Prezzo’s ex girlfriend beaten black and blue by boyfriend weeks after giving birth

Tanzanian Singer cum socialite Amber Lulu popularly known for Jini Kisirani hit song gave birth about 2 months ago, welcoming her first child. But unlike other new mums getting to understand their newborns; this particular lady is sadly nursing injuries she got after a serious beating from baby daddy, Emba Botion.

The lady who is well known for her wild ways gave birth 2 months ago; but thanks to a video and a few photos shared on her page – we understand that her marriage hasn’t been easy.

Amber Lulu

This is after she exposed her baby daddy for giving her a serious beating; despite knowing very well that her body is still healing is still fragile after the whole birthing process.

Amber Lulu’s scars

In one of the photos, Amber mentioned that this has been happening for a while; adding the most dumbest excuse – that she holds on for the sake of her daughter. The lady wrote;

Navumilia mwisho wa siku nije kumuacha mwanangu mdogo sana

Amber Lulu and abusive relationships

Unfortunately this is not the first abusive relationship Amber Lulu has ever been involved in. In the past, we saw the lady pick some serious verbal fights with rapper Prezzo; but at least they never got physical.

Amber Lulu beaten black and blue

However with baby daddy,Emba Botion – the former socialite says he started hitting her while she was still pregnant; and for another dumb reason – she thought she actually deserved the beating.

Anyway with the many scars to remind her of the toxic relationship; let’s hope she has walked out for good. But again, I hear toxic relationships are quite addictive!

Amber Lulu confesses unquenched thirst to be Diamond Platnumz´ 4th baby mama (Details)

It´s an interesting world we live in, to see just how far women are willing to go to carry a celebrity´s pregnancy and sort themselves out soon after giving birth.

Gone are the days when true love would best define a bond between a man and a woman. Today, it doesn´t matter how many children a couple sires together, or how many sexual partners one has – as long as you are able to survive and get what you want, it seems like that is all that matters.

Time and again, it has been said that Diamond Platnumz is not a man known to stick to one woman or even pledge his loyalty to a specific lady. Not at all!

WCB Founder and CEO

But every other day, there will always be a woman running after the East African superstar – for reasons best known to these women.

Also read: Tanasha finally comes clean on why she walked out on Diamond without notice (Video)

Amber Lulu

So now, having already borne a string of children from his 3 known baby mamas across East Africa, Tanzanian socialite Amber Lulu has confessed she is head over heels for the Bongo Flava artist.

While divulging intimate details during the launch of Producer Mocco Genius studio in Dar es Salaam, Lulu admitted she loves Naseeb. One because he never gives up and second because of his untamed body physique.

Bongo flava socialite, Amber Lulu

She went ahead to admit that every time she looks at Diamond´s body, she grows cold feet, her legs become frail and her body gives in.

Nampenda Mondi (Diamond) kwa sababu ni fighter, hustler lakini pia mwangalie amekata body (rippled). Ukimwangalia, unachanganyikiwa.

Going further to indicate that she is spending more time in the gym, to re-work on her body with the aim of luring Diamond her way.

Tanzanian video vixen, Amber Lulu

Co-wives?

Confessing that she admires his baby mamas, Zari Hassan and Tanasha Donna and her quenched desire to be like them and have her own brand like they do.

Akisema ananiona nakubali na natulia kabisa. Sasa hivi najibrand nataka niwe kama Zari na Tanasha. Naenda gym nikae vizuri.

Also read: Zari Hassan remains unapologetic for reconciling with baby daddy, Diamond Platnumz

Surprisingly though, Lulu´s main target is to get pregnant for Chibu and does not mind if any of his other baby mamas get back together with him, because she is always ready to be a co-wife.

Wajua sina mtoto kwa hiyo mimi nataka nizae na Mondi. Naskia Zari anataka kurudi, akirudi tutapambana, tutakuwa wake wenza, tutalea watoto wote.

Co-parents, Zari Hassan and Diamond Platnumz

Amber Lulu was previously in an on-and-off relationship with Kenya´s Prezzo since way back in 2017, one that only stood strong until early 2019, when the duo bid each other goodbye.

Let´s wait and see whether Diamond heeds to the call.

“Amber Lulu Ananiendea Kwa Waganga Kuniloga”- Amber Rutty

Msanii wa Bongo fleva aliyejizolea umaarufu kwa video yake chafu ya ngono kwenye Mitandao ya kijamii Amber Rutty ameibuka na kudai kuwa msanii mwenzake Amber Lulu anamuendea kwa waganga.

Amber Rutty na Amber Lulu wamekuwa hawana maelewano kwa muda mrefu ambapo kisa kilikuwa Amber Lulu aliona kama Amber Rutty anamuiga swaga zake kuanzia kumuiga jina na hata kumuiga tattoo zake alizochora mwilini.

Kwenye mahojiano aliyofanya na kituo kimoja cha habari, Amber Rutty amemtolea povu zito Amber Lulu na kudai amamuendea kwa waganga wa kienyeji kwa majaribio ya kutaka kumloga.

Amber Lulu amedai kuwa hawezi kumpenda Lulu kwa sababu kwa muda mrefu amekuwa akijaribu kumshusha na kumharibia jina lake Lakini Baada ya kushindwa kwa njia hiyo sasa Hivi ameanza kumuendea kwa waganga wa kienyeji kwa lengo la kumloga asifanikiwe.

 

Micheal Lulu forced to deny wedding to Majizo has been canceled due to domestic violence

Celebrated Tanzanian actress Lulu Elizabeth Micheal has denied that her anticipated wedding with media mogul Majizo has been cancelled following a domestic violence case.

Lulu, who recently severed a two-year-jail term after killing her lover following an argument, shot down rumors that the wedding has being canceled after Majizo beat her up.

Engagement ring

It’s also good to note that some of this rumors started after fan noticed Lulu hasn’t been wearing her ring. Speaking in an interview on ‘Joto la Asubuhi’ show on E FM radio station which is owned by her fiancé Majizzo, she said that her not wearing an engagement ring doesn’t mean much.

“Suala la mimi kuvua pete na kupigwa linalosambaa kwenye mitandao ya kijamii ni kama kuniharibia lengo langu la #Save my valentine wala siwezi kulizungumzia na kulipa airtime,” said Lulu.

Adding:

“The rumor circulating on social media that my wedding has been cancelled and that I was assaulted is meant to derail my objective this Valentine so I won’t talk about it.”

Majizo and Lulu have already done a traditional wedding where by he has paid the dowry and are now gearing for a white wedding which will be some time this year.

 

Amber Lulu Aanika Utajiri wake

Mrembo kutoka kiwanda cha Bongo fleva, Amber Lulu ameweka wazi kuwa ana pesa ambayo iko kwenye akaunti yake, pesa ambayo haitokani na mziki bali mishe zake za kimaisha.Amber Lulu anaamua kufunguka baada ya kuona kuwa

Akizungumza na mwandishi wa habari Lulu amesema “kwenye akaunti yangu kuna zaidi ya million 10 ambayo aitokani na mziki watu wajue hivyo”

Itakumbukwa kuwa Amber Lulu alianzia kwenye kuuza sura kwenye video za mastaa hapa bongo yaani (video vixen) na hatimae akaingia kwenye gemu ya mziki na ameshatamba na vibao vyake kama ‘Watakoma’ ‘Jini Kisirani na vingine kibao

Lulu Hassan share how working with husband Rashid Abdalla on a daily basis feels like

Citizen TV news anchor Lulu Hassan has opened about how working with her hubby Rashid Abdalla on a daily basis feels like.

