Veteran Bongo rapper Mwana FA survives horrific car crash

Back in the day when Bongo music was legit, we used to have the likes of Professor Jay; TmK wanaume, Juma Nature, Chege and Mwana FA among others.

Of course by now they’ve all retired (not so sure about Chege) but with how Bongo music has changes; none of the guys named above has been able to compete with the likes of Diamond Platnumz, King Kiba and the rest.

Mwana Fa declared the new Muheza MP

As for Professor Jay and Mwana FA they both ventured into politics where they’ve both been doing well. However things havent been so smooth for Mwana FA who is presently serving as the Chama Cha Mapinduzi’s Member of Parliament for Muheza constituency.

In 2020 Mwana FA was allegedly hooked to life support machines after contracting Covid 19; which almost robbed him off his life.

Mwana FA hospitalized

Horrific accident in 2021

Well having survived the pandemic in 2020; it appears that Mwana FA will also live to remember 2021 for the rest of his life.

This is after he survived a horrific car crash that has left his car probably written off; but what has surprised many is how he managed to walk out alive and with minor injuries. Announcing about the accident, Mwana FA through his page wrote;

Acheni Mungu aitwe Mungu.. Alhamdulillah!

Mwana FA car after crash
Mwana FA survives road accident
Politician survives road crash

Major wins as WCB’s Babu Tale and Mwana FA bag top parliamentary seats in Tanzania elections

The Wasafi family has bagged double blessings after two of its top members clinched parliamentary seats in the just concluded Tanzania elections.

Diamond Platnumz’ long-time manager, Babu Tale who lost his wife Shamsa Kombo Tale on the morning of June 28, 2020, might finally have something to be proud of, of the dark year.

Their wins

Babu Tale has been declared the new Morogoro South East constituency legislator after going unopposed.

WCB’s Babu Tale declared the new Morogoro South East MP

Meanwhile, popular Wasafi records rapper, Hamis Mwinjuma aka Mwana Fa has been declared the new Muheza constituency legislator.

The two Bongo celebrities vied for their parliamentary seats on the ruling CCM party tickets.

Babu Tale, Mwana Fa clinch parliamentary seats in Tanzania elections

Mwana Fa was among the few lucky CCM members who successfully sought the party’s approval from a pool of 10,367 against 264 parliamentary seats, in August 2020. 

The party’s publicity secretary, Humphrey Polepole, explained that they carefully selected political aspirants “who will protect the wider interests of the people, the party and the nation as a whole”.

WCB’s Mwana Fa declared the new Muheza MP

Babu Tale on the other hand clinched the coveted Morogoro parliamentary seat after flooring Tanzania’s assistant Agricultural minister Omary Mgumbe who was the incumbent.

Barely 3 months ago while declaring his bid for the MP seat, Hamisi Shaban Taletale received massive support from the Wasafi family.

Who expressed strong belief that he could duly deliver both to the political party and the constituents ahead of the October elections.

Wasafi family wins big in the just concluded Tanzania parliamentary elections

The two newest celebrity MPs in town, could not contain their excitement following the mega announcements.

Mwana FA reveals how he beat Coronavirus after testing positive 8 times!

After fans started questioning about Mwana FA’s where abouts; the Bongo singer surfaced yesterday to reveal that he was doing fine and is now coronavirus free!

According to Mwana FA who had an interview on Clouds FM, he went on to reveal that it took him 28 days in isolation for him to recover!

The singer went on to add that things got worse for him after he forced to take several Coronavirus tests; and unfortunately it took him 8 tests for him to test negative.

Mwana FA hospitalized

Speaking to Clouds, Mwana FA went on to add that a test was only carried after 72 hours, which forced him to stay longer in isolation.

Nimekaa siku 28 kwenye isolation, nimepimwa mara 8 hadi kupatikana negative, mara zote nilizopimwa nilikuwa napatikana positive na ukipatikana positive wanakaa masaa 72 hadi kukupima tena! Naweza kusema ni kama huyu mdudu alining’ang’ania.

Fully recovered!

However through it all, Mwana FA has finally recovered and is now back to living his normal life! Just recently he was caught on Camera dinning with some of his friends.

Anyway while responding to a question posed by one of the Cloud FM’s presenter, Mwana FA  confirmed that he was now better. He went on to speak saying;

Mwana FA

Nimepona kwa sasa, tena baada ya kupima mara 8, hata ukiniuliza nimefanya mbinu gani hata sijui, kila kitu nilichokuwa naambiwa kwamba kitasaidia nafanya, jifukize kupitia karafuu, tangawizi na limao kwenye maji, nijifukize kwa dk 15 mara tatu 3 kwa siku nafanya, au kuna dawa ya antibiotic nakunywa.

Mwana FA missing

This comes barely 24 hours after fans and a few friends came out questioning where Mwana FA had disappeared to; shortlists after announcing his Coronavirus results on social media.

He is however not the only one who has been maintaining his silence after getting out of Isolation. So far, Diamond Platnumz manager Sallam SK has also been on the low; but the good thing is that he made it out alive despite the complications!

