimi nimekuwa msanii mkubwa na nitaweza kujishindanisha na wasanii wengine wakubwa”.

Lakini pia Aslay amefunguka kuhusu mipango yake ya kutoa Albamu ambapo ameweka wazi kuwa tayari nyimbo zake za kukaa kwenye Albamu zimeshatimia hivyo yupo kwenye michakato.

Aslay Agoma Tena Kufananishwa na Alikiba.

Msanii anaefanya vizuri sasa na wimbo wake wa sabalkheri aslay amewaomba mashabiki wake kuacha tabia ya kumfaninsha na kumlinganisha na Alikiba kwa sababu hawezi kabisa kulingana nae kwa chochote kwa sababu Alikiba ni msanii mkongwe na kazi yake ya kuupeleka muziki mbele imeshaonekana sio sawa na yeye ambae bado anatakiwa kufanya kazi kubwa ili kukuza muziki wake.

Aslay ameyasema hayo tena hivi karibuni baada ya kuona kuwa kuna watu wengi ambao wamekuwa wakisema kuwa kwa sasa ameshafanya vizuri na kukua kimuziki kiasi kwamba anaweza kufanya show na alikiba na bado akaweza kumfunika Alikiba akafanya show siku moja na watu wakajaa kwake na sio kwa Alikiba.

kama kuna masgabiki wanafanya hivyo basi wanakosea sana kwa sababu wasanii wanaonifananisha nao wameshafika level zingine kabisa.na mimi ninajitahidikufika level hizo siku moja , kwaio unavyonifananisha nao kwanza unania kisaikolojia,kwa sababu na mimi nitajiona kama nishafika  hatua zao kumbe bado sana.

ukisema kuwa umlinganishe aslay na alikiba utakuta kuwa unakosea vitu vingi sana kwa sababu yeye tayari alishaingia katika tuz mbalimbali ambapo sasa hivi hata akifanya show anajaza sana .

Aslay anasema kuwa kwa muda huu yeye so wa kujifananisha na mtu yoyoyte kwa sababu bado anataka kufanya kazi ambao itamfikisha katika level nyingine na kupiga hatua kama walizopiga wasanii wakubwa.

“Sina Mahusiano Ya Kimapenzi na Nandy”- Aslay

Mwanamuziki wa Bongo fleva Anayezidi kufanya vizuri hivi sasa Aslay amefunguka na kusema hana Uhusiano wowote wa kimapenzi na msanii mwenzake Nandy.

Kumekuwa na maneno mengi mengi ambayo yamekuwa yakisababishwa na ukaribu uliopo kati ya Nandy na Aslay ambapo mara kwa mara kwenye mitandao ya kijamii imesemakana kuwa wawili hao ni wapenzi.

Kwenye Interview aliyofanya Friday Night Live ya East Africa Tv, Aslay amefunguka na kusema ukaribu aliokuwa nao na Nandy ni wa kikazi tu sio zaidi ya hapo na amesisitiza kuwa yeye tayari ana mpenzi wake na familia.

Nafikiri watu wanaonifatilia watakuwa wanajua kuwa mimi nina mtoto, kuna mwanamke ambaye nimezaa naye. Nandy nipo naye kwenye kazi zetu za kimuziki tunazofanya hakuna kingine cha zaidi kinachoendelea kati yangu na Nandy”.

Nandy na Aslay wanakimbiza na wimbo wao wa ‘Subalkheri Mpenzi’ ambao umefikisha zaidi ya viewers milioni tatu YouTube kwa mwezi mmoja lakini pia wameshawahi kufanya ngoma nyingine iliyofanya vizuri siku za nyuma iliyoitwa Mahabuba.

Aslay Ampiga Marufuku Mke Wake Kuuza Sura .

Msanii anaefanya vizuri  hivi na vibao vyake kibao kikiwepo cha subakheri alichoimba na Nandy , Aslay amefunguka na kuonnhgelea uamuzi wake wa kumpiga marufuku mzazi mwezie kuwa anaonekana katika mitandao ya kijamii na kuuza sura.

Aslya amesema kuwa kwa sasa mwanamke wake hatakiwei kuonekana wala kujihusisha  na kuuza sura katika sehemu mbalimbali kwa sababu tayari ana kazi nyingine inayomuingizia kipato lakini pia yeye sasa ni mzazi na ana mtoto wa kulea kwaio hataki kumuona akiuza sura tena.