The two, who have been married since 2007 and have three kids now, are both employees of Royal Media Services (RMS) and anchor Swahili news together.

Enjoy it

A fan recently asked Lulu on social media how it feels like to work with his hubby on a daily basis and apparently, Lulu loves every bit of it.

“How does it feel to work with your hubby at the same place to me it’s Kinda difficult,” asked Lamarmilkah.

“@lamarmilkah Imagine it’s fun.. We get to spend a lot of tome together,” she responded.

Lulu joined Rashid recently after going for paternity leave to have their third born.

 

D*Kmatized! ‘Prezzo’s bedroom skills drive me crazy’ confesses Amber Lulu

Several women have publicly confessed that once rapper Prezzo gets you under the sheets, that’s all you will be thinking about because he’s a beast when it comes to beating the P.

Huddah Monroe started it all saying Prezzo gave her the best sex she’d ever imagined and if there’s one ex on her list she’d go back to, it would be definitely him.

Rapper Noti flow also made the confession saying that Prezzo’s game drove her crazy. She even nicknamed his pipe the ‘Devil’s D’.

In Love

Prezzo’s lover Amber Lulu has revealed that she’s so much in love with the rapper and is even thinking of settling down with him all thanks to his D game.

The Tanzanian socialite said that many people might have dated Prezzo but none has had a truer relationship with him like her.

“You can be with Prezzo, roll with him but you can never be the best more than me. Love is a connection, I understand him and he understands me. I’m not trying to taunt anyone, anyone can date Prezzo, but they can never reach the level of relationship Prezzo and I have,” she told Dizzim Online.

The video vixen also went on to confess of how she’s has been d**ckmatized by the Naleta action rapper in the interview.

Amber Lulu Alizwa Tena na Mapenzi

Mwanadada Amber Lulu ameonekana kuumizwa tena na maenzi ingawa  hajataka kuweka wazi kwanini kile alichkionyesha katika ukurasa wake wa instagram alikuwa akikimaanisha.

Katika ukurasa wake huo, mwanadada Amber Lulu aliweka  picha yenye kutukana kwa kiais kikubwa sana swala la mapenzi na kuonekana kama vile ni kitu ambacho kiemuumiza sana.

Katika ukurasa wake hata  baada ya kuweka picha hiyo mashabiki walianza kumuuliza kuhusu swala la kuyatukana mapenzi , na kwanini amekuwa akionekana kama mtu mwenye uchungu sana na swala hilo.

ikumbukwe kuwa  Amber Lulu alikuwa katika mahaba mazio sana na mwanaume wake prezzo kutoka kenya ambae alikuwa akimsifia kuwa ndie mwanaume mwenye kuma furaha muda wote tofauti na wale wa nyjma ambao walikuwa wakipa stress kila siku.

 

 

 

Amber Lulu Akiri Kutamani Mtoto Lakini Hali Ya Kiuchumi Inamzuia

Video vixen na msanii wa Bongo fleva Amber Lulu ameibuka na kuweka wazi kuwa anatamani sana kuzaa Mtoto Wake mwenyewe lakini hali kiuchumi ineluctable kikwazo kwake.

Amber Lulu amekiri kuwa anatamani sana kuitwa mama Kama ilivyo kuwa kwa marafiki zake wengine na hata wasanii wenzake lakini hawezi kwa sababu anaona kabisa kuwa ramani hazisomeki.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Gazeti la Risasi Jumamosi, Amber alisema kuwa iwapo atapata mwanaume wa kuishi naye ambaye hana longolongo, ataanzisha naye familia lakini kwa sasa maisha yake ya kimapenzi hayaelewielewi.

Siyo kwamba sipendi watoto jamani lakini naona bado ramani haijasomeka kabisa maana siyo nazaa halafu hata ‘pampers’ ya kumvalisha mtoto nakosa, kitu hicho sikipendi kabisa, bado naangalia kwanza, kwani kuzaa sio fasheni”.

 

 

Amber Lulu Afunguka Baada Ya Kupata Ajali Mbaya

Video vixen na msanii wa Bongo fleva mrembo Lulu Eugen maarufu kama Amber Lulu amefunguka mara baada ya kunusurika kifo baada ya kupata ajali ya gari iliyotokea usiku wa kuamkia jana.

Siku ya jana Amber lulu aliweka wazi kuhusu ajali mbaya ya gari iliyomkuta ingawa alikiri kupata majeraha kidogo lakini uoga alioupata ulikuwa mkubwa zaidi.

Kwenye exclusive interview na Global Publishers, Amber Lulu amefunguka kuwa anamshukuru Mungu kwa kuwa ametoka salama kwenye ajali hiyo iliyotokea juzi kati usiku wakiwa njiani kuelekea katika siku ya kuzaliwa ya msanii mwenzao, Messen Selekta.

Kwa kweli ilikuwa ajali mbaya sana, kwa sababu hata ukiiangalia gari tuliyokuwa tumepanda huwezi kuamini kama kuna watu wamepona, imeharibika vibaya, namshukuru sana Mungu kwa sababu nimetoka salama japo nina jeraha dogo mkononi”.

 

 

Amber Lulu Amsusuia Jina Amber Rutty

MwanadadaAmber Lulu amefunguka na kusema kuwa hataki tena kuitwa Amber kama ambavyo alikuwa akiitwa hapo awali kutokana na ukweli kuwa watu wanaokuja baaada yake wamekuwa wakilitumia jina hilo vibaya na kumchafua yeye na jina lake la Amber.

Maneno ya Amber Lulu yamekuja baada ya mwanadada Amber Rutty kukutwa na skendo ya kusambaza picha akiwa na mpenzi wake faragha na pcha hizo kufanya jina la Amber Rutty kuchafukliwa sana na habari hizo.

Amber Lulu anasema hata kaka mwanadada huyo anafanya mambo hayo kwa kiki ni vibaya na inachafua sana  taswira ya wanawake   na pia neno AMBER  linemkuwa likiwafanya mashabiki wajue kuwa ni jina lake hivyo kama ni kiki basi anamuachia jina lake mwanadada huyo.

wengi wamekuwa wakijua kuwa ni mimi na kwa hilo amekuwa akinivunjia heshima , na kwa sababu ya hilo naona ni bora kumuachia hilo jina la amber ahanagaike nalo yeye mwenyewe.

Pamoja na kwamba Amber rutty amekuwa akikiri kufaynya jambo hilo lakini pia alisema kuwa mpaa sasa hajui aliyefanya hivyo kutokana na kwamba simu iliyokuwa na video hiyo iliiibiwa.

Amber Lulu Anasurika Kifo Baada ya Kupata Ajali Mbaya.

Mwanadada Amber lulu kutoka katika kiwanda cha bongo fleva amenusurika kifo baada ya kupata ajali mbaya akiwa anaenleka katika party ya producer Mesen selekta .

Hata hivyo ambaer anaetamba sana na wimbo wake wa jini kisirani anasema kuwa anamshukuru Mungu kwa sababu mpaka sasa hali yake inaendelea vizuri.