Where is Mwana FA? Bongo singer disappears from social media weeks after testing positive for Coronavirus

Bongo singer Mwana FA is not known where he is or what happened to him. Before his disappearance from social media; the artist announced that he had been infected by the Coronavirus while jetting back to Tz from South Africa.

According to the singer, he put himself into isolation to avoid infecting his family; and though his case seem mild – a few fans here; and there couldn’t help but troll him for ‘trying to endorse’ the sickness.

Mwana FA hospitalized

However turns out that things were quite serious since he has been missing from social media for about 4 weeks now. Not his Facebook, Twitter nor Instagram have been active for all those weeks a now fans can’t help but question about his whereabouts.

Coronavirus deaths

So far many claims that the government of Tanzania has been hiding the real number of people affected by the virus!

Others claim that the number is higher than what is been being reported and if anything; nothing about virus in Tz is transparent.

Singer MwanaFA

The number of deaths announced also seems quite suspicious and I bet this is why fans now want to know whether Mwana FA is fine.

Mwana FA

Don’t get me wrong, all fans want to know is whether he made it out of the quarantine or not.

Having him disappear from his social media pages has undeniably left some of his fans worried and scared for his family.

And of course being a celebrity, it’s only fair when fans are aware of what is going on in some of these celebs lives. Below are just a few comments from fans questioning about Mwana FA’s current state; now that he seems to have disappeared into thin air weeks after his last post.

“Where is Mwana FA?” fans question

Did Mwana FA lie about his Coronavirus positive status? He speaks!

Mwana FA recently announced that his coronavirus tests came in positive after jetting in to Tz from South Africa; where he had travelled for business.

In his video, the father of two revealed that he was not feeling all well while leaving South Africa; and immediately after arriving in Tz, he went straight to run the coronavirus test just to be sure about his status.

Artist Mwana FA

Fortunately his results came in as soon as possible, a move that helped him protect his loved ones as he did not come into contact with any of children or family members.

Faking sickness

However word on most Tanzanian gossip tabloids is that the rapper lied about his status – just to catch everybody’s attention and of course a pity party of him!

Fans went on to criticize him for acting like the sickness was not dangerous yet they were aware of the cases of deaths back in Europe.

According to most, Mwana FA’s don’t care attitude might have just confirmed that he either lied about his status; or was endorsing the sickness to create awareness around Tz.

Mwana FA

Mwana FA responds

Anyway, through his Instagram page Mwana FA refuted the claims saying;

Siku ya 5;
Ndugu zangu ntaendelea kuwajulisha kinachoendelea sababu najua ni wajibu wangu. Kwa vile nchini kwetu sio watu wengi waliothibitika kuwa na virusi hivi na ni ugonjwa mpya kwa hivyo najua kuna ambao wangependa kujua kinachoendelea kutoka kwa aliyevipata.

Mwana FA

He went on to add;

Poleni kwa waliokwazika nilipouita corona ugonjwa mdogo kulinganisha na Malaria; lakini nilikuwa naelezea nnavyojisikia sasa na nilivyokuwa najisikia mara zote nilizoumwa Malaria. Sio kuudharau. Poleni kwa mkanganyiko ule sikudhamiria itokee namna ilivyotafsiriwa. Ni matumaini yangu mlipata ujumbe mwingine uliokuwa kwenye maandishi yale.

In conclusion Mwana FA said that he just has the normal flu signs; but nothing major to cause an alarm especially now that he has doctors watching him 24/7.

Siku ya 5 kama nilivyosema na homa iliyokuwa dalili ya kwanza iliyonifanya kupimwa haijanirudia,nashukuru,na naomba isinirudie tena. Kichwa changu tu kimebaki kizito,(najiambia labda ni sababu ya kulala sana) na nna vidonda “vya homa” mdomoni.

Zaidi ya hapo nipo sawa tu.
Nawaomba tena mchukue kila tahadhari inayoelekezwa na wataalamu na ukijisikia kuwa na dalili zilizotajwa ama kuona mtu anazo usiache kupiga simu 08001100124 ama 08001100125 kuripoti..itasaidia watu wetu wengi. Tuoshe mikono kama mashindano,na tusipeane hiyo mikono pia. Tusiguse nyuso zetu. Na tukwepe mikusanyiko. Tukidhamiria kwelikweli tutaidhibiti tu Corona.

King Kiba’s message after Diamond Platnumz manager and Mwana FA test positive for coronavirus

Ali Kiba has joined the list of celebrities wishing all coronavirus patients a quick recovery through his Instagram page.

Earlier Friday morning Ali Kiba shared what appeared to be a prayer on his Instagram page; crying out to God not to punish his people with the virus that seems to be making rounds around the world.