Akiongea kwenye FNL, Aslay amesema kuwa mzazi mwenzie huyo anaejulikana kama Tessy Chocolate alikuwa ni video vixen , lakini kwa sasa hawezi kuendelea na kazi hiyo kwa sababu kile alichokuwa akikitafuta katika kazi hiyo tayari ameshampatia.

hawezi kuendelea mimi ndio nimesema hawezi kuendelea,sidhani kama sasa hivi anapedna tena kufanya hiyo kazi, kwa sababu mara nyingi yuko na mtoto lakini pia kuna kitu nimempatia anafanya pia kinachomuingizia ela na kwasababu kule alikuwa anatafuta ela.-Alifunguka Aslay.

Lakini pia alikanusha tetesi za kuwa waliachana na mama mtoto wake na kusema kuwa taarifa hizo sio za kweli.

Beka Fleva: Mbosso Hajanitetemesha, Aslay Nayeye Acha Tushindane

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya Kiben10 amefunguka na kusema hajatetemeshwa na ujio mpya wa msanii Mbosso kutoka WCB lakini pia Aslay atashindana naye tu.

Beka fleva, Aslay, Mbosso na Bella waliunda kundi la Yamoto band waliojipatia umaarufu miaka ya nyuma lakini baada ya kuwa pamoja kwa miaka kadhaa kundi hilo liliishia kuvunjika na kila mmoja alishika njia yake na kuanza solo careers.

Wasanii wote wamekuwa wakifanya vizuri na kukubalika na kila mmoja wao amekuwa akidai hakuna uhasama kati yao na kila mmoja anamtakia heri mwenzake na mafanikio.

Lakini pia Beka fleva ameongelea tetesi za yeye kukasirikia mafanikio ya Mbosso kusainiwa WCB na hivyo kusababisha kutohudhuria halfa yake ambapo amedai alichelewa kupata taarifa za shughuli hiyo hali iliyopelekea kushindwa kufika.

Beka fleva amefunguka kuwa alivyoona Utambulishi wa Mbosso kwenye bonge la hoteli la Hyatt Regency na baadae kijamii uwanjani Mwembeyanga hakutetemeshwa hata kidogo ndio kwanza alifurahi kuona mafanikio ya mwenzake lakini pia amesema anafurahia ushindani wake na Aslay kwani unaleta mziki mzuri.

Kisa Mama , Aslay Amliza Mama Yake Nandy.

Wikiendi hii inaweza kuwa ni wikiendi ya kihistoria katika swala la muziki , hii ni baada ya kufanyika kwa show kubwa iliyojulikana kama Aslay , Nandy na Marafiki huku lengo kubwa ikiwa ni kuwaburudisha wpenzi wa muziki hasa katika kusherekea siku ya wapendao  Ambayo ilifanyika February 17.

Akiwa anataka kutumbuiza wimbo wake unaokwenda kwa jina la mama, Aslay aliamua kumfuata mama na baba yake Nandy ambao pia walikuwepo katika show hiyo ili kuwakumbatia ikiwa ni kama ishara ya kuwaheshimu wazazi hao huku akiongea na kusema kuwa anatamani sana hata yeye mama yake angekuwepo katika show hiyo.

Huku akielekea katika meza hiyo, Aslay alikuwa akisema”kwa heshima kubwa napenda kwasimamaisha wazazi wa nandy ana nngependa wawe wazazi wangu pia, ninafuraha kuona wazazi wanawasapoti watoto wao,hsa mama na ninapomuona ninfarijika kwa sababu hata mimi nilitamani mama yangu angekuwpo hapa lakini hayupo.ninawaomna muwaheshimua sana wazazi hasa mama.

Hata alipokuwa akiimba wimbo huo watu wengi walionekana kuwa na huzuni kwa sababu ya msanii huyo kutoa lilipo moyoni mwake kuwa angetamani siku kama hiyo mama yake angeona mafanikio ya kazi yake kwa sababu walihangaika sana wote ili yeye awepale alipo.

Mama yake Aslay alifariki mnamo mwaka 2015, ambapo kwa histori aya maisha ya Aslay huwa anaumia sana anapokuwa akikumbuka au kuliongele atukio hilo kwa sababu mama yake alikuwa akimsaidia na kumfariji sana katika kufanya kazi lakini ilikuwa ni kama mshumaa uliozimika kwa sababu mama yake hajapata kuona mafanikio yake.

Aslay Afunguka Kuhusu Tetesi Za Kuiba Daftari la Nyimbo la Yamoto Band

Mwanamuziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri sana kwa hivi sasa Aslay Isihaka amefunguka kwa mara ya kwanza na kuongelea tetesi zilizosambaa mtandaoni kuwa aliiba daftari la nyimbo za Yamoto Band.