Akiongea na waandishi wa habari Amber lulu anasema ” wiki hii imekuwa ya misukosuko kwangu sana,lakini jana kwenye mida ya saa 7 tulipata ajali tulikuwa tukielekiea kwenye birthday party lakini shukuru mungu tulitoka salama ingawa mimi nilibanwa sana mkono.

“Bila wewe ningekuwa nimebakwa” Prezzo’s ex lover Amber Lulu thanks Mbosso for rescuing her from rapist

Amber Lulu would be telling a different story today were it not for Mbosso. The popular video vixen has come out to reveal the Wasafi singer saved her from being raped.

The Tanzanian video vixen, who dated Kenyan rapper Prezzo for a year, opened up about the near rape incident on her birthday message to Mbosso.

Mbosso turned a year older on Thursday October 4th, the Wasafi singer will be celebrating his birthday this Friday together with his boss Diamond Platnumz who turned 29 on Tuesday October 2nd.

Friendly and kind-hearted
Mbosso
Mbosso

Amber Lulu described Mbosso as a kind and sympathetic person on her birthday message to him. She didn’t divulge more details about the near rape incident but she wholeheartedly thanked Mbosso for what he did for her.

“Happy birthday ???? @mbosso_ kuna watu waachee tu mungu awape roho zao sio za kawaida unakumbuka @mbosso_ bila ww leo katika maisha yangu ningekuwa na stor ya kubakwa ? na Sijawah kusikia popote mpaka leo nimeongea mwenywe happy birthday ?????,” wrote Amber Lulu.

 

Mbosso Alinisaidia Nilipotaka Kubakwa-Amber Lulu

Video queen na Msanii wa Bongo fleva Lulu Eugene maarufu kama Amber Lulu amefunguka na kudai Msanii mwenzake Mbosso kutoka WCB alimsaidia alipotana kubakwa miaka ya nyuma.

Leo ni siku ya kuzaliwa kwa Mbosso, Amber Lulu ni mmoja kati ya wasanii ambaye amemposti Kwenye mitandao ya kijamii na kumtakia heri lakini Kwenye posti yake Amber Lulu amemshukuru Mbosso na kutoa siri nzito.

Amber ameweka  wazi kuwa miaka ya nyuma Mbosso alishawahi kumsaidia alipokuwa anataka kubakwa Lakini pia hajawahi kumwambia mtu yoyote.

Kupitia ukurasa  wake wa Instagram, Amber Lulu ameandika:

Nuh Mziwanda Alivunja Mahusiano Yangu na Prezzo- Amber Lulu

Msanii wa muziki wa Bongo fleva na video vixen maarufu Lulu Eugene ‘Amber Lulu’ amefunguka na kudai kuwa Msanii wenzake Nuh Mziwanda ndiye sababu kubwa ya Penzi lake na Prezzo kufa.

Amber Lulu na Prezzo walikuwa Kwenye Mahusiano ya muda mrefu lakini mapenzi yao yaliingia doa mara baada ya video iliyomuonyesha Nuh Mziwanda na Amber Lulu wakifanya yao kusambaa kwenye mitandao ya kijamii.

Kwenye mahojiano aliyofanya  katika kipindi cha The Playlist cha Times FM, Amber amekiri kuwa kuna kipindi alikuwa karibu na Nuh Mziwanda na baadaye picha zake zilisambaa mitandaoni  wakiwa karibu wakijiachia kimahaba.

NUH NI MSHIKAJI TU ILA NDOA YANGU NA PREZZO ALIMAIND ILE KUKISIANA KISIANA NA NUH MZIWANDA JAPO NI MAKOSA TU KWAKUWA MIMI NI KIJANA NA YEYE YUPO MBALI MI NIPO HUKU MUDA MWINGINE NAHITAJI VITU VINGI LAKINI KUTELEZA KUPO  ILA NILIJITAHIDI SANA KUOMBA MSAMAHA SANA NIKAONA KAMA KANIKAZIA HIVI MWISHO WA SIKU NIKAONA NAOMBA MSAMAHA SANA KWAAJILI YA NINI NIKAONA FRESH TU KAMA UMEAMUA POA WACHA NIISHI MAISHA YANGU”.

Amber Lulu amesema hivi sasa ameamua kuwa Single ili apate muda wa kufanya kazi zake kwa uhuru bila kujali wanaume.

KWA SASA HIVI NIPO SINGLE SIHITAJI BOYFREND WALA MCHUMBA MUDA NINAOUPOTEZA KWAO NI BORA NIFANYE MAMBO YANGU ILA IKIFIKA MUDA NIKIMTAKA MTU NAMLIPA ARAFU TUNAMALIZANA FRESH SIHITAJI MUDA WA KUSUMBUANA WALA HUYO NUH HATA SIMTAKI YEYE MWENYEWE MAISHA YAKE YANAMSHINDA”.

Nuh Mziwanda Hawezi Kunitunza :-Amber Lulu.

Mwanadada Amber lulu  amefunguka nan kukanusha tetesi zinazondelea juu yake kuhusu mahusiano yake na msanii mwenzake Nuh mziwanda ambae hapo awali aliwahi kuwa na mahusiano na mwanadada shilole.

Amber Lulu anasema kuwa hakuna ukweli wowote kuhusu swala hilo na kusema kuwa hakuna kitu kama icho kinaweza kutokea kwa sababu hata familia yake inaweza kumshangaa kwa hilo.

Amber Lulu anasema kuwa sababu kubwa mabayo inamfanya aseme hawezi kuwa na mahusiano na Nuh Mziwanda ni kwa sababu hana pesa za kuweza kumtunza yeye na hata ndugu zake wakisiskia hivyo wanaweza kumshangaaa.

 

Najipendekeza Wasafi ili Niwe Msanii Wao :-Amber Lulu

Mwanadada Amber Lulu  amefunguka na kusema kuwa kwa siku nyingi amekuwa akitamani sana kufanya kazi na  wasanii wa kundi la WCB  kutokana na kujituma kwao kufanya kazi lakini pia kwa kazi zao nzuri ambazo kila mtu amekuwa akiziona .

amber lulu anasema kuwa na ndio maana amekuwa akikaa karib na WCB ili kujipendekeza ili siku moja wamuone ka kumchukua kama msanii wao.

wasafi wanajituma sana na wanajua sana muziki,  na ndio maana najipendekeza ili niwe msanii wao, magari yale yananitia sana uchizi.

Young Dee Akana Kuwahi Kuwa Kwenye Mahusiano na Amber Lulu

Msanii wa Bongo fleva Young Dee ameibuka na kumtolea maneno shombo aliyekuwa mpenzi wake Amber Lulu na kudai hajawahi kuwa na mahusiano naye ya kimapenzi.

Wawili hao waliingia Kwenye bifu zito siku za hivi karibuni na kurushiana maneno mazito na matusi Kwenye mitandao ya kijamii.

Young Dee ameibuka na kuweka wazi kuwa hajawahi kuwa Kwenye Mahusiano na Amber Lulu yaani hajawahi kuwa girlfriend wake bali alikuwa ni mtu aliyekuwa yupo kwa ajili ya kukutana naye kimwili kila muda anaotaka.