Ali Kiba and Ommy Dimpoz
King Kiba with bff, Ommy Dimpoz

According to Ali Kiba the virus seems to have affected even places of worship as people can no longer gather for prayers. Through his Instagram page Alikiba wrote;

Ya Raab, Ya Raab, Ya Raab, tutizame kwa jicho la huruma, tumekosa na sisi ni viumbe dhaifu. Tunakuomba kwa Rehma zako, tuepushie hili janga, tusamehe madhambi yetu.

He went on to add;

Hakuna wakumkimbilia ila ni wewe. Tegemeo letu ni kwako Allah. Usituadhibu kwa kiasi hii, mpaka nyumba yako Tukufu iwe ni shida sisi kuizuru. Kwa Rehma zako, na Imani yako na kwa tegemeo letu kwako wewe In Shaa Allah utatutolea tiba na kurudi kwako. JUMAAA MAQBOOL ????????????????????????????????#Kingkiba

Sallam SK and Mwana FA positive

So far Tanzanian celebrities Mwana FA and Diamond Platnumz manager Sallam SK have confirmed that they tested positive for the coronavirus; however they remain under the care of well trained doctors for now!

King Kiba

Sallam Sk who is in Europe with the rest of WCB team has been keeping a low profile since confirming he had been infected.

Mwana FA is however in Tanzania where he is quarantined to avoid affecting others especially his family and young daughters!

Mwana FA and Alikiba

However with Alikiba’s Friday prayer, it clearly shows that the singer will continue standing in prayers with the rest of the world as we battle the Coronavirus pandemic!

Alikiba has also been maintaining a low profile  and unlike other celebrities using this to their advantage; King Kiba prefers remaining prayerful!

Tanzanian artist Mwana FA tests positive for Coronavirus

Mwana FA has come out to announce that he recently tested for the coronavirus after a few signs here and there; and the results came out positive.

The artist announced this through his Instagram page where he shared a detailed post explaining himself. According Mwana FA went for the coronavirus body test on Friday following a feverish feeling in his body.

Rapper Mwana FA

Having read and understood the different body changes accompanied by the COVID-19 virus; Mwana FA isolated himself to avoid infecting other people.

Coronavirus results

Anyway after receiving his results today, Mwana FA says they came in positive but he feels better; since he has been receiving treatment.

Mwana FA

He went on to urge fans not to panic as the coronavirus is just a flu that gets worse if not treated in time!

Mwana FA recovering

As of now Mwana FA will continue with the quarantine orders to avoid infecting anyone else!

https://www.instagram.com/tv/B96oAt-Bjdp/?igshid=2jtmww9416ff

He is however grateful for the prayers and support he has been receiving so far! In just a few days or weeks the singer will have fully recovered and back to his family!

 

“Hello” by Ommy Dimpoz and Mwana FA is all about lost love

Ommy Dimpoz seems to be making up for the lost time during the nine months he was sick. Having struggled with  such pain I would say its worth it.

After music  releasing spree with collaborations from various East African artists, Ommy Dimpoz teams up with his fellow superstar and longtime friend rapper and lyrical gifted Mwana fa to bring you “Hello”.

Hello

In this song “Hello”,as captioned below the video on Youtube, the  two gentlemen slow in down to describe a lost love. Ommy pleads for his love back, Mwana fa takes on a whole new attitude to express his emotions.

Dimpoz starts of with description of the kind of love he felt for a woman that betrayed him. He says, “Nalikumbuka tabasamu  Ucheshi na upole wake Siamini kama yalikuwa ulaghai…..” Damn!!

He tries to reach her by all means, calls her  but nothing. He goes on to say on voicemail I believe,“Hello! Hello ma, nisikie Hello! Namba yangu ile ile nipigie Hello! Hello ma, nisikie Hello! Sema nikufuate wapi niambie”

Wueeh!Nobody deserves such treatment when it comes to love.

….the rap…..

Mwana Fa of Hello

As the song goes on, celebrated Tanzanian Rapper  takes over with the rap, he talks of how she left without notice.Left him feeling lonely hurt and broken .

Further, there is a point where he says,” Tuliingiana ila sijui aliponyoka Je? Gwanda la buti la kisoja aisee Nafsi na mioyo, akili na mongo Naumia mazima nikimwaza beiby….” . This carries a deep message of hurt and pain in love.

However it does not end there, he goes on to trust that one day the love of his life will one day come back to him.

As they go on they are sure to mention the re-known love story of Rome and Juliet. Come to think of it , was that love?

Production

The song was done under Rockstar Africa Production. Furthermore, giving credit where its due, the graphics in the song were well and the color blending was also well executed.

For this song we say good job boys hope you find your love. For rating purposes I will go for 7/10.Watch and tell us what you think. Enjoy!!!

Mwana FA Aingiza Bidhaa Zake Za Bodyspray Sokoni

Msanii mkongwe wa muziki wa Hip hop Bongo Hamis Mwinjuma maarufu kama Mwana Falsafa ‘Mwana FA’ ametangaza kuingiza sokoni bidhaa yake mpya ya Bodyspray.