Habari hizi zilienea mtandaoni mwaka jana baada ya Kundi la vijana la Yamoto Band kuvunjika. Aslay alikuwa mmoja kati ya wasanii waliounda kundi hili ambalo lilivuma kwa miaka mingi.

Ingawa mpaka leo hii haijajulikana nini has a sababu kibwa iliyofanya mpaka kunsi hill kuvunjika lakini kikubwa kinachisemekana ni masuala ya maslahi yaani uongozi wao ulikuwa hauwapi walichokuwa wanastahili na kusababisha kundi hilo kuvunjika.

Lakini mara tu baada ya kundi hilo kuvunjika na kila msanii kuanza kufanya kazi binafsi Aslay alidhihirisha uwezo wake wa kuimba kwani alianza kung’aa mara moja na alianza kuachia nyimbo zake kwa fujo na nyimbo zake zote zilishika namba moja kwenye chati mbali mbali.

Baada ya kuona kuwa katika muda mfupi ambao Aslay amekuwa peke yake amekuwa akitoa nyimbo nyingi kiasi like ndipo tetesi zilanza kusambaa kuwa Aslay aliiba daftari la nyimbo la Yamoto band lililokuwa na by nyimbo zilizo andikwa na wasanii wotenwakundi hilo.

Kwenye mahojiano na Bongo 5 Aslay amekana tuhuma hizo na kuhakikishia watu kuwa nyimbo zote anazoimba ni zake:

Hizo tetesi za mimi kuondoka na daftari la Ya Moto Band zilikuwa ni tetesi tu unafikiri zilikuwa na ukweli wowote hapana hazina ukweli yalikuwa ni maneno tuu yaliyoanzishwa na mashabiki ili mradi tuu kuchekesha watu na mimi nilivyoona nilicheka tu maana nilijua ulikuwa ni utani kutoka kwa mashabiki”.

Aslay amekiri kuwa tangu ameondoka katika kundi la Yamoto Band ametoa nyimbo kama kumi na sita na sababu kubwa iliyomsukuma kutoa nyimbo nyingi katika kipindi kifupi ni ili akifanya shoo zake asitumie nyimbo za Yamoto.

 

Enock Bella Amefungukia Tuhuma za Aslay Kuiba Daftari La Nyimbo za Yamoto Band

Aslay ni mmoja Kati ya wasanii anayefanya vizuri sana kwa hivi sasa mafanikio anayopata ni wasanii wachache wanaoweza kufikia ukitegemea kwa mtindo wake wa kutoa nyimbo kila baada ya muda mfupi.

Lakini mafanikio Kama haya lazima yaje na changamoto kadhaa kwa upande wa Aslay changamoto hiyo ni bendi yake ya zamani ya Yamoto Band iliyovunjika miezi michache iliyopita na kupelekea vijana waliokuwa wanaunda bendi hiyo kutengana.

Baada ya kuvunjika kwa bendi hiyo na Aslay kama solo artist, maneno maneno yalianza chini kwa chini ambapo moja kati ya habari zilizosambazwa na watu wasiojulikana na kushika kasi ya ajabu hivi sasa za kumchafua Aslay ni kuwa kitu pekee kinachompa Aslay mafanikio baada ya kuondoka Yamoto na kuwa na nyimbo nzuri kila siku ni kwa sababu wakati anaondoka Yamoto band aliiba daftari la nyimbo la Yamoto ambalo alishirikiana na wenzake kuandika.

Enock Bell ambaye alikuwa kwenye bendi ya Yamoto na Aslay amefungukia tuhuma hizo kwenye mahojiano aliyofanya na kituo cha televisheni cha  East Africa:

Unajua uzuri nchi yetu haijamkataza mtu kuongea kila mtu akijisikia kuongea anaongea chochote anachoweza kukifikiria lakini kiukweli ni kuwa Aslay bahati nzuri Mwenyezi Mungu kamjalia kitu chake cha kipekee ni msanii ambaye unaweza ukamwekea biti tu akafree style nyimbo nzima kwaiyo Ana uwezo wa kuandika nymbo hata nne kwa siku mbili anaweza kupangilia mashairi yake vizuri kwa muda mfupi na yakawa makali kwaiyo sio kweli kuwa aliiba daftari la Yamoto kwanza hatukuwa na daftari lolote”.

Enock alikataa tuhuma hizo na kudai kuwa sababu pekee watu wanasambaza habari hizo ni baada ya kuona Aslay anatoa nyimbo kali kila siku lakini amedai hicho ni kipaji chake tu na sio wizi.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.