Kwenye mahojiano na Sam Misago Tv, Young Dee amefunguka haya:

Amber hajawahi kuwa girlfriend wangu alikuwa ni bootycall wale watu unawapigia sana kumi usiku tu sasa unamuitaje Ex girlfriend wangu wakati sijawahi hata kukutana naye mchana”.

NIlikuwa nakutana na Amber kipindi kile nakunywa makonyagi tu siku hizi nimeacha pombe sina sehemu za kuktana naye maaana sio level zangu”.

Amber Lulu aliweka wazi kuwa bifu lake na Young Dee lilianza mara baada ya Amber kukataa kuwa kwenye Mahusiano naye.

Bifu la Amber Lulu na Young Dee Lapamba Moto

Msanii wa Bongo fleva na hitmaker wa Bongo Bahati Mbaya Young Dee ameingia Kwenye bifu zito na aliyekuwa mpenzi wake na msanii mwenzake Lulu Eugenn maarufu kama Amber Lulu.

Bifu la Amber Lulu na Young Dee lilianza Siku za nyuma baada ya Amber kumtuhumu Young Dee kwa kumpa kipigo studio baada ya kumuona akiwa na mwanaume mwingine.

Amber Lulu alimtolea povu zito Young Dee baada ya picha zake za Harusi kusambaa Kwenye mitandao ya kijamii ambapo Amber rapa huyo hawezi kuoa kwa sababu hicho si kitendo rahisi na ukiangalia yeye mwenyewe sasa hivi anatamani kuolewa, hivyo kumtaka afanye muziki bila kutengeneza kiki kama anaweza.

Global Publishers lilimtafuta Young Dee Baada ya povu Amber ambapo Meneja alifunguka:

Young Dee hawezi akabishana na mtoto wa kike halafu hata hivyo huyo Amber Lulu hawezi akafanya muziki mzuri bila kufanya kiki na tena ukiangalia kiki zake nyingi ni lazima amtaje Young Dee, kwa sababu anajua kuwa brand kubwa hivyo anaona akimtumia lazima atoboe”.

Amber Lulu naye alifunguka tena kuhusu Young Dee ambapo aliendelea kumtolea shombo baada ya kusema anahitaji kuolewa kwani hawezi kuoa:

Niliongea vile kwa sababu najua Young Dee hawezi akatoa wimbo bila kufanya kiki, anadanganya watu kuoa wakati yeye mwenyewe anahitaji mtu wa kumuoa, halafu ukiangalia kiki ni kubwa kuliko wimbo anaotaka kuutoa yani kiufupi siku hizi muziki wake ushakufa labda ajipange upya“.

 

 

Amber Lulu Adaiwa Kumwaga Matusi Mbele Ya Mashekhe

Msanii wa muziki wa Bongo fleva anayefanya vyema na ngoma yake ya ‘Jini kisirani’ Amber Lulu amedaiwa kumwaga matusi ya haja mbele ya viongozi wa dini ambao walikuwa safarini.

Global Publishers wanaripoti kuwa Amber Lulu aliongelea maneno hayo machafu alipokuwa kwenye ndege anasafiri kutoka Mwanza kuja Dar Es Salaam ambapo Idadi ya mashehe waliosikia ‘domo’ la msanii huyo likimwaga mitusi ni saba, kibaya zaidi miongoni mwao alikuwepo Mufti wa Tanzania Abubakary Zuberi na Shehe wa Mkoa wa Dar es Salaam, Alhadi Mussa Salum, mashehe wanaoheshimika.

Inadaiwa sakata hilo lilianza baada ya Amber Lulu kuanza kugombana na mtu aliyekaa naye siti moja baada ya kuomba Msanii huyo ahamishwe siti basi kusikia hivyo Amber Lulu alianza kuporomosha matusi mazito kwa Abiria mwenzake.

Kwa nini nikakae Kuna mtu kalipa milioni humu …(tusi zito)” sauti za “astaghfirullah” zikasikika kuashiria kuna watu walikuwa wakiomba msamaha kwa Mungu.

Kuashiria kwamba aliyekuwa akiombewa msamaha zaidi hajitambui akaporomosha tusi tena, kisha akanyanyuka kama mtu anayesema “mtanifanya nini?” Akaaga kwa sauti:

“Naenda chooni nilikirudi huko nataka kumjua aliyeniambia nihamie nyuma… (tusi zito tena) sauti za “astaghfirullah” zikafuatia”.

Haikujulikana kama ni ulevi au ndiyo akili za msanii huyo imepinda alianza kufanya mambo ambayo hayakuwa ya kawaida kwani alipotoka maliwatoni maziwa yake yalikuwa nje na hata sehemu nyeti za mwili zikionekana.

Mwanaume wa Kuishi na Mimi Anahitaji Kuwa na Akili Hata Kama sio Mvumilivu : Amber Lulu

Mwanadada kutoka katika tasnia ya muziki wa bongo fleva Amber Lulu  siku ya august 02 alikuwa akitambulisha nyimbo yake mpya katika ofisi za Clouds Media, amefunguka na kusema kuwa kwa sasa yeye yupo single lakini anataka mwanaume mwenye akili.

Ambaer lulu ambae hapo awali aliwahi kutangaza na kusema kuwa yuko single baada ya kuachana na mwanamuziki Prezzo , anasema kuwa hataki mwanaume mvumilivu yeye anataka mwanaume mwenye akili ili aweze kuishi nae kwa sababu hata yeye ana akili nyingi sana.

Niko single kwa sasa na nafasi iko wazi kabisa, lakini mwanaume ambae nina mtaka inabidi awe na akili sana za kuishi na mimi, maana kuishi na mtu na mimi inahitaji akili sana hata kama hatokuwa na uvumilivu.;-Alisema Amber lulu.

 

 

 

Amber Lulu Asema Hataki Tena Kupoteza Muda kwa Sababu ya Mwanaume.

Tangu mwanadada Amber Lulu atangaze kuwa single hajataka kubadilisha msimamo wake kuwa hataki tena na mahusiano ya kimapenzi na mwanaume yoyote kwa sababu anachoamini kuwa kwa muda wote aliwahi kuwa katika mahusiano kulikuwa kuna kupotezeana kwa wakati kati yake na wanaume wake.

Amber Lulu ambae alikuwa katika penzi zito na msani kutoka kenya prezoo walikua kuachana ghafla baada ya kusambaa kwa picha za mwanaume huyo akiwa na mwanamke mwingine, kitu kilichomuuma sana Amber Lulu, na kuamua kutangaza kuwa yuko single.

Amber Lulu  ameuambia mtandao wa Pro24Djs kwamba amepotezewa sana muda na wanaume ambao hawana msimamo katika mapenzi.

“Kama kutoka kimapenzi na mtu ambaye hajui thamani yako, ndio kitu ambacho huwa nakifikiria kwasababu nimepoteza sana muda,” alisema Amber Lulu. “Huwaga hicho kitu kinaniumiza sana,  muda ambao nilikuwa naupoteza na nguvu ambazo ningeziweka kwenye muziki wangu ningefika mbali sana,”

Aliongeza, “Ndio maana watu wanasema ni bora mtu akupende kuliko umpende, kwa sababu ukimpenda inakuwa ni shida. Vitu kama hivyo vimenipelekea kufanya vitu vya ajabu, unakuwa na watu ambae haujawataka, inakuwa kama ni hasira kwahiyo imenifanya nisitamani kumuona mwanaume yeyote katika macho yangu,”

 

 

 

Wee shoga nini! Prezzo’s ex girlfriend Amber Lulu calls out Diamond Platnumz for wearing ankle bracelet (Photos)

Diamond Platnumz stirred up talks on social media after he was seen wearing ankle bracelet during one of his performances in America.