Mwana FA amegeukia upande wa pili na sasa anaanza kutengeneza pesa kwa kutumia jina lake ambapo amezindua na kuionyesha kwa mara ya kwanza bidhaa yake ya Body Spray iitwayo FYN BY FA”.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, Mwana FA ameandika ujumbe huu kuhusiana na bidhaa yake mpya:

Mwana FA ameingia kwenye orodha  ya wasanii wengi waliogeukia ujasiriamali na kutoka nje ya muziki kidogo na kutengeneza kipato Kupitia biashara.

“Kukua Kwa Sanaa Haimaanishi Lazima Wasanii Waimbe Matusi, Tubadilike”-Mwana FA

Msanii mkongwe wa muziki wa Bongo fleva anayetamba kwa miondoko yake ya kuchana Mwana FA amesema kuwa kukua kwa sanaa nchini sio lazima wasanii watunge nyimbo zenye maudhui machafu au video zenye muonekano mbaya kwenye jamii, bali ni kufanya kazi kwa bidii na kwa kufuata kanuni na sheria.

Mwana FA amefunguka hayo alipokuwa anaongelea sakata linalokamata headlines hivi sasa la Wimbo wa Rayvanny na Diamond kufungiwa kutokana na kudaiwa kukiuka maadili ya Kitanzania.

Kwenye mahojiano aliyofanya na Bongo 5, Mwana FA alifunguka haya zaidi:

Mimi napenda kuwashauri wasanii kuwa wanapotoa kazi zao wahakikishe wanatoa nyimbo ambazo zitaburudisha Lakini pia zisivuke mipaka ya kuharibu jamii kwasababu ukuaji wa Sanaa sio lazima wasanii watukane kwenye nyimbo au wawe uchi kwenye video zao hapana tubadilike kuna njia nyingi sana zilizo kwenye maadili”.

Mwana FA amesema hayo jana Novemba 14, 2018 muda mfupi baada ya kutoka BASATA ambako alienda kuwaombea msamaha wasanii wa WCB, Diamond na Rayvanny kuhusu kufungiwa wimbo wao wa Mwanza

Mwana FA appeals to Basata on behalf of Diamond to have his punishment reduced

Tanzania’s music regulatory body Basata decided to punish Diamond Platnumz, Rayvanny and Wasafi label for producing a song ‘Mwanza’ that contravenes acceptable morals standards.

Diamond, Rayvanny and Wasafi were jointly been fined Tsh 9 million or Kes 403,197. Basata said they three were each required to pay Tsh 3 million or Kes 134,399.

But it’s not the money that concerns Mwana FA, the rapper met Basata to appeal on behalf of Diamond to reduce the restrictions on ‘Mwanza’.

“Nimeona nije kuongea na Baraza la Sanaa katika namna ambavyo naweza kuomba kama msanii, adhabu aidha ipunguzwe au iondolewe kwa kiwango kinachowezekana ili kufanya wasanii wasiumie,” Mwana FA said while speaking to the press outside Basata’s office.

Apology letter

MwanaFA advises the whole Wasafi management to write a letter of apology to Basata so that the music regulatory body could ease the restrictions imposed on ‘Mwanza’.

“Uongozi mzima wa Wasafi Classic Baby (WCB) na wasanii wao wanapaswa kuandika barua ya kuomba radhi na kuomba kupunguziwa adhabu, halafu hao kama watendaji ndiyo wataamua la kufanya lakini la msingi naamini adhabu haitabaki kama ilivyotolewa siku ya jana.”

 

 

 

 

 

 

Haimaanishi Uwepo Wangu Ukaimba Unachotaka:- FA

Wiki chache zilipzopita wasanii Single Mtambalike pamoja na Mwana FA awaliteuliwa na baraza la sanaa kama wajumbe wa  Baraza hilo , wasanii hao kwa sasa waenaza kufanya kazi katika baraza hilo huku wakihudhuria majukumu yao ya kikazi kama kawaida.

Hata hivyo Mwana FA alionekana jana akiingia katiika ofizi za Baraza hilo akitekeleza majukumu yake huku swala kubwa ikiwa ni kosa la wasanii kutoka kundi la wcb na kupewa adhabu ya kufunmgiwa hata kuambiwa kulipa faini.

Mwana FA anasema kuwa pamoja na kwamba baada ya kuteuliwa kwao wengi walifurahi kuwa watakuwepo kwa ajili ya kutetea haki za wasanii lakini hii haimaanishi kuwa basi  wasanii waimbe wanachotaka kwa sababu tu kuna mtetezi.

Hata hivyo Mwana FA amaemaliza kutataua tatizo la wasanii kutoka WCB kwa kuwaombea kwa uongozi hili kupunguziwa adhabu na kuona jinsi gani wasanii hao wanaweza kutekeleza yale wanayopaswa kuyatekeleza.

Mwana Fa Awaombea Msamaha Wasafi

Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA ambaye pia ni Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi ya Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), leo amefika katika ofisi za Baraza hilo kuwaombea msamaha WCB.