Popular Tanzanian video vixen Amber Lulu joined the bandwagon that trolled Diamond for putting on the ankle bracelet which is mostly worn by ladies.

Diamond performing, notice the ankle bracelet on his left leg
Diamond performing, notice the ankle bracelet on his left leg
Not enough women at Wasafi

Amber Lulu jokingly asked Diamond to sign her to his record label Wasafi. Prezzo’s ex girlfriend claims Diamond wears ankle bracelet because there are not enough women signed to his label. Diamond’s sister Queen Darleen is the only female musician signed to Wasafi.

“amber___luluSema mzee wa vikuku si niwe tu msanii wako jamani kwani unasubili mpaka uvae kikuku cha pill ???? @diamondplatnumz,” wrote Amber Lulu.

https://www.instagram.com/p/BlQ6eHthODV/?

 

 

 

 

Amber Lulu Akana Tetesi Za Kurudiana na Aslay

Video vixen maarufu ambaye pia ni msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayetamba na kibao chake cha ‘Jini kisirani’ Amber Lulu amefunguka na kukamatwa kurudiana na msanii mwenzake Aslay.

Miezi michache nyuma Amber Lulu aliyoa siri ambayo haikujulikana kwa watu wengi kuwa yeye na Aslay walishawahi kuwa wapenzi siku za nyuma kabla hajawa maarufu.

Siku za hivi karibuni baada ya Amber kutangaza kuachana na aliyekuwa mpenzi wake Prezzo na kudai yupo single amesemekana kurudiana na Aslay ambaye pia ameachana na mama watoto wake.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Amber amekana kurudiana na Aslay lakini alionekana kugoma kabisa kuiongelea ishu hiyo:

Mimi sina mahusiano yoyote na Aslay”.

Mapema mwaka huu Kwenye Interview moja aliyofanya Amber alidai katika wanaume Wote aliowahi kuwa nao Aslay ndio amewahi kumridhisha zaidi.

Amber Lulu Aomba Msaada WCB na Kumtupia Dongo Diamond

Video Vixen na Msanii maarufu wa muziki wa Bongo fleva Amber Lulu amezua gumzo kwenye mtandao wa Instagram baada ya kumtupia Dongo staa wa Bongo fleva Diamond Platnumz.

Siku chache zilizopita Diamond alizua gumzo baada ya kuposti picha akiwa amevaa cheni ya mguuni ‘kikuku’ ambacho kimezoeleka kuonekana kimevaliwa na wanawake.

Amber Lulu aliposti picha ya Diamond akiwa amevaa kikuku na kuomba nafasi ya kusainiwa ndani ya WCB lakini alisindikiza na maneno ya kejeli kuhusu kuvaa kikuku.

Amber alitumia picha hiyo kumuomba Diamond kumpa nafasi ya kuwa Bosi wake na kumuomba ampe mkataba wa kuwa mmoja kati ya wasanii walio chini ya lebo ya Wasafi Classic Baby (WCB)

https://www.instagram.com/p/BlQ6eHthODV/?utm_source=ig_share_sheet&igshid=1isnpb8nfnavt

Diamond ni CEO wa WCB na katika label hiyo kuna wasanii kadhaa wa kiume lakini kuna msanii mmoja tu wa kike ambaye nidada yake na Diamond, Queen Darleen kwaiyo itakuwa ni vema kupata msanii mwingine wa kike ingawa Diamond

Prezzo’s Ex Amber Lulu now done with relationships since men don’t lover her 

A former lover to Kenyan rapper Prezzo has come out to claim that she won’t be dating any more after her recent relationship went to the dogs.

Tanzanian singer and socialite Amber Lulu, who dated Prezzo a few months ago, has come out to share that relationships have been bad for her since most men want her because she’s just famous and are not in love.

No love

Lulu and Prezzo

“Mapenzi yameninyoosha bora niyapige chini maana wanaume wengi wananipenda kwa sababu ya umaarufu wangu, lakini unakuta hawana mapenzi ya kweli kwangu. Ninaona tu huko ninapoteza muda na kuambulia maumivu, kwa hiyo bora nijiweke wazi tu, hakuna namna,” she told Global Publishers.

Lulu and the flamboyant rapper Prezzo broke up after a video clip leaked online showing the Tanzanian singer getting cozy with a man who goes by the name Nuh Mziwanda.

Young Dee sio Type Yangu Akitoa Prezzo Sasa Labda Anaweza Kuwa Wizkid au davido :-amber lulu.

Baada ya mwana dada Amber Lulu kuthibitisha kuwa alipigwa na young dee studio  na kusema kuw aswala kubwa liliomfanya mwanaume huyo kumpiga ilikuwa ni wivu aliuonao kwa kuwa amekuwa akimuona yuko na wanaume wengine tofauti na yeye,

hata hivyo Amber Lulu anasema kuwa  Young Dee sio type yake tena kwa sasa kwa sababu kama ametoka kuachana na prezoo kutoka kenya wala hafikirii kuwa na Young Dee tena labda aende mbele zaidi kwa watu kama Davido au Wizkid.

Akihojiwa na mwandishi amber lulu anasema” Alinikuta nikiwa na meneja wang studio akataka kuanza ku-make drama naona akaona wivu lakini anashindwa kujua kuwa sio type yangu young dee kwa sasa hivi  kashatoka prezzo anatakiwa aje mtu  mwingine kama wizkid, au davido,

Amber lulu ambae aliwahi kuwa na mahusiano ya yong dee na baada waliachana na yeye akawa na mahusiano ya mapezni na msanii kutoka kenya ambae walikuja kuachana vbaya na Amber Lulu kutangaza kuwa yuko single na hataki tena kujihusisha na maswala ya mapenzi kwa sasa.

 

Amber Lulu Apewa Kichapo Cha Mbwa Koko na Young Dee

Video Vixen na msanii wa Bongo fleva anayefanya vizuri na Single yake ya ‘Jini kisirani’ Lulu Euggen maarufu kama Amber Lulu amekiri kupokea kipigo cha mbwa koko kutoka kwa msanii mwenzake Young Dee.

Wiki iliyopita kipindi cha XXL cha Clouds Fm waliripoti kuwa Kwenye studio fulani hapa Mjini Amber Lulu alionekana akiwa anapigwa vibao, ngumi na hadi mateke na Young Dee.

Baada ya kipigo hiko Amber aliweka wazi kuwa sababu iliyomfanya mpaka Young Dee ampige ni baada ya kukataa kuwa naye Kimapenzi na kisha kutinga ndani ya studio hizo na mwanaume mwingine.

Kwenye mahojiano na Sam Misago Amber alikiri kupigwa na Young Dee lakini amesisitiza kuwa ulikuwa ni wivu wa kimapenzi:

Kweli Young Dee amenipiga kwa ajili ya wivu mimi ni mzuri lazima unitamani we mwenyewe umeona hili tak* usilitake Tena ? Mimi ni mzuri alafu ananitaka halafu mimi simtaki siwezi kuwa na bwana mariooo alivyoniona akaanza kuniletea Sholo nyingi alafu mimi sitaki shobo”.