Juzi, Basata waliwalima WCB adhabu ya Sh. Milioni 9 kutokana na wimbo wa ‘Mwanza’ uliofanywa na Ray Vanny akimshirikisha Diamond Platinumz. Pamoja na adhabu hiyo, Basata waliufungia wimbo huo kutopigwa kwenye vituo vya runinga na redio. Pia, iliwataka WCB kuuondoa wimbo huo kwenye YouTube na kutoutumia katika matamasha yoyote.

Akizungumza muda mfupi baada ya kumaliza kikao na watendaji wa Baraza hilo, Mwana FA amesema kuwa amewaombea msamaha WCB na kwamba anaamini adhabu hiyo itapunguzwa, ingawa sharti la kwanza ni kwa uongozi wa lebo hiyo ya muziki kuandika barua ya kuomba radhi.

Mimi nilichofanya ni kuwaomba watendaji wa Baraza, kuona hii adhabu tunaweza kufanya nayo nini isiwaumize. Pengine kuna makosa labda yamefanyika lakini tuone namna ambavyo tutawaadhibu bila kuwaumiza,” alisema FA.“Watendaji wamenielewa na wamesema kwamba uongozi wa Wasafi na wasanii wao wanatakiwa kuandika barua kuomba radhi na kupunguziwa adhabu. Na ninaamini adhabu haitakuwa kama ambavyo imetolewa jana,” aliongeza.

Msanii huyo ambaye ni miongoni mwa wasanii wawili pekee wanaounda Bodi ya Wakurugenzi ya Basata, alisisitiza kuwa alienda kuwaombea msamaha wasanii hao kama mtu binafsi na msanii lakini sio kama mjumbe wa Bodi.

Alisema kuwa Watendaji wa Baraza wana mamlaka ya kutoa adhabu hiyo bila kuingiliwa na mtu yeyote na kwamba suala hilo lingeifikia Bodi endapo tu wasanii walioadhibiwa wangeamua kukata rufaa

Mwana FA na Richie Walamba Shavu Nono BASATA

Mwanamuziki wa mkongwe wa Bongo fleva Hamisi Mwinjuma maarufu kama Mwana FA na msanii mkongwe wa Bongo movie Single Mtambalike ‘Richie’ wamelamba Shavu nono baada ya kuteuliwa kuwa wajumbe wa bodi ya BASATA.

Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt.John Pombe Magufuli amemteua bwana Habbi Gunze kuwa mwenyekiti wa Bodi ya Baraza la Sanaa Taifa (BASATA) na leo Waziri mwenye dhamana ameweza kuteua wajumbe watano,miongoni mwa wajumbe hao wapo wasanii wawili ambao ni Mwana FA pamoja na Single Mtambulike – Richie.

Kufuatia uteuzi huo hii ni nafasi nzuri kwa wasanii kuhusu kwa katika mambo mbali mbali yanayohusiana na BASATA kutokana na kuwahi kulalamika kutoshirikishwa katika maamuzi kadhaa kama kutunga baadhi ya sheria.

Mwana Fa Ajihakikishia Kupata Kazi Sehemu Yoyote.

Msanii wa muziki mkongwe nchini Mwana Fa , amefunguka na kusema kuwa kuna kipindi alishawahi kupata changamoto sana katika kazi yake ya muziki na kumfanya akate tamaa na kutaka kuacha muziki ili aende kuajiriwa sehmu nyingine.

Mwana Fa anasema kuwa pamoja na kwamba alikuatana na changamoto za kumkatisha tamaa lakini aliona sio vyema kuacha kazi ya muziki na kwenda kuajiriwa ingawa akitaka kwenda kuajiriwa anaweza kuapata kazi muda wowote.

mimi kuna kipindi nilikuwa na wakati mgumu na nikafikiria kuwa muziki wenyewe nataka kuachana nao nifanye shughuli nyingine  na bahati nzuri mimi nina backup kabisa na kazi zangu.

ningewez akutoa vyeti vyang na  na nikaendelea na shughuli zingine fresh tu lakini mimi nina back up nzuri na pia nina cinnections nzuri tu , nikitaka kuanza kazi ninaaanza tu hata wiki ijayo tu,kwenda kazini saa mbili mpaka saa 11, yaani hilo sio swala la kujiuliza kabisa.

Mwana Fa anasema kuwa katika kila kazi hakuna sehemu yenye urahisi wa kila kitu kwaio hata kama angeacha kazi ya uziki na kwenda kuajiriwa hasingekuta kuwa huko ndio kuna mambo rahisi sana,maana hakuna sehem iliyotambarare tu , hivyo kitu cha kufanya ni kujikaza na kufanya kazi kwa moya na kujituma bila kukata tamaa na hili amewashauri hata wasanii wengine.

Mwana Fa ni moja kati ya wasanii wachache wasomi wenye kujivunia muziki wao pamoja na elimu kubwa walionayo, hivyo ukiachana na kazi ya muziki lakini pia ni msanii msomi mwenye uwezo wa kuajiriwa kokote kulingana na elimu yake.

Wapo baadhi ya wasanii wamekuwa wakitokomea kusiko julikana na kuacha kazi ya muziki kwa sababu ya mambo magumu wanayokuwa wanakutana nayo katika tasnia.Wengi wanakata tamaa na kuishia njiani.Wapo wanaoinuka kwa kuinuliwa na wapo wanaorudi nyuma na kukumbuka mafanikio yao na wanajipa matumaini lakini pia wapo wanaokata tamaa kabisa na kufa kimuziki moja kwa moja.Mwana Fa anawashauri na kuwatia moyo wasanii kuacha kukata tamaa.

Mwana FA- Sina Bifu na Diamond Wala Simchukii

Mwanamiziki mkongwe wa Bongo fleva Hamis Mwinjuni ‘Mwana FA ‘Mwanafalsafa’ amefunguka na kudai kuwa hana tatizo na msanii mwenzie Diamond Platnumz wala hajawahi kumchukia.

Kumekuwa na tetesi nyingi Sana kuwa Mwana FA na Diamond hawapatani hata kidogo hii ikihusishwa na Mwana FA kuwa na urafiki na mahasimu wakubwa wa Diamond ambao ni Ali Kiba na ukaribu alionao na Ommy Dimpoz.

MwanaFA ameshatoa nyimbo na AliKiba kitendo kilichotafsiriwa na mashabiki wa Diamond (Team Diamond) kuwa amechukua upande wa mahasimu wa Diamond hivyo atakuwa mpinzani na atakuwa namdiss Diamond.

Kwenye Mahojiano aliyofanya na Sky, Dizzim Online Mwana FA aliweka wazi hisia zake kuwa haelewi maneno hayo yanatokea wapi kwani hasa ikiwa wazi kuwa hajawahi kugombana na Diamond hata siku moja na kusistiza hana bifu naye na wala hamchukii:

Unajua mashabiki ni mashabiki hiki kitu kingekuwa kikubwa kama Diamond mwenyewe angekuja akasema mimi nahisi Mwana FA hanipendi hapo tunhweza kuwa na mjadala lakini mimi siwezi kujadiliana na watu ambao wanafikiria nina imani Diamond hawezi kusema vitu wanavyosema wao inawa huwezi kusemea kichwa cha mtu lakini nina imani hawezi kuwa na mindset ambayo wale jamaa wanayo, lakini humu kwenye muziki watu wanajuana lakini mtu ana marafiki zake kwa mfano kitu ambacho nilikiona naulizwa ni mbona Diamond akitoa wimbo humposti? Lakini hawajiulizi kwanini mimi nikitoa nyimbo Diamond haniposti na sijawahi kulalamika mahali popote hapa ndio nipapokwambia kila mtu ana marafiki zake, mbona hakuna ambaye amewahi kunilalamikia kwa nini Shilole ametoa nyimbo sijaposti panini Ommy Dimpoz asipoposti nyimbo yangu tutakuwa na matatizo kwasababu ni rafiki yangu and am supporting him. Lakini Mimi sina tatizo na Diamond hata kidogo wala hatujawahi kugombana”.

 

Mwana Fa Ampa Shavu Diamond,Ni Kuhusu Wimbo Wa Halellujah

Mwana muziki anaefanya vizuri katika miondoko ya hip hop bongo , ameibuka na kuamsha tena hisia kwa watu baada ya kuisifia nyimbo ya Diamond Platinumz inayojjulikana kwa jina la Halellujah na kusema kuwa Diamond alipatia kufanya kolabo wa watu hao.

Mwana Fa ambae ameseam kuwa yeye ni shabiki wa kundi la MorganHeritage kwa zaidi ya miaka kumi sasa anafurahi na anazidi kuwapenda hasa baada ya kufanya kolabo na Diamond Platinumz.Mwana Fa ambaye kwa sasa anafanya vizuri na project yao ya The Butcher na wimbo wao wa Upo Hapo waliofanya pamoja na Ay na Fid q anasema kuwa kundi ilo limekuwa likifanya vizuri sana tangu zamani na ni kundi ambalo amekuwa na mapenzi nalo kila siku na kitendo cha kuimba na msanii Diamond kinazidi kumfanya azidi kuwapenda wasanii wa kundi hilo.

Akiongea na kipindi cha uhondo cha E fm msanii huyo akusita kuonyesha hisia zake,”MorganHeritage ni kundi nililolisikiliza , sana tena kwa miaka mingi sana tangu 2005/2006 na ninaendelea kuwasikiliza mpaka leo ni takribani miaka kumi sasa,na ninawajua mpaka majina yao yote ya ile familia” alisema Mwana Fa

Hata hivyo Mwana Fa anasema kuwa anazidi kumpongeza Diamond kwa sababu alichokifanya katika huu wimbo umemfanya kuwa tofauti na vile mashabiki wake walivyomzoea maana amekuja kitofauti kabisa na inapendeza.