Amber Lulu ameshawahi kuwa na Mahusiano na Young Dee katika siku za nyuma lakini wawili hao walishaachana ingawa Amber amekiri mara kwa mara kuwa anampenda sana.

Amber Lulu Aweka Mapenzi Pembeni Baada Ya Kuumizwa

Msanii wa Muziki wa Bongo fleva anayefanya vizuri na ngoma yake ya ‘Jini kisirani’ Lulu Euggen maarufu kama Amber Lulu amedai ameamua kuweka masuala ya mapenzi pembeni.

Kwenye mahojiano na Global Publishers Amber Lulu ameweka wazi kuwa, amekuwa kwenye mahusiano mengi, lakini anaona ni kama anapoteza tu muda wake tu.

Mapenzi yameninyoosha bora niyapige chini maana wanaume wengi wananipenda kwa sababu ya umaarufu wangu, lakini unakuta hawana mapenzi ya kweli kwangu. Ninaona tu huko ninapoteza muda na kuambulia maumivu, kwa hiyo bora nijiweke wazi tu, hakuna namna“.

Amber Lulu amemaliza Mahusiano Yake ya kimapenzi siku chache zilizopita na Msanii kutoka +254 Nairobi, Kenya Kwa tuhuma za kuzidisha michepuko.

Amber Lulu Atangaza Kuwa Single, Asema Mapenzi Yamemshinda

Mwanadada Amber Lulu amefunguka na kusema kuwa kwa sasa hana muda wa mapenzi tena na ymeshamchosha kwaio anaona bora achane nayo na kubaki kuwa single kuliko kuenedelea kukaa katika mapenzi kwa sababu sio mapya na hayamuingizii kitu chochote katika maisha yake.

Amber lulu ambae akikuwa katika penzi nzito na mwanamuziki kutoka nchi Kenya, amefunguka  lakini hapo katikati penzi hilo lilionekena kuyumba kutokana na kuwepo kwa mahusiano mapya kati ya msanii huyo na mwanamke mwingine.

Katika ukurasa wake wa instagram, amber lulu aliamua kuandika ‘SINGLE GIRL’ akimaanisha kwa sasa hana mahusiano yoyote  na katika caption yake aliandika kuwa “nimechoka , maisha mengine yaendelee.ya mbwana yamenishinda ngoja nikitulize tu nitafute ela maana sio mapya.”

 

Aslay denies having sex with Prezzo’s ex girlfriend Amber Lulu

Prezzo’s ex girlfriend Amber Lulu confessed during an interview with Global TV online that she dated Aslay back then when he was still struggling to make it in music industry.

Amber Lulu even described Aslay’s bedroom skills during the interview, she said the young singer was a bedroom bully.

“Kwenye game yuko noma. Aslay kiboko kabisa,” said Amber Lulu.

Lulu further claimed that Wema Sepetu was the reason why Aslay broke up with her. She revealed that Aslay fooled around with Wema Sepetu while they were still dating, and even cohabited for a while at the peak of their illicit love affair.

Amber Lulu and Aslay back then when they were still ashy and broke
Amber Lulu and Aslay back then when they were still ashy and broke

Also read: Waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume” Wema Sepetu and Aslay’s love affair revealed 

She’s lying

Aslay has since dismissed Amber Lulu’s revelations as pure malicious lies. The singer said Prezzo’s ex girlfriend was just being controversial.

“It’s just a publicity stunt to create an unnecessary scandal. Nothing like that has ever happened. Nowadays, people just talk the way they want without much thought to the consequences. If you follow me closely, you know I’ve never dated her. I have never been together with her because I respect her and she does the same to me,” said Aslay.

 

 

 

Penzi la Prezo na Ambaer Lulu Laingia Mdudu

Mwanadada Amber Lulu hapo siku za nyuma alikuwa akijitapa baada ya kuonekana akiwa katika mahusiano ya kimapezni na msanii kutoka Kenya Prezzo na kusema kuwa wawili hao hawawezi kuachana  kwa sababu wana mpnago wa kufunga ndoa lakini mambo yamekuwa sio baada ya kusambaa picha za mwanaume huyo akiwa na mwanamke mwingine.

Picha hizo zilizonyakwa huko mitandaoni zinamuonyesha prezzo akiwa na mwanamke mwingine huku katika ukurasa wa mwanamke huyo akiwa ameweka caption inayoashiria kuwa waili hao ni wapenzi .

Hata hivyo hapo awali kuna picha pia zilikuwa zikisambaaa katika mtandao zikimuonyesha aslay akiwa na amber lulu nahata ambaer lulu alipoulizwa alisema kuwa yeye na Prezo mambo yao hayajakaa vizuri lakini aliwahakikishai waandishi kuwa kila kitu kitakuwa solved.

Lakini siku za hizvi karibuni inaonekana kabisa kuwa pezni la wawili hao linaendelea kupumulia mashine kwanza kutokana na ukaribu wa kimapenzi kati ya prezzo na mwanamke mwingine lakini pia kutokana na picha Amber Lulu anazoweka katika ukurasa wake akimuomba mpenzi wake hyo msamaha.Hata hivyo amber lulu hajaongea chochote kuhusu mahusiano hayo mpaka sasa.

“Wee tafuta mkwanja kwa juhudi zote” Prezzo’s girlfriend Amber Lulu offers Hamisa Mobetto support

Hamisa Mobetto come under heavy fire from Diamond Platnumz’s family when a new song ‘Iyena’ was released. The music video showed Diamond and Zari’s wedding.

Hamisa was forced to call out Diamond on social media for failing to defend her against attacks from members of his family including his mother and sister.

“Lakin ndugu zako hawabebeki its too much talk to Your familia maana wewe ni mwanaume na uwezo wa kunyamaliza…Na pia waambie unahitaji Mke sio House girl wa Nyumba…Mwanamke kazi yake kukupikia Ule … Nk, au nlikua sikupikii tena sio wewe tu na Ndugu zako mkala na kusanza ? … leo imekua hamisa hajui kupika kusafisha nyumba kwahiyo chumba chako tukimaliza lalana huwa anasafisha nani ? Au walitala niende kwafulia vyupi vyao nikimaliza niwapigie deki mpaka chumbani kwao ? Wakishindwa kuniheshimu basi waambie waheshimu damu yako,” wrote Hamisa Mobetto on Instagram.

Also read: “Pack your bags up and leave” Diamond’s sister tells Hamisa Mobetto to clear the way for Zari’s return

Focus on your business

Prezzo’s girlfriend Amber Lulu has come out to offer her support to Hamisa Mobetto. The popular video vixen encouraged Mobetto to ignore the distractions from haters and focus on making money.

“Mimi namuamini sana Mobetto na ninajua kwamba ni mwanamke anayejiamini kwa kila kitu, kwa hivyo hili lililomtokea ni changamoto tu katika maisha niseme tu kwamba yeye aendelee na biashara zake kwa nguvu zote na kufanya kazi ili aweze kulea familia yake, achukulie hii ndio changamoto ya yeye kukaza buti na kutafuta mkwanja kwa juhudi zote, mwanaume kama anampenda atarudi tu,” said Amber Lulu during an interview with Star Showbiz.