Kwaio niliposikia wamefanya kazi na mbongo  ilinivutia sana na hata  nilipoisikiliza ngoma ni nzuri sana.Ipo tofauti kubwa hata Miamond sio yule ambae  tumemzoea, kwaio ile ngoma ni kali sana.Mimi naona love yangu kwa MorganHeritage iko palepale na  naona wamezidi kuichukua zaidi baada ya huu wimbo na Diamond Platinumz” aliendelea kuongea Mwana Fa

MorganiHeritage ni kundi bora Duniani linalofanya vizuri kabisa katika miondoko ya raggae, na hivi karibuni walifanya kazi nzuri na msanii mmoja kutoka bongo Diamond Platinumz.Wasanii kama Mwana Fa ni watu wanaonyesha mfano bora pale wanapoona wasanii wenzao wamepatia hawajifichi kuonyesha hisia zao kwa jambo ilo, kitendo alichokifanya mwana fa ni kuonyesha upendo kwa msanii  mwenzie.

 

Lady Jay Dee Aongelea Uhusiano Wake na Mwana FA

Mwanamuziki mkongwe wa Bongo Fleva Judith Wambura maarufu kama Lady JD amefunguka kuhusiana na uhusiano mpya alionao na mwanamuziki mwenzake Mwana FA.

Lady JD na Mwana Fa waliwahi kiwa mahasimu wakubwa miaka ya nyuma kidogo lakino hivi karibuni wameweka tofauti zao pembeni na kuendelea na maisha kama marafiki.

Kwenye mahojiano aliyoyafanya na kituo cha televisheni cha East Africa Lady Jay Dee alisema anashukuru kwa kitendo cha Mwana Fa kumsapoti katika kazi take mpya aliyoitoa hivi karibuni.

“Ni jambo jema sana msanii mwenzako anapo kusapoti, na ndio kitu wasanii wengi tunapenda, sisi binadamu hivo mkae mkifahamu hakuna marefu yasiyo na ncha, nilishukuru kwamba msanii mwenzangu amenisapoti”.

Ili kuonyesha kwamba wako sawa na hawana tofauti baina yao tena Mwana Fa kupitia ukurasa wake wa Instagram aliweka kipande cha video mpya ya Lady JD unaojulikana kama ‘I miss you’  na kuhimiza watu wasikilize na kuangalia nyimbo hiyo.

Pia Lady JD aliendelea kufunguka kuwa;

“Ni wasanii ambao tulikuwa tunaelewana, na ndio maana tuliweza kufanya nyimbo nyingi ambazo ziliweza kufanya vizuri na kupendwa na mashabiki, Pia watu walikuwa wanasikitika kwa yale yaliyotokea”.

Bifu la Lady JD na Mwana Fa lilikuwa kubwa lililogawanya mashabiki ambapo waliandaa shoo siku moja lakini Jay D aliishia kujaza ukumbi na Mwana Fa aliishia kupiga ukumbi mtupu na pia kuna tetesi Jay D alimuimbia wimbo wa Yahaya Mwana Fa.

Lakini tunafurahi kuona Wasanii hawa wameamua kumaliza tofauti zao kwani wote ni wasanii wazuri sana.

Mwana FA Ampa Shavu Jay Dee Kwenye Wimbo Wake Mpya

Ni ya kama miaka mitano imepita tangu wasanii wakongwe wa muziki wa Bongo fleva nchini, mwanadada Lady Jay Dee na Mwana FA  walipofanya kazi ya pamoja ilikuwa ikijulikana kama “Hawajui’, kazi ambayo ilifanya vizuri sana kama muziki wa bongo, wasanii hao ni  kati ya wasanii wa kwanza na wakongwe kabisa waliwahi kuafanya vizuri na wanaendelea kufanya vizuri mpaka sasa katika tasnia hii ya muziki.Hata hivyo kuna kiprind kirefu kimepita ambapo wasanii hawa wawili walikuwa wakionekana katika bifu zito ilhali hakukuwa na sababu ya wazi kwa bifu lililokuwa likiendelea kati yao, kiasi kwamba walishindwa hata kuendelea kufanua kazi pamoja.

Hivi juzijuzi msanii wa kike Lady Jay Dee alitoa wimbo wake mpya wa” I miss you’, ambao kwa sasa unafanya vizuri katika vituo mbalimbali  vya Radio na Televisheni, lakini jambo la kufurahisha zaidi ni pale msanii Mwana FA alipoamua kupost katika ukurasa wake wa Instagaram na kuonyesha support  kwa msanii huyo wa kike kwa kutoa wimbo wake mpya,akiwa kama msanii mkubwa na anaependwa ma kufuatwa na watu wengi nchini na hata Duniani, Mwana FA kupost kazi ya Lady Jay Dee ianongeza idadi ya mashabiki hata kwa Lady Jay Dee pia na ni njia moja kubwa na nzuri ya kufanya wimbo wake mpya uendelee kujulikana na watu wengi zaidi.

Post ya Mwana FA kwa Lady Jay Dee

Sio hivyo, lakini jambo kubwa zaidi hii inaonyesha kuwa kumbe wawili hao walishamaliza tofauti zao na wamefikia hatua nzuri ya kuanza kusaidiana tena katika muziki.Hata hivyo baada ya kupostiwa kwa wimbo huo katika ukurasa wa Mwana FA naLady Jay Dee alijibu kwa kuandika “more blessings

Ukiachilia mbali na Mwana FL wasanii wengine walionekana kufurahishwa na ujio mpya wa lady Jay Dee n pamoja na Proffessa Jay, pamoja na msanii AY.Hata hivyo mashabiki wengi wameonekana kufurahishwa na hatua kubwa ya wasanii hawa kuonekana kuwa pamoja tena na kumaliza tofauti zao ili waweze kuendelea kufanya kazi pamoja hatimaye kukuza muziki wa tanzania ilhali wao ni wasanii wakongwe kabisa katika muziki.

Miziki ya Ali Kiba na Mwana FA Yatambulika Kimataifa Zaidi

Wanamuziki Ali Kiba na Mwana FA wamekula shavu zito baada miziki yao wanayofanya kutambulika na wasanii wakubwa wa Marekani.

Mwanamuziki Ali Kiba ambaye kwa sasa anatamba na wimbo wake wa ‘Seduce me’ ameula kwani wimbo wake huo umekuwa miongon ati ya nyimbo zilizochezwa na DJ katika uzinduzi wa wa bidhaa za mbalimbali za BallyxSwizz zinazomilikiwa na mwanamuziki na producer mkubwa Marekani Swizzbeats ambaye pia ni mumu wa mwanamuziki mkubwa duniani Alicia Keys.

Model wa kimataifa toka Tanzania Flaviana Matata ambaye alikuwa mmoja wa wahudhuriaji katika sherehe hiyo alituma clip ya video katika mtandao wake wa twitter na kuandika

“When you go to support a friend and his DJ plays Tanzanian music Swiss Beats thanks for support”.

Pia katika sherehe hiyo model Flaviana Matata alikutana na Mwanamuziki maarufu anayeenda kwa jina la ‘Fabolous’ ambaye alitaja mistari ya ‘Unanijua unanisikia’ ambayo inapatikana katika nyimbo ya Mwana FA inayoitwa Unanijua unanisika katika hali ya kuonyesha furaha yake na shukrani Mwana FA aliyumia mtandao wa twitter kumshukuru rapper huyo na model huyo kwa kumfikishia ujumbe huo.

Hiyo yote inaonesha ni kwa jinsi gani muziki haujalishi lugha inayotumika kwani Faboulous hajui kiswahili lakini ametokea kuvutiwa na wimbo huo pamoja na kutokujua maana ya wimbo huo pia ni vizuri kuona lugha yetu inakua zaidi.

 

Mwana FA: Sijawai tumia vyeti vyangu vya shule kuomba mtu kazi

Watu wengi huenda shule na matarajio kuwa watatumia vyeti vyao kutafuta kazi, lakini Mwana FA hajawai tumia vyeti vyake kutafuta kazi kokote.

Staa huyo wa Bongo Fleva amefunguka na kusema yeye alienda shule kupanua ubongo wake ili aweze kumudu mazingira yake ya kila siku.

“Sijawahi ku-apply (kuomba kazi) kusema kweli nafikiri namna kwenda kazini saa 12 asubuhi na kutoka saa 11 inanipa wakati mgumu. Sisi tunasoma kwa ajili ya unajaribu kupanua ubongo wako ili uweze kumudu mazingira yako ya kila siku ama ukitaka kufanya kazi zako uzifanye kwa ule upeo umeupata shuleni. Sasa sisi tunasoma kwa sababu uje na vyeti uajiriwe, siyo usahihi wa watu kwenda shule, kwa hiyo mimi natumia vyeti vyangu lakini sivitumii kwenda kumfanyia kazi mtu yeyote, sivi-apply kwenye muziki, navi-apply kwenye biashara zangu nyingine,” Mwana FA alisema katika kipindi cha The Playlist cha Times FM.

Rais Magufuli ampigia simu Mwana FA

Rais John Magufuli amedhibitisha kuwa yuko makini na mambo ya kimuziki, hivi karibuni alipiga simu kuzungumza na Diamond alipokua akihojiwa kwenye Clouds FM.

Magufuli alimpigia msanii mwingine simu tena – Mwana FA. Rapper huyo alipokea simu kutoka kwa kiongozi wa taifa kumpongeza.

Rais aliamua kumpigia simu Mwana FA kumwambia kuwa ni msikilizaji mzuri wa ngoma zake. Magufuli alisema anapenda sana ngoma yake ‘Dume Suruali’ alioimba na Vanessa Mdee.

“Nimefurahi kupokea simu ya Mheshimiwa Rais @MagufuliJP kunisalimia na kuniambia yeye ni mpenzi wa kazi zangu,haswa #DumeSuruali,” Mwana FA alisema kwenye Twitter.

Tazama wimbo wake ‘Dume Suruali’ hapo chini:

 

Ghafla!
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.