 

 

Amber Lulu addresses claims she aborted Prezzo’s unborn child

Amber Lulu has set the record straight in regard to claims that she aborted unborn baby fathered by her Kenyan boyfriend Prezzo.

A source close to the socialite told Tanzanian daily Ijumaa Wikienda that Lulu was knocked up by her boyfriend a while back when she stayed with him in Nairobi.

Apparently Lulu terminated the pregnancy before the baby bump became visible. The source further reveals that the socialite didn’t even tell Prezzo she was expectant.

“Unajua Amber alipopata ujauzito huo nahisi alikuwa hana maelewano mazuri na Prezzo akaona amfiche kwanza kusikilizia kama wataelewana,” the source told Ijumaa Wikienda.

Did anyone see a baby bump?
Amber Lulu
Amber Lulu

Amber Lulu responded to claims she aborted Prezzo’s unborn baby. She refused to divulge any information any saying that no one saw her with any baby bump.

Below is the conversation Lulu had with Ijumaa Wikienda:

Wikienda: Vipi Amber, mbona nilisikia una ujauzito wa Prezzo?

Amber: Nani amekwambia maana ungeniona hapa na kitumbo.

Wikienda: Nasikia uliichoropoa hukutaka kero.

Amber: Kero ya nini sasa maana mimba ningebeba mimi lakini siyo yeye (Prezzo).

Wikienda: Kwa hiyo bado mko kwenye uhusiano na Prezzo?

Amber: Ndio niko naye bado na kuhusu kushika ujauzito siku si nyingi.

Wikienda: Sasa si ulipata ukatoa?

Amber: Mimi sitaki kuzungumzia hiyo habari bwana na wala sitaki uiandike.

Wikienda: Haya nashukuru sana Amber.

Amber: Asante.

Amber Lulu Amuonea Huruma Hamisa.

Mwana dada Amber Lulu amefunguka na kusema amekuwa akimuonea huruma sana  Hamisa Mobeto kutokana na jinsi ambavyo amekuwa akiandamwa na watu hasa familia ya ndugu wa Diamond mwanaume ambae amezaa nae mtoto mmoja wa kiume na kuonekana kuwa hapendwi na familia hiyo.

Anachokisema Amber Lulu ni kwamba anaamini kuwa Mungu yupo na Hamisa na ipo siku atamuona na kumpigania sana na kumtoa katika kifungo icho cha mateso anachopitia kwa muda wote sasa.

Mimi ninamuamini sana mobeto na nina jua ni mwanamke anaejiamini sana,kwaio hilo linalomtokea sasa ni changamoto tu za maisha , niseme tu yeye aendelee tu na biashara zake  na kazi zake kwa nguvu zake zote na kulea familia yake,achukulie hiyo kama chngamoto tu na kufanya kazi zake kwa bidii na kama mwanaume anampenda basi atarudi tu.

 

 

“Waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume” Wema Sepetu and Aslay’s love affair revealed 

Prezzo’s girlfriend Amber Lulu has opened up about her past relationship with Bongo singer Aslay. Lulu says Wema Sepetu was the reason why Aslay broke up with her.

Lulu claims Aslay fooled around with Wema Sepetu while they were still dating. She further reveals that Wema and Aslay cohabited for a while at the peak of their illicit love affair.

“Kama ukiona mtu ako na mambo yake unahitaji kuchill pia, no need to force. Sababu ashakua (Aslay) na watu wengi. Naskia mara ashakua na Nimaa, ashakua na Wema Sepetu na wakakaa nyumba moja kapika na kupakua… Sasa mimi Amber Lulu najua…Alafu kipindi hicho mimi nlikua bado zile nanyapia nyapia so nkaona tu its ok,” said Amber Lulu during an interview with Global TV.

Bedroom bully

Amber Lulu also confessed to sleeping with Aslay while they were dating. She told Global TV that the young Bongo singer is a bedroom bully.

“Kwenye game yuko noma. Aslay kiboko kabisa,” said Amber Lulu.

Watch the interview below:

 

 

 

 

 

Amber Lulu- Aslay Ameshawahi Kufaidi Penzi La Wema Sepetu

Msanii wa Bongo fleva anayefanya vizuri na kibao chake cha ‘Jini Kisirani’ Amber Lulu amefunguka na kupasua kuwa Muigizaji wa Bongo movie Wema Sepetu ameshawahi kufaidi penzi la staa wa Bongo fleva Aslay.

Amber Lulu, ametoboa siri ya Wema Sepetu na Aslay kuwa wapenzi miaka ya nyuma lakini pia amedai waliwahi kuishi pamoja kinyumba kama mke na mume.

Wiki iliyopita Amber Lulu alianika hadharani kuwa yeye na Aslay walishawahi kuwa Kwenye Mahusiano pale alipoanika orodha ya wanaume ambao ameshawahi kubanjuka nao.

Kwenye mahojiano yake na Global Publishers, Amber Lulu ameweka wazi kuwa kipindi alipokuwa na Aslay alisikia pia alikuwa na Wema Sepetu aliyekuwa anaishi naye nyumba moja kitendo kilichofanya Mahusiano yao yasiwe serious:

Kipindi hiko nilikuwa undergrad nikawa nasikia Aslay alishakuwa na watu wengi nasikia alishakuwa na Wema Sepetu na wakakaa nyumba moja na wakapika na  kupakua halafu mimi kipindi hiko bado kabisa nilikuwa nanyapia nyapia”.

Amber Lulu amedai kuwa Aslay alikuwa ni fundi mzuri sana kunako mausuala ya sita kwa sita huku pia akitumia sifa hiyo kumtofautisha na Mbongo Fleva mwingini, Young D ambaye nae pia alikuwa mpenzi wake lakini hakuwa fundi sana kama ilivyo kwa Aslay.

Amber Lulu- Ma-video Queen Wa Kibongo Hawana Hela Wanajua Kudanga Tu

Msanii wa Bongo fleva anayefanya vizuri na kibao chake cha Jini Kisirani Amber Lulu amefunguka na kuweka wazi kuwa mavideo Queen wa kibongo hawalipwi vizuri wanategemea kudanga tu.

Amber Lulu alijizolea umaarufu kutokana na kuwa video queen ambazo ameshaonekana Kwenye video za Wasanii kibao.

Baadaye Amber Lulu aligeukia muziki wa Bongo fleva ambao umekuja kumpa mafanikio Kupitia kibao chake cha jini kisirani.

Kwenye mahojiano na Wasafi Tv,  Amber Lulu anafunguka na kuweka wazi kuwa wasichana ambao wanatumika kama mavideo Queen Kwenye video za wasanii hawana pesa na hawalipwi vizuri hivyo wanaishia kudanga.

Kusema kweli kibongo Bongo bado uvideo vixen haulipi wengi wanakuwa wanadanga tu na labda uwe unafanya biashara nyingine extra lakini u-video vixen haulipi we mtu unakaa gheto kali lakini unavaa Brazilian hair, unashika simu kali alafu unasema unalipa nani anakulipa? Utaishia kupanda vibajaji hata uber hupandi”.

Lakini pia Amber Lulu amefunguka kuwa muziki unalipa sana mtu unaweza ukaendesha maisha yako kupitia muziki.

muziki unalipa unaweza ukafanya kila na kuendesha maisha yako kila kitu na hata kulipa bili mbali mbali “.

Amber Lulu Aanika Orodha Ya Mastaa Aliowahi Kubanjuka Naye

Video vixen maarufu nchini Amber Lulu ambaye hivi karibuni amepenya Kwenye tasnia ya Bongo fleva na anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Jini kisirani’ ameweka hadharani majina ya wanaume wote aliowahi kubanjuka nao.

Kwenye mahojiano na Clouds Tv, Amber Lulu aliulizwa listi ya wanaume mastaa ambao amesha wahi kubanjuka nao na akawataja hawa:

Barnaba, Aslay, Rammy Galis naYoung Dee lakini Young Dee sio sana, hao wanatosha, hao wengine hapana”.

Aslay nilishatoka naye ila alikuwa ni mtu fulani muelewa, yuko poa, ana heshimu mwanamke. Yuko noma, yuko vizuri, Aslay kiboko kabisa”.

Amber Lulu alipoulizwa kuhusu Prezzo aliweka wazi  kuwa ni mume wake na anampenda lakini pia Amber Lulu  aliweka wazi kuwa kutokana na video iliyovuja kati yake na Nuh Mziwanda imesababisha yeye Kutoswa na Prezzo.

Mrembo Kim Nana Adai Amber Lulu na Gigy Maney Sio Level Zake

Video Queen anayekuja kwa kiasi ya ajabu Kwenye tasnia Lilian Paul Kessy maarufu kama Kima Nana amewaponda vibaya mno wasanii Amber Lulu na Gigi Money huku akidai hawafai kuwa mavideo vixen.

Kim Nana alijizolea umaarufu baada ya kuonekana kwenye video za wanamuziki kama Beka Flavor ameibuka na kudai mavideo Queen hao ambao wameongia Kwenye Bongo fleva hawakuwa level zake.

Kwenye mahojiano na Global Publishers, amefunguka na kudai ni bora wadada hao walivyoingia Kwenye muziki kwani hawakuwa na mvuto wa kuwa wauza sura wa Kwenye video:

Amber Lulu na Gigy Money hawanivutii kabisa na hawana mvuto wa kuwa ma-video queen. Bora ‘wa-stick’ hukohuko kwenye muziki walikokimbilia”.

Lakini pia mrembo huyo alijitamba ni bora kuliko mavideo Queen wote kwa Bongo kwa sababu ana muonekano wa kuwa hivyo tofauti na ilivyokuwa kwa Gigy Money na Amber Lulu.

Amber Lulu

Kim Nana alipoulizwa kuhusu tuhuma za mavideo Queen wengi Bongo kutembea na wasanii mbali mbali ili wapate umaarufu alikataa na kudai yeye yupo kikazi zaidi hana time hiyo:

Mimi ninajiheshimu, nikiitwa na mwanamuziki kuhusu kazi, tunafanya halafu basi. Tutaendelea kuwasiliana kwenye mambo mengine, lakini siyo mapenzi. Sijawahi kutoka kimapenzi na staa yeyote Bongo na sitarajii hilo kwa sababu kuwa na uhusiano na mastaa kuna-umiza kichwa. Wengi hawa-jatulia“.

 

Prezzo’s girlfriend lands lucrative deal with condom manufacturing company after the drama surrounding her HIV status

Prezzo’s sweetheart Amber Lulu couldn’t hide her joy after sealing a deal with leading condom manufacturer to become the company’s brand ambassador.

The Tanzanian socialite disclosed during a radio interview that the deal involved a lot of money even though she didn’t disclose how much she got from the deal.

Amber Lulu signing the condom deal
Amber Lulu signing the condom deal

“I thank God for this opportunity. I have just signed a good deal with a condom company as their brand ambassador that involves a lot of money. It a very big step for me and my fans,” said Amber Lulu.

Controversy

Amber Lulu’s deal comes after the drama surrounding her HIV status. Veteran singer TID warned Prezzo to use condom claiming that Amber Lulu was infested with tons of diseases.

Also read: Drama in Tanzania! TID warns Prezzo to use condom when sleeping with Amber Lulu

 

 

Amber Lulu Apata Dili la Kutangaza Kondomu

Video vixen na msanii wa Bongo movie nchini Amber Lulu anekwaa dili refu la kutangaza Mipira ya kiume/ kondomu.

Amber Lulu amefunguka kuhusu Dili hilo nono aliloplipata huku akiweka wazi kuwa limeweza kumpatia mpunga mrefu:

Nimepata mpunga mrefu nimshukuru Mungu, ni hatua moja ambayo nimepiga, so inabidi tushukuru Mungu wote”.

Baada ya kupata dili hilo Amber Lulu aliweka Habari hiyo njema na kuandika kupitia ukurasa wake wa Instagram:

Hii ni habari njema kwa Amber Lulu ambaye tayari anafanya vizuri na ngoma yake ya ‘Jini Kisirani’.

Prezzo and Amber Lulu expecting their first child?

It has been a while since we spotted Prezzo and Amber Lulu together. For a minute it seemed that their love ship had drowned but it seems that they are just keeping a low profile.

Well, I happened to come across a comment left by Amber Lulu under Prezzo’s photo that has left me wondering whether they are set to have a baby.

This is after Amber Lulu commented to praise Prezzo’s mum for her looks and went on to add that she hopes ‘baby Candy’ inherits her grandmother’s looks.

Baby onboard?

From what we know is that neither has a baby called Candy but they could be expecting a baby together.  Not quite sure what Amber Lulu was hinting but if indeed there is a baby involved then the couple will definitely have a cute baby!

Ommy Dimpoz Amfungukia Amber Lulu Baada Ya Kumwambia Hana Mvuto

Mwanamuziki wa Bongo fleva Omary Nyembo maarufu kama Ommy Dimpoz amemjibu msanii mwenzake Amber Lulu ambaye wiki iliyopita alisema Ommy hana muonekano wa kiume.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Jonijoo wiki iliyopita Amber aliulizwa kati ya Jux na Ommy Dimpoz ni mwanaume yupi ambaye anaweza akawa naye kimapenzi na moja kwa moja Amber Lulu alisema Jux kwa sababu Ommy hana muonekano wa kiume

Jux sawa, Dimpoz hajakaa kama mwanaume, Ommy Dimpoz hawezi kukaa au kushindana na Jux ni zero, hana mvuto wowote , hamna chochote kinachonivutia kutoka kwake”.

Baada ya video clip hiyo kutrend sana ambayo ilikuwa inamuonyesha Amber akiongea hayo Ommy Dimpoz alijibu tuhuma hizo za Amber Lulu kuwa hana mvuto na hana muonekano wa kiume ambapo ameweka nyeusi kwa kusema hataki kumuongelea mtu huyo (Amber Lulu).

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5 Ommy Dimpoz alifunguka maneno haya:

Mimi sijui chochote na sijui hizo stori zimetoka wapi na zimeanzia wapi lakini kikubwa sisi kama wasanii unajua kila siku vitu ambavyo vinatuzunguka ni mambo ya mitandao, kwa hiyo in short no comment”.

